Aiseée nampenda sanaa huyu YESU,😢nampenda kupita iliyo sanaa ,wimbo huu niikisikiliza tu napata uwepo wa MUNGU usio wa kawaida mtunzi Mungu akutunze miaka mia100
@@boazdanken Nakupenda Sana kaka danken, YESU anakutumia, mm ni Mwinjilisti from kasulu kgoma, Nakukimbsha Uwaambie hao wadada na mke wako pia nywele bandia ni dhambi ,zmepeleka wamama watumishi wengi kuzimu, rangi mdomoni, kucha bandia , meshi, Rasta mawigi, please achen
Kilio changu ni kwa akina Dada , mahereni, nywele bandia , NI Mali za pepo Yezeberi, please wambie , maana ni kumkosoa uumbaji wa BWANA, Isaya 29:16, Fuatilia PROMOVER TV ushuhuda wa Esther, Recho na Rinda rika, utapata ujumbe kutoka kwa YESU
The time i listened this song i went silent for a while....just thinking the wonders of God!How might is our God!! "Jemedari wa vita" Milima yayeyuka kwa sauti yako tu"😮😮😮...Boaz danken stay blessed!
Hakika nimemwona MUNGU akifanya kazi na milima yote iki yeyuka katika familia yangu 😭😭😭 hakika unastahili sifa za moyo wangu eeh MUNGU uketie anzini 😭😭😭😭
Baba Boaz mimi muimbaji Israël ciza nikiwa inchini kongo kila Niki imba nyimbo zako n'a sikia ngufu zamungu ziki ni Jana naamini mungu wako ata nipa ujasiri ni WE muimbaji maarufu Sawa nyiye
Yesu ni jemedari wa vita siku zetu zote ashukuriwe Mungu akutumiaye kudhihirisha utukufu wake na ukuu wake. Utukufu wa Mungu uwe we siku zote mtumishi wake
Mtumishi wa MUngu Boaz Mungu wa Bwana wetu yesu Kristo akubariki sana nyimbo zako zinanibariki sana hata km nikiwa nimechoka ninapata nguvu mpya nainuka tena
My daughter is going thru a very rough patch right now shes only 22 years old. I listern to this song n feel the holly spirit lifting me up so that I have strength to lift her up! 😭😭😭 may the good Lord open up a better path for her!
I call upon the God of heaven, the creator of heaven and earth to come through for your daughter.... He is the great physician..God will heal her in Jesus Mighty Name.. Amen!
@@boazdankenMungu akubariki sana Baba kwani tunaendelea kabarikiwa na kuponywa na nyimbo zako hata hii 2024 Atukuzwe Yesu kwa kuondoa kila mlima maisha mwetu mwaka huu UKAWE WA BARAKA TELE kwetu 2024🙏❤️
God gave me this song when i needed it "Milima yatayeyuka kwa sauti yako juu,maana wewe ni Jemedari wa vita, hakuna kama wewe Mungu", na neno lako litimizwe
Mwaimba vema kwa utukufu wa Mungu,wasaidieni na kuwaonya walionyoa denge /panki,walioweka mawigi/nywele bandia vichwani mwao,mambo hayo ni machukizo kwa Bwana,na pia wasilinajisi kundi la Bwana.kama hawajaokoka wasaidieni wamjue Mungu wa kweli. Maana Mungu yule ni mwenye wivu .
Balikiwa Sana mtumishi kwa wimbo mkuu mno kwa sauti nzuri kbisa Toka kwako iliyowekwa na mungu kwa makusud maalum,mungu azidi kuwatumia kwa utukufu wake.
Huu wimbo umefanyika kuwa siraha yangu ya kuvuka na kushinda vita. MUNGU akubariki sana Kaka Boazi endelea kunyenyekea tafadhali chin ya mkono wa Bwana wetu aliye hai ili azidi kukukweza na kukuinua mwenyewe
Nami natamani sana kuwepo kwenye ibada kama hii lakini sipati taarifa siku nyingine natamani niwepo,kwakweli anaestahili kuabudiwa ni Kristo tuu mbarikiwe sana
Mungu akuzidishie unyenyekevu ili uduma yako ikuwe zaidi, usitafute kuonekana kama waimbaji wengine acha Mungu wako aonekane Kwa watu, Mungu atakuzidisha.
Wewe ni Jemedari wa Vita,umetukuka Bwana Kila pembe,dunia yote na inyamaze kimya mbele zako...Adonai Mungu mwenye Enzi ni wewe Bwana,Milima yayeyuka mbele zako kwa sauti yako.....ooooh hallelujah hallelujah
As i was driving this morning we were listening to JEMEDARI WA VITA with my wife. The power of God fell upon her and she started speaking in other tongues. May God continue to give more revelation for future songs as you reach so many souls through singing. Continue Staying humble and blessed.
Jesus Christ you're really "JEMEDARI WA VITA" Lord the battles you have fought for me ,I personally couldn't fight for myself,I honor and exalt your Holy name,Yeshua, Messiah,you deserve the sweet names ever.Thank you Jesus,bless Tanzania,Kenya , Africa and world at large.@Boaz Duncan,may God keep you to continue blessing generations.AMEN🙏
Huyu Mungu huyu,unayemtumikia braza,wanasema hana upendeleo ila kwako Naona umepata Kibali cha pekee,Basi huyu Mungu anayeinua watu,Azidi KukukuinuaBrazaZIDIkunyenyekeaBrazaNajifunzaKutokaKwako...barikiwa
Mungu akubariki kakaangu.....ni furaha kuu na baraka kua na watumishi wa Mungu kama wewe! Mungu azidi kukupa neema, akufiche, akuinue zaidi. Mungu ainue wengi kama wewe mtumishi wa Mungu.
Aiseée nampenda sanaa huyu YESU,😢nampenda kupita iliyo sanaa ,wimbo huu niikisikiliza tu napata uwepo wa MUNGU usio wa kawaida mtunzi Mungu akutunze miaka mia100
Mungu akubariki Sana mtumishi wa Mungu, kazi kubwa yenye Baraka sana ndani ya mioyo yetu
Asante sana kaka Utukufu na heshima kwa Yesu
@@boazdanken Nakupenda Sana kaka danken, YESU anakutumia, mm ni Mwinjilisti from kasulu kgoma, Nakukimbsha Uwaambie hao wadada na mke wako pia nywele bandia ni dhambi ,zmepeleka wamama watumishi wengi kuzimu, rangi mdomoni, kucha bandia , meshi, Rasta mawigi, please achen
Kilio changu ni kwa akina Dada , mahereni, nywele bandia , NI Mali za pepo Yezeberi, please wambie , maana ni kumkosoa uumbaji wa BWANA, Isaya 29:16, Fuatilia PROMOVER TV ushuhuda wa Esther, Recho na Rinda rika, utapata ujumbe kutoka kwa YESU
Barikiwa Sana mtumishi wa Mungu Umeniibariki sana... Naskia kunyenyekea ninaposkia wimbo huu ubarikiwe sana
@@lukapastory lijue neno uwe huru☺️
Glory and Honor to Jesus please if your Blessed this ministry kindly subscribe our channel
Mungu watunze waimbaj wasikengeuke wawe na mwisho mwema
The time i listened this song i went silent for a while....just thinking the wonders of God!How might is our God!! "Jemedari wa vita" Milima yayeyuka kwa sauti yako tu"😮😮😮...Boaz danken stay blessed!
Hakuna mlima waeza stahimili sauti yako.l'm really blessed by this from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Utukufu na heshima kwa Yesu
Yesu ndiye jemedari wa vita..
Vidonda vya tumbo vinavyonisumbua vinayeyuka mbele zako BWANA,madeni yote yayeyuka mbele zako BWANA.UTUKUKUZWE MILELE 🙏,AMEN
Hope viliisha kwa Jina la Yesu.
Hakika nimemwona MUNGU akifanya kazi na milima yote iki yeyuka katika familia yangu 😭😭😭 hakika unastahili sifa za moyo wangu eeh MUNGU uketie anzini 😭😭😭😭
Baba Boaz mimi muimbaji Israël ciza nikiwa inchini kongo kila Niki imba nyimbo zako n'a sikia ngufu zamungu ziki ni Jana naamini mungu wako ata nipa ujasiri ni WE muimbaji maarufu Sawa nyiye
HAKIKA HII NI SAA YA WAABUDIO HALISI KWA KUMEABUDU YEYE AMBAYE MILIMA INAYEYUKA KWA SAUTI YAKE TU.........
POWERFUL 🔥🔥🔥
GOD BLESS YOU MAN OF GOD
Yesu ni jemedari wa vita siku zetu zote ashukuriwe Mungu akutumiaye kudhihirisha utukufu wake na ukuu wake. Utukufu wa Mungu uwe we siku zote mtumishi wake
Naenda kupata hii kazi kwa jina la Yesu
Jemedari wa vita zangu zote.
Nitarudi kushuhudia kwa jina la Yesu
I got it kwa hakika.
Mungu amenishindia Mengi. Leo 31.12.2022 ninamshukuru haikuwa rahisi@2022
Jemedari wa Vita🎉
Hallelujah 🙌
He will also give me A Job
And I will come to testify like you have
Mtumishi wa MUngu Boaz Mungu wa Bwana wetu yesu Kristo akubariki sana nyimbo zako zinanibariki sana hata km nikiwa nimechoka ninapata nguvu mpya nainuka tena
🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌ninani kama yesu🤔🤔🤔🤔🤔 fight all my battles oh lord
Hakika hakuna kama wew Jemedali wa vita milima yayeyuka
My daughter is going thru a very rough patch right now shes only 22 years old. I listern to this song n feel the holly spirit lifting me up so that I have strength to lift her up! 😭😭😭 may the good Lord open up a better path for her!
Ameeeeeen🙏
I call upon the God of heaven, the creator of heaven and earth to come through for your daughter.... He is the great physician..God will heal her in Jesus Mighty Name.. Amen!
JUSUS IS GOING TO DOMIT TRUST HIM TU...MAY HE DO MORE THAN U EXPECT
Amen.neema iwatoshee.keep the faith
May God come through for you
Mighty Man of War
Jemedari wa Vita hakuna kama wewe🙌🙌🙌🙌
Mlima wa kutojenga uyeyuke kwa jina la Yesu, na mmi nikajenge , nipate kibali Cha kumiliki nyumba nisingoje Tena Hallelujah
❤ may God continue lifting you higher for his Grace
Amen.
This song now 😊 you are holy Jesus Jesus ❤❤❤❤ Jesus to the end,who is happy to know Jesus 🥰🥰😍
Huyu Yesu hatokuja tokea mwingine kama yeye I'm speechless of him
I LOVE YOU JESUS ❣️
Amen utukufu na heshima kwa Yesu Kristo please share kwa wengi ukiweza
@@boazdankenMungu akubariki sana Baba kwani tunaendelea kabarikiwa na kuponywa na nyimbo zako hata hii 2024 Atukuzwe Yesu kwa kuondoa kila mlima maisha mwetu mwaka huu UKAWE WA BARAKA TELE kwetu 2024🙏❤️
Yes . Ni Jemedali wa vita nauona Mkono wa Bwana
Milima yayeyuka kwa Sauti Yako tu.
God gave me this song when i needed it
"Milima yatayeyuka kwa sauti yako juu,maana wewe ni Jemedari wa vita, hakuna kama wewe Mungu", na neno lako litimizwe
Neema ya Mungu iwe nyanyi watumishi Kwa kazi nzuri katika ufalume wa mbingu
Mwaimba vema kwa utukufu wa Mungu,wasaidieni na kuwaonya walionyoa denge /panki,walioweka mawigi/nywele bandia vichwani mwao,mambo hayo ni machukizo kwa Bwana,na pia wasilinajisi kundi la Bwana.kama hawajaokoka wasaidieni wamjue Mungu wa kweli. Maana Mungu yule ni mwenye wivu .
Milima ya ukosefu wa kazi iyeyuke leo hii🙏🙏 milima ya kukataliwa na wachumba, wanaokutumia na kukuacha iyeyuke leo🙏🙏
Huwa unanifanya moyo wangu kujiskia kuomba na kuabudu kila naposikiliza nyimbo zako.ubarikiwe saana mtumishi
Nyimbo zako zaubariki Saba moyo wangu ubarikiwee Zaid naMungu aendlee kukuinua ktk utumishi huo 🙏
Amen Jemedari wa vita yeyusha milima yote inayozunguka nchi yangu Kenya sasa hivi kwa kina la Yesu.
Yuko jemedari wa vita...,Kila milima iliyo mbele yangu yayayuka kwa jina Takatifu la Yesu Kristo...... Amen 🙏🙏🙏
Such amazing blessing song.utukufu apewe Yesu Kristo ❤
Mungu akufikishe mbali mtumishi kwa huduma hii
Jemedari wa vita hakuna kama wewe milima ya yeyuka kwa sauti😭😭😭
My God bless you aman of God keep on saving God
Am watching from kenya and am so much blessed
Jemedari wa vita.......pigania dada yangu na mama yangu,: acha wakuone ewe Jehovah Rapha kwa maisha yao. Amen
Aliyemfufua Lazaro kaburin siku 4
EEE Mungu naomba afya yangu ifunikwe kwa damu yako
I bow down for fearful before the LORD!
This is anointing , always my heart is melting when i sing this song ❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Huu wimbo niliuimba sikumoja usiku mzima hakika kuna mlima uliyeyeka ,huwa nautumia sana kuniweka uweponi
Mungu akubariki sana Fanya kazi ya Mungu kwa kuisikia sauti ya Mungu binafs kuna sauti zingine zipo kwa ajili ya kunyamanzisha huduma
Wimbo huu unazidi kua mpya kila siku maishani mwangu kama bd tunausikiliza 2024 tuzidi kutiana moyo
Balikiwa Sana mtumishi kwa wimbo mkuu mno kwa sauti nzuri kbisa Toka kwako iliyowekwa na mungu kwa makusud maalum,mungu azidi kuwatumia kwa utukufu wake.
Mungu awabariki sana ninapo msikiliza baba boazi na kaka gwamaka na Dr ipyana yani ninajazwa nguvu na kubarikiwa sana
This is a blessed breakthrough song
Kilimanjaro yote maishani mwangu yayeyuka kwa Jina la Yesu
Natamani unyenyekevu ulionao Kwa Mungu natamani nami niwe munyenyekevu
Huu wimbo umefanyika kuwa siraha yangu ya kuvuka na kushinda vita. MUNGU akubariki sana Kaka Boazi endelea kunyenyekea tafadhali chin ya mkono wa Bwana wetu aliye hai ili azidi kukukweza na kukuinua mwenyewe
God is real 🙏🙌🙌Jemedari wa vita,amenipigania mahali kwingi ,siku zote nashukuru from Mombasa Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Powerful combination 💪.....love of God kutoka hapa Kenya 🇰🇪 hallelujah 🙌
Nami natamani sana kuwepo kwenye ibada kama hii lakini sipati taarifa siku nyingine natamani niwepo,kwakweli anaestahili kuabudiwa ni Kristo tuu mbarikiwe sana
Jemedaribwa vita vyangu hakuna kama wewe nipiganie maishani baba 😢😢
Might man of war I worship you🙌🙌🙌🙌
Milima ya yeyuka kwa sauti yako tuu
😭😭😭 ni jambo gani gumu kwako? Yupo jemederi wa vita
Mungu akuzidishie unyenyekevu ili uduma yako ikuwe zaidi, usitafute kuonekana kama waimbaji wengine acha Mungu wako aonekane Kwa watu, Mungu atakuzidisha.
Amen San naamin hakuna mlima utakao baki umesimama ktk maishaa yangu napokea kwa jina la YESU👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
Kwa hakika ni Jemedari wa vita 🙏🙏
Hii imeugusa moyo wangu sana
Jemedari wa vita hakuna kama wewe ......milima yayeyuka kwa sauti yako tu🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🧎♀️🧎♀️🧎♀️🧎♀️
Mungu akupe mafunuo makubwa sana aongezeke yeye wewe upungue mataifa wapone kupitia ujumbe huu
Mimi wakwanza wimbo uhu ume ni fungua Mungu wa mbinguni akuongaze zaidi na zaidi
😭😭😭😭😭😭
Jemedar wa vita hakuna kama wewe na Jehovah ndilo jina lako🔥
Jemedari wa vita,niyeyushie milima ya madeni,maangaiko,kukosa kazi usiku wa leo Amen
Hawa watu wawili ni zawadi ya Mungu kwetu..nambariki Mungu kwa ajili ya hawa watu..wabeba uwepo wa Mungu..
Mbarikiwe sana watumishi wa Mungu!
September 29,2024❤
Mungu aendeleye kukuinuwa mtu wa Mungu aliye haiii❤️❤️❤️❤️💥💥💪
Wewe ni Jemedari wa Vita,umetukuka Bwana Kila pembe,dunia yote na inyamaze kimya mbele zako...Adonai Mungu mwenye Enzi ni wewe Bwana,Milima yayeyuka mbele zako kwa sauti yako.....ooooh hallelujah hallelujah
the first day nasikia iih nyimbo nilipata nguvu ya kuomba ya ajabu san🙏🏻🙏🏻 Mungu ni mwema asante sana
Mungu aendelee kukutunza mtumishi
Asante sana Kwa Huu wimbo,Uko sawa kabisa,,alafu nina ombi la ngoma ya Chackacha 🙏🙏
As i was driving this morning we were listening to JEMEDARI WA VITA with my wife. The power of God fell upon her and she started speaking in other tongues. May God continue to give more revelation for future songs as you reach so many souls through singing. Continue Staying
humble and blessed.
Congratulation ! thats a testimony of Humble Heart ! Praise the living GOD !📯 YESU ! 📯
e
Eeh Mungu kasababishe milima iliyo maishani mwangu kuyeyuka sasa hivi.
May evey kind of sickness melt in my father's body
Barikiwa sana Mtumishi nyimbo zako zinabariki
Ainuliwe yesu zaidi ndani ya nchi yetu
Wow🔥🔥🔥Milima kwa Kwelii Mtumishi Ya Yeyuka katika Jina la Yesu.
Magonjwa si Sehemu yetu (Isaiah 33:24),Madeni yotee Yameyeyuka.
Asante Tanzania kwa umbali. Ni kweli Mungu wetu anajibu..iwas waiting for this.God bless you all and take you another level 🙏 🙌
Utukufu na heshima kwa Yesu Kristo
Jesus Christ you're really "JEMEDARI WA VITA" Lord the battles you have fought for me ,I personally couldn't fight for myself,I honor and exalt your Holy name,Yeshua, Messiah,you deserve the sweet names ever.Thank you Jesus,bless Tanzania,Kenya , Africa and world at large.@Boaz Duncan,may God keep you to continue blessing generations.AMEN🙏
Jemedari wa vita
Wacha Mungu azidii kuinuwa man of God u bless me with all
Ur song so powerful man of God
@@boazdanken❤❤
My brother Boaz, Mungu na azidishe neema aliyoweka kwako.. you are a blessing of our generation 🙏🏾🙏🏾
Glory and Honor to Jesus please share to many ukiweza
Napenda vile boaz uimba akimanisha God bless you
Mbarikiwe sana kila nkiskiza napata utulivu was kiroho na napata kuzungumza na Jemedari wa vita anayenipa ruhusa na kibali cha kupigana vita...
Mungu akutunze mtumishi wa Mungu na kukutumia zaid katika kusud lake.😊
Indeed this is a powerful song
God bless you minister Boaz
Wimbo una Nguvu sana. Mungu awazidishie Neema yake. Twa waenzi sana hapa Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪.To God be the glory!
Jemedari wa Vita. Nani aliye kama Yeye? Amina!
MUNGU awabariki kwa huduma nzuri neema ya YESU KRISTO iendelee kuwabariki na kuwainua kihuduma .
Jesus the mighty man of war,there is no other God but you.
Huyu Mungu huyu,unayemtumikia braza,wanasema hana upendeleo ila kwako Naona umepata Kibali cha pekee,Basi huyu Mungu anayeinua watu,Azidi KukukuinuaBrazaZIDIkunyenyekeaBrazaNajifunzaKutokaKwako...barikiwa
Utukufu na Heshima kwa Yesu please share kwa wengi ukiweza
Thank you, Jesus, for fighting against my enemies who were too strong for me.
Nakosa maneno ya kusema nikitafakari wema wa Mungu.amen
JESUS JESUS JESUS KING LORD MIGHTY GOD AMEN
Amen 🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿
Amen thank you Lord for thebreakthrough
ATUKUZWE YESU 🙏 mungu akubariki Kaka uzidi kumuwakilisha vema hapa duniani.
Jina la Bwana libarikiwe...utukufu kwa Mungu ...baba ubarikiwe asantee kwa uzima kwa Gwamaka pia...
Milima yayeyuka kwa sauti Yako tu🙌🙌🙌🙌🇰🇪
Milima yayeyuka Kwa sauti yako tu😭😭😭
Mungu akubariki kakaangu.....ni furaha kuu na baraka kua na watumishi wa Mungu kama wewe! Mungu azidi kukupa neema, akufiche, akuinue zaidi. Mungu ainue wengi kama wewe mtumishi wa Mungu.
Nampenda Yesu wangu..... Yeye ni Jemedari
Nyimbo zako zanibariki kila siku❤️❤️ Barikiwa mtumishi wa Mungu wetu 🙌
Kwakweli
Nimebalikiwa
mungu akubariki for sure you really bless our hearts