Ekaristi Takatifu ni chakula cha roho, na ni Yesu mzima ndani ya maumbo ya Mkate na Divai. Wimbo huu unaoitwa TUKAMPOKEE YESU ni wimbo unaotukumbusha kwamba Fumbo la Ekaristi takatifu ni nafasi ya kukutana na Yesu Mzima katika maumbo ya Mkate na Divai. Karibuni ili kwa pamoja tukaweze kubarikiwa. Msisahau kusubscribe, kuLike, Kucomment na pia kushare. One Love❤️.
🤲🙏 kiufupi huwa napenda uiambaji wako dada cjui nikuambie neno Gani, ila Mungu akubariki sana ili uendelee kutuinjirisha kwa njia nzuri ya kuimba. Hongera 🔥🔥
Karibuni kwenye channel yangu ya pili. Kwenye hiyo channel nitawaletea matukio mbali mbali. Please support me. SUBSCRIBE, LIKE, SHARE and COMMENT.👉👉ua-cam.com/video/GSmQt5JksC4/v-deo.html
Nyimbo nzuri sana bado utaendelea kuwa juu hauna upinzani japo kuwa kuna mwimbaji mmoja anajitaidi kuiga sauti lakini bado maana kitu mungu alicho kupa nitofauti nawengine pamoja na mpiga kinanda yuko vizuri
Wimbo mtamu sana dadangu kama tulivyo utarajia... Zidi kupaa Anne tuko nyuma yako na Mungu wetu azidi kukuinua, kukupa nguvu na kukuongezea Ufunuo zaidi Ili uijirishaji wako ufikie mataifa yote ya Ulimwengu. Keep it up siz...
O how sweet and profoundly reverent this eucharistic song is! We're invited to approach the *table of love* and receive Jesus in his body, blood, soul & divinity. The eucharist is not only the source & summit of faith but also the wellspring of goodness that leads to eternal life. Thank you Anastacia & team for yet another stellar job and for reminding us that Eucharist is indeed the highest form of Christian worship & prayer. God bless you immensely 🙏🙏🙏
Hi ni siri kubwa yesu mwenyewe alituajia katika safari yetu, sisi mitume wake tupate nguvu , na upendo ndani yetu , tuweze kufanya kazi za huruma .. wimbo mtamu ,pongezi kwenu. .. .
Asante sana kwa kumtukuza Mungu kwa wimbo mtamu huu. Sauti tamu sana. May God bless you for inspiring us with the beautiful songs. I love everything about this song, kinanda and the video as well. ❤️Kudos✌️
Ekaristi Takatifu ni chakula cha roho, na ni Yesu mzima ndani ya maumbo ya Mkate na Divai. Wimbo huu unaoitwa TUKAMPOKEE YESU ni wimbo unaotukumbusha kwamba Fumbo la Ekaristi takatifu ni nafasi ya kukutana na Yesu Mzima katika maumbo ya Mkate na Divai. Karibuni ili kwa pamoja tukaweze kubarikiwa. Msisahau kusubscribe, kuLike, Kucomment na pia kushare. One Love❤️.
Lovely, lovely dearest. Mbarikiwe sana for nourishing our souls with the beautiful songs.....ingine ije 10th April
@@angelamalii4338 paa
P00
Ule mpango wa kufunguwa account kwa jili ya uchangiaji ulifikia wapi
As expected... A great hit. Keep up the good job siz.
Naomba mungu akumiminie Baraka tele na akujalie siku nyingi uzidi kutubariki na nyimbo hizi tamu zinazojenga mioyo yetu Sana❣️❤️
Amina🙏. Mungu akubariki sana🤗
Mungu akuzidishie kipaji cha uimbaji, your songs is a blessing to many@@anastaciamuema
Ahsante saana kwa nyimbo safi ya Komunio. Tunashukuru Sana kwa uinjilishaji.
Amina🙏
Mungu akubariki😊
Nashukuru Sana nyie Kwa kutukumbusha umuhimu wa Ekaristia kwetu sisi. Hongera Sana dada Kwa wimbo huu......
#2022Narokcounty
Asante na ubarikiwe sana.🤗
Hongera sana dada angu kwa uinjilishaji wako mzuri ambao daima unanivuta niwe kama wewe
🤲🙏 kiufupi huwa napenda uiambaji wako dada cjui nikuambie neno Gani, ila Mungu akubariki sana ili uendelee kutuinjirisha kwa njia nzuri ya kuimba. Hongera 🔥🔥
Amina🙏
Asante sana kwa upendo huo.😊
My sister and brothers in Christ God bless you abanduntly amen. Hii wimbo nizuri sana asante sana
Amen🙏🙏
Hongera Sana Annastacia, Wimbo Mzuri Sana Mungu Awabariki Sana
Amina.🙏 Baraka tele kwenu pia😊
Wow.. Napenda nyimbo zenu.... Najifunia kuwa mkatoriki mwema... Pongezi sana.. God bless
Amen.🙏🙏God bless you too mkatoliki mwenzetu❤️
Nyimbo zako zapendeza Sana, haswa TUKAMPOKEE BWANA
Vyema kabisa, Tuendeni tukampokee chakula kinacho dumisha uhai siku zote. Very nice and sweet song. Kazi nzuri tchr Ann
Amina🙏
Karibuni kwenye channel yangu ya pili. Kwenye hiyo channel nitawaletea matukio mbali mbali. Please support me. SUBSCRIBE, LIKE, SHARE and COMMENT.👉👉ua-cam.com/video/GSmQt5JksC4/v-deo.html
Annie nyimbo zako ziko sawa na sauti tamu... Za nipa uponyaji wa roho..mungu akuzindishie na akumiminie neema lukuki
Amina🙏🙏
Hongera sana mkuu Tumaini Swai(FM) kwa utunzi mzuri pamoja na Madam Anne na Lawrence kwa uimbaji mzuri.
Shukran sana 🙏
Woooow! Amazing song, congratulations!
I've a new favorite source of Catholic music...good job!
Wah moto...haki mko viwango na ngazi ya juu sana kwa tasnia hii ya Muziki.Barikiweni
Amina🙏. Ubarikiwe sana pia🙏
wow... nice one dear.. more love 💞😍
Thankyou Pascaline🙏
Love you more🥰
Hakika kazi yenu inabariki Sana hongereni Sana
Asante sana🙏
Wimbo mtamu sana kwakweli mpo vizuri sana congratulations
Asante sana🙏
good work soon. salimia Kameja sana this is the best soo far hapa kazi safi sana dada.
Asante sana😊. Salamu amezipokea🤗
Asante kwa wimbo mzuri. Asante kwa mwaliko wa kujongea mezani kwa Bwana
Amina🙏
Superb, amazing songs my friend, keep up.
Thankyou so much Ken🙏
Hongereni sana kazi nzuri dada Anne natamani siku moja nifanye kazi na ninyi nyote watatu
Asante sana na karibu😊😊
Nyimbo nzuri sana bado utaendelea kuwa juu hauna upinzani japo kuwa kuna mwimbaji mmoja anajitaidi kuiga sauti lakini bado maana kitu mungu alicho kupa nitofauti nawengine pamoja na mpiga kinanda yuko vizuri
Amina Epifani🙏🙏🙏🥰
Hongera Sana Dada angu,, Nyimbo imekaa poa Sana na Utunzi Bora kabisa
Amina🙏
Asante sana🙏
Sina Cha kunena, hongera kwa kazi nzuri dada Muema🥳🥳
Asante sana Lagat🙏
Hongera pia kwa Mpinga kinanda Mungu akukumbuke na kukutana na haja ya moyo wako.
Amina🙏
Oooh nice. Hongereni nyote kwa kazi hii nzr
Asante sana Winnie🙏🥰
This is really amazing!! Na Lawrence Bwana umetandika nota za alto vema sana kwa ustadi nausafi
Asante😅
Kazi safi ann, swai, kameza .....always 🔥 🔥
Tunashukuru Kipchumba🙏
Woooow! Dada nabarikiwa sana na nyimbo zako👏👏 barikiwa sana
Asante sana Imanueli🤗. Ubarikiwe sana🙏🥰
@@anastaciamuema 🙏🙏🙏
Kazi nzuri sana kwakweli hadi naona wivu nawaombea kwa Mungu mzidi kuinnjilisha kwa njia hiyo ya kuimba hongereni sana na Mungu awabariki
Asante sana🙏. Mungu akubariki pia
@@anastaciamuema amina
soul nourishing thanks a lot anastacia music
❤❤👋👋
Sauti za malaika ❤️❤️
Asante sana kelitu🙏❤️
Wimbo mtamu sana dadangu kama tulivyo utarajia... Zidi kupaa Anne tuko nyuma yako na Mungu wetu azidi kukuinua, kukupa nguvu na kukuongezea Ufunuo zaidi Ili uijirishaji wako ufikie mataifa yote ya Ulimwengu. Keep it up siz...
@@thepebrisfamilygracedbless6668 asante sana🙏. Mwenyezi Mungu asikie maombi haya.🙏🙏
Wimbo mzuri, sauti zimetulia, kinanda standard.. Ooooh Mungu ATUKUZWE hata Milele. Hongereni sana WAIMBAJI.
Asante sana Emmanuel🙏. Ubarikiwe sana🤗
Aaw,nice song Madam Ann, congratulations together with your team. Injili isonge mbele
Thankyou so much Jackline🙏
amaizing song👏👍Barikiwa sana kwa wimbo mzuri...
Amina🙏. Ubarikiwe pia😊
Aah, wimbo mtamu jamani🔥
Continue with the same spirit
Thankyou🙏
Naombea baraka tele ili muendelee kutubariki jinsi mnavyofanya. Hongera kwa wahusika wote!
Asante sana🙏
Always I play to u anne coz unanifurahisha na kuniinjirisha...be blessed forever.
Thankyou so much William. Be blessed🙏😊
Good Composition @ Tumaini Swai. Barikiwa
Amina🙏
Mungu akupe nguvu uedeleee kuzitunga nyimvo kama izi zilizo na ujumbe
Amina🙏
Glad to listen to it the very day and time it was uploaded
Thankyou so much Embati🙏🙏
Woooooow woooooow woooooow..... U guys really are blessed.....the song is on 🔥🔥 I looooooove it
Thankyou so much🙏
Tumsifu Yesu kristu!!!! Mungu awabariki sana. Nyimbo zako ni nzuri sana.
Asante sana🙏. Ubarikiwe sana Kaka🤗
O how sweet and profoundly reverent this eucharistic song is! We're invited to approach the *table of love* and receive Jesus in his body, blood, soul & divinity. The eucharist is not only the source & summit of faith but also the wellspring of goodness that leads to eternal life. Thank you Anastacia & team for yet another stellar job and for reminding us that Eucharist is indeed the highest form of Christian worship & prayer. God bless you immensely 🙏🙏🙏
I could not have put it well and better than this Father.🤗
Thankyou so much and may you be blessed.🥰
@@anastaciamuema Karibu na asante. These liturgical songs entertain & nourish our souls immensely because they are deeply anchored in Scripture 🙏👍🙏
@@mjkinuthia386 AMEN🙏
Nicely put! The table of love..a fore taste of heavenly banquet
Congratulations Annastacia,
God bless best Voices of you and your team💝💞
Thankyou so much bro.🙏❤️❤️
Great much blessings muziki maridadi wa komunyo
Asante sana🙏
Good and well arranged voice so beutiful songs god give more thinking🙏
Thankyou so much🙏🙏🥰
Hi ni siri kubwa yesu mwenyewe alituajia katika safari yetu, sisi mitume wake tupate nguvu , na upendo ndani yetu , tuweze kufanya kazi za huruma .. wimbo mtamu ,pongezi kwenu. ..
.
Amina🙏. Asante sana Mathew🙏
Msichana wetu doing nice talent💥💥💥♥️♥️♥️🤩
Asante sana kabro🙏❤️❤️
Good job!endelezeni injuries kwa njia ya uimbaji ...your voices of the( trio )blend soo well kudos!
Thankyou Jane🙏🤗
on another level Ann👌
Thanks be to God.🙏
Hongereni kwa kazi nzuri Mungu awabariki
Amina🙏
Mungu akubariki pia
Sauti nzuri kweli...wimbo wenyewe mtamu sana...😜😜😜
Asante sana Daniel🙏
Beautiful song, especially in the lent period
No comment. Nikisikiliza nahisi naiacha ardhi naanza kupaaaaaaa
Amina😅
Thanks
Kwa sauti yako hiyo natamani uimbe nyimbo za kusifu na kuabudu pia. Una nguvu flani hivi ya kumsogeza mtu karibu na Mungu.
Congratulations to all for your good work
Great work for God here
Thankyou🙏🙏
Amina nimebarikiwa Sana na wimbo huu. Mbarikiwe Sana wapendwa wa Kristo
Amina🙏
Thanks Ann and your able team..Injili isonge mbele
Amina🙏
Kila mara nipo kusubiri kupata vitu vizuri Kama hivi,siku sio nyingi nami nitakua ulipo kwa nguvu za Mungu aliye juu,proud of you guys🙏
Thankyou so much Janeth🙏
Ann n team i hv no words.
i really feel the song.
be blessed uko wapi.
Asante sana🙏🙏
i wish to meet u n sing with u one day
@@teresiakokii4168 🙏🙏🙏🙏
I love your voice...this is great, congrats
Thankyou so much🙏
Dada anaa naomba kukujuaaaa man so kwa kukupendaaa ukooo ....mko mumeimba vizuriii
🙏
@@anastaciamuema unapatikana wapi dada akeee
In deed 'TWENDENI KWENYE MEZA YA UPENDO' #injiliiendembele #queoevangelhováparafrente
Amen rafiki🙏🙏
❤❤❤Beautiful song and great voices. Asanteni
Asante sana Lucy. Ubarikiwe
Nice master piece.... May God gives you more grace.
Amen🙏
Always blessing many with the sweet songs dear
Amen🙏
its just extra amazing... congratulations 👏👏👏... good work!❤️❤️
Thankyou so much Alfred🙏
Good music, congratulations 🎉
Thankyou so much🙏
I love this song
Wow, nice music Ann,, God bless you
Amen. God bless you too🤗
Another beautiful song
Thankyou so much🙏
Beautiful song kama kawaida Anne💕
Asante sana Kate🙏❤️❤️
Wow what such a melody 😭😭🎶🎶🔥🔥👌
Thankyou so much🙏🙏
Pamoja sana , na Mungu azidi kuwabariki.
Amina🙏
Akubariki Mungu Mwenyezi.🙏
Wow wow wow.I love you and your team.I love your voices there is just a way it calms me ❤❤.Keep up the good work Anne and your team❤
Thankyou so much my darling Maureen🙏🙏🥰🥰
Congratulations @Anne.May the good Lord bless you
Amen🙏. God bless you too😊
Asante sana kwa kumtukuza Mungu kwa wimbo mtamu huu. Sauti tamu sana. May God bless you for inspiring us with the beautiful songs. I love everything about this song, kinanda and the video as well. ❤️Kudos✌️
Thankyou so much🙏🙏
Wow....Ann....Lawrence and Swai....you are blessing us so much through your songs....Much love from Nairobi...You are great guys
Thankyou so much Christine.
Wimbo mzuri saaana,hongereni kwa uimbaji mzuri na sauti nzuri,mbarikiwe kwa kuinjilisha
Amina.🙏
Asante sana Magreth kwa kutazama. Ubarikiwe🤗🤗
Waaaoo Ann for sure you sooth our heart with sweet voice with nice song.there is need to sing to our God always. Stay blessed
Thanks and Amen🙏
Be blessed too George🙏🙏
Waooh sauti inayoponyo nyoyo za watu
Amina🙏🙏
Napenda. Nota tutazipataje
Mimi tangu nianze kusikiliza nyimbo hizi hata imani yangu kwa Mungu inakomaa kabsa, Anastacia wewe ni mkenya mzalendo na musiki huu ni mtamu sana
Asante sana kaka Raphael. Jina la Mwenyezi Mungu Lihimidiwe🙏🙏🙏
@@anastaciamuema Amen🙏🙏
just rewatched again... Wonderful song here..... Hapa kenya tushaanza kuiimba mass
Asante sana Vinnie🙏🙏
Awesome ... great blessing
Thankyou🙏
Waoo so amazing,God bless you ccy❣️
Thankyou so much Gratiana🤗
Kazi nzuri. Hongereni sana
Asante sana🙏
Yes here it comes 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Thankyou so much🙏🙏
Good swahili song. Listening from Kenya.
Thankyou so much🙏
Oh my
Good job
All the best in this journey more blessings
Amen. Blessings upon you!
Kazi nzuri sanaaaa mpaka nashindwa niandike nn GOD bless you
Amen🙏🙏
what a beautiful song so inspiring may you be blessed always in your evangelization,,,,your songs always makes me feel blessed
Amen🙏🙏
Blessings upon you too
"Ingekuwa hivi Leo msikie sauti yake"...how can I be late!?!?!
😅😅
Kongole Ann!Nyimbo zako tamu utuliza na kuburudisha mioyo.
Amina🙏
Asante sana my sister Mbeti.🙏❤️❤️
Very nice song. Keep it up
Thankyou so much🙏❤️
Lovely piece guys....more and more...
It's so solemn.....
Thankyou so much Samuel🙏
Congrats Anastasia this is 🔥🔥🔥🔥🔥
Thankyou so much Felix🙏🙏