mimi naeza washauri costal kimataifa waakikishe matampi na lawi wasiwauze na juma Shaban kama anakuja kweli atawasaidia ila nimeona game ya Leo wamecheza vby kisa awana first eleven Yao Ile ya msimu uliopita
Miraji waambie viongozi wa Simba kwamba yanga Wana mbinu kubwa 5 za kuiharibia zimetumika muda wote Toka waanze kuchukua ubingwa wa miaka 3 mfululizo, Sasa Simba kama watazing'amua Basi yanga hawana lolote.
Kwani crown ya king kiba haimuoni chagamba na miraji siwaende wapige pindi laopale liwe pindi Lao pendwa ? King anafeliwapi . Anakazana kuokota okta waliotumika huko
×1 ukweli simba Hadi Sasa hivi usajili tumeridhika nao ila mm binafsi natamani Elie mpanzu aje unyamani naamini kocha atakuwa na machaguo mengi vipi Kwa upande wako
Miraji Uwaga Akwepesh Yey Uwaga Ni Kutem Fact Tu🔥🔥
Hujawahi kufeli miraji mzeee wa minyoosho❤❤❤
Yani miraji bana et hakuna noma 😅😅😅😅😅😅😅😅😅🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Miraji chukuwa maua yako🎉🎉🎉🎉🎉 wewe ni mtu na nusu 💪🏾
Wa pili like kwa miraji mara moja
Oyaa hivi mwamba anajuaga jinsi anavyonikumbusha ngoma Kali zazamani kutoka kama kawa record
Miraji Eeee, tarehe 8 tunawapiga hao utopolo niamini 🎉🎉
Nakuelewa sana miraji,ila me niko pale nimetuliaaaa!!! Krismasi haifiki kuna mtu atatolewa kafara pale msimbazi. Yani ni kama msimu uliopita.
mamaeee kama naonaaq
nakuerewa sana miraji tuko pamoja familia
big up sana.
Nimefanya sana kubadirisha radio dah
Milaji ❤
Simba nguvu moja 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
hadi Dk 21:59 chagamba hajala makofi ya bega !
mimi naeza washauri costal kimataifa waakikishe matampi na lawi wasiwauze na juma Shaban kama anakuja kweli atawasaidia ila nimeona game ya Leo wamecheza vby kisa awana first eleven Yao Ile ya msimu uliopita
Miraji uko vzur cna unajua mpran kinoma
marahii wkipita nyum tunapita hukohuko hakuingia vyumbani hatuingii mpaka kidleweke
miraj nakubal sana bro coz unaongeaga fact bla kujal ushabk Yan unaweza kaka ungelkua kwenye media ingependeza sana
Chama Baba❤😂
Kak unalijua sana ball yan ungekua kwenye midia da tungekua tunafurah sana
Mara mmoja kama NOMA NA IWE😂😂😂😂
Ndugu miraji unahabari gani kuhusu mpazu
Miraji vs chagamba nguvu moja unyaman
Miraji is a world class PUNDIT 👏
Toka nikufatirie Yani ongera sana
Miraji wewe nimwamba na kukubali jembe ila wambie viongozi wawalinde wachezaji wetu pia Dua isomwe kwajili ya wasaliti plz plz
😂
Hiyo Dua una timu??
Chagamba jeziza Simba zikitokitoka nambieni
WATU WA MPIRA! HATARI SANA:
Miraji waambie viongozi wa Simba kwamba yanga Wana mbinu kubwa 5 za kuiharibia zimetumika muda wote Toka waanze kuchukua ubingwa wa miaka 3 mfululizo, Sasa Simba kama watazing'amua Basi yanga hawana lolote.
Watu wamaana kabsa hawa
Huna baya
Kwani crown ya king kiba haimuoni chagamba na miraji siwaende wapige pindi laopale liwe pindi Lao pendwa ? King anafeliwapi . Anakazana kuokota okta waliotumika huko
fact bro
Tatizo ushabiki mtu wa simba akiongea ukweli au akiwasema viongozi wake mnafurahi nyie mbona hamsemi yenu
Crip zenu ni nzuri ila nashauri muwe mnaweka fupi
Kila Nikiangalia Kwa Usajili Tuliofanya Simba SC Nanusa Chuma 3 Anakufa UTOPOLO August 8 Japokuwa Wako Bora Sana #respect #nguvumoja
Sawa in'shaaAllaah tunasubiri dakika 90'
Pole
Chagamba, Tatizo je Simba ataendelea kuwa hyo nafasi ya kuanza stage ya pili.? chagamba
Leo hii Miraj unasema shirikisho ni shindano kubwa,hatari sana aisee
Pindi yupo yanga,uliponda sana...😂😂😂
Acha unafiki, leta hiyo clip aliyopinga
lini aliongea tofauti
Tuletee hiyo crp...kumbaffff
Wakwanz
kalale
×1 ukweli simba Hadi Sasa hivi usajili tumeridhika nao ila mm binafsi natamani Elie mpanzu aje unyamani naamini kocha atakuwa na machaguo mengi vipi Kwa upande wako