TUKAMPOKEE YESU

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 16 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 581

  • @anastaciamuema
    @anastaciamuema  2 роки тому +47

    Ekaristi Takatifu ni chakula cha roho, na ni Yesu mzima ndani ya maumbo ya Mkate na Divai. Wimbo huu unaoitwa TUKAMPOKEE YESU ni wimbo unaotukumbusha kwamba Fumbo la Ekaristi takatifu ni nafasi ya kukutana na Yesu Mzima katika maumbo ya Mkate na Divai. Karibuni ili kwa pamoja tukaweze kubarikiwa. Msisahau kusubscribe, kuLike, Kucomment na pia kushare. One Love❤️.

  • @muemamarykyangwa3408
    @muemamarykyangwa3408 2 роки тому +3

    Naomba mungu akumiminie Baraka tele na akujalie siku nyingi uzidi kutubariki na nyimbo hizi tamu zinazojenga mioyo yetu Sana❣️❤️

    • @anastaciamuema
      @anastaciamuema  2 роки тому +1

      Amina🙏. Mungu akubariki sana🤗

    • @loisemuthoni6244
      @loisemuthoni6244 5 днів тому

      Mungu akuzidishie kipaji cha uimbaji, your songs is a blessing to many​@@anastaciamuema

  • @alphoncemahinya6068
    @alphoncemahinya6068 2 роки тому +3

    Ahsante saana kwa nyimbo safi ya Komunio. Tunashukuru Sana kwa uinjilishaji.

  • @ndetichrissantos652
    @ndetichrissantos652 2 роки тому +3

    Nashukuru Sana nyie Kwa kutukumbusha umuhimu wa Ekaristia kwetu sisi. Hongera Sana dada Kwa wimbo huu......
    #2022Narokcounty

  • @KokuKoku-e5c
    @KokuKoku-e5c 2 місяці тому +2

    Hongera sana dada angu kwa uinjilishaji wako mzuri ambao daima unanivuta niwe kama wewe

  • @givenmakemba9908
    @givenmakemba9908 2 роки тому +2

    🤲🙏 kiufupi huwa napenda uiambaji wako dada cjui nikuambie neno Gani, ila Mungu akubariki sana ili uendelee kutuinjirisha kwa njia nzuri ya kuimba. Hongera 🔥🔥

  • @barrews
    @barrews 2 роки тому +2

    My sister and brothers in Christ God bless you abanduntly amen. Hii wimbo nizuri sana asante sana

  • @JugoMedia
    @JugoMedia 2 роки тому +1

    Hongera Sana Annastacia, Wimbo Mzuri Sana Mungu Awabariki Sana

  • @wilfredmagetonyaoga519
    @wilfredmagetonyaoga519 2 роки тому +1

    Wow.. Napenda nyimbo zenu.... Najifunia kuwa mkatoriki mwema... Pongezi sana.. God bless

    • @anastaciamuema
      @anastaciamuema  2 роки тому +2

      Amen.🙏🙏God bless you too mkatoliki mwenzetu❤️

  • @samuelkipkurui8230
    @samuelkipkurui8230 Рік тому +1

    Nyimbo zako zapendeza Sana, haswa TUKAMPOKEE BWANA

  • @ferdinandokoth5371
    @ferdinandokoth5371 2 роки тому +1

    Vyema kabisa, Tuendeni tukampokee chakula kinacho dumisha uhai siku zote. Very nice and sweet song. Kazi nzuri tchr Ann

  • @anastaciamuema
    @anastaciamuema  2 роки тому +2

    Karibuni kwenye channel yangu ya pili. Kwenye hiyo channel nitawaletea matukio mbali mbali. Please support me. SUBSCRIBE, LIKE, SHARE and COMMENT.👉👉ua-cam.com/video/GSmQt5JksC4/v-deo.html

  • @celestinembiku8073
    @celestinembiku8073 2 роки тому +1

    Annie nyimbo zako ziko sawa na sauti tamu... Za nipa uponyaji wa roho..mungu akuzindishie na akumiminie neema lukuki

  • @fredmhiche3614
    @fredmhiche3614 2 роки тому +1

    Hongera sana mkuu Tumaini Swai(FM) kwa utunzi mzuri pamoja na Madam Anne na Lawrence kwa uimbaji mzuri.

  • @mishorithukuh4302
    @mishorithukuh4302 Рік тому +1

    Woooow! Amazing song, congratulations!
    I've a new favorite source of Catholic music...good job!

  • @richardkingi660
    @richardkingi660 2 роки тому +1

    Wah moto...haki mko viwango na ngazi ya juu sana kwa tasnia hii ya Muziki.Barikiweni

  • @pascalinekanini1365
    @pascalinekanini1365 2 роки тому +2

    wow... nice one dear.. more love 💞😍

  • @fidelisluvanda3585
    @fidelisluvanda3585 2 роки тому +2

    Hakika kazi yenu inabariki Sana hongereni Sana

  • @quenkimatare2673
    @quenkimatare2673 2 роки тому +1

    Wimbo mtamu sana kwakweli mpo vizuri sana congratulations

  • @davidkaviti
    @davidkaviti 2 роки тому +1

    good work soon. salimia Kameja sana this is the best soo far hapa kazi safi sana dada.

  • @bonifacemotika9721
    @bonifacemotika9721 2 роки тому +1

    Asante kwa wimbo mzuri. Asante kwa mwaliko wa kujongea mezani kwa Bwana

  • @kenrotiken301
    @kenrotiken301 2 роки тому +1

    Superb, amazing songs my friend, keep up.

  • @thompsonmasologo5093
    @thompsonmasologo5093 2 роки тому +1

    Hongereni sana kazi nzuri dada Anne natamani siku moja nifanye kazi na ninyi nyote watatu

  • @epifanibeckham7742
    @epifanibeckham7742 2 роки тому +1

    Nyimbo nzuri sana bado utaendelea kuwa juu hauna upinzani japo kuwa kuna mwimbaji mmoja anajitaidi kuiga sauti lakini bado maana kitu mungu alicho kupa nitofauti nawengine pamoja na mpiga kinanda yuko vizuri

  • @young_singers_tz
    @young_singers_tz 2 роки тому +1

    Hongera Sana Dada angu,, Nyimbo imekaa poa Sana na Utunzi Bora kabisa

  • @lagatemmanuel1487
    @lagatemmanuel1487 2 роки тому +1

    Sina Cha kunena, hongera kwa kazi nzuri dada Muema🥳🥳

  • @jayzeem14
    @jayzeem14 2 роки тому +1

    Hongera pia kwa Mpinga kinanda Mungu akukumbuke na kukutana na haja ya moyo wako.

  • @winnieavit5985
    @winnieavit5985 2 роки тому +1

    Oooh nice. Hongereni nyote kwa kazi hii nzr

  • @Selestine52
    @Selestine52 2 роки тому +1

    This is really amazing!! Na Lawrence Bwana umetandika nota za alto vema sana kwa ustadi nausafi

  • @kipchumbakelvin12
    @kipchumbakelvin12 2 роки тому +1

    Kazi safi ann, swai, kameza .....always 🔥 🔥

  • @imanuelijohn1207
    @imanuelijohn1207 2 роки тому +1

    Woooow! Dada nabarikiwa sana na nyimbo zako👏👏 barikiwa sana

  • @fabianimashindike3272
    @fabianimashindike3272 2 роки тому +1

    Kazi nzuri sana kwakweli hadi naona wivu nawaombea kwa Mungu mzidi kuinnjilisha kwa njia hiyo ya kuimba hongereni sana na Mungu awabariki

  • @kennedyvuonzema3558
    @kennedyvuonzema3558 Рік тому +1

    soul nourishing thanks a lot anastacia music
    ❤❤👋👋

  • @mercymutisomusic
    @mercymutisomusic 2 роки тому +8

    Sauti za malaika ❤️❤️

    • @anastaciamuema
      @anastaciamuema  2 роки тому +1

      Asante sana kelitu🙏❤️

    • @thepebrisfamilygracedbless6668
      @thepebrisfamilygracedbless6668 2 роки тому +1

      Wimbo mtamu sana dadangu kama tulivyo utarajia... Zidi kupaa Anne tuko nyuma yako na Mungu wetu azidi kukuinua, kukupa nguvu na kukuongezea Ufunuo zaidi Ili uijirishaji wako ufikie mataifa yote ya Ulimwengu. Keep it up siz...

    • @anastaciamuema
      @anastaciamuema  2 роки тому +1

      @@thepebrisfamilygracedbless6668 asante sana🙏. Mwenyezi Mungu asikie maombi haya.🙏🙏

  • @sacredmusic9753
    @sacredmusic9753 2 роки тому +1

    Wimbo mzuri, sauti zimetulia, kinanda standard.. Ooooh Mungu ATUKUZWE hata Milele. Hongereni sana WAIMBAJI.

    • @anastaciamuema
      @anastaciamuema  2 роки тому +2

      Asante sana Emmanuel🙏. Ubarikiwe sana🤗

  • @jacklinemueni7201
    @jacklinemueni7201 2 роки тому +1

    Aaw,nice song Madam Ann, congratulations together with your team. Injili isonge mbele

  • @richmdoe5519
    @richmdoe5519 2 роки тому +1

    amaizing song👏👍Barikiwa sana kwa wimbo mzuri...

  • @Vids_N_Clips
    @Vids_N_Clips 2 роки тому +1

    Aah, wimbo mtamu jamani🔥
    Continue with the same spirit

  • @amambiastephen178
    @amambiastephen178 2 роки тому +1

    Naombea baraka tele ili muendelee kutubariki jinsi mnavyofanya. Hongera kwa wahusika wote!

  • @williamcosmas1986
    @williamcosmas1986 2 роки тому +1

    Always I play to u anne coz unanifurahisha na kuniinjirisha...be blessed forever.

    • @anastaciamuema
      @anastaciamuema  2 роки тому +1

      Thankyou so much William. Be blessed🙏😊

  • @Kenyatta-Mpenda-Mziki
    @Kenyatta-Mpenda-Mziki 2 роки тому +1

    Good Composition @ Tumaini Swai. Barikiwa

  • @murithijames8260
    @murithijames8260 2 роки тому +1

    Mungu akupe nguvu uedeleee kuzitunga nyimvo kama izi zilizo na ujumbe

  • @embatidennis6107
    @embatidennis6107 2 роки тому +1

    Glad to listen to it the very day and time it was uploaded

  • @mercykagichu
    @mercykagichu 2 роки тому +1

    Woooooow woooooow woooooow..... U guys really are blessed.....the song is on 🔥🔥 I looooooove it

  • @kiarienjuguna6812
    @kiarienjuguna6812 2 роки тому +1

    Tumsifu Yesu kristu!!!! Mungu awabariki sana. Nyimbo zako ni nzuri sana.

    • @anastaciamuema
      @anastaciamuema  2 роки тому +1

      Asante sana🙏. Ubarikiwe sana Kaka🤗

  • @mjkinuthia386
    @mjkinuthia386 2 роки тому +6

    O how sweet and profoundly reverent this eucharistic song is! We're invited to approach the *table of love* and receive Jesus in his body, blood, soul & divinity. The eucharist is not only the source & summit of faith but also the wellspring of goodness that leads to eternal life. Thank you Anastacia & team for yet another stellar job and for reminding us that Eucharist is indeed the highest form of Christian worship & prayer. God bless you immensely 🙏🙏🙏

    • @anastaciamuema
      @anastaciamuema  2 роки тому +2

      I could not have put it well and better than this Father.🤗
      Thankyou so much and may you be blessed.🥰

    • @mjkinuthia386
      @mjkinuthia386 2 роки тому +2

      @@anastaciamuema Karibu na asante. These liturgical songs entertain & nourish our souls immensely because they are deeply anchored in Scripture 🙏👍🙏

    • @anastaciamuema
      @anastaciamuema  2 роки тому +2

      @@mjkinuthia386 AMEN🙏

    • @markmainaonundu6442
      @markmainaonundu6442 2 роки тому +1

      Nicely put! The table of love..a fore taste of heavenly banquet

  • @andrewmuema177
    @andrewmuema177 2 роки тому +1

    Congratulations Annastacia,
    God bless best Voices of you and your team💝💞

  • @hiramkariuki318
    @hiramkariuki318 2 роки тому +1

    Great much blessings muziki maridadi wa komunyo

  • @geroldjacob9845
    @geroldjacob9845 2 роки тому +1

    Good and well arranged voice so beutiful songs god give more thinking🙏

  • @mathewonguti3766
    @mathewonguti3766 2 роки тому +1

    Hi ni siri kubwa yesu mwenyewe alituajia katika safari yetu, sisi mitume wake tupate nguvu , na upendo ndani yetu , tuweze kufanya kazi za huruma .. wimbo mtamu ,pongezi kwenu. ..
    .

  • @antoniizcarlow6160
    @antoniizcarlow6160 2 роки тому +1

    Msichana wetu doing nice talent💥💥💥♥️♥️♥️🤩

  • @janekinyenje7230
    @janekinyenje7230 2 роки тому +1

    Good job!endelezeni injuries kwa njia ya uimbaji ...your voices of the( trio )blend soo well kudos!

  • @enriqueonsakia
    @enriqueonsakia 2 роки тому +2

    on another level Ann👌

  • @magulusweke5868
    @magulusweke5868 2 роки тому +1

    Hongereni kwa kazi nzuri Mungu awabariki

  • @danielmuamba5788
    @danielmuamba5788 2 роки тому +1

    Sauti nzuri kweli...wimbo wenyewe mtamu sana...😜😜😜

  • @slizermita252
    @slizermita252 2 роки тому +1

    Beautiful song, especially in the lent period

  • @luciankiyo6816
    @luciankiyo6816 2 роки тому +1

    No comment. Nikisikiliza nahisi naiacha ardhi naanza kupaaaaaaa

    • @anastaciamuema
      @anastaciamuema  2 роки тому +2

      Amina😅

    • @luciankiyo6816
      @luciankiyo6816 2 роки тому

      Thanks

    • @luciankiyo6816
      @luciankiyo6816 2 роки тому

      Kwa sauti yako hiyo natamani uimbe nyimbo za kusifu na kuabudu pia. Una nguvu flani hivi ya kumsogeza mtu karibu na Mungu.

  • @leocadiabwire512
    @leocadiabwire512 Рік тому +1

    Congratulations to all for your good work

  • @PJMassawa254
    @PJMassawa254 2 роки тому +2

    Great work for God here

  • @stevenbonephace9691
    @stevenbonephace9691 2 роки тому +1

    Amina nimebarikiwa Sana na wimbo huu. Mbarikiwe Sana wapendwa wa Kristo

  • @BabaManu2024
    @BabaManu2024 2 роки тому +1

    Thanks Ann and your able team..Injili isonge mbele

  • @janethtesha2513
    @janethtesha2513 2 роки тому +1

    Kila mara nipo kusubiri kupata vitu vizuri Kama hivi,siku sio nyingi nami nitakua ulipo kwa nguvu za Mungu aliye juu,proud of you guys🙏

  • @teresiakokii4168
    @teresiakokii4168 2 роки тому +1

    Ann n team i hv no words.
    i really feel the song.
    be blessed uko wapi.

  • @frederickalloys6328
    @frederickalloys6328 2 роки тому +1

    I love your voice...this is great, congrats

  • @anithamsoka7603
    @anithamsoka7603 2 роки тому +1

    Dada anaa naomba kukujuaaaa man so kwa kukupendaaa ukooo ....mko mumeimba vizuriii

  • @murimi9645
    @murimi9645 2 роки тому +1

    In deed 'TWENDENI KWENYE MEZA YA UPENDO' #injiliiendembele #queoevangelhováparafrente

  • @lucywangari3838
    @lucywangari3838 2 роки тому +1

    ❤❤❤Beautiful song and great voices. Asanteni

  • @moseotieno4996
    @moseotieno4996 2 роки тому +1

    Nice master piece.... May God gives you more grace.

  • @cosmasmulei7882
    @cosmasmulei7882 2 роки тому +1

    Always blessing many with the sweet songs dear

  • @alfredmutua5487
    @alfredmutua5487 2 роки тому +1

    its just extra amazing... congratulations 👏👏👏... good work!❤️❤️

  • @athanasiuskibiwott1326
    @athanasiuskibiwott1326 2 роки тому +1

    Good music, congratulations 🎉

  • @JacquesTandema
    @JacquesTandema 2 місяці тому +1

    I love this song

  • @phabianomondi1029
    @phabianomondi1029 2 роки тому +1

    Wow, nice music Ann,, God bless you

  • @dominicmatheka4583
    @dominicmatheka4583 2 роки тому +1

    Another beautiful song

  • @KateMbinyaMusic
    @KateMbinyaMusic 2 роки тому +1

    Beautiful song kama kawaida Anne💕

  • @catholicvibemusic3151
    @catholicvibemusic3151 2 роки тому +1

    Wow what such a melody 😭😭🎶🎶🔥🔥👌

  • @tmasingida2392
    @tmasingida2392 2 роки тому +1

    Pamoja sana , na Mungu azidi kuwabariki.

  • @maureenochieng2085
    @maureenochieng2085 2 роки тому +2

    Wow wow wow.I love you and your team.I love your voices there is just a way it calms me ❤❤.Keep up the good work Anne and your team❤

    • @anastaciamuema
      @anastaciamuema  2 роки тому +1

      Thankyou so much my darling Maureen🙏🙏🥰🥰

  • @timothykirui5941
    @timothykirui5941 2 роки тому +1

    Congratulations @Anne.May the good Lord bless you

  • @rolcangima6611
    @rolcangima6611 2 роки тому +4

    Asante sana kwa kumtukuza Mungu kwa wimbo mtamu huu. Sauti tamu sana. May God bless you for inspiring us with the beautiful songs. I love everything about this song, kinanda and the video as well. ❤️Kudos✌️

  • @christineiseu8421
    @christineiseu8421 2 роки тому +1

    Wow....Ann....Lawrence and Swai....you are blessing us so much through your songs....Much love from Nairobi...You are great guys

  • @magrethyeremia2279
    @magrethyeremia2279 2 роки тому

    Wimbo mzuri saaana,hongereni kwa uimbaji mzuri na sauti nzuri,mbarikiwe kwa kuinjilisha

    • @anastaciamuema
      @anastaciamuema  2 роки тому

      Amina.🙏
      Asante sana Magreth kwa kutazama. Ubarikiwe🤗🤗

  • @georgembugua6849
    @georgembugua6849 2 роки тому +1

    Waaaoo Ann for sure you sooth our heart with sweet voice with nice song.there is need to sing to our God always. Stay blessed

    • @anastaciamuema
      @anastaciamuema  2 роки тому +1

      Thanks and Amen🙏
      Be blessed too George🙏🙏

  • @veronicadagharo309
    @veronicadagharo309 2 роки тому +1

    Waooh sauti inayoponyo nyoyo za watu

  • @paulmukhwana5181
    @paulmukhwana5181 Рік тому +1

    Napenda. Nota tutazipataje

  • @raphaelotuke9475
    @raphaelotuke9475 2 роки тому

    Mimi tangu nianze kusikiliza nyimbo hizi hata imani yangu kwa Mungu inakomaa kabsa, Anastacia wewe ni mkenya mzalendo na musiki huu ni mtamu sana

    • @anastaciamuema
      @anastaciamuema  2 роки тому +1

      Asante sana kaka Raphael. Jina la Mwenyezi Mungu Lihimidiwe🙏🙏🙏

    • @raphaelotuke9475
      @raphaelotuke9475 2 роки тому

      @@anastaciamuema Amen🙏🙏

  • @vinniemakorie3986
    @vinniemakorie3986 2 роки тому +1

    just rewatched again... Wonderful song here..... Hapa kenya tushaanza kuiimba mass

  • @mainajamesofficial
    @mainajamesofficial 2 роки тому +2

    Awesome ... great blessing

  • @gratianakitime6290
    @gratianakitime6290 2 роки тому +1

    Waoo so amazing,God bless you ccy❣️

  • @isikesamike
    @isikesamike 2 роки тому +1

    Kazi nzuri. Hongereni sana

  • @franciskironjo9369
    @franciskironjo9369 2 роки тому +1

    Yes here it comes 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @mkurugenzitv6433
    @mkurugenzitv6433 2 роки тому

    Good swahili song. Listening from Kenya.

  • @monicahshiru7701
    @monicahshiru7701 2 роки тому +1

    Oh my
    Good job
    All the best in this journey more blessings

  • @benymngara7235
    @benymngara7235 2 роки тому

    Kazi nzuri sanaaaa mpaka nashindwa niandike nn GOD bless you

  • @marymwania6100
    @marymwania6100 2 роки тому +1

    what a beautiful song so inspiring may you be blessed always in your evangelization,,,,your songs always makes me feel blessed

  • @idahraphael108
    @idahraphael108 2 роки тому +1

    "Ingekuwa hivi Leo msikie sauti yake"...how can I be late!?!?!

  • @mbetikilonzi9578
    @mbetikilonzi9578 2 роки тому +1

    Kongole Ann!Nyimbo zako tamu utuliza na kuburudisha mioyo.

    • @anastaciamuema
      @anastaciamuema  2 роки тому +1

      Amina🙏
      Asante sana my sister Mbeti.🙏❤️❤️

  • @dennismwandiki4988
    @dennismwandiki4988 2 роки тому +1

    Very nice song. Keep it up

  • @samuelmundia320
    @samuelmundia320 2 роки тому +1

    Lovely piece guys....more and more...
    It's so solemn.....

  • @balayandemafelix6766
    @balayandemafelix6766 2 роки тому +1

    Congrats Anastasia this is 🔥🔥🔥🔥🔥