Very important n educative information, this tells us that Africans should develop their own continent economically, socially etc. So Africa is the best place if only is managed properly. That also tells us Africa is a God fearing continent n we have preserved our religion values
Absolutely 💯 first of all i didn't like to comment in any media but ur words have touched me because i was in process to transfer with my family to live in America, your video have teached me, it broke my heart wallah, Actually its hard when you compare tanzania with America there is a big difference, tanzania have a good value . Thanks brother for opening my eyes.
Kaka Ernest, Tunaomba video ukufafanua mchakato mzima pale ambapo channel inakua imekidhi vigezo vya kulipwa na youtube. Ili kuwa monetized kuna process zipi nyuma ya pazia hadi ela inapokelewa kwa mtu husika kwenye account yake ya bank
nimefurahia sana ulivyoliadress hili nilikua na ndoto sana kuishi marekani lakini hilo swala ushoga limenipotezea ndoto hiyo maana naona hata usa gvt inasupport hayo mambo 100%
Huku Africa watu wengi wameaminishwa ughaibuni kila kitu kiko green, jambo ambalo si kweli kabisa. Africa imebarikiwa na Mungu, kuna vitu Vingi vizuri, mapungufu yapo kwy mabara yote
🤔Halafu watu wajue kuwa mtoto akifikia umri wa miaka 18 uhuru wake ni challenge kwa wazazi. Wanahaki ya kusema, kufanya au kwenda kokote na mzazi huna nguvu sana ya aidha kumuadhibu au kumtusi huenda ukajiingiza matatani. Mtoto hapigwi nchi za Ulaya ni kujitia kwenye orodha ya uhalifu😂. Yaani kama mchezo lakini ni hali halisi ndugu zangu
Kaka mimi naomba kujua pia ufanye video ambayo inaweza elezea kwa mtu ambaye yupo africa alf anafamilia ila anaweza kununua nyumba huko akiwa tanzania , alf anaweza amia huko kama kaweza nunua nyumba huko ?
Habari yako kaka...? Imekuwa vzr, mm pia Niko nasomea kigerman kwenye hyo app ya duolingo...! Je? Tunaweza kuwasiliana kwa ajil ya kuwa tunafnya mazoez ya kuzungumza na kuchat chat piah..Kama hutojal
Kaka Ernest, Tunaomba video ukufafanua mchakato mzima pale ambapo channel inakua imekidhi vigezo vya kulipwa na youtube. Ili kuwa monetized kuna process zipi nyuma ya pazia hadi ela inapokelewa kwa mtu husika kwenye account yake ya bank
Hatua za awali ili chaneli ya Toutube ianze kuingiza hela ni lazima iwe na wafuatiliaji wapatao elfu 1 na video zimeangaliwa kwa saa zisizopungua elfu 10.
EBM since 2019 hakuna video ata moja nimekosa kuwatch because ni ya elimu kubwa mno & you have really changed my life 🙏🙏🙏.....MAY GOD BLESS YOU
EBM this lesson is very prophetic especially to the immigrants , when I get over there you will be my Pastor and my Counselor
Moja kati ya video za maana kabisa kuwahi kuangalia , ahsante sana brother, video ya maana na mtu wa maana kabisa.
Very important n educative information, this tells us that Africans should develop their own continent economically, socially etc. So Africa is the best place if only is managed properly. That also tells us Africa is a God fearing continent n we have preserved our religion values
Absolutely 💯 first of all i didn't like to comment in any media but ur words have touched me because i was in process to transfer with my family to live in America, your video have teached me, it broke my heart wallah, Actually its hard when you compare tanzania with America there is a big difference, tanzania have a good value . Thanks brother for opening my eyes.
Kaka Ernest, Tunaomba video ukufafanua mchakato mzima pale ambapo channel inakua imekidhi vigezo vya kulipwa na youtube. Ili kuwa monetized kuna process zipi nyuma ya pazia hadi ela inapokelewa kwa mtu husika kwenye account yake ya bank
KAZI nzuri sana keep up good job
Asante sana kwa elimu hii mkuu
Leo mada nzuri mno...❤
Good lesson brother.Thanks
Asante EBM
Mada nzuri kwa sisi wenye Familia ndogo na tuna nia ya kuwaleta watoto wetu uko siku moja.
Mungu wangu, huu ni msiba mzito hongera sana broo kwaunacho kifanya mwenyez mungu atakulipa
Well said ubarikiewe sana ebm🙏
Naomba tufafanulie juu ya biashara ya kinyesi @ebm
Asante sana babamzazi kwaushaur wako
Kaka hii ni tishio kubwa sana Kwa tunaotaka kuja us,masomo kama haya utuber wengine hawatoi
Mahali sahihi pa kwenda kwa Sasa iwe ni kwa elimu au maisha ya Kazi ni Urusi tu!!
Asante
I LIKE YOU BRO FROM 254 KENYA,, KEEP UP ROCKING....... 💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥
Upo vizuri mkuu
Ahasante kwa kuleta ufahamu wa ugaibuni.
Daaa ni kweli Aya unayoyasema?? Ni tabu Sana Mungu atusaidie
Nataman sana jaman lakn sina conaction ila nina passport naomba unisaidie elimu yangu nimasomea mambo ya day care
Uwiiiiii Mungu simama,
respect brother 🫡
Kazi nzuri sana
nimefurahia sana ulivyoliadress hili nilikua na ndoto sana kuishi marekani lakini hilo swala ushoga limenipotezea ndoto hiyo maana naona hata usa gvt inasupport hayo mambo 100%
Ndugu yangu mie nakusikiliza sana mkuu sema ni mi naomba namba yako mkuu ili niweze kuzungumza nawe vizuri kabisa
Kop
Ebm ulinisaidia kujaza my ds-260 na Hakika I was successful thank you so much
Mkuu naomba namba yako mm nipo Tanzania drive wa truck nafanya safar ya congo Nina passport kubwa naitaji kazi uko
Plz utu elezeye njia ya kuomba fiance visa nainachukua mda gan uli mtu wako afike marekan
Ubarikiwe sana EBM kwa kusema na kutujenga iliyo kweli.
Kaka safi sana tunashukuru kwa elimu mkuu,Naomba contact yako pls!its very urgent
Huku Africa watu wengi wameaminishwa ughaibuni kila kitu kiko green, jambo ambalo si kweli kabisa. Africa imebarikiwa na Mungu, kuna vitu Vingi vizuri, mapungufu yapo kwy mabara yote
Asante sana kaka kwa hii
😢😢😢😢😢😢
Ni kweli kabisa,
Kaka niaje ndugu yangu kwema kaka habali za huko
EBM I LOVE YOU
Mbona una tukatisha taa
Maneno muhimu mno, asante kaka
🙏
Elimu ya Dini kwa hiki kizazi cha sasa ni kitu ambacho kimekosekana ktk jamii kubwa Watu hawana hofu ya Mungu kupitia mafundisho ya kiimani
Nia yao ni nini? Wanataka Dunia iwe kama Jehanamu? Nasikia kule kuna kila uchafu!
elimu muhimu sana hii
Wamefikia huko 😢😢😢
Point ya msing japo Sina watoto
🤔Halafu watu wajue kuwa mtoto akifikia umri wa miaka 18 uhuru wake ni challenge kwa wazazi. Wanahaki ya kusema, kufanya au kwenda kokote na mzazi huna nguvu sana ya aidha kumuadhibu au kumtusi huenda ukajiingiza matatani. Mtoto hapigwi nchi za Ulaya ni kujitia kwenye orodha ya uhalifu😂. Yaani kama mchezo lakini ni hali halisi ndugu zangu
3:07 Kama panafanana na ndanda mtwara
Kaka mimi naomba kujua pia ufanye video ambayo inaweza elezea kwa mtu ambaye yupo africa alf anafamilia ila anaweza kununua nyumba huko akiwa tanzania , alf anaweza amia huko kama kaweza nunua nyumba huko ?
Ernest moyo unaniuma sana, 😢😢😢😢😢
Immigrant ni mhamiaji kwa kiswahili
ni hatareee
Kuna application ya duolingo niko nayo najifunza kijerumani kuna conversation unakuta mwanaume anamtambulisha mumewe yani ni hatari sana asaiv
Habari yako kaka...? Imekuwa vzr, mm pia Niko nasomea kigerman kwenye hyo app ya duolingo...! Je? Tunaweza kuwasiliana kwa ajil ya kuwa tunafnya mazoez ya kuzungumza na kuchat chat piah..Kama hutojal
@@missnamwambemomentstv7753 Inalipiwa?
Sodomaize inakuja nyingine
Vipo hpo kwa mji uliopo wakaazi wake wamehama,,, kwa video yoote naona uko peke yako mtaaani,, au wameenda vitani Ukraine,,, hahaha,,
Hahahahhahahahahahaaaaaaaa unafurahisha.
Kaka Ernest, Tunaomba video ukufafanua mchakato mzima pale ambapo channel inakua imekidhi vigezo vya kulipwa na youtube. Ili kuwa monetized kuna process zipi nyuma ya pazia hadi ela inapokelewa kwa mtu husika kwenye account yake ya bank
Hatua za awali ili chaneli ya Toutube ianze kuingiza hela ni lazima iwe na wafuatiliaji wapatao elfu 1 na video zimeangaliwa kwa saa zisizopungua elfu 10.