Roma Feat Maua Sama - Celebrate (Official Lyrics Video)
Вставка
- Опубліковано 15 жов 2024
- Lyrics video by Roma performing Celebrate (Official Audio) Feat Maua Sama. (C) 2024 Roma Mkatoliki under exclusive licence to Vydia.com
DOWNLOAD - vyd.co/Nasikia...
Team Zimbabwe najua watagonga like hapa
Watatu jomn lk🎉
Wimbo mzuri❤
Anaitwa Roma na HANAGA KAZI MBOVU
huuu mwaka kwa roma wakenya wangapi tumefika hapa sasa tusonge wote
kama unaaamini mungu atakuinua huu mwaka sema amen tukisonga na mziki mzuru from roma na maua sama
Sema nyimbo nzuri tu sio mbaya
viva Roma kiukwel unatoa vigongo vikali nyimbo zinait kaka usikate tamaa piga kazi
Naon Viva Kapaniya Kihukwel Unazid Kutupa Vitu Tunapenda , Sama Her So Talented 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Viva Roma ngoma kali sana Maua kama kawaida yake nae hanaga kaz mbovu safi sana
🔥🔥🔥🔥hichi ndiyo washabiki wako ndiyo tunahitaji siyo kutoa Ngoma ya aina moja tuu! Hapa sas ndiyo furusa ya kupata watu wengi
Wamelamba joker wamemalza na mavii😂😂😂 #fundii roma gonga like hapa kama umekubal hii ngomaa
Habari unaye Soma comment Kenny Bway kaachia ngoma kali kamusikie
Mauwa nakupa mauwa yako🐲🌵🎄🍀☘🍃🪴🥀💐🌷🌹🌹🔥🔥🔥
Kwani Roma na huyu ni mtu na mkewe maana kila jambo lao linaenda ❤
Hii inaitwa kitu juu ya kitu
Kaka umetisha sana❤
Huu mwaka ni wa mzimbabwe Respect 🙏 hili goma kali sana 👊
Yaani Maua Sama nyie😍
Mwana Likwe likwe Umeua sana 🥇
Waumeeee nzenzeeee mgoc kashika kipaza huku disko linapasuka tuvineee waumee
Anhaa nkajua darassa kumbe roma
Oyaaa awa watu wanajua sio utoto ulotoka jana usiku
Ginius umetisha sana mzee baba
Hyo staili anaweza Darasa2
happyday
Huu Jama mwamba kbx hujawahi niangusha, Viva Papa benedict✌️✌️✌️
Tunakuja wana andaen mazingira
Dah nakukubali kakaang
Huyu maua sama jamani daaah my God bless you
Mbona kama darasa sasa
Yaani hii ngoma ingekuwa imetoka December,,, ingekuwa tamu maana kweli watu walikuwa wanacelebrate.
Saivi unaweza celebrate wakati BILLS kibao.
Ada,,,,,, kodi,,, Madeni etc 😀😀😀...
Anyway ngoma kali,,😎😎🎉🎉🎉
Mbona roma kapita flow za DARASSA.... au naskia mwenyewe
Uko sahihi.
Kaka Ibra mbona zinakuja mfululu hivi,tupe time bado harufu inasikika sana.
Hatujakozoea ukiimba hizi ngoma kk wala haziendani na ww,Ww force na hip hop tuu😮😮😮
Big up brother umwaka ni wako
Duuhuu!!! Mbna Kali sana
sema mwamba fanya urudiii mzee
💐💐💐💐💐💐 maua Yako hayo maua sama
Nimetayarisha bustani,naomba mbegu ya MAUA SAMA. Baba wa imani ikikupendeza chukua na huyu ndani ya ROSTAM
Yan ukikuta collabo ni roma X sama, juwa hilo jiwe ni zito balaa
What a banger from Queen billionaire sama and magic Roma😓
Ngoma kali sana
Ngoma kubwa rhymes of magic attractions
Roma nyoko zako hii kitu ni balaaa
ROMA sikuzote yupo flexible 😂😂😂😂😂 nakupa 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉yako mkuuu
Mimi nipo hapa yooo Nani mwingine
Roma always remains to be Roma. Hii ngoma inaweza kukufanya udance huku unatembea
Big up for this collabo
Wameramba jokeri nimemaliza na mavi...huu mstari unatosha kutengeneza nyimbo ngingine
M.A.U.A yako mengi R.O.M.A🎉
Huyu roma hatuachi salama harufu bado
Ya ukali brother
Wakwanza leo😅.. npeni likes zangu🎉
Tukichukua kikombe zanzibar wakat tunarudi tuenjoy na Hilo goma🔥
Team Roma mpo wap
Bonge moja la ngoma
My man mkatoliki daima Asante kwa kupokea maua ya sama
Hajawahi kukosea mwamba rudi nyumbani
Bongo kuna wasanii wawili t wa muzuki ni maua na roma
Hakika hamjawai kuwa na combination na kizembe ❤mme uwaaa
Mwaka umeuanza kwa nguvu Kaka!
Nakubaliii mzeee wa naskia haruufuuu
❤❤❤ mtu mzima kaaaamua VIVAROMA 2024
Roma ft Mr blue ikowapi? Mbona umeyikawiza sanaa
Ifike wakat wasanii kama hawa wapew maua yao serikal ikiwaleta kwa pamoja hawa wasanii nch ingekua na mshikamano na umoja wa hal ya ukilinganisha na nyakat za nyuam
Viva roma unajua bro sema njoo kwenye taifa lako
hapo ndo naamin kua unafanya muzik ❤❤❤
❤❤unyama sana
Hili dude ni moto 🥇🥇🥇🥇🥇🥇🥇🥇🥇🥇🥇🥇🥇🥇🥇🥇🥇🥇🥇
Tokoos viva roma✌☝❤
From Kenya bro hii noma sana
roma piga ngoma moja na prof j
Mzee unajua kuimba kazi tanzania die msani na mkubali unajiamini
Ngoma kariii sana🇹🇿🇹🇿
🎉🎉uko moto brother #vivaroma🔥🔥
Yooo mm ndo nime malinza kusikilinza kitu
Ngomaa kalii mbonaa 😅😅😅😅roma x sama never disappoint
Ngoma nzr bwana roma keep good work bredah watching cape Town
Hii ni ya moto kabisa 2024 viva roma viva
Maua sama katisha sana
Huu mwaka #VivaRoma umeuaanza vizuri chuma kingine ichi ni🔥🔥
Mnaona hii ngoma imefanan na enjoy
Sana mwamba wetu❤❤❤❤❤
Nyimbo tamu
Kaka saivi naona 👀ni mwendo wa ngoma juu ya ngoma💥🔥 let us celebrate .Sema hayo maua ni mazuri ushajichukulia wakati hatuja kupa😂😂😂😂❤❤❤🙌🙌🙌💯
Kama una mkubali roma like apa🎉🎉🎉
big up Sana 💪
wimbo mzuri ila kama darasa style, nimeipenda ngoma poa sana
Bonge la wembo bro congratulations kwako❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Roma huyo anakuja kuchafua Away ya Marioo
Mungu anatublesss baaaaaas
Roma 💪💪💪🙌🙌🙌
TUTAELEWANA TU HUU MWAKA 2024 😂😂 NA HII WATASEMA MAUA SAMA KAKUFUNIKA 🏃🏃
Wimbo mkubwa
Roma nakukubali ila hapa hamna kitu
Kama umeamua iwe back2back iwe kwel, Isiwe ges ya soda sasa🙃
Weka shida kando tucelebrate💥💥
The great Roma thanks for nice song
Best rapper in Tanzania ,msani wa hip hop mbunifu unakila kitu wengi wazuri ila ww una class yako roma zimbambe respect unanivutia kupenda zaid hip hop nakuamin na weza na ni rahis kwajinsi unavofanya
Viva roma🎉🎉🎉🎉🎉
Sa ndo Nini😆
Good music bro n' my sister sama