Dr Sule, nakushauri uachane na huyo kafiri ndacha hoja zake ni za juzua zua anazidi kuwapotosha wenzake na yeye kupata umaarufu wa kuonekana. Hili litaharibu badala ya kutengeneza. Yusuf Estes, mzungu aliyesoma Biblia zote na Pastor mkubwa nae kaachana na hiyo dini, kaingia uislamu. Huyo ndacha tapeli tu. Usimpe muda
Kweli hakuna Wala kuona ukweli he awataki kuelewa ila Toka nianze hii midahalo hakuna hara alie ritadi kwa kuona haki na ukweli ktika dini Yao ya ukiristo nawasikitikia sana Bali wao ndio wanapungua Kila siku na kuingia katika dini ya haki ya uislamu njia pekee ya paradise alhamdulillah nipigeni Sasa kama yko muislamu alie ingia ukiristo kisa amepata ukweli akaina njia akaifata niambieni ndugu katika Adam
niseme tu ukweli huu mdahalo ulikosewa kuandaliwa sababu hakuna kushindana kwa hoja bali ipo kuongea hoja. Dokta sule ana sema hoja zake na Ndacha anasema zake. sasa mwisho wa siku hawaja fikia makubaliano ya kuonyesha nani mshindi au nani kazidiwa hoja. mfano juma anasema, Kuku ana miguu miwili John anasema, hapana kuku ana miguu minne sababu mabaya yake pia ni miguu kujua yupi sahihi kati ya hawa ni awepo msuluhishi judge hivi. lakini katika dini msuluhishi ni vitabu vya dini. kila mmoja ana vutia kwake. lakini ingekuwa mtu akisema kuku ana miguu minne, una muuliza kabla huja endelea umetoa wapi? akijibu una muuliza tena miguu ni baina ya wapi na wapi. akijibu mpaka mna maliza mjadala. Next debate fanyeni hivo. almost 10 hrs mmetumia lakini mdahalo hauna mvuto. in sha Allah kila la kheri
Kitu napendea mr Ndacha ni kwamba yeye hutumia maandiko vizuri sana...Honestly ukweli usemwe this man of God amesoma nakuelewa Neno la Mungu
Dr sule achana nahayo makafiri ,hata ukisema Vip ,hawaskii,kwa kusudi Ila ukweli wana jua uko hapi hapi
Shida yenu ni kuelewa maambo makubwa...danganywa na waislam wenzio uachane na wasomi wa neno la Mungu
Safi Dr
Ndacha ni fire 🔥
Asalamu alayikumu sule mimi nakuku bali san
Oyo ndaxha mjanja mjanja true mwenyewe ukweli anaujua kua yeah sio mungu
Dawa ina waingia ila wagumu kusirimu
Dr Sule, nakushauri uachane na huyo kafiri ndacha hoja zake ni za juzua zua anazidi kuwapotosha wenzake na yeye kupata umaarufu wa kuonekana. Hili litaharibu badala ya kutengeneza. Yusuf Estes, mzungu aliyesoma Biblia zote na Pastor mkubwa nae kaachana na hiyo dini, kaingia uislamu. Huyo ndacha tapeli tu. Usimpe muda
Kuwa na adabu kijana mdogo? Utakuaje na akili wakati unakubaliana na wajinga?
Jesu ni mungu❤❤❤❤
ENDELEA KUSEMA ]hivyo[ TU!!! KISHA KESHO ]ukiwa jahannamu~motoni[ MILELE, NDIO UTAJUA!!!
Kweli hakuna Wala kuona ukweli he awataki kuelewa ila Toka nianze hii midahalo hakuna hara alie ritadi kwa kuona haki na ukweli ktika dini Yao ya ukiristo nawasikitikia sana Bali wao ndio wanapungua Kila siku na kuingia katika dini ya haki ya uislamu njia pekee ya paradise alhamdulillah nipigeni Sasa kama yko muislamu alie ingia ukiristo kisa amepata ukweli akaina njia akaifata niambieni ndugu katika Adam
Yesu ni mtu sio mungu
Mungu apigwa mafimbo na maskaaskari mbaka kutumdikwa msalabani,Mungu kasulubiwa😂😂😂😂 tuache kufru,,,Aghstafrilla
niseme tu ukweli huu mdahalo ulikosewa kuandaliwa sababu hakuna kushindana kwa hoja bali ipo kuongea hoja. Dokta sule ana sema hoja zake na Ndacha anasema zake. sasa mwisho wa siku hawaja fikia makubaliano ya kuonyesha nani mshindi au nani kazidiwa hoja.
mfano juma anasema, Kuku ana miguu miwili
John anasema, hapana kuku ana miguu minne sababu mabaya yake pia ni miguu
kujua yupi sahihi kati ya hawa ni awepo msuluhishi judge hivi. lakini katika dini msuluhishi ni vitabu vya dini. kila mmoja ana vutia kwake.
lakini ingekuwa mtu akisema kuku ana miguu minne, una muuliza kabla huja endelea umetoa wapi? akijibu una muuliza tena miguu ni baina ya wapi na wapi. akijibu mpaka mna maliza mjadala. Next debate fanyeni hivo. almost 10 hrs mmetumia lakini mdahalo hauna mvuto. in sha Allah kila la kheri
Sule ameshindwa bila kupapasa macho