😳Halafu uchawi haufanyi kazi Ulaya wala Marekani. Ni itikadi ya kimaskini na fantasy mbaya kimaisha. Huku kazi tu ukiwajibika ipasavyo hata huo uchawi ukifanyiwa hurogeki 😂😂🤝
Usichanganye mwizi na mchawi halafu hiyo story uongo mtupu. Hakuna mchawi wa kushika kitasa kuingia ndani wala hakuna camera ya kumwona mchawi. Unaelezea uchawi utadhani hujazaliwa kigoma.
Huyu hana story tena za kuongea, amekuwa muomgo alafu mjuaji, hivi unaujua uchawi?. Hivi kuna serikali gani inaamini katika uchawi? . ebu toa ushaidi hiyo taarifa umeona wap na sisi tukashuhudie
😳Halafu uchawi haufanyi kazi Ulaya wala Marekani. Ni itikadi ya kimaskini na fantasy mbaya kimaisha. Huku kazi tu ukiwajibika ipasavyo hata huo uchawi ukifanyiwa hurogeki 😂😂🤝
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 aise nimecheka sana
Nikweli😂😂😂
Duuh kwel leo nimecheka sana
Muacha Mila ni mtumwa Kwan ulidhani atawacha uchaw afrika had aende kutesa wazungu kidogo 😂😂😂
Katika siku nimecheka leo.big up brother
Hahhaahhaah noma sana
Ila nimecheka leo😂😂😂😂😂
Vibuyu aliviacha Marekani au walikumbuka kumpakiza na kumsafirisha navyo
Like serious!!!😂
Nakuelewa sana kaka
Nilikuwa zauliza pale ofisi karibu na mlimani inakuwa wazi au
bwana kaka EBM
First one to watch this video plz drop ur like
Ni wakike kumbe
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Lol😅😅😅
😁😁😁😁
😂😂😂
H ha ha ha
😀🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Halloween si mwez wa Kumi?
Usichanganye mwizi na mchawi halafu hiyo story uongo mtupu. Hakuna mchawi wa kushika kitasa kuingia ndani wala hakuna camera ya kumwona mchawi. Unaelezea uchawi utadhani hujazaliwa kigoma.
Huyu hana story tena za kuongea, amekuwa muomgo alafu mjuaji, hivi unaujua uchawi?. Hivi kuna serikali gani inaamini katika uchawi? . ebu toa ushaidi hiyo taarifa umeona wap na sisi tukashuhudie
Huyu mwongo. Aseme mwizi sio mchawi, amezaliwa kigoma halafu anazungumzia uchawi kwa nadhalia ya kufikirika.
😂😂😂😂