JEMEDARI WA VITA- Boaz Danken ft Gwamaka Mwakalinga

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 720

  • @VanneyClassic
    @VanneyClassic 7 днів тому +2

    Aiseée nampenda sanaa huyu YESU,😢nampenda kupita iliyo sanaa ,wimbo huu niikisikiliza tu napata uwepo wa MUNGU usio wa kawaida mtunzi Mungu akutunze miaka mia100

  • @ambweneobadiamwasongwe
    @ambweneobadiamwasongwe 2 роки тому +146

    Mungu akubariki Sana mtumishi wa Mungu, kazi kubwa yenye Baraka sana ndani ya mioyo yetu

    • @boazdanken
      @boazdanken  2 роки тому +25

      Asante sana kaka Utukufu na heshima kwa Yesu

    • @lukapastory
      @lukapastory 2 роки тому +10

      @@boazdanken Nakupenda Sana kaka danken, YESU anakutumia, mm ni Mwinjilisti from kasulu kgoma, Nakukimbsha Uwaambie hao wadada na mke wako pia nywele bandia ni dhambi ,zmepeleka wamama watumishi wengi kuzimu, rangi mdomoni, kucha bandia , meshi, Rasta mawigi, please achen

    • @lukapastory
      @lukapastory 2 роки тому +2

      Kilio changu ni kwa akina Dada , mahereni, nywele bandia , NI Mali za pepo Yezeberi, please wambie , maana ni kumkosoa uumbaji wa BWANA, Isaya 29:16, Fuatilia PROMOVER TV ushuhuda wa Esther, Recho na Rinda rika, utapata ujumbe kutoka kwa YESU

    • @dorcusamubi577
      @dorcusamubi577 2 роки тому +1

      Barikiwa Sana mtumishi wa Mungu Umeniibariki sana... Naskia kunyenyekea ninaposkia wimbo huu ubarikiwe sana

    • @christinme4573
      @christinme4573 2 роки тому +8

      @@lukapastory lijue neno uwe huru☺️

  • @boazdanken
    @boazdanken  Рік тому +26

    Glory and Honor to Jesus please if your Blessed this ministry kindly subscribe our channel

  • @rovenajohn4548
    @rovenajohn4548 2 години тому

    Mungu watunze waimbaj wasikengeuke wawe na mwisho mwema

  • @BrianChosi
    @BrianChosi Місяць тому +1

    The time i listened this song i went silent for a while....just thinking the wonders of God!How might is our God!! "Jemedari wa vita" Milima yayeyuka kwa sauti yako tu"😮😮😮...Boaz danken stay blessed!

  • @jacklinemwongeli8365
    @jacklinemwongeli8365 2 роки тому +12

    Hakuna mlima waeza stahimili sauti yako.l'm really blessed by this from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @boazdanken
      @boazdanken  2 роки тому +2

      Utukufu na heshima kwa Yesu

  • @DrSarahKmusic
    @DrSarahKmusic 2 роки тому +4

    Yesu ndiye jemedari wa vita..

  • @mankamacha4383
    @mankamacha4383 2 роки тому +4

    Vidonda vya tumbo vinavyonisumbua vinayeyuka mbele zako BWANA,madeni yote yayeyuka mbele zako BWANA.UTUKUKUZWE MILELE 🙏,AMEN

  • @deboramalakasuka5396
    @deboramalakasuka5396 2 роки тому

    Hakika nimemwona MUNGU akifanya kazi na milima yote iki yeyuka katika familia yangu 😭😭😭 hakika unastahili sifa za moyo wangu eeh MUNGU uketie anzini 😭😭😭😭

  • @IsraelCiza-eq1ot
    @IsraelCiza-eq1ot 11 місяців тому +13

    Baba Boaz mimi muimbaji Israël ciza nikiwa inchini kongo kila Niki imba nyimbo zako n'a sikia ngufu zamungu ziki ni Jana naamini mungu wako ata nipa ujasiri ni WE muimbaji maarufu Sawa nyiye

  • @yohanakilamaministry9543
    @yohanakilamaministry9543 2 роки тому +3

    HAKIKA HII NI SAA YA WAABUDIO HALISI KWA KUMEABUDU YEYE AMBAYE MILIMA INAYEYUKA KWA SAUTI YAKE TU.........
    POWERFUL 🔥🔥🔥
    GOD BLESS YOU MAN OF GOD

  • @pelecymsemwa8107
    @pelecymsemwa8107 2 роки тому

    Yesu ni jemedari wa vita siku zetu zote ashukuriwe Mungu akutumiaye kudhihirisha utukufu wake na ukuu wake. Utukufu wa Mungu uwe we siku zote mtumishi wake

  • @janethnarsis188
    @janethnarsis188 2 роки тому +5

    Naenda kupata hii kazi kwa jina la Yesu
    Jemedari wa vita zangu zote.
    Nitarudi kushuhudia kwa jina la Yesu

    • @janethnarsis188
      @janethnarsis188 2 роки тому +3

      I got it kwa hakika.
      Mungu amenishindia Mengi. Leo 31.12.2022 ninamshukuru haikuwa rahisi@2022

    • @FLOH9876
      @FLOH9876 11 місяців тому

      Jemedari wa Vita🎉
      Hallelujah 🙌
      He will also give me A Job
      And I will come to testify like you have

  • @RoseEdward-w9i
    @RoseEdward-w9i 20 днів тому

    Mtumishi wa MUngu Boaz Mungu wa Bwana wetu yesu Kristo akubariki sana nyimbo zako zinanibariki sana hata km nikiwa nimechoka ninapata nguvu mpya nainuka tena

  • @geofreykinotimajira4603
    @geofreykinotimajira4603 2 роки тому +1

    🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌ninani kama yesu🤔🤔🤔🤔🤔 fight all my battles oh lord

  • @rovenajohn4548
    @rovenajohn4548 2 години тому

    Hakika hakuna kama wew Jemedali wa vita milima yayeyuka

  • @worshiplibrary7157
    @worshiplibrary7157 2 роки тому +89

    My daughter is going thru a very rough patch right now shes only 22 years old. I listern to this song n feel the holly spirit lifting me up so that I have strength to lift her up! 😭😭😭 may the good Lord open up a better path for her!

    • @speranzakiragu3491
      @speranzakiragu3491 2 роки тому +4

      Ameeeeeen🙏

    • @judithabdallah4594
      @judithabdallah4594 2 роки тому +4

      I call upon the God of heaven, the creator of heaven and earth to come through for your daughter.... He is the great physician..God will heal her in Jesus Mighty Name.. Amen!

    • @brianmuriuki9271
      @brianmuriuki9271 2 роки тому +1

      JUSUS IS GOING TO DOMIT TRUST HIM TU...MAY HE DO MORE THAN U EXPECT

    • @naomiwangari4794
      @naomiwangari4794 2 роки тому

      Amen.neema iwatoshee.keep the faith

    • @zafaraniduguza4950
      @zafaraniduguza4950 2 роки тому

      May God come through for you

  • @P.W.I.P.I_MINISTRIES
    @P.W.I.P.I_MINISTRIES Рік тому +1

    Mighty Man of War
    Jemedari wa Vita hakuna kama wewe🙌🙌🙌🙌

  • @helinahenry2363
    @helinahenry2363 Рік тому

    Mlima wa kutojenga uyeyuke kwa jina la Yesu, na mmi nikajenge , nipate kibali Cha kumiliki nyumba nisingoje Tena Hallelujah

  • @EglaChristopher-nf9xj
    @EglaChristopher-nf9xj 4 дні тому

    ❤ may God continue lifting you higher for his Grace
    Amen.

  • @philliswanjiru
    @philliswanjiru 5 місяців тому

    This song now 😊 you are holy Jesus Jesus ❤❤❤❤ Jesus to the end,who is happy to know Jesus 🥰🥰😍

  • @Mwavipa_stev2514
    @Mwavipa_stev2514 2 роки тому +9

    Huyu Yesu hatokuja tokea mwingine kama yeye I'm speechless of him
    I LOVE YOU JESUS ❣️

    • @boazdanken
      @boazdanken  2 роки тому +1

      Amen utukufu na heshima kwa Yesu Kristo please share kwa wengi ukiweza

    • @vumiliabaraka3326
      @vumiliabaraka3326 Рік тому

      ​@@boazdankenMungu akubariki sana Baba kwani tunaendelea kabarikiwa na kuponywa na nyimbo zako hata hii 2024 Atukuzwe Yesu kwa kuondoa kila mlima maisha mwetu mwaka huu UKAWE WA BARAKA TELE kwetu 2024🙏❤️

  • @nsikanyigwinshimpinga9132
    @nsikanyigwinshimpinga9132 2 роки тому

    Yes . Ni Jemedali wa vita nauona Mkono wa Bwana

  • @kilifaithadventures
    @kilifaithadventures 17 днів тому

    Milima yayeyuka kwa Sauti Yako tu.

  • @ab71210
    @ab71210 2 роки тому +22

    God gave me this song when i needed it
    "Milima yatayeyuka kwa sauti yako juu,maana wewe ni Jemedari wa vita, hakuna kama wewe Mungu", na neno lako litimizwe

  • @isaacsimalif6185
    @isaacsimalif6185 2 роки тому +2

    Neema ya Mungu iwe nyanyi watumishi Kwa kazi nzuri katika ufalume wa mbingu

  • @shaibumbwilo9938
    @shaibumbwilo9938 2 роки тому

    Mwaimba vema kwa utukufu wa Mungu,wasaidieni na kuwaonya walionyoa denge /panki,walioweka mawigi/nywele bandia vichwani mwao,mambo hayo ni machukizo kwa Bwana,na pia wasilinajisi kundi la Bwana.kama hawajaokoka wasaidieni wamjue Mungu wa kweli. Maana Mungu yule ni mwenye wivu .

  • @kinywimwarabu2087
    @kinywimwarabu2087 2 місяці тому

    Milima ya ukosefu wa kazi iyeyuke leo hii🙏🙏 milima ya kukataliwa na wachumba, wanaokutumia na kukuacha iyeyuke leo🙏🙏

  • @myalanity5207
    @myalanity5207 2 роки тому

    Huwa unanifanya moyo wangu kujiskia kuomba na kuabudu kila naposikiliza nyimbo zako.ubarikiwe saana mtumishi

  • @FarajaLegnand-lc9jl
    @FarajaLegnand-lc9jl Рік тому

    Nyimbo zako zaubariki Saba moyo wangu ubarikiwee Zaid naMungu aendlee kukuinua ktk utumishi huo 🙏

  • @christinetusu9926
    @christinetusu9926 2 роки тому

    Amen Jemedari wa vita yeyusha milima yote inayozunguka nchi yangu Kenya sasa hivi kwa kina la Yesu.

  • @stephenmuikamba7166
    @stephenmuikamba7166 10 місяців тому

    Yuko jemedari wa vita...,Kila milima iliyo mbele yangu yayayuka kwa jina Takatifu la Yesu Kristo...... Amen 🙏🙏🙏

  • @nemaLoshirari
    @nemaLoshirari 2 місяці тому

    Such amazing blessing song.utukufu apewe Yesu Kristo ❤

  • @AminaKijaji-kc5km
    @AminaKijaji-kc5km 2 місяці тому +1

    Mungu akufikishe mbali mtumishi kwa huduma hii

  • @dennisadala787
    @dennisadala787 8 місяців тому +2

    Jemedari wa vita hakuna kama wewe milima ya yeyuka kwa sauti😭😭😭

  • @LilianChilumo
    @LilianChilumo 2 місяці тому

    My God bless you aman of God keep on saving God
    Am watching from kenya and am so much blessed

  • @bridgetngendo8494
    @bridgetngendo8494 2 роки тому

    Jemedari wa vita.......pigania dada yangu na mama yangu,: acha wakuone ewe Jehovah Rapha kwa maisha yao. Amen

  • @dianaminja3175
    @dianaminja3175 Рік тому +2

    Aliyemfufua Lazaro kaburin siku 4

    • @dianaminja3175
      @dianaminja3175 Рік тому

      EEE Mungu naomba afya yangu ifunikwe kwa damu yako

  • @naomikatharinaandrewmnkai6760
    @naomikatharinaandrewmnkai6760 Місяць тому +1

    I bow down for fearful before the LORD!
    This is anointing , always my heart is melting when i sing this song ❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @marysrevocatus1413
    @marysrevocatus1413 2 роки тому

    Huu wimbo niliuimba sikumoja usiku mzima hakika kuna mlima uliyeyeka ,huwa nautumia sana kuniweka uweponi

  • @CeciliaJoel-ty5eb
    @CeciliaJoel-ty5eb 6 місяців тому +2

    Mungu akubariki sana Fanya kazi ya Mungu kwa kuisikia sauti ya Mungu binafs kuna sauti zingine zipo kwa ajili ya kunyamanzisha huduma

  • @Privia-s8s
    @Privia-s8s 10 місяців тому

    Wimbo huu unazidi kua mpya kila siku maishani mwangu kama bd tunausikiliza 2024 tuzidi kutiana moyo

  • @paulosmbena2834
    @paulosmbena2834 2 роки тому

    Balikiwa Sana mtumishi kwa wimbo mkuu mno kwa sauti nzuri kbisa Toka kwako iliyowekwa na mungu kwa makusud maalum,mungu azidi kuwatumia kwa utukufu wake.

  • @GraceCharles-j5y
    @GraceCharles-j5y Місяць тому

    Mungu awabariki sana ninapo msikiliza baba boazi na kaka gwamaka na Dr ipyana yani ninajazwa nguvu na kubarikiwa sana

  • @laurashilavula7578
    @laurashilavula7578 2 роки тому

    This is a blessed breakthrough song
    Kilimanjaro yote maishani mwangu yayeyuka kwa Jina la Yesu

  • @yusuphchankwa4759
    @yusuphchankwa4759 2 роки тому

    Natamani unyenyekevu ulionao Kwa Mungu natamani nami niwe munyenyekevu

  • @JoselineSiimaMuganyizi
    @JoselineSiimaMuganyizi 4 місяці тому +1

    Huu wimbo umefanyika kuwa siraha yangu ya kuvuka na kushinda vita. MUNGU akubariki sana Kaka Boazi endelea kunyenyekea tafadhali chin ya mkono wa Bwana wetu aliye hai ili azidi kukukweza na kukuinua mwenyewe

  • @mercyprecious98
    @mercyprecious98 2 роки тому +2

    God is real 🙏🙌🙌Jemedari wa vita,amenipigania mahali kwingi ,siku zote nashukuru from Mombasa Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @eunicedan
    @eunicedan 2 роки тому +24

    Powerful combination 💪.....love of God kutoka hapa Kenya 🇰🇪 hallelujah 🙌

  • @rachelmalimbwi1748
    @rachelmalimbwi1748 2 роки тому

    Nami natamani sana kuwepo kwenye ibada kama hii lakini sipati taarifa siku nyingine natamani niwepo,kwakweli anaestahili kuabudiwa ni Kristo tuu mbarikiwe sana

  • @mariashiku
    @mariashiku 8 місяців тому

    Jemedaribwa vita vyangu hakuna kama wewe nipiganie maishani baba 😢😢

  • @rizikipyuzza3411
    @rizikipyuzza3411 2 роки тому +1

    Might man of war I worship you🙌🙌🙌🙌

  • @dianaminja3175
    @dianaminja3175 Рік тому +1

    Milima ya yeyuka kwa sauti yako tuu

  • @MercyDacute-ne3rd
    @MercyDacute-ne3rd 25 днів тому

    😭😭😭 ni jambo gani gumu kwako? Yupo jemederi wa vita

  • @josiacharles2778
    @josiacharles2778 Рік тому

    Mungu akuzidishie unyenyekevu ili uduma yako ikuwe zaidi, usitafute kuonekana kama waimbaji wengine acha Mungu wako aonekane Kwa watu, Mungu atakuzidisha.

  • @AminaJoni-v5o
    @AminaJoni-v5o 6 місяців тому

    Amen San naamin hakuna mlima utakao baki umesimama ktk maishaa yangu napokea kwa jina la YESU👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @violetvinaywa4921
    @violetvinaywa4921 6 місяців тому

    Kwa hakika ni Jemedari wa vita 🙏🙏

  • @SammyNgila
    @SammyNgila 27 днів тому +1

    Hii imeugusa moyo wangu sana

  • @lillianmusembi8666
    @lillianmusembi8666 2 роки тому

    Jemedari wa vita hakuna kama wewe ......milima yayeyuka kwa sauti yako tu🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🧎‍♀️🧎‍♀️🧎‍♀️🧎‍♀️

  • @Pvcchoir
    @Pvcchoir 2 роки тому

    Mungu akupe mafunuo makubwa sana aongezeke yeye wewe upungue mataifa wapone kupitia ujumbe huu

  • @salamam8721
    @salamam8721 Рік тому

    Mimi wakwanza wimbo uhu ume ni fungua Mungu wa mbinguni akuongaze zaidi na zaidi

  • @FastonChristopher
    @FastonChristopher Рік тому +1

    Jemedar wa vita hakuna kama wewe na Jehovah ndilo jina lako🔥

  • @mercylintyra4888
    @mercylintyra4888 Рік тому

    Jemedari wa vita,niyeyushie milima ya madeni,maangaiko,kukosa kazi usiku wa leo Amen

  • @marymatenga4038
    @marymatenga4038 2 роки тому

    Hawa watu wawili ni zawadi ya Mungu kwetu..nambariki Mungu kwa ajili ya hawa watu..wabeba uwepo wa Mungu..
    Mbarikiwe sana watumishi wa Mungu!

  • @bahatkisam8367
    @bahatkisam8367 4 місяці тому

    September 29,2024❤

  • @moisemshonga3636
    @moisemshonga3636 Рік тому

    Mungu aendeleye kukuinuwa mtu wa Mungu aliye haiii❤️❤️❤️❤️💥💥💪

  • @eglahelenkikuli8354
    @eglahelenkikuli8354 2 роки тому

    Wewe ni Jemedari wa Vita,umetukuka Bwana Kila pembe,dunia yote na inyamaze kimya mbele zako...Adonai Mungu mwenye Enzi ni wewe Bwana,Milima yayeyuka mbele zako kwa sauti yako.....ooooh hallelujah hallelujah

  • @ivymwalasa4471
    @ivymwalasa4471 2 роки тому

    the first day nasikia iih nyimbo nilipata nguvu ya kuomba ya ajabu san🙏🏻🙏🏻 Mungu ni mwema asante sana

  • @JosephMasamaki-n9z
    @JosephMasamaki-n9z Місяць тому

    Mungu aendelee kukutunza mtumishi

  • @ianwairite3027
    @ianwairite3027 2 роки тому

    Asante sana Kwa Huu wimbo,Uko sawa kabisa,,alafu nina ombi la ngoma ya Chackacha 🙏🙏

  • @akimjoseph2818
    @akimjoseph2818 2 роки тому +56

    As i was driving this morning we were listening to JEMEDARI WA VITA with my wife. The power of God fell upon her and she started speaking in other tongues. May God continue to give more revelation for future songs as you reach so many souls through singing. Continue Staying
    humble and blessed.

    • @newboy1995
      @newboy1995 Рік тому +1

      Congratulation ! thats a testimony of Humble Heart ! Praise the living GOD !📯 YESU ! 📯

    • @lydiaabel-uo1qn
      @lydiaabel-uo1qn Рік тому

      e

  • @edwinmukhebi2149
    @edwinmukhebi2149 2 роки тому

    Eeh Mungu kasababishe milima iliyo maishani mwangu kuyeyuka sasa hivi.

  • @EmilyKinya-y2l
    @EmilyKinya-y2l 3 місяці тому +1

    May evey kind of sickness melt in my father's body

  • @irenekaondo925
    @irenekaondo925 2 роки тому

    Barikiwa sana Mtumishi nyimbo zako zinabariki

  • @jofreygrace9665
    @jofreygrace9665 2 роки тому +1

    Ainuliwe yesu zaidi ndani ya nchi yetu

  • @emmanuelmtwanamanjama2265
    @emmanuelmtwanamanjama2265 2 роки тому +4

    Wow🔥🔥🔥Milima kwa Kwelii Mtumishi Ya Yeyuka katika Jina la Yesu.
    Magonjwa si Sehemu yetu (Isaiah 33:24),Madeni yotee Yameyeyuka.

  • @paulotieno2223
    @paulotieno2223 2 роки тому +40

    Asante Tanzania kwa umbali. Ni kweli Mungu wetu anajibu..iwas waiting for this.God bless you all and take you another level 🙏 🙌

    • @boazdanken
      @boazdanken  2 роки тому +8

      Utukufu na heshima kwa Yesu Kristo

    • @mercyprecious98
      @mercyprecious98 2 роки тому +1

      Jesus Christ you're really "JEMEDARI WA VITA" Lord the battles you have fought for me ,I personally couldn't fight for myself,I honor and exalt your Holy name,Yeshua, Messiah,you deserve the sweet names ever.Thank you Jesus,bless Tanzania,Kenya , Africa and world at large.@Boaz Duncan,may God keep you to continue blessing generations.AMEN🙏

    • @davidkalinga5580
      @davidkalinga5580 2 роки тому +1

      Jemedari wa vita

    • @Subasuba-u5e
      @Subasuba-u5e 10 місяців тому

      Wacha Mungu azidii kuinuwa man of God u bless me with all
      Ur song so powerful man of God

    • @furahakombe6786
      @furahakombe6786 5 місяців тому

      ​@@boazdanken❤❤

  • @adv.elishaserikali1015
    @adv.elishaserikali1015 2 роки тому +10

    My brother Boaz, Mungu na azidishe neema aliyoweka kwako.. you are a blessing of our generation 🙏🏾🙏🏾

    • @boazdanken
      @boazdanken  2 роки тому +2

      Glory and Honor to Jesus please share to many ukiweza

    • @floziekiriinya9889
      @floziekiriinya9889 2 роки тому

      Napenda vile boaz uimba akimanisha God bless you

  • @josephnyamoga4747
    @josephnyamoga4747 2 роки тому

    Mbarikiwe sana kila nkiskiza napata utulivu was kiroho na napata kuzungumza na Jemedari wa vita anayenipa ruhusa na kibali cha kupigana vita...

  • @michaelmagnus3483
    @michaelmagnus3483 Рік тому

    Mungu akutunze mtumishi wa Mungu na kukutumia zaid katika kusud lake.😊

  • @dovekaloki
    @dovekaloki 5 місяців тому

    Indeed this is a powerful song
    God bless you minister Boaz

  • @patricianyawira9553
    @patricianyawira9553 2 роки тому +3

    Wimbo una Nguvu sana. Mungu awazidishie Neema yake. Twa waenzi sana hapa Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪.To God be the glory!

  • @ibrahimbaruch2743
    @ibrahimbaruch2743 2 роки тому

    Jemedari wa Vita. Nani aliye kama Yeye? Amina!

  • @joshuakamwela4095
    @joshuakamwela4095 2 роки тому

    MUNGU awabariki kwa huduma nzuri neema ya YESU KRISTO iendelee kuwabariki na kuwainua kihuduma .

  • @janenjoroge5018
    @janenjoroge5018 2 роки тому

    Jesus the mighty man of war,there is no other God but you.

  • @beatricemwasunda5027
    @beatricemwasunda5027 2 роки тому

    Huyu Mungu huyu,unayemtumikia braza,wanasema hana upendeleo ila kwako Naona umepata Kibali cha pekee,Basi huyu Mungu anayeinua watu,Azidi KukukuinuaBrazaZIDIkunyenyekeaBrazaNajifunzaKutokaKwako...barikiwa

    • @boazdanken
      @boazdanken  2 роки тому

      Utukufu na Heshima kwa Yesu please share kwa wengi ukiweza

  • @mwendwa_m
    @mwendwa_m 6 місяців тому

    Thank you, Jesus, for fighting against my enemies who were too strong for me.

  • @florahmwamghunda4402
    @florahmwamghunda4402 Рік тому

    Nakosa maneno ya kusema nikitafakari wema wa Mungu.amen

  • @annabar6603
    @annabar6603 2 роки тому

    JESUS JESUS JESUS KING LORD MIGHTY GOD AMEN

  • @emmyjoseph4154
    @emmyjoseph4154 Рік тому

    Amen 🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿

  • @gracejeremiah8836
    @gracejeremiah8836 4 місяці тому

    Amen thank you Lord for thebreakthrough

  • @rabsonlucas3245
    @rabsonlucas3245 2 роки тому

    ATUKUZWE YESU 🙏 mungu akubariki Kaka uzidi kumuwakilisha vema hapa duniani.

  • @neemasylvianeema8685
    @neemasylvianeema8685 2 роки тому

    Jina la Bwana libarikiwe...utukufu kwa Mungu ...baba ubarikiwe asantee kwa uzima kwa Gwamaka pia...

  • @oliviakwech
    @oliviakwech 2 роки тому

    Milima yayeyuka kwa sauti Yako tu🙌🙌🙌🙌🇰🇪

  • @dennisadala787
    @dennisadala787 8 місяців тому

    Milima yayeyuka Kwa sauti yako tu😭😭😭

  • @apphiaamani124
    @apphiaamani124 2 роки тому

    Mungu akubariki kakaangu.....ni furaha kuu na baraka kua na watumishi wa Mungu kama wewe! Mungu azidi kukupa neema, akufiche, akuinue zaidi. Mungu ainue wengi kama wewe mtumishi wa Mungu.

  • @godwinmongi5242
    @godwinmongi5242 2 роки тому

    Nampenda Yesu wangu..... Yeye ni Jemedari

  • @Betty__Sankale__Muzik
    @Betty__Sankale__Muzik 2 роки тому +19

    Nyimbo zako zanibariki kila siku❤️❤️ Barikiwa mtumishi wa Mungu wetu 🙌

  • @FrolahGabriel
    @FrolahGabriel 4 місяці тому

    Nimebalikiwa

  • @FavouredFaith
    @FavouredFaith Місяць тому

    mungu akubariki for sure you really bless our hearts