Durusu Kiswahili
Durusu Kiswahili
  • 130
  • 70 055

Відео

Kiswahili Havana, Kuba 2024
Переглядів 5543 місяці тому
Balozi wa Tanzania nchini Kuba, Humphrey Polepole aeleza jinsi Tanzania inavyokuza Kiswahili katika eneo la Karibe na fursa zilizopo kuelekea Kongamano la Kimataifa la Kiswahili Havana.
Umuhimu wa teknolojia katika kueneza lahaja Kiswahili - Dkt. Mwanahija Ali Juma
Переглядів 473 місяці тому
Teknolojia ni muhimu katika kuhifadhi na kueneza lahaja za Kiswahili - Dkt. Mwanahija Ali Juma
Kiswahili Burundi: Mtazamo wa wanafunzi
Переглядів 7273 місяці тому
Muda wa kufundisha na mtazamo wa baadhi ya wanafunzi, ni miongoni mwa mambo yanayotanza kasi ya ukuaji wa Kiswahili nchini Burundi.
Ufafanuzi: Kwa nini ni Mabasi Yaendayo Haraka
Переглядів 973 місяці тому
Japo neno mwendokasi au mabasi ya mwendo kasi linatumika miongoni mwa wasemaji wa Kiswahili, kimantiki, si sahihi. Sababu zipo kwenye video.
Kiswahili Somalia: Lahaja ni muhimu
Переглядів 3973 місяці тому
Kufuatia kujiunga kwa Somalia katika Jumuiya ya Afrika Mashariki, wasomi wanasema kwamba lahaja za janibu hiyo, kama vile Chimbalazi/Chimwiini au Kibarawa, Kibajuni zitaongeza mchango katika Kiswahili sanifu. Huu hapa mtazamo wa mtafiti wa lahaja za Kiswahili, Dkt. Mwanahija Ali Juma.
Ufafanuzi: Kwa nini AI ni Akili Mnemba
Переглядів 2533 місяці тому
Katibu Mtendaji wa BAKITA Consolata Mushi afafanua mantiki iliyoongoza uteuzi wa Akili Mnemba kuwa kisawe cha Artificial Intelligence.
Huduma za Maktaba Zanzibar mkondoni
Переглядів 2373 місяці тому
Mkurugenzi wa Bodi ya Huduma za Maktaba - Zanzibar Bi. Ulfat Abdulaziz Ibrahim, anaeleza jinsi bodi inavyohakikisha kuwa huduma zinapatikana kwa watumiaji wote.
Jumuiya ya Afrika Mashariki iwe na msimmao mmoja kuhusu Kiswahili
Переглядів 2013 місяці тому
Katibu mkuu wa Kamisheni ya Kiswahili Afrika Mashariki Dkt. Caroline Asiimwe akieleza umuhimu wa kuwa na sauti moja katika masuala yanayohusu Kiswahili.
Safari ya Kiswahili bado, wasafiri tusichoke
Переглядів 1043 місяці тому
Wanafunzi na wasomi ni wengi lakini matumizi ya Kiswahili yanasuasua, asema Prof. Chacha Nyaigotti-Chacha
Kiswahili Italia na Ujerumani
Переглядів 3513 місяці тому
Dkt. Flavia Aiello na Dkt. Roberto Gaudioso waeleza hali ya Kiswahili nchini Italia na Ujerumani mtawalia.
Mnasaba wa Kiswahili na Nyuga Nyingine - Prof. Fikeni Senkoro
Переглядів 3514 місяці тому
Prof. Fikeni Senkoro akidadavua uhusiano uliopo baina ya Kiswahili na taaluma nyingine.
Kwa nini Waziri Dkt. Damas Ndumbaru anaogopa kujitambulisha kuwa ni “ daktari”
Переглядів 1985 місяців тому
Waziri Damas Ndumbaru asimulia yaliyomkuta alipotambulishwa kwa cheo cha “daktari ”
Kiswahili kilivyochangia Afrika Mashariki kushinda kuandaa AFCON 2027
Переглядів 585 місяців тому
Dkt. Damas Ndumbaru: Kiswahili ndiyo lugha ya pekee isiyo ya kikoloni
Hotuba ya Rais wa CHAUKIDU katika ufunguzi wa kongamano la 8 la kimataifa
Переглядів 286 місяців тому
Hotuba ya Rais wa CHAUKIDU Dkt. Filipo Lubua wakati wa ufunguzi wa kongamano la nane la kimataifa la CHAUKIDU. Mada ya kongamano ilikuwa Mnasaba wa Kiswahili na Nyuga Nyingine: Dira ya Muskatakabali. #KiswahiliKienee
Salamu za kuwakaribisha wageni wa kongamano la 8 la CHAUKIDU
Переглядів 286 місяців тому
Salamu za kuwakaribisha wageni wa kongamano la 8 la CHAUKIDU
Tanzania kutoa Tuzo ya Mwalimu Nyerere, MASIKIDU Ufaransa
Переглядів 926 місяців тому
Tanzania kutoa Tuzo ya Mwalimu Nyerere, MASIKIDU Ufaransa
Mazuri ya Waafrika Wamarekani
Переглядів 2286 місяців тому
Mazuri ya Waafrika Wamarekani
Kukabili changamoto za ufundishaji wa Kiswahili kwa wageni
Переглядів 2226 місяців тому
Kukabili changamoto za ufundishaji wa Kiswahili kwa wageni
Nafasi ya walimu na wanajamii katika ufundishaji wa Kiswahili kwa wageni
Переглядів 1826 місяців тому
Nafasi ya walimu na wanajamii katika ufundishaji wa Kiswahili kwa wageni
Sehemu ya 3: Mfumo unawabagua Wamarekani Weusi
Переглядів 1006 місяців тому
Sehemu ya 3: Mfumo unawabagua Wamarekani Weusi
Sehemu ya 2: Kuboresha uhusiano baina ya Waafrika na Wamarekani Weusi
Переглядів 926 місяців тому
Sehemu ya 2: Kuboresha uhusiano baina ya Waafrika na Wamarekani Weusi
Kuboresha uhusiano baina ya Waafrika na Wamarekani Weusi ili kukikuza Kiswahili - Sehemu ya 1
Переглядів 1786 місяців тому
Kuboresha uhusiano baina ya Waafrika na Wamarekani Weusi ili kukikuza Kiswahili - Sehemu ya 1
Usipotumia akiliunde, nafasi yako itachukuliwa na wanaoitumia @ChatGPT-AI
Переглядів 4666 місяців тому
Usipotumia akiliunde, nafasi yako itachukuliwa na wanaoitumia @ChatGPT-AI
Tuwaandikie wageni msamiati mwepesi - Nyambari Nyangwine
Переглядів 1377 місяців тому
Tuwaandikie wageni msamiati mwepesi - Nyambari Nyangwine
Mchango wa migogoro katika ukuaji wa Kiswahili
Переглядів 14011 місяців тому
Mchango wa migogoro katika ukuaji wa Kiswahili
Kiswahili kinalipa ukiwa na ubongo - Wallah bin Wallah
Переглядів 27011 місяців тому
Kiswahili kinalipa ukiwa na ubongo - Wallah bin Wallah
Mwalimu, huwezi kufundisha kitu ambacho hukijui
Переглядів 9511 місяців тому
Mwalimu, huwezi kufundisha kitu ambacho hukijui
Moyo vumilia, wa kwako hajazaliwa
Переглядів 7011 місяців тому
Moyo vumilia, wa kwako hajazaliwa
Wazazi mwafeli wapi?
Переглядів 3511 місяців тому
Wazazi mwafeli wapi?

КОМЕНТАРІ

  • @nkwazigatsha
    @nkwazigatsha 9 днів тому

    We jidanganye na jiridhishe, Ukweli unaujua japo unajifanya huujui. hata hiyo ni gani unayoongeza yaweza kukuonyesha ulivyo mtupu kwenye ugwiji, weledi na unyakanga wa Kiswahili.

  • @solomonadams6337
    @solomonadams6337 10 днів тому

    Sio Caribe bali ni Caribbean okay.thankx

  • @solomonadams6337
    @solomonadams6337 10 днів тому

    Tanganyika hasio nchi ya Waswahili ni nchi ya Wazaramu,Wahaya,Wachaga ,wamakonde ,Wahehe ,Watanganyika ni Wanigeria wa East Africa sawa,hawana milla wala tabia wao ni wizi na Umalaya tuu ,Ukiwa muarabu maana yake lugha yako ni kiarabu tuu ukizungumza lugha nyenyike ni foreign language to you,nauliza suali Watanganyika wana lugha ngapi¿if you are Scottish English is foreign language 2 you okay it would be very please to you to know who you are.thanks

  • @solomonadams6337
    @solomonadams6337 10 днів тому

    Kiswahili fusgha kweo ni Zinjibar 💯👌 every body knows about it.thanks

  • @RonnieBertin
    @RonnieBertin 12 днів тому

    Wewe ni mzushi tu hauna lolote

  • @Bahati-u6p
    @Bahati-u6p 12 днів тому

    Nikweli

  • @ShafiiDauda-mh9ju
    @ShafiiDauda-mh9ju 19 днів тому

    👍👍👍🇹🇿👍👍

  • @twahakabajemi9716
    @twahakabajemi9716 20 днів тому

    Kwanini hamkitumii?

  • @AllanKaita
    @AllanKaita 23 дні тому

    Kiswahili ni lugha ashirafu tamu na adhimu toka Lamu twavyofahamu

  • @coolbz133
    @coolbz133 Місяць тому

    Swadakta maneno yako nikweli

  • @malkiawagiza1327
    @malkiawagiza1327 Місяць тому

    Kiitaliano na Kiswahili, lugha mbili ninazozipenda mno ❤ Mm ni mkalimani wa Kiitaliano, natumai nitakua mkalimani wa Kiswahili pia (nikiendelea kusoma kwa bidii). Kiswahili ni kama bahari inayojaa maneno, misemo, methali, nahau na kadhalika. Kama wahenga wanavyosema mvumilivu hula mbivu na siku moja juhudi zangu zitazaa matunda.

    • @durusukiswahili
      @durusukiswahili Місяць тому

      Jiunge na vyama vya wanataaluma kama vile CHAUKIDU pamoja na EAITA.ORG ujinoe pamoja na wataalamu wengine.

  • @ShadrackAnalo
    @ShadrackAnalo Місяць тому

    Sasa iyo inatusaidia na nini

  • @erastuskajuna812
    @erastuskajuna812 Місяць тому

    Mawazo yote kuhusu kiswahili Cha Kenya na Tanzania ni potofu. Wote wanaongea kiswahili kizuri tu. Ni sawa na kiingereza Cha england, Canada, marekani, Scotland etc. lafudhi yaweza kuwa tofauti lakini lugha ni ileile

  • @ExtremeMultFrequency
    @ExtremeMultFrequency Місяць тому

    ua-cam.com/video/qKsohAEciho/v-deo.htmlsi=hCMDXfQ4IuhoghLz

  • @AliKhamis-j9z
    @AliKhamis-j9z 2 місяці тому

    Kiswahili kipo kabla yahii mipaka yakenya na tanzania musidanganye watu ilakiswahili fasaha kinaongelewa unguja mjini

  • @AliKhamis-j9z
    @AliKhamis-j9z 2 місяці тому

    Kila kilicho nde

  • @IsaeVuguziga
    @IsaeVuguziga 2 місяці тому

    Hamujambo?mimi naitwa isaie VUGUZIGA kutoka Rwanda,nikawa mpenzi wa rugha ya kiswahili,lakini Kuna changamoto katika jamii,ukijaribu kuongea lugha hii unachukuliwa ama kuonekana mujambazi kwawanawo jihusisha na lugha mbarimbari haswa kimombo,kinginecho kinareta usumbufu mukali ni kwamba wenge wadhani wanajuwa kiswahili,ukitazama vyema ukawakuta hawana ujuzi wowote kuhusu lugha hii,na kingine kuweka kikomo ni ugombaniaji chimbuko ya kiswahili kati ya mu Tanzania na mu Kenya,je mwatushauri nini?

    • @durusukiswahili
      @durusukiswahili 2 місяці тому

      Hatujambo, ushauri ni kwamba ushirikiane na wote wanaokipenda Kiswahili utajifunza mengi.

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 2 місяці тому

    Kiswahili kwetu sisi watanzania kizuri sio deal sana tuongee juu ya tanzania ya kesho

  • @IslahiMohamed-qi2jf
    @IslahiMohamed-qi2jf 2 місяці тому

    Zanzibar ndokwenye kiswahili na sio bara

    • @innocentfortunatus725
      @innocentfortunatus725 Місяць тому

      Bara ndo nini? Maana wote ni watanzania na lugha yetu ni kiswahili au yale

  • @r3gistratoe310
    @r3gistratoe310 2 місяці тому

    mi nasoma kiswahili mwenyewe, natoka italia na ninakipenda kiswahili saaaana kweli

  • @jumaothman2092
    @jumaothman2092 2 місяці тому

    Tatizo pwani ya kenya mlikizarau sana kiswahili sisi wa zanzibar tutakwenda nacho hivyo hivyo ijapokua watu wa bara ya Tanganyika hukiharibu lakini hatujakiacha

  • @dr.rajabmlekwachimile8699
    @dr.rajabmlekwachimile8699 2 місяці тому

    Ni lugha pekee Africa ambayo ni rahisi kuwa Lingua franca

  • @SamsonNkera
    @SamsonNkera 2 місяці тому

    Kujifunza kiswahili unapoteza mda wako

  • @niyorukizaelias8142
    @niyorukizaelias8142 2 місяці тому

    We waache tu wa puuzie watajua hawajui maana maisha ni safari ndefu ata mie nilikuaga hivo hivo maisha yakanibidi niende kutafuta maisha Zanzibar nilijutia sana😂 😂😂😂😅

  • @husseinmwanjela8644
    @husseinmwanjela8644 3 місяці тому

    Wa Kenya mliacha Kiswahili na mkaona Kingereza ni lugha yenu basi tulieni na English yenuuu

    • @hassanalhussein3982
      @hassanalhussein3982 2 місяці тому

      Kenya na Pwani Ni sehemu tafauti. Pwani yetu iliunganishwa na Kenya 1963.Sisi tulikua chini ya mamlaka ya Zanzibar

    • @husseinmwanjela8644
      @husseinmwanjela8644 2 місяці тому

      Hapo sawa

  • @mondadronography8584
    @mondadronography8584 3 місяці тому

    Uswahilini tuna mda, tusichokifanya leo tutafanya kesho. Kunastarehe tele Uswahilini. Magonjwa ya kimawazo si mengi, upendo na utu umezambaa mno.

  • @abdulhajiahmed8735
    @abdulhajiahmed8735 3 місяці тому

    Pongezi nyingi Madame

  • @abdulhajiahmed8735
    @abdulhajiahmed8735 3 місяці тому

    félicitations, vous parlez couramment le swahili

  • @abdulhajiahmed8735
    @abdulhajiahmed8735 3 місяці тому

    Tatizo ni kasumba ya ujinga kuthamini sana lugha za kigeni, lugha ya Kifaransa si ya Burundi ni ya taifa la Ufaransa kwa hiyo mkataa kwao ni mtumwa poleni sana. Those who deny their culture and language are stupid, are part of the ignorant, Ceux qui nient leur culture et leur langue sont stupides, font partie des ignorants. vraiment désolé pour le Burundi et les francophones

  • @abdulhajiahmed8735
    @abdulhajiahmed8735 3 місяці тому

    Ahsante sana Jazaka LAAH khaira hapo nimekuelewa kwa ufasaha mzuri

  • @FaustaKavishe-l1e
    @FaustaKavishe-l1e 3 місяці тому

    Kongole sana kwa Baraza la Kiswahili Tanzania na washititi wote wa Kiswahili, hakika tutazidi kubidhaisha lugha yetu adhimu ya Kiswahili👏👏💪

  • @praisethatprays6305
    @praisethatprays6305 3 місяці тому

    HUMPHREY SLOW!! I KNOW WHAT POLEPOLE MEANS IN SWAHILI!!

  • @dylankanyubi3700
    @dylankanyubi3700 3 місяці тому

    Kiswahili ni fahari yetu sisi Waafrika.

  • @SantosKapita-gt9rc
    @SantosKapita-gt9rc 3 місяці тому

    Watching from Angola 🇦🇴 Portuguese speaking nation 🇦🇴.... Mimi Ninapenda sana kizungizia lugha ya Kiswahili

  • @AseriKasa-h6y
    @AseriKasa-h6y 3 місяці тому

    Being a grandson of a fijian chief, our legend state we traveled down the river Rufiji in Africa south of Tanzania, Apparently we were warrior who also worked as gold mines Egypt

  • @AseriKasa-h6y
    @AseriKasa-h6y 3 місяці тому

    In Africa, in this Taqanaika region, dwelt for a long time warrior group of people called the'Viti 'people Africa king them very well

  • @AseriKasa-h6y
    @AseriKasa-h6y 3 місяці тому

    I'm from fiji Island pacific My grandfather came from Tanganyika Rufiji river 1st century cushites from Ethiopia settle in Tanganyika 10th century AD about this time the fable of fijian from Tanganyika

    • @othumanlorenzo260
      @othumanlorenzo260 2 місяці тому

      ooh u are most welcome i am tanzanian my mother came from Rifiji

  • @FatmaKombo-y8e
    @FatmaKombo-y8e 3 місяці тому

    Mbona umefanana sana na Dr zeyana au muko ndugu?

  • @smukangaitv
    @smukangaitv 3 місяці тому

    Ufafanuzi mzuri sanaaaaaaaaa

  • @dylankanyubi3700
    @dylankanyubi3700 3 місяці тому

    Hapana si akili bandia bali ni akili mnemba.

  • @dylankanyubi3700
    @dylankanyubi3700 3 місяці тому

    Kiswahili ni lugha yenye mswano mkubwa.

  • @dylankanyubi3700
    @dylankanyubi3700 3 місяці тому

    Mmefanya vyema sana ukuza lugha hii yetu adhimu.

  • @dylankanyubi3700
    @dylankanyubi3700 3 місяці тому

    Asante Consolata kwa kunielimisha kuhusu chimbuko la neno mnemba. Kiswahili fahari yetu kitukuzwe.

  • @halimanafoo2468
    @halimanafoo2468 3 місяці тому

    Ahsnte madam ulfat mwalim wangu kipenzi upo sawa nakuaminia

  • @MuhammadGharib-x5h
    @MuhammadGharib-x5h 3 місяці тому

    However Kiswahili cha Zanzibar ndio asili. Lakini waandishi na watangazaji wa redio za SMZ ndio chanzo cha kufuja kiswahili cha ZNZ pamoja na vituo binafsi vya redio watangazaji almost ni Watanganyika huwa wanazungumza Kibongo tu.

  • @graciousakida3811
    @graciousakida3811 3 місяці тому

    Muwamba Ngoma ngozi huvutia kwake!!! " Wakaitukua"? Au wakaichukua?

    • @graciousakida3811
      @graciousakida3811 3 місяці тому

      Eti " nthe ndani" au nje ndani? Mbona bado sana

    • @hassanalhussein3982
      @hassanalhussein3982 2 місяці тому

      ​@@graciousakida3811Elewa Kuna lahaja tafauti katika mwambao wa Pwani. Hakusema makosa hapo

  • @indiraconnolly2889
    @indiraconnolly2889 3 місяці тому

    Asante sana kwa video hii. Najifunza Kiswahili sasa na najaribu kutazama video kwa Kiswahili ili kuboresha uwezo wangu wa kusikiliza.

  • @francoismalenge1373
    @francoismalenge1373 3 місяці тому

    Ok merci mère Boss 🤝

  • @robertkyattu5399
    @robertkyattu5399 3 місяці тому

    Future kwa Kiswahili

  • @rayisadesigns2646
    @rayisadesigns2646 3 місяці тому

    MNENAJI WASEMA URONGO. ASILI YA KISWAHILI SIO KENYA PEKE YAKE BALI NI ENEO LOTE LA PWANI YA AFRIKA MASHARIKI. NA NDIYO MAANA KILA JAMII YA WATU WA PWANI INA LAHAJA YAKE YA KISWAHILI. KWA SASA LAHAJA KUU ILIYORASMISHWA KUTUMIWA KAMA LUGHA RASMI YA KISWAHILI NI LAHAJA YA KIUNGUJA KUTOKA ZANZIBAR TANZANIA NA NDIYO HII INAYOTUMIKA KUFUNDISHIA SHULENI NA VYUONI NA PIA NDIYO INAYOTUMIKA HATA KWENYE SHUGHULI MBALIMBALI KIMATAIFA IWE KENYA TANZANIA AU POPOTE PALE DUNIANI. KILWA ILIYOPO TANZANIA WAKATI ILIPOTAWALA AFRIKA MASHARIKI KAMA NCHI KABLA YA KUVAMIWA NA WAZUNGU NA UTAWALA WAKE KUDONDOSHWA NDIYO ILIYOKIENEZA KISWAHILI KTK ENEO KUBWA LA NDANI NA NJE YA AFRIKA MASHARIKI HUKU MIJI YAKE IKIWA PAMOJA NA MOMBASA, UNGUJA AU ZANZIBAR, MALINDI, LAMU, MOGADISHU, NGAZIJA NA KWENGINEKO. LUGHA YA KISWAHILI NDIYO ILIYOTUMIKA KAMA LUGHA KUU YA TAIFA HILO LA KILWA, KADHALIKA KÌLWA JINA LAKE JENGINE ILIJULIKANA KAMA AZANIA NA ILIKUWA NA PESA YAKE YENYE THAMANI DUNIANI NA BIASHARA YAKE KUU ILIKUWA BIASHARA YA DHAHABU WALIOICHIMBA TOKA KTK ENEO LAKE LA MONOMUTAPA AMBAYO NDIYO ZIMBABWE YA LEO. KILWA ILIKUWA NCHI TAJIRI KWANI NDIYO ILIYOMILIKI BIASHARA YA DHAHABU DUNIANI.