Це відео не доступне.
Перепрошуємо.
ROMA - Derby (Paka & Panya) Feat Latifah
- Додати в
- Мій плейлист
- Переглянути пізніше
- Поділитися
Поділитися
Вставка
Розмір відео:
- Опубліковано 4 чер 2024
КОМЕНТАРІ • 983
Наступне
Автоматичне відтворення
ROMA ft Abiud - Nipeni Maua Yangu (official Audio)VIVAROMA
Переглядів 2,1 млн
ROMA - Story ndiyo Itakayobakia Feat One SixVIVAROMA
Переглядів 109 тис.
Derby (Paka & Panya) ft. Latifah (Lyrics Video)VIVAROMA
Переглядів 74 тис.
Это реально работает?!БРУНО
Переглядів 4 млн
Анна Трінчер - Зі смаком вишні (Official Music Video)Анна Трінчер
Переглядів 841 тис.
لااا! هذه البرتقالة مزعجة جدًا #قصيرOne More Arabic
Переглядів 27 млн
«Hummer - ласа ціль для окупанта» #shorts #війна #зсуСуспільне Запоріжжя
Переглядів 179 тис.
Wajomba Feat Dogo Janja - Haya Mambo (Official Audio)Wajomba
Переглядів 15 тис.
KIMBEMBE:TUNDU LISSU AUCHAMBUA WIMBO MPYA WA ROMA MKATOLIKI, "SISI NI PANYA WAO PAKA" AFICHUA MAZITOBONGO NEWS. 88k. 1 hour ago
Переглядів 44 тис.
Nandy ft G nako, Joh Makini, Rosa Ree, Khaligraph Jones, Moni & Stamina - DAH Remix (Official Video)Nandy - The African Princess
Переглядів 3,9 млн
ROMA - Punguza Ushauri Feat Nay wa Mitego & AYVIVAROMA
Переглядів 96 тис.
Kontawa Ft Harmonize - Binadamu [Official Music Video]kontawa
Переглядів 1 млн
Aslam Tz - Turudiane (official Audio)Aslam
Переглядів 22 тис.
ROMA - Nishaachana Naye Feat PhinaVIVAROMA
Переглядів 79 тис.
ROMA - Nitasimama Tena Feat AbiudVIVAROMA
Переглядів 166 тис.
ДИНАМО - РЕЙНДЖЕРС | Ліга Чемпіонів. Кваліфікація Q3 | 06.08.2024ФК «Динамо» Київ
Переглядів 336 тис.
Я НЕ ОЖИДАЛ ЭТОГО!!! #Shorts #ГлентГЛЕНТ
Переглядів 2,1 млн
Чистка пляжа от мусора и находокFD Vasya
Переглядів 6 млн
Алексей Воробьев - Всё остальное - лишь товар. «Профессор Тод Лебен» (лекция №5) Автор - А.ВоробьевАлексей Воробьев
Переглядів 2,6 млн
Это реально работает?!БРУНО
Переглядів 4 млн
Fast and Furious: New Zealand 🚗How Ridiculous
Переглядів 45 млн
Каха заблудился в горахК-Media
Переглядів 10 млн
😳 Все русские уже знают итальянский?🇮🇹Super Italiano
Переглядів 1,7 млн
Makonda aliivamia mawingu,(Claus media) na panya wa kigoma zitto kabwe,na mtoto wa kambo ni makonda ,kama umemuelewa kama nilivo elewa Mimi gonga like
Kama tungesema SU New york ingehamia Chato dah Roma nomaaaaa
Rest in peace JPM tulio wengi tunakuombea 😭😭😭😭😭
"Mtoto wa kambo akapewa Toyi la Dar alichezee" Huu mstari bana
makonda
Mtoto wa kambo kapewa tena Arusha
Huyo Dada kwenye korasi amevua vibaya mno!
Roma umetoa majibu ya maswali mengi sana tuliyokuwa nayo tangu ulipotekwa
Ndomaana katika mabojiano alikwepa kujibu kila alipofanya interviw
Uyo Dada 🎉🎉🎉🎉🎉ametenda haki🎉🎉
Kama umekubali Latifah kapiga kolasi kali gonga like twende Sawa
"Bado vita havina Suluhu na Kupona ni Majaliwa " Kama Umeikubali hii gonga like twende pamoja
Sikuweza kuisema pombe nilijua ningepaliwa...
@@frankkotte117😂😂😂😂Majaliwa labda Mwenyezi Mungu anawezajalia.
Huyu Latifa kaka nampa maua yake mapema 🌹🌹🌹🌹🌹
Kweli huyu latifa ni mtu na nusu yan kiitikio ni kikali san
Ngoma kali sana brother wachane hao mwanangu wewe kweli ndio mwanahalakati kama 2pac unachokisema kwa Wale waelewa huyu mtu ni kichwa sana sio hadi Afe ndio muone umuhimu wa roma salute you my homie fight for us bro👊👊👊🇹🇿🇹🇿🇹🇿
WALIO JIONA WAZALENDO WALISOMA NAMBA YA KIRUMI UKIKOSEA MIUNDO MBINU TU UMEHUJUMu UCHUMI 🔥 🔥
Ukikosoa sio ukikosea
🔥🔥🔥🔥🔥
Dahhh mr president tutaanzisha chama cha wanaharakat tukupe uraisi amini utashinda uchaguzi❤❤❤
Tayar nshaambiwa nihame uku maana tangu asubh n derby inapigwa tu volume 80. Sina tatizo na Ngoma zako maana zinataka utulivu kusikiliza.❤❤ 🌺 🌹 🌹
Mwanangu Ibra umeunguruma sana humu ndani. SOLIDARITY!!
Hii nchi ngoja ninyamaze tu lakini niseme magufurification of Africa haitasahaurika na hakuna atakayejitokeza tena nchi hii kuwapigania wanyonge kama alivyokuwa magufuri never rip mzee baba
Rest in peace Magufuli ulitenda vema na wema wako tuta ukumbuka zaidi, washenzi washenzi ndo hawajui wema wako
Hii Ngoma hatari sanaaaa keep it up broo Roma ww ni kama lenzi Kwa wasioona
kama una mkubali roma gonga like hapa
MKALI WA RAP
Walio jifanya wazalendo wakukosoa Maendeleo
Walipewa kesi ya uhujumu uchumi🎵🎶🎶🔊🔥🔥
Oyaaaaa Mwanangu Roma Mkatoliki umeua umemaliza kila kitu bablaii Huyo Panya wa kigomaaa 😂
Mtu mmoja alike comment yang ili badae nirud
Fala kweli ww
kwesha
Paka paka tu mapaka Afe ndo Panya waongee. Ndo umejitokeza kumfunga Marehemu paka kengele. IZZO B ALimwambia Ridhiwan aongee na Mshua. Sasa ongea na mtekaji aongee na mama
Congratulations to you my brother Roma tu nataka urudi tena Afrique. This is king byam's from Burundi🇧🇮🇧🇮🇧🇮 i'lk you so much my brother
Paka aliyemteka Roma sii ndiye aliyevamia MAWINGU (clouds fm)🔥🔥
😂😂😂😂
Fact 👍
Tukaskia kidoti ndio 🤱. Baby 😮😮😮 ,kama nawewe uliskia weka like
Huyu ndo msanii Bora wa Hip hop na mwana harakati kma Nay wa mitego.
Ngoma kali na ujumbe mzuri lakini bdo saa paka shume kaondoka ssa ivi tuna paka jike
Ukikosoa tyuu miundo mbinu umehujumu uchumi
Wimbo Bora wa mwaka huu 2024
Ila aliemteka Roma au baaaaas😂😂😂
Aliyevamia mawingu (maana yake aliyevamia clouds FM)
Hhh kasema aliyeenda kuvamia mawingu(clouds media) ndiye aliyemteka inamaana Makonda
Ndo alieteka mawingu hahaha
😂😂😂😢😢 alie vamia malindi Bana 😅😅
Baada ya kusikiza huu wimbo nilisema kumanina Wallah
Ngoma kali wazee
Vita haina Suruhu kupona ni Majaliwa....Kwakifupi nchi hii inamuhitaji MAJALIWA roma kama nimemuelewa hapa
Uko sawa
Hahah ila harmonize😂
Fact 👍
Napenda the way Roma anaendelea kuwapa shavu Fresh Artist naamini mimi pia one day #NIPENIMAUAYANGUTHEALBUM❤🙌
Huu wimbo mpaka uwe umepata A ya mathmati. Ndio utaelewa
achana na hao wapenda michuzi... utakuta mtu anatoa macho eti wimbo mbovu.
💞
Hakika
Niyeye ROMA alie toa Album kali sana tumusapoti 💪💪💪💪🤝🤝
Ishi Sana Bro ALLAH akufanyie wepesi katika Dunia na kesho Akhera Amiin 🤲
Goma la kwenda hili Roma ila Magufuli atabaki kuwa Rais bora zaidi kuwahi kutokea Tanzania ❤❤
Chorus ya huyo sister niiii fireeeee
Ni kweli kabisa, RIP JPM
R.i.p my president JPM😢
Nimeitafuta hii comment Kwa mda mrefu
Acha unafiki
Unataka kuongea nn ww Nan kama magufuli nyie ndioo wanafki wenyewee Sasa Aya Sasa SEMA raisi wakoo boraa paka ww@@SalminRahis-kd9sv
Nyimbo 1 albam tatu za mr korosho kama unakubaliana namim gonga like twende
Haya wale mashabiki wa Ile Album ya kumsifia Chifu Hagaya njoon hapa mtoe povo 💪💪💪 Roma
Kwaiy paka ndo mwenda zake panya anatawala 😢😢😢mmd duuuh
Huu wimbo umefanya nimefuta nyimbo zote za harmonize
😂😂😂
😂😂😂😂 subir comment ya harmonize kwa comment yako
😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂
the number one song in 2 days mrejee hapaa 1 in treding....
Ipo siku nyimbo za Roma zitatumika kufundisha historia ya Tanzania.
Sure
Labda somalia
@@vincentcharles4385
Kwanini ndugu?
Ukiacha mashairi mzee flow's n hatar
Roma kwa huu wimbo Mbingu zinafunguka Mungu akubariki sana
Daaaaah bro nyimbo imebeba hisia sana 😢 big up sana
Kumwelewa huyu mwamba kunaitaji kichwa mwamba mm nakupa 🌹🌹🌹🥀🌺🌸yako kaka mungu akusimamie ktk safari yako
Sema huyu dada Latifah ameua sana kwenye hii ngoma
🙌🙌🙌🙌❤
Tuliomjua Paka aliyevamia mawingu, tugonge likes hapa.
Huyo paka alivamiwa clouds fm😅
Wanaharakati walimsaka Ben hadi saa nane
Ni wale wahasibu wa Daladala Asa hivi yuko na Wadudu wa A City😂😂😂😂😂
ila roma ni moto wa utunzi
ua-cam.com/video/66Qq6RjxAjI/v-deo.htmlsi=7eCqqIH_rV_cTze3❤
Roma asipewe tu Maua yake. Ajengewe sanamu kabisa.
Kenya 🇰🇪 tunasema East Africa Roma Top 💯🔥
Umetukosea kaka
Kumbe kunamda hata saa mzima husema uongo😮
Kali sana like nyingi team roma
Latifah kaua sana 🎉🎉🎉.Roma huyu mdada ulikutana nae wapiiiii maaana ndo kwanza anasikika na ametembea sana....kama mkongwe wa game.
Kweli kabisa huyu dada apewe pongezi zake tu
Kenya njooni hapa,this is now hiphop,si kuimba mapenzi na drugs saa zote,Hii ngoma unafaa kuiskiza kama mara 10 ndo ushike anasema nini,big up Roma,this is why i love Hiphop
Tz wazee wa hip-hop ni roma, nay, dizasta,nacha wengne sijawaelewa ila nay na roma wajengewe sanam paleeeeeee makumbusho😊
Ata lugha inawashinda wapuuzi wanarudi kuimba kilugha
Ebana eeeeeeeeeeeeee bonge Moja la Ngoma🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Hapa huyu paka ni nani mniambie tafadhali Watanzania 🇰🇪🇰🇪..
Kama unaamini hii albam ni kali zaidi ya yule muuza korosho like hapa
Ruto😢
Kamuongelea marehemu Magufuli kwa 90%, na Makonda kamuongelea kwa 10%(kuhusu kutekwa)
Li magufuli kudadaek
Paka Hayati Magufuli na panya ni Msaidizi wake
Anadiss maiti huyu😂😂😂
Vita vinasuhu kupona nimajaliwa. Kama umeelewa gonga like👍
Roma mwanaharakati wa kweli tz
one love bruh, msemaji wetu katika harakatii za hip hop
wale tunao mkubali Roma gonga like 👍🏾 tukisonga mbele 🤲🏾🤲🏾😅🔥🔥🔥
Roma kaka miaka yote hujawahi kosea nakubali sana
Roma apewe maua yake, kama unampa huyu mwamba maua comment hapa au like
Yaa ndo nyimbo tunataka sisi 🔥🔥🔥
Ok nyau nyau nyau atamfunga nani paka kengere😢
Roma siku moja ufanye colabo na tundu lissu. Mtaua Sana kwenye hiyo ngoma
Bado vita haina suluhu nakupona ni majaliwa sikuweza kusema pombe nilijua ningepaliwa!!!🔥🔥🔥🎵🎵
Ngoja niwaambie ukweli watanzania iko hivi unaweza ukawa unamchukia mtu juu ya matendo aliyo kufanyia lakini ukawa unampenda kwa kazi alizo wafanyia walimwengu niseme tu Mungu akunariki Roma, Rest in peace Mzee wetu Magufuli ❤❤❤❤
Nina saanaa
Kwani aliyemteka Roma si ndo aliyevamia mawingu.... Hapo sasa
Clouds FM
@@onesmongenzi3471 makonda ndo alimteka mwamba
Clouds hiyo
Naogopa mimi 😮😮 Arusha mpooo
Hiiiih ndo baba lao 🔥🔥🔥🔥🔥 umeuwa sana kaka
Mze wa kujilipua🎉🎉❤
Mmmmmmh kaka we ni mtu na nusu bro👍
“Bado vita vina suluhu na kupona ni majaliwa nisingeweza kuisema pombe ningejua ningepaliwa”
Majaliwa ni nani huko 256 juu sielewi Mimi please
Panya wa kigoma waliyemjua wa like twende sawa😂😂😂😂
Zitto Zuberi Kabwe😂
😂😂😂😂😂@@abdulmohd6880
Jepesi Kabwe😊
Zitto mwinyi
Zt
Latifa ni next level, mziki una fitina wanaojua hatuwajui wasiojua ndio wanasumbua frequency za redio
Oaaaah kaka mekubali aseee,,,, Sema just pull up pengine ukashikilia hip hop kama afande sele
NAOGOPA HADI KUICHEZA HII NGOMA MAGETONI🙌
😅😅😅😅😅kwann tena😅😅
Inaelewekaa vizuri 😁😁🔥🔥🙌
Icheze tu kaka mbona frshi tu
Uwe na mwanasheria🎉
Kwa kweli 😅😅😅😅@@yusufuyunusu7145
Bado vita vina SULUHU na kupona MAJALIWA....kama una D 2 huwezi kuelewa huu mstari
Doooohhhh jameni hii ni moto tenaaaaaa ❤❤
Oyaaa we roma ni roma wew kama unamkubali roma piga like apa
Ya moto sana Ujumbe umefikaa penyewe😀😀😀😀
Big up sana bro
Kwanza ujumbe mzuri
Pili umetumia lugha ya kisanii
Tatu umetoa kwa mda sahihi
Nne umemshilikisha mtu sahii
Basi gonga like kama na wewe umeyaona haya🥰🥰👍👍👍
Hivi huyu latifa ni nani yan kajua kuuwa tumpe mauwa yake tu🥰🥰🥰🥰😅👍❤❤❤
Hii albam sio poa song zote roma ntakuja kucoment tena nkielewa nyimbo maana nmeamua kubadilisha playlist kwanza niweze kuelewa maneno yako
Roma tunakupa urai Kenya .bless up
Roma we mwanangu ila kwa magufuri mzee hapan 🙌
Daaah umeuwa Sana Kaka humu ndani ❤❤❤
Oy uyukamaa inafikiria ni mwambaa❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Bado vita ina suluhu kupona ni majaliwa skuweza kuisema pombe ningejua ningepaliwa 😊 da
Roma wewe ni mkali sanaaa huna mpinzani hapa bongo
”Panya wa Kigoma haeleweki, hatabiriki. Kuna muda Wenzie wanagoma, ila yeye anasaliti..” Dalali Zitto na ACT mkuje Kuna ujumbe wenu huku😂🙌🏾
Wow💪💪💪 nakukubali Big
From 🇨🇩 Congo
Daah usanii kazii, IQ kubwa Roma, nmeanza kuchambua verse moja moja na bado hollaaaaa😂
Naombeni summary
😂😂❤Demu wangu ashazoea hip-hop sababu Kila akija geto playlist yangu ningoma za Roma round Moja naanza na mathematic, viva Roma, 2030 alafu nakojoa kwa Zimbabwe dk kama 20 Sasa naongeza albam my jmoc tare 8/6/2024 njoo ujipakulie pumbu na albam kama kifungashio😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
Mathematics mwisho kaka😂
Mbn akija Kwang anapenda afroest🎧🤣
😂😂😂😂
Tisha saana mtaalam ikibidi funga na booster kbsaa yaan mpka asemeeee🎉🎉🎉🎉
Panya wa kigoma msaliti sana mbwa huyu😢😢
Huyu jamaa kweli ni mwanahabari na sio rapa
Karibu nyumbani mwamba paka kashiba ili tudai katiba yetu
I love this song so much huyu mwamba mkali,na dada pia sauti iko on top
Daaah ulikuwa kimia sana kk
Da❤ huyu mwamba hatari sana mno ,
NGoma za mdau Yan nikisema nichungulie najikuta nmeckiliza ad mwsho one Love Viva Roma Viva
Bigup Roma, hujawahi kuukosea heshima mziki wa jamii, uko vzr kaka
Hujawah kuzingua kwangu nakubal sana kazi yako
😂katoliki for life wachape fimbo s wanashiba waooo paka hawakalibishi wacha watuachie shombo si wanalitafuta Arround the World
ROMA ROMA ROMA, Namuona Mkoloni ndani yako
from kenya; Roma kiukweli we ni🔥🔥 siku moja paka atatoweka na panya atatawala