Boaz Danken - Wanadamu wote wameshindwa (official video)
Вставка
- Опубліковано 13 чер 2022
- Karibu Sana Kumtukuza YESU pamoja nasi MUNGU Pamoja nasi
WANADAMU WOTE WAMESHINDWA WEWE YESU UNAWEZA means All Humankind has failed Only You JESUS Your Able
MUNGU awabaliki Sana Watu wote waliosimama kwa Sadaka zao kufanikisha Maandalizi ya Ibada Hii Kila sehemu Mungu akiwahudumia watu kupitia Wimbo Huu; Baraka nyingi ziwafikie wote waliomuandalia Bwana kwa Sadaka ya Muda, Fedha na Maombi.
Wanadamu wote wameshidwa Recorded at Rock City Mall parking Area, Mwanza, TANZANIA.
Music Arranged & Directed by Apostle Sephone Sospeter
Vocal Arranged by Sir Jimmy Kimutuo
First keys: Sephone Sospeter
Second keys: Samwel Sospeter
Third Keys: John Ntete
Fourth keys: Augustino Batista
Drums: Baraka Ngowi
Percussion: Pastor David Silwimba
Bass guitar: Aman Victor
Lead guitar 1: Haggai Makuzo
Lead guitar 2: Erick Chitungo
Saxophone: Dickson Maige
Back Vocals From BMCC PRAISE TEAM
Event Coordinated by Kelvin Mbeveta
Translated to English by Mr&Mrs Pst.James Kalekwa
*Audio Captured and Mastered by Chosen Records Int’l #SamMboya
*Video Captured and Mastered by Cyber Pic #Sylvester
*Sound By #SoundSolution Moses Edard
*Sound Engineer: Gad Mwanga
*LED screen: Elly Jo
*Lights By Nyakalo Stage and Lighting Com. #DavidSengati
Wewe ni Mungu wa wote wenye mwili🙌🙌🙌 umebarikiwa kaka yangu🙌🙌
Utukufu na Heshima Kwa YESU Asante Rehema
Ubalikiwe nawewe dada angu
👏👏👏mungu azid muongeza zaidi na zaidi
@@calvinmsemwa8961 ❤❤❤p
❤
Hakika YESU kristo 🙏🔥 anawatu anao watumia Sana kwenye kazi yake hongera Sana mtumishi balikiwa kwaujumbe mzuli Sana mm nimebalikiw ata mm niseme nn ww endelea kunyenyekea tu nakupenda Sana
Nilichopenda zaidi ni mavazi ya wadada wa pale nyuma yake BOAZ WEWE NI MTUMISH KABISA WA PEKEE!!♥️♥️♥️
🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Kenya loves you and we thank God for you are a gift to this generation continue downloading melodies from realms of Zion, I really love the chorus of the song
Glory and Honor to Jesus Asante sana
Wewe nimeona tu notification nikajua another boom 💥 imefika asante mtumishi wa Mungu Boaz unajua kutufurahisha na kutubariki mob love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙋♀️🙋♀️🙋♀️wakenya wezangu lets show love 💘...
Nguvu iliyopo ndani ya wimbo......🔥🔥🔥🔥🔥....it's not about the melody au vocals. The msg aiseeee.......🔥🔥🔥🔥. Boaz is the best in this generation for God's glory......🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Glory and Honor to Jesus please if your Blessed this ministry kindly subscribe our channel
Amen 🙏 🙏 🙏 wewe ni mungu, kwa wote wenye mwili hakuna jambo usiloliwezaaaaa
Ameen ubarikiwe mwana wa MUNGU, kwa huduma njema.
Amina, Mungu akubariki mutumishi , kweli wanadamu wote wameshindwa,wewe Yesu unaweza, nilikuwa tasa, Bwana Yesu akanipa watoto, Yesu ni Mungu wa ajabu ! ♥️♥️♥️♥️♥️🎉🎊🎊🎼🎼🎼🎹🎹🎹🎻🎻🎻🎻🎻🎼🎼🎼😍😍😍😍😍🇩🇰🇩🇰🇩🇰
Mama ubarikiwe sana Kwa kuandika hivi tu ushuhuda huu nami nimepona
Utukufu na Heshima Kwa YESU Asante sana
@@zacharialeonard1094 , Amina, upokee uponyaji wako katika jina la Bwana Yesu !
@@boazdanken , Amen, Bwana Yesu asifiwe
@@boazdanken mtumishi wa mungu,MUNGU Awe naweeee katika kilaa jamboo
Wewe Yesu unaweza
Wewe ni MUNGU wa WOTE wenye mwili..hakuna jambo usiloliweza💪💪💪💪💪💪
Hakika HAKUNA JAMBO usiloliweza wewe NI MUNGU WA wote wenye mwili.😭🙌🙌🙌🙌 Stay blessed
Hallelujah!!!..wanadamu wote wameshindwa kuyafanya yale Mungu awezaye. Mungu wetu ni Mungu mkuu, zaidi ya yote..yeye ni Mungu.
Baraka tele Bro. Boaz
wameshindwa
Yesu unaweza yote... Amen
Uiiiii tushashika the melody and the message is above words.....NOTHING IS IMPOSSIBLE WITH GOD...ata wazazi wameshindwa But wakiomba🎊🎊🎊🎉🎊🎉🎊🎈🎊✨🎊✨🎊✨🎊✨ANAWEZA
Kweli kabisaaa 💯💯
Hivyo basi tuseme nini,ila kumshukuru mungu kwa kazi nzuri hii. ubarikiwe Boaz.🇰🇪🇰🇪. Ni Mungu wa wote wenye mwili.
Wewe YESU unaweza🥰🥰 wewe ni MUNGU Wa wote wenye mwili hakuna jambo usilokiweza🙏🙏
Wewe Yesuuuuu unawezaa.. wanadamu wote wameshindwa wewe Yesu unawezaa 🎶🎶🎶 Kwa Mungu yoote yanawezekana..
Hakika ni wimbo wa kinabii na Mungu azidi kukubariki Boaz(Imo Nguvu ya Mungu ndani yako) na team yako
Ila huu wimbo🙌🙌🙌 Asante Yesu kwa kuweza yote😊
wewe Yesu unaweza.....Hallelujah
dunia mzima imeshinwa wewe Yesu unaweza🙏🙏🙏
Can't get enough of it...uweponi mwa Bwana kuna raha ya kipekee
Wa kwanza kubarikiwa na huu wimbo 🙏🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
So blessing song😇😇mungu na akubariki mtumishi wa mungu🙌🙌
Wewe ni Mungu wa wote wenye Mwili,,,,,,oooo haleluya Haleluya Nguvu za Mungu zinashuka zinatuhudumia
Yesu ni Mzur mnooo mungu akubariki sana yesu unaweza
Unaweza Yesu hakuna ngumu kwako,ukiamini tu kwako yote yanawezekana
Aaah this song is a blessing
Let every other man be defeated but not our Jesus
Powerful 🔥🔥💯💯
Glory and Honor to Jesus
Ameen,wewe ni Mungu hakuna usiloliweza🙏
Can't stop listening to this song. Nimepata wimbo wa Kumaliza 2022. Wow
Wewe ni Mungu wa wote wenye mwili hakuna jambo usiloliweza Mungu wa mbingun akuinue zaid
Wewe ni mungu mwaka 2024
Kwa kweli, YESU Unaweza wewe ni MUNGU, ni BWANA na tena ni BABA yetu MKUU kupita yote!
ubarkiwe sana mtumishi... kupitia wewe mataifa wanamjua MUNGU acha YESU ajitwalie utukufu kupitia wewe... GLORY ALL TO GOD
Hongelasana mtumishi MUNGU akubaliki sana 😢
Aminaaa wewe Mungu wa wote wenye mwili hakuna jambo usiloliweza
Jamani this Song has come with my miracle...huu ni wimbo wa moyo wangu jmn umekuja kwa wakati kabisa...
Barikiwa Mtumishi wa Mungu...May God lift u higher in Jesus name.
Wanadamu wameshindwa kabisaaaaaaa
you are blessing to this generation, may God preserve you
Glory and Honor to Jesus Asante sana kwa Maombi Mtu wa MUNGU
Mungu akupe miaka mingi
Hongera sana kaka yangu Boazi..Hakika YEYE ni Mungu kwa wote wenye mwili na hakuna asiloliweza.
This is magnificently awesome...Kenya loves Boaz😘😘
Amen Glory and Honor to Jesus Asante sana
Sijachelewa nataka wimbo mtamu wa kwanza kubarikiwa
Watching from 🇰🇪 Kenya
Barikiwa Boaz
Halleluya,, uyu jamaa anajua
Whenever you utter some words in worship and praise unto YAHSHUA THE MESSIAH, I hear the boldness that comes from the scriptures declaring the greatness of Jehovah... it is heaven on earth... Apostle Lesley from South Africa, Pretoria.
Utukufu kwa Mungu wimbo huu umefanyika baraka sana kwangu
Glory and Honor to Jesus Asante sana
Wewe ni Mungu..hakuna jambo usiloliweza
Amina
Awesome song
God is able
Brother you are precious icon to our generation
Wewe yesu unawezaaa, wanadam wote wameshindwaa, wewe ni MUNGU wa wa wote
Tulio wategea wote wameshindwaaa🙌🙌nani kama wewe YESU
Hakika MUNGU ni mweza wa yote sifa Zina yeye daima ,MUNGU na akutunze uendele kutunyunyuzia mafuta kupitia wew boaz
Sure bro no one like mighty JESUS.wanadam wameshindwa
Wewe ni Mungu wa wote wenye mwili, hakuna jambo usiloliweza🙌🏽🙌🏽 what a powerful reminder of His word! Even better when dancing to that victory! Powerful stuff Mtumishi wa Yesu! More grace!
Utukufu na Heshima Kwa YESU Asante sana
@@boazdanken nice song with Gods anointing....
Wewe ni mungu hakuna Jambo usilo leweza
Kweli Mungu anaweza haleluya
Wewe ni Mungu wa wote wenye mwili hakuna jambo usiloliweza haleluyaaa.
Leo mtumishi umeamua seben barikiwa
Amina kubwa sana,,, halleluhya,,,,,,Wewe ni Mungu,,,,kwa wote wenye mwili
Hakika huu wimbo nimeusikia Leo sokon hd nimeomba jina l wimbo hakika ubarikiwe mtumishi wa Mungu Boaz 🙏
Hakika wewe niMungu juuyamaisha yangu you so good our God
Hakika Mungu ni mkuu anaweza kila kitu...Dah sijui niseme nini nielezee ukui wako Mungu ...
Nakupenda sana
Ghaiii 💃💃💃 MUNGU akubariki Mtumishi hunaga show mbovu 💃
Hakuna kitu wanadamu wanaweza shinda lakini Mungu ashindwa 🇰🇪💃💃
Wooow Wewe Ni mungu ,hakuna Jambo husiloliweza👏👏👏
brother upo vizur salut
I love the anointing in your songs man of God barikiwa sana 🙏
More love from Kenya 🇰🇪
Hakuna Jambo usiloliweza. Hallelujah utukufu na sifa upewe Mungu.
Umenibariki sana!!! nyimbo zako baraka kwangu!! Mr. Boaz. Sadaka yangu ya mwisho wa mwezi ningependa kupea huduma hii, kwa vilewsakati nilikuwa sina kazi, nyimbo zako zilinipa amani, zilinipa furaha yanii sijui niseme nini, na sasa Mungu amenibariki na kazi,mwezi huu naskia ndani tangu Mungu akisema nibariki huduma hii na matoleo yangu. Asante sana!! na bado nauliza mwanangu wa miaka 20 ako na kipawa cha Drums na kwa sasa ako kwenye bendi za University aliko Kenyata University,naomba kama anaweza kuwa jukwa moja na wewe, akue mentored, anaoenda Mungu sana na nina hakika future yake iko bright kweli. Tafadhali niambie anavyo weza kukufikia, kwa vile alishakuwa kanisa moja na wewe ulivyo kuja Kenya lakini sidhani aliweza kujisema. Asante sana! tafadhali niambie ninavyoweza kutuma sadaka yangu.
Mungu akutangulie ❤❤
Halleluyah
Wimbo ni mzuri na wenye ujumbe mzuri
Mungu anaendea kuinuliwa kupitia utumishi wa kaka Boaz Danken
Mungu azidi kukubariki mpedwa katita christo.karama yako MUNGU ainuwe juuu zahidi
Wewe Yesu unaweza hakuna jambo usiloweza🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Amen
Oooh haleluyaa..Wanadamu wote wameshindwa lakini wewe Yesu unaweza.
I can't stop rejoicing in The Lord of my salvation
Kaka Danken nakupendauna kazi njema mno mshikilie wingu hili lilikua South Afrika leo Duniani 🇹🇿 tanzania imeonekana kimsingi hali bado ni njema ila msikosee yafuatayo:-
1.kwenye mavazi na mitindo ya Dunia hii
2.Mziki wetu muupate kwenye maombi
3.msifanye kama kwa wadamu bali kama kwa Bwana
Amen,hakuna jambo usiloliweza Yesu
Nabarikiwa for this song....glory to god😘😘
What a bless..😍Boaz your a bless to us...God uses you in a perfect manner....Oooooh Hallejah ..Your blessed🙏
Wewe Nii Mungu wawote Wenye mwili wote wameshinda wewe unaweza barikiwa mtumishi
Can't get enough of this song. Since I first heard it when you did it with Your Family, I've loved it ever since. God bless you Boaz Danken
Utukufu wote kwa Mungu,huku wimbo wanibariki kweli kweli
Boaz Danken. .. you are a voice of God in East Africa.... God bless you
Amen wimbo huu unanibariki sana nikiusikiliza boazi ubarikiwe sana kwa huu wimbo
you are able God
Glory to God
Ukiwa na YESU raha sana mungu akubariku kwa huduma nzur 🥰💕💕💯
Nimeurudia huu wimbo zaidi ya mara ngapi sijui!!
Wow!wewe yesu unaweza!🔥🔥💪🙏🙏
Hallelujah Yesu anaweza 🙌🙌🙌 ubarikiwe mtumishi
Utukufu na Heshima Kwa YESU Asante sana please share kwa Wengi ukiweza
Wew ni mungu wa wote wenye mwili
Hakika Yeye ni MUNGU Kweli, anayaweza mambo yote hakuna limshindalo Kabisa.
Nimeusikiza huu wimbo for more than ten times I was totally down but God thank you Boaz danken for ministering to me through this song
Wewe ni Mungu wa wote wa wenye mwili...
Dnace for the Lord men and Women of God! Nothing is impossible to him indeed😍
Yes!! Wewe Bwana Yesu unaweza. Powerful song 💪💪.
Asante sana Baba Utukufu na Heshima Kwa YESU
Receive the love from limuru, Kenya.Your songs are always a blessing to me
Glory and Honor to Jesus Asante sana Mtu wa MUNGU
Hakikaa wanadamu wameshindwa ubarikiwe kwa kuendelea kumtukuza. Huyu Yesu ooooh hallelujah 🙏
Wadamu wote wameshindwa wew YESU unaweza asante YESU