SHABANI MPIRA PESA:AWACHOMOLEA BETRI WAJUMBE"NIWANAFIKI" |TAMAA ZA KUCHUMIA TUMBO ZIMETUFIKISHA HAPA
Вставка
- Опубліковано 10 чер 2024
- JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136. - Спорт
Tajili yuko vizuri moo tuna kukubali sana
Umeongea point sana mhe,Mo aheshimiwe kwa kazi nzuri aliyofanya,Kigwangala alikuwa wapi siku zote za nyuma,hivi anafikiri akipewa timu ataifanyia nini zaidi ya anachofanya Mo.
Watuachie Mo wetu aendelee kuipambania Simba kwenye usajili na ikiwezekana arudi kuwa mwenyekiti wa board.
Sijui wanaelewa 🧏bro upo vizuri wakishindwa waiachie timu
Mangungu na tiageni waji uzuru pamoja na wajumbe wote Ili tutengeneze timu mpya sisi
Wana chama na mashabiki tuna mkubali sana moo
Kaka nimekuelewa sana uko vzr umeongea pwent sana kaka unakili nyingi sana
Hawa wajumbe,,ndani yake kuna mamluki wa yanga,, mbona hawataki kuondoka? afadhali shangazi alijiudhulu huyo ni simba damu,,,waondokeeeee,,hawa wajumbe ni sawa unapomwacha mkeo halafu anakunadi eti kikojozi,,,
Acha kusingizia Yanga.
Kweli kabisa huyo masudi na wenzake ni wasaliti waachie ngazitu
Upumbavu wenu wenyewe muihusishe yanga
Kweli kabisa
Huyo Mr K, abaki kwenye kisamvu chake.
Wee bwana ni mtu pekee moaka muda huu Hadi TATIZO hili lijitokeze umesema kweli na kuwa na msimamo wako huo huo ninakupa maua yako , Mungu awe pamoja nawe. Aamin
Huyo kigwangara mjinga wawajinga ndiyo anachochea hu mgogoro
Na siyo hawafai tu watoke madalakani!waje wenye mapenzi na timu yao (Simba)
Boss moo nae anajichanganya ariwai kusema anawekeza kuwapa furaha wanasimba
Huyu naye ajui anacho kiongea,,anayetakiwa kuitisha vikao ni mwenyekiti mangungu hawa wajumbe mlitaka wakaongelee wapi?katiba ya simba inamtaka mangungu afanye vikao , Mangungu afanyi vikao ,,,timu inaendeshwa na Mo katika kila kitu....mnataka wajumbe waje wafanye vurugu nyie wanachama nini wajibu wenu
Wajibu wa wanachama ni kupewa taarifa sahihi na viongozi wai then wakayafanyia maamuzi pamoja. Kama huitishi vikao na ulikubali umepewa bilioni 20 but baada ya kuvurunda ndio mnadai hakuna pesa!! Hawana cha kujitetea.
Tatizo la simba ni wanachama wenyewe katiba walioiweka inawahukumu tajili alijua anaiendesha timu kwa kuvuli cha ushindi tu sasa ndio tunaona uozo wa timu wafanye wafanyavyo bila kuifumua katiba tabu itabaki palepale
Hamisi katoa kashafa mbaya anasema tumeingia kwenye ndoa na mke moja, yani kamtusi Mohamed kamwita mwanamke kwanini asitumie rugha njema
Hii timu yamoto kuhamia yanga
Unajua nn, hao kina try sijui mangungu cjui kina nani hao mnawaonea tu, shida ni mo, na km tungemwelewa kigwangala na mzee kilomoni tusingalifika hapa tulipo sasa mo ndo chanzo cha migogoro ndani ya simba
Jamani km hiyo mikataba mo ktk jessy hamjui na hamuulizii, ndo mtajua 20b iliwekwa au la!
Acheni kuchosha akili wakati mnajua nani ni tatizo,
TATIZO NI MO au huyo mnae mwita muwekezaji
Hamjui tu mnahangaika bure mo ndo angekua wakwanza kuachia ngazi
Achia wewe kushabikia simba mo wanasimba tunamkubali hata katika mishe zako seti mipango kwanza ndio uzalau kazi uliyo nayo
Jamani magugulu atoke na safu yake
Naomba namba yako ya Sim Kaka nikurushie vocha naomba unitumie breather chondechonde, naomba namba yako
Mo ata asitoe mia bado watu katutoa mbali sanaaaaaa
Kigwangala muhuni tu yule anataka team aunde yakwake au akanunue team chnga zipo kibao
Wanasiasa wanajua Simba ni kubwa Kila palipo na watu kumi 7 ni Simba ,wanatuvuruga ili wapate wafuasi,tunauwezo wa kumvuruga na yeye.
Haya ndiyo madhara ya kuendesha timu ya mpira kisiasa na wahusika wanashangilia.
Nawewe unaongea nn au jmeshapewa pesa na Mangungu???
Jibu hoja
Hawana mema na Simba hao
Robo fainali tumecheza na Mangungu,au mnatumwa ?
kama team imefeli kiongozi unafanya nini madarakani????
Kigangwala anachochea vurugu hakubaliki apuuzwe tu
Tutashikana ushawi magugu ajiuzulu na safu yake
Kwa hiyo siye tumeolewa ndoa ya mke mmoja?
Nataka kuwauliza mashabiki,
Nani anayejua mikataba ya hayo matangazo ktk jesy! Mnajua nikiasi gn kiliwekwa?
Hamjui maskini nini kinachowatafuna, mmewahi kumsikia mangungu akiongea lolote!
Jiulizeni huyu mo kajificha kwenye kichaka cha uwekezaji lkn hamkumbuki yeye sasahivi anasema anawadai, mbn hamjiulizi hayo madwali kwann anatudai, na kwann leo viongozi wanatoka nakudai 20b haxipo na hazijulikani ziliwekwa wapi, na km ziliwekwa, account yasimba wanadai hakuna pesa, sasa mo aseme na na mangungu ajibu kuwa zipo ama la!
Mo ni tatizo hpo wala c hao wachini wanao jiuzulu
Yanga msiwahusishe hayo ni kati yenu wenyewe, mna makurdi kibao, wazungumzaji kibao, vita hiyo mnatakiwa nyie wenyewe kueleweshana na hekima itumike,kinyume cha hapo mtawasingizi wengi kuwa ni maadui zenu.Kuna uwezokano hao wanaojiweka mbelembele kuzungumza hata kadi za uanachama hawana, na kama wanazo kadi basi hawalipii kila mwaka.
Umeongea ukweli mtani ila Simba ina shida sana kuanzia uongozi na mashabiki wenyewe Kuna shida na uchawa mwingi sana
Ukizungumzia kuhusu uanachama shida ipo Kwa uongozi hawataki wanachama wapya ukizungumzia hilo tu kuhusu kadi za uanachama n kama bangi mbele ya police sasa watapata wapi kadi au hata nguvu za kulipia zitatoka wap shida kubwa n uongozi Kwa mtazamo wangu ni pande zote mbili Kuna makosa kati ya upande wa muekezaji na Wanachama wa Simba MO hawajawajibika vizur
Garaxy kachezea 6/0 viongozi Hawa hawa
Na mkasema tunashunda lakini hatuna furaha.
Kwanza hao wajumbe kamavipi ruwafire kwanza kabla hawajaondoka
Mwandishi unamulizamtwa swali ajibu vingine hulekebishi sisi tunataka kusikiwa ushauri wa hamisi unafaa au haufi habali ya ugovi unatuhusu nin sisi
Semeni yooote, na ninajua hamta nielewa, ila shida pale simba sc ni mo! Huko kwengine mnazungukazunguka tu, mo ndo chanzo cha shida wanasimba amkeni mzizi ninhuyu anayejiita mwekezaji lkn hakuna ni mnyonyaji tu
Aondoke Mangungu tuanze upya