Namna ya kuongeza Thamani - Misana Manyama
Вставка
- Опубліковано 27 сер 2024
- Ili uweze kufanikiwa katika biashara ni muhimu sana ujue namna ya kuongeza thamani katika kile unachokiuza kwa wateja wako. Ukweli ni kwamba walaji wengi wananunua thamani na wengine wapo radhi hata kulipia kiwango kikubwa cha fedha kama thamani inayopatikana ni kubwa pia.
katika somo hili nimeelezea namna unavyoweza kuongeza thamani katika biashara yako na kujipatia wateja wengi zaidi na hatimaye kuongeza mauzo.
fuatana nami katika somo hili muhimu kwa kila mfanyabiashara.
LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE - SHARE
#malengo #fursa #ujasiriamali #mafunzo #tanzania #biashara #daressalaam
Yupo vizur sana
Nafurahi kuona unavyoongeza wasikilizaji na waonaji
Napenda unachokifanya Mungu akubariki
Kaka unagusa maisha yangu
Thamani ni muhimu sana
Nimefanya hvyo mkuu
Asante sana
Woooow
Kwa kweli unaongeaga vizuri kutokn na experience yako binafisi
❤❤
Nimependa Apo sasa Tunakusikia Vizuri, Hongera Kaka.
Asante sana kaka, tunatamani mpate kitu bora, maoni yenu ni ya muhimu sana
Hamna Shida Brother, ila Ningependa Mada ya JINSI YA KWENDA SAWA NA MFANYAKAZI ULIYEMUAJIRI ILI AJISKIE KAMA OFISI YAKE, InshaAllah
Mwl naomba na mm kama unadrsa unipe utaratibu wa kjoini ili nahitaji kukisemea ndoto yangu ili nipate ushauri na maarifa namna ya kuitimiza naomba unipe hiyo nafasi kama wewe ulivyo pewa nafasi ya kupga pcha ukiwa mwanafunzi
Tutawatangazia jinsi ya kujiunga na madarasa yetu hivi karibuni kwa sasa hatuna nafasi kabisa kumejaa
Ili biashara niijenge nilazima nijitofautishe nayo yaani niwe mm na biashara I yenyewe....ninauza duka la mangi y
Je nitumie mifumo ipi ili niweze kukuza mtaji na biashara
Sorry. Mkuu. Soma. La. Namba. Gan. Unaeza kuongoza biashala. Ikiwa. Mbali.
Asante mkuu tumelinote hili tutalifanyia kazi