Jinsi ya kufanikiwa kinyota | Madini ya Risasi Part 2
Вставка
- Опубліковано 19 вер 2024
- Mafanikio huja katika njia tofauti tofauti,
Moja kati ya njia hizo ni kupitia nyota husika ya mtu... Huu ni muendelezo wa mafanikio ya kinyota unaopatikana katika playlist hii
• Chanzo cha Nguvu yako ...
Ata kama amnip like zeno ila leo nimewai kukoment nimekua w kwanz
Wew ni genius wa kiroho,shukulani mungu akujalie
Ahsante sana kuvaa mwilini jiwe risasi hamna madhara?ninalo kwenye pochi vp inafaa?
Asante sana kaka...
Hello Doctor.. kwahiyo madini ya risasi ni perfect fit kwa watu wa Aquarius? Jiwe zuri kwa ajili ya Aquarius ni Amethyst.. kwahiyo jiwe la Amethyst likiwekwa kwenye Pete ya risasi inakuwa ni perfect fit? Je kumeditate siku ya jumamos mtu akiwa amevaa madini ya risasi ndani ya muda ulliotawaliwa na Saturday ni best meditation? My mind is blowing with alot of anhaa! And questions
Asalaam alykum mwalimu shukran mashaallaah kwa darasa lako
Waaleykum salam asante
@@rakimsspiritual Asante Sana Baba Rakims Spiritual Kwa kutufunza Mambo mazuri na Jinsi ya kuishi katika dunia hii. Sasa Baba Rakims Spiritual hayo madini mtu anaweza kuyapata wapi kama sisi wa Kongo mji wa butembo wilaya ya Rughenda karibu na uwanja Wa ndege.
Assalamualaikum aleikum shukrani maalim Leo nimekuwa wakwanza kusikiliza darasa lako
Waaleykum salam asante
Kaka naomba muongozo wa nyota yangu tafadhali najua nyota yangu ni simba lakini maisha ninayoishi ni shidaaa tupu msaada tafadhali
Maongez mingi unaacha mada husika unapoteza muda mtaalamu wetu
Maalim naipataje hiyo pete ya madini ya risasi
Capricorn tunaweza kuvaa risasi pia na garnet kwa pamoja. @ramkis spiritual
Nijibu mwalimu
Mm nina nyota ya mbuzi nimezakiwa january 01....Nashukuru nimetambua aina ya madini ninayotakiwa kuvaa ambayo ni risasi....Naomba kujua kito ninachotakiwa kuweka kwenye pete hiyo...
Hey ni jiaya gani raisi yakuita jini atokea saiyo naumiki
Naomba namba yasm yako nataka kuasiliana nawe, naitwa mwema
0783930601
Jina la madini ya riisasi Kwa kizungu ni lipi
Lead
Maalim nataka kufahamu ni kwanini nikivaa pete ya dhahabu inapotea kwenye mazigira ya kutatatisha nimeshapoteza pete nne za dhahabu yajibu yako yatanisaidia sana kuelewa tatizo
Zaidi hii inategemea na nyota yako... pia kama ni mwanaume basi likuepukalo lina heri na wewe.
@@rakimsspiritual nawapataje kwa dua
Nimependa saana elimu unayoitoa, ningependa kujifunza Zaid, nifanyeje Ili niweze kujifunza elimu hii systematically???
Endelea kufuatilia channel hii
Unapatikana wapi shekh
Whatsapp +255 783 930 601
Rakims madini haya naweza pataje kito chake
Inategemea na nyota yako
Kwa hyo mpka ujue nyota yako ndo ujue Pete yako ya bahat?
@@linajoseph5296ndiyo
Sasa ukitumia pète yoyote inawezekana?
Hapana
Hii pete ntaipata wapi hapa mombasa?
Wasiliana nasi kwa whatsapp 0783930601
Hii number haipatikani jameni
Mimi nimiongoni mwaware wanaweza kutumia pète yarisasi nitakupataj?
Wasiliana nasi 0783930601