upo vizuri sana katika ushauri wako mama swari sasa iyo nguvu ya ulimwengu nimtandao gani au nikitugani samahani kama nitakuwa nimekukwaza naomba kunua
Dada ahsante mnoooo kwa maajabu tu ninayoyaona kabla hata cjaanza kufanikiwa kwangu inatosha kusema ahsante dada nitafata hatua zote mpaka nifanikiwe na kwenye pesa
@@NGUVUZAUNIVERSE madam samahani ili kujua kama Nyota iko sawa nifanyeje pia nimetamani kujua zaidi ni vitu gani au Chakula gani tunapaswa kutumia ili kukaa sawa tusisumbuliwe na matokeo mabaya kwenye maombi
Dada mimi ni muumini mzuri sana wa nguvu za ulimwengu na zimeniletea matokeo chanya kifedha,sasa nauliza kila nilalapo huwa huwa nastuka usiku wa manane kwa ajili ya kenda haja na wakati huo huo huangalia saa yangu katika simu kuna muda nakuta 2:02 au3:03 au4:04 na siku zote nikiona hivyo huwa silali tena hutafakali na kuanza kumwomba mungu mpaka alfajir je nimakosa?
Hapani sijaivunja bali imevunjika niliweka sehemu pembeni yakitanda muda huo nilikuwa ndio namalizia kifanya maombi ya mshumaa nakaratasi ikadondoka kutoka hapo juu yakitanda mpk chini nakupasuka vipande
upo vizuri sana katika ushauri wako mama swari sasa iyo nguvu ya ulimwengu nimtandao gani au nikitugani samahani kama nitakuwa nimekukwaza naomba kunua
Nipmepokea
Ahsante Sana aunt kw mafundisho yako ya nguvu za universe,Mimi nimeona matokeo makubwaa kupitia maji na chumvi,barikiwa Sana kw jina la Yesu
Asante sana dada kwa mafundisho mazuri. Niko tayari kuamini nguvu za universe, amen
Asante sana.namimi nintahakikisha nintahakikisha namjua mbaya wangu,maishs yangu yanabadilika.kwanguvu za univas
Asante sana Mimi ni mgeni kwa wiki mbili sasa,nimeanza kushudia vizuri nguvu za universe zina uwezo kabisa,mungu akupe nguvu za kutuelimisha,asante
Dada ahsante mnoooo kwa maajabu tu ninayoyaona kabla hata cjaanza kufanikiwa kwangu inatosha kusema ahsante dada nitafata hatua zote mpaka nifanikiwe na kwenye pesa
Nakutakia mazuri zaidi 🤝 ❤️
Uko vizuri sana mpendwa nimekuellewa, unadar
Asante kwa maelezo yakoje naweza kuweka limao nagrasi ya maji kwa siku moja
Hapana, fanya mbinu moja kwa wakati mmoja
Asante mama Mungu akubariki
Ahsante kwa somo zuri
Asante dada yakibaki maji meupe nayaoga
Ahsante dada
Asante sana
Shukran sana
Asante nikotayari kwanini nguvu za yunevercity😊
Asante dada tupe ya kushinda tunaobeti sasa
Kbsa team 20 unakuta 2 zinachana au moja
Asante saaana kweri kutuj7lisha ilo
Dada mm ndani kwng kuna ndege wamejenga viota vya nyas je ni ishara nzuri au niwatimue
Ishara nzuri sana,usiwatoe
@@NGUVUZAUNIVERSE utanuwia maneno gani wakati wa kuoga hizo dawa?
Chumvi hii haitakiei kukaa wazi kwani inavuta vituhasi sasa maduka i utakuta iko wazi .Je tunapoinunua ktk hali hiyo inakuwaje? Itafaa?
Ibariki kabla ya kuitumia
Hi dada nina tatizo hilo nitatumia tiba hii asante sana h
Asante dada ninashukuru kupata mafunzo mazuri
Karibu 🤝❤️
Tajiri mwenye baraka na mafanikio makubwa ni mimi 🙏🙏
Yani nimeona.matokeo❤
Napokeamuujiza WA kuondoa nguvu mbaya ndani mwangu
Asante dada
Napokeya muhujiza wakuondoa nguvu mbaya ndani mwangu
Ok habar za Leo? Je unaweza kutumia glad ya maji pamoja na kuwasha mshumaa kwa pamoja kuondoa hizo nguvu mbaya ? Yan kutumia vyote kwa pamoja?
Thanks so much
You're welcome!
Ahsante kwa mambo mazuri
Karibu 🤝❤️
Napokea Nguvu Mpya Kutoka Kwa Universe
Sawa dada ngoja nijaribu
Nipo karibu kupokea muujiza
Dadá kwanza nikushukuru Kwa somo lako mungu Akupe zaidi ya unacho kitoa asante pili swali nifanyeje ili kudhibiti ninacho kipata kiweze tulia
Karibu Sana,, hakikisha nyota yako ipo vzr kila kitu kitakaa sawa
@@NGUVUZAUNIVERSE madam samahani ili kujua kama Nyota iko sawa nifanyeje pia nimetamani kujua zaidi ni vitu gani au Chakula gani tunapaswa kutumia ili kukaa sawa tusisumbuliwe na matokeo mabaya kwenye maombi
asante
Nashukuru sana lakini ikiwa huna choo cha kuflash unafanje
Napokea muujiza wakuondoa nguvu mbaya katika maisha yangu yote
INAWEKWA VYUMBA VYUMBA VYOTE AU KIMOJA TU?
Ahsante sana
Nataman sana niisome elimu hii nitaipataje?
Asaante
Asatee kwa somoo
Nimekubari nitafanya
Uko vzr dada
🙏❤️❤️
🎉dada nitumiye numero zako mafudisho haya ni mazuri saana
Napokea nguvu moya kotoka kwa universe
Assant saana dada yangu
Dada mimi ni muumini mzuri sana wa nguvu za ulimwengu na zimeniletea matokeo chanya kifedha,sasa nauliza kila nilalapo huwa huwa nastuka usiku wa manane kwa ajili ya kenda haja na wakati huo huo huangalia saa yangu katika simu kuna muda nakuta 2:02 au3:03 au4:04 na siku zote nikiona hivyo huwa silali tena hutafakali na kuanza kumwomba mungu mpaka alfajir je nimakosa?
Kuna Somo alilifundisha kuhusia na hiyo mida
Haya maji ya chumvi, limau na mshumaq unaweka siku moja au siku tofauti?
Sikiliza video,, utapata jibu la swali lako
Nimekosa mteja wakuuza nyumba wakitizama wanapenda hata pesa tunakubaliana ila wakiondo tu awarudi tena nifanyeje ???
Samahan hiyo karafuu na mdalasini sio lazima iwe ya unga hata magome yanafaa
Yani apo umenisema mm kabisa
Jambo je!ku flash Ndio uni?
Kuoga hiyo ni maji ya aina gani yaani ya moto au ya baridi?
Kama je nikiweka sebule i??
Ma ukitaka kuogea chumvi na hiyo mdarasin pamoja na karafuu unaweza kuogea hata choon au bafuni
Bafuni
@@NGUVUZAUNIVERSE sasa la guns Bafi unaogea choon utafanya je kwenye nyumba za kupanga
Asate dd
Amina
Nitumie ujumbe wa Kinga yenye2e
natamani kujuakuondoa nguvu mbaya ndan mwangu
Akikuja Na kusimama Kwa ukuta tu afanyi kitu chochote inamaisha aje?
Ninaweza ogea chumv na mdarasi pamoja kwaajili ya pesa
Ndiyo
Amin
Kama unaixhi kwenye nyumba za udongo
Nina watito wangu walikua waerefu but wamefika hawapiti vuzuri masimo yao nifanyeje dada
Nikotayali kujiunga nanguvu za yunivas
dada mambo
Asante sana dada
Pia unaoga kwa muda gani?
Je, baada ya kufanya Hilo zoezi hazita nizuru yaani kuleta madhara
Mimi choo limeungana na bafu nafanyaje niweze kuoga bafuni?
Mi pia choo kimeungana na bafu nimehamia bafu la nje ili niwe nimefuata mashariti hadi hapo ntakapjenga bafu zuri lililojitenga na choo😅
Naomba urudie pale kwenye mdalasini
Hiyo venegi inapatikana dukani au wapi
Ndiyo dukani
Nimelima shamba la mpunga lilikuwa vizuri lakin nahsi limeharbiw kichaw mpunga unaharbika tu nifanyaje
Asante dada number yako
Napokea muujiza wa kuondoa nguvu mbaya ndani mwangu
AMINA
Au ni lazima utumie njia ya kwanza ya glass
Chagua mojawapo fanya
Dada naomba Unieleze Namna Ya Kutumia Olive Oil
Mimi napenda kujua inapatikana wapi nionane na wewe live.
Mdalasini na karafuu za unga za faa?
Ndiyo, unaweza kutumia
utupemae lekezo ya kuondosha nguvumbaya ndani namwilini
Tazama video yangu mpya nimetoa Jana tu
Pia nyumbani kwangu kwenye veranda wamejenga mmbu wengi juu ukutani. Nimeshindwa kuwafukuza kwani ni wakali kweli.Nazo hizo ni isshara gani.
Zipo dawa nyingi sana za kuua mbu
He ukimwaga maji unamwaga pamoja na hiyo chumvi au
Mbona uaneshagi sura Yako Jaman
Limao na chumvi ya kwenye maji unaweza tumia vyote kwa pamoja
Chagua mbinu mojawapo
Iyo limao unaweka siku ngap?
Masaa 24
Na unaoga wakati gan au mda wowote tu
Muda wowote
Alafu muda wa kuoga ni siku ngapi
Jambo dada na weza Pata namba ya kwako ya upeke ?nataka maogezi
Njoo inbox Facebook
Nauliza paka ana madhara gani ikimfuga nyumbani ?
Hana madhara
Kwa nguvu ya ulimwengu napata ushindi wa mafanikio kwa kila jambo
Naweza ogea chooni?
Hapana
Unaweza funikia ukiweka maji na chubi
Nitumie number yako Kama hauna hela kabisa utaweza
Mamy nimeweka maji nachumvi kwenye glas baada yamuda glass ikavunjika itakuwa ni nn mpk ivunjike
Imevunjika yenyewe au ww umeivunja
Hapani sijaivunja bali imevunjika niliweka sehemu pembeni yakitanda muda huo nilikuwa ndio namalizia kifanya maombi ya mshumaa nakaratasi ikadondoka kutoka hapo juu yakitanda mpk chini nakupasuka vipande
Km nishida nijulishe mamy
Naitwa rama swali nihili sasa nangumvu mboya ziko muwilini zenyewe zinaondoka kupiya hiyi tiba ya chumvi ao limao
Kusafisha nyota yako
Naomba namba yako mm ninashida ninaitaji uni saidie
Hvi vitu mdarasin na chunvi haukosi pesa
Nikipata number Yako itakuwa mbora.
Huo mshumaa unaweza kuuwasha usiku
Muda wowote
Dada mimi nlieka maji ya chumv kwa cku saba lkn hayajachafuka
Hakuna nguvu hasi