🔴LIVE:RIPOTI YA LEO SIMULIZI YA ELIBARIKI SEHEMU YA 7 - JULY 09

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 лип 2024
  • 🔴LIVE:RIPOTI YA LEO SIMULIZI YA ELIBARIKI SEHEMU YA 7 - JULY 09
    -
    Blogger 📻 93.7 Dsm | 93.9 Moshi | 103.7 Arusha | 94.1 Iringa | 91.3 Mwanza | 88.9
    Tanga | 92.5 Dodoma | 95.5 Moro | 102.9 Kigoma | 103.3 Mbeya | 93.7 ZNZ 📻
    -
    Follow Us On:
    INSTAGRAM:
    Efmtanzania:
    TWITTER:
    Efmtanzania
    FACEBOOK:
    Efmtanzania:

КОМЕНТАРІ • 29

  • @tusajigwemwamalili3556
    @tusajigwemwamalili3556 21 день тому +5

    Veronica okoa mb zetu basi kwa kutorudiarudia sentensi zile zile ambazo umeshatusimilia,unatufanya Sisi wakaibu WA simulizi zako Jana Mercy na Elibariki,radio hazishiki,punguza marudio audio ya maneno

  • @rosemofuga8101
    @rosemofuga8101 21 день тому +12

    Alafu nikisema alikuwa mjinga na mpumbavu kabisa mnaona kama namhukumu,badala yakutafuta msaada kama alivyosema amekuja kuendelea, na huyo rafiki yake,toka siku ya kwanza tu alipomuona mwenzake alimwambia , huyo si mtu mzuri lakini yeye akaona kama anamfatilia mambo yake,akaja akamwambia tena ,huyo rafiki yako Yuko kwenye makundi mabaya ,akamsimulia hadi stori ya rafiki yake kupoteza maisha kwasababu yakujiunga kwenye makundi mabaya lakini wapi ,yeye masikio na macho juu juu kama mnara wa simu, kiukweli anakwaza sana,na ndio hivyo anaanza kuchanganya changanya matakataka maana hata uzoefu wa kujua tu kwamba mm natumia aina gani hajui, jamani MUNGU nakuomba epusha watoto wetu

    • @jumapiliissa4835
      @jumapiliissa4835 21 день тому

      😂😂😂 yani watoto wengi wakushua hua hawajui vitu vingi na hua hawaamini mawazo ya watu wenehali yachini kiuchumi

    • @user-uu6ei1ys3k
      @user-uu6ei1ys3k 21 день тому

      AMINA🙏

  • @user-lu4ie4fp1o
    @user-lu4ie4fp1o 22 дні тому +4

    Dada vero mungu akutuze me kipekee katika simulizi hizi nimejifunza mengi

  • @zayabdala-ky9dg
    @zayabdala-ky9dg 22 дні тому +7

    Hii inafundisha ukiwa na Jambo linakusumbua acha kukaa kimya sema upate msaada naona kabisa alikua Teja aiseee inaumaa

  • @lucygodwin7590
    @lucygodwin7590 21 день тому +1

    Barikiwa sana Vero

  • @user-mq7xp2so6z
    @user-mq7xp2so6z 21 день тому +2

    Msichana mzuri tuseme alikuwa anakusubiri ww wakati wanaume wapo wwngi😂😂

  • @lisawilliam2491
    @lisawilliam2491 21 день тому +2

    Umezid kulemba

  • @user-uu6ei1ys3k
    @user-uu6ei1ys3k 21 день тому +2

    😂😂😂😂😂😂😂MENO YAMEPANGIKA❤

  • @dayana5513story
    @dayana5513story 21 день тому

    Nashukuru Mungu Mungu kwakuniepusha vitu ivo sijui ningekua mgeni wanani

  • @rosemofuga8101
    @rosemofuga8101 21 день тому +1

    Na hilo ndilo lilikuwa tatizo lake kujifanya mjuaji,kutokusikiliza ni nini mwenzake anamwambia

  • @jessicamwasandube944
    @jessicamwasandube944 21 день тому +1

    Shetani ni muongo sana😢😢

  • @AnnaMark-cm8ch
    @AnnaMark-cm8ch 17 днів тому +1

    3 Some😂😂😂😂

  • @lightymmary22lightymmary27
    @lightymmary22lightymmary27 22 дні тому

    Nasikitika Sana jmn poleee

  • @annastaziajohn9269
    @annastaziajohn9269 21 день тому +1

    Matangazo yamezidi kuwa mengi

  • @shaluuanthony1836
    @shaluuanthony1836 21 день тому

    😢😢😢😢😢

  • @user-ol6dk4bp9x
    @user-ol6dk4bp9x 21 день тому +1

    Kweli huyo ni shetani

  • @christinaabelmwaipungu-5727
    @christinaabelmwaipungu-5727 21 день тому +2

    Imalize hii simulizi inachosha sana da Vero!!

  • @clintonnjiku3616
    @clintonnjiku3616 22 дні тому +2

    Dada veroo unasimuliaa vizurii sanaa❤❤❤ ilaa jamani vunadeleee niwaongoooooo sanaaa nilipigiwa sim tang tar3/5 mpaka leoooooo akunaaa kitu

    • @younghacker7250
      @younghacker7250 21 день тому

      @@clintonnjiku3616 🤣🤣🤣🤣🤣

    • @Kiddohsanga-fw7jh
      @Kiddohsanga-fw7jh 21 день тому

      😂😂😂😂pole udugu

    • @user-nn5lv6nb6i
      @user-nn5lv6nb6i 21 день тому +1

      Watakua walikupigia matapel asa nyny mnadhn media kubwa kma hyo itatapel watu jamn c yatakua mambo y ajabu sn wanapt faid gn?? Kwahyo n veronik atakua tapel cyo kwl jmn

    • @monicahmwikali7699
      @monicahmwikali7699 19 днів тому +1

      😂😂🤣🤣🤣🤣

  • @user-ol6dk4bp9x
    @user-ol6dk4bp9x 21 день тому

    Sio arosto ya pepsi😂😂😂

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 21 день тому

    Yani kuna mambo mengi binadam tunakosea kutokana na matumizi ya akili pia nakuto fatiilia maandikoya M/MUNGU pole sana

  • @NeemaSamson-ti8pc
    @NeemaSamson-ti8pc 21 день тому +2

    Chezea uzuri wewe hakuna mwanaume anayeweza kushinda vishawishi mbele ya mwanamke mzuri ata awe mchungaji au muaminifu sana kwa mkewe, pole sana

  • @user-nn5lv6nb6i
    @user-nn5lv6nb6i 21 день тому

    Akome mimi ananipa to hasira hapa

  • @SabrinaIbrahim-jl5um
    @SabrinaIbrahim-jl5um 21 день тому

    Sio mshamba ni mwehu