Jinsi ya kufanikiwa kupitia nyota | Madini na vito | Mawe | Utajiri
Вставка
- Опубліковано 18 вер 2024
- Katika video hii utajifunza njia ya mafanikio ya hekima ambayo unaweza kupata.
kwa kupitia kufuata misingi yake,
Video hii itakupa muongozo wa mawe na madini ambayo mtu unatakiwa kuyatumia katika utaratibu wa mafanikio yako ya kila siku
Asante sana kaka mungu akubariki katika maarifa na hekima pia hakika wew ni mwema umetuelimisha vingi katika haki na ukweli Allah ukulinde na akupe umri mrefu inshaallah
Amin atujalie sote mwisho mwema
@@rakimsspiritualasante sana mwalimu
Mm ni nyota ya mbuzi...Na maada yangu ni udongo...!!naoa kujua batakiwa nivae madini gani,jiwe gani.Asante
Nakusalimia kaka nakukubali sn allah akulinde...
Nashukuru Atulinde sote
Mwalim salaam, ninahitaji kujua zaidi hii elimu, lakini bado kwangu ni kiza kinene. Naomba unisaidie
Ahsante
Tupo pamoja
Napenda sna mada zko Mr
Asante Mwenyezi Mungu akujalie mafanikio
Asante sana umeniongezea kitu
Asante kushukuru Mwenyezi Mungu akujaalie mafanikio
Hahahaha mwalim Umeamua kujibu kwa vitendo swali langu nafurah kua wa kwanza kutazama
Karibu
Tunaomba uweke namba utueleweshe
Asalaam alykum mwalimu .nilikuwa naulizia kama nimezaliwa tarehe 29 may ambayo ni Gemini ♊ ila sijui saa niliyo zaliwa pamoja na siku ninatakiwa kuvaa agate Aqeeq stone aina gani kuligana na nyota yaangu ya mapacha 👍🤝🙏
Naomba no yako nikupigie kuna jambo unisaidie
Aslm alyk nauliza madhara ya jin salsal
inshallah 🙏
ila mwalim ujamalizia masomo ya nyota bodo nyota zetu atujazisikia
Sawa nitarejea kwenye nyota...
@@rakimsspiritual Tunasubiria hili SoMo Mwalimu
Hilo ndio la msingi Maan hata nyota zetu hatuzijui kiufasaha
Mimina nime zariwa miaka 32
Usisahau mwalim kutufundisha mfano mtu mwenye nyota ya simba avae mawe ya aina gan au kidole kip na mafusho yake mungu akusmamie kwa hlo
Asante
assalamualaikum Mwalimu napia usisahau kutupa elimu ya nyota ya nge watumie mawe gani ilikuweza kupata mafanikio
Namba yako inapatikana anje
+255 783 930 601
Maalim,madam kihusu Qarin(ruhani) watufunza lini? Halafu je ruhani ndio nyota ama tofauti ni ipi? KAZI zao zipi... Tufunzie tafadhali.
Mada kuhusu...kumekua na spelling error hapo. Samahani.
Assalam Alaikum mwalim❤❤🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Waaleykum salam....
Mwalimu naitwa kuluthumu hashimu nimezaliwa tarehe 21 june,je nyota yangu ni ipi, pia nikikuhitahi binafsi nakupataje?
Nyota ya mapacha/Gemini asili yake upepo
Mm madini ya tin ninayo nayatumiaje
Angalia unajimu wake katika sayari ya madini hayo yamekaa katika nyota gani kisha ufuate taratibu zake
mwalim nmezaliwa june 25 huwa sielew nyota yangu ni ipi maan najuag nipunda ila sina uakika😢
Nyota ya KAA/CANCER ASILI YAKE MAJI
Assalamualaikum kaka Mimi sijui nyota yangu natamani sana kujua nimezaliwa tarehe 3/8/
Wewe ni nyota ya Simba dear
Unapatikana wapi bro? Nahitaji tuonane juu ya usaidizi balimbali
0783930601
Mwalimu siku na tarehe inabadilika kuanzia muda gani?, ni kweli saa 6 ya usiku
Saa 1 jioni
Mwalimu ususahau kuongelea mada ya Reincanation ,
Na tunaweza kuzaliwa mara ngapi au Haina kikomo.
Pia ni namna gani nifanye ili kipindi naota niweze kukumbuka kuwa nipo ndotoni.
Maana wengi hatukumbuki kuwa tunaota Hadi tunapoamka.
Nahitaji pete yenye kito cha ruby ntapataje
Wasiliana nasi 0783930601
Naitwa mwema tuonyeshe namba zako
0783930601