You deserve the best kibibi, Miongini mwa waigizaji naowakubali sanaaaa🥰🥰 upo tofauti na vijana wengine, umemshika mungu na unamtukuza👏👏👏 nakuona kwenye viwango vya Hollywood na utafika Kwa jina la yesu🙏
It's something good hongera sana kwa Dr. Kimaro , nilichogundua kwa kweli kuwahoji watu nayo ni karama kumhoji mtu na kuweka mtiririko mwanzo mwisho. I hope event ijayo mambo yatarekebishwa zaid
Ooooh!!! Hallelujah hallelujah, Mungu auzidishe utukufu wake kwako @Getrudamwita Hakika historia yako/ ushuhuda wako umenijenga Sana🙏 umenifanya niseme ''NINAWEZA KATIKA JINA LA YESU KRISTO''
Nakupongeza sana Mchungaji Kimaro kwa kuhubiri injili inayobadilisha watu (Hii ni habari njema kwa watu wote ) unaibua na kufumbua macho ya watu wengi.
Mchungaji Kimario ubarikiwe sana hizi sessions zina mengi ya kujifunza. Hasa nyakati hizi kwenye changamoto za ajira vipaji vinahitaji kunolewa na kuheshimika sana. Asante kwa kutukumbusha hata elimu ikikwama kuna njia nyingine tuzijaribu
Nakupenda sana wewe dada niliwah kuona kipande tu cha tamthilia moja uliyocheza nilipenda sana lkn kwa sasa cjaona kazi yako nyingine mungu akubariki sana kipenz
🙏🙏 Mchungaji Tunashukuru kwa kumleta kibibi, Mimi huwa nafuatilia movie ya Huba kumbe sikumjua upande wa pili jinsi Mungu alivyomwinua kwa namna ya ajabu, Hakika wakati unapofika wa Mungu hakuna wa kuzuia..
Utukufu kwa Mungu.kibibi amejieleza vizuri sana
Kibibi hongera sana una historia nzuri sana na ni ushuhuda mzuri sana kwetu sisi.
Very powerful testimony 🙏🇧🇭😭 , kweli kumtumaini MUNGU Kuna fahida🙏🙏🙏
You deserve the best kibibi, Miongini mwa waigizaji naowakubali sanaaaa🥰🥰 upo tofauti na vijana wengine, umemshika mungu na unamtukuza👏👏👏 nakuona kwenye viwango vya Hollywood na utafika Kwa jina la yesu🙏
My God bless you Kibibi, unaenda mbali sana wewe.
Plz
Hollywood uongo
Bila kumsahau Anna wa jua kali
Glory to God🙏🙏 kibibi umenitoa machozi 😢😢 na pia Umenipa ujasili wa kupambana
Nampenda Sana huyu mchungaji MUNGU azidi kukuinua past
Nafurahi kuipata fulsa hii ya kupata namna ya kuingia ktk kilimo like masanja. Naomba Mungu aniwezeshe. Nilime Kwa utalamu
Hongera Sana kibibi Nakupenda mnoo we dada utunzwe na Bwana YESU🙏🙏🙏🙏
Hongera sana Getrude Mwita a.k.a kibibi wa HUBA ubarikiwe na usimwache Mungu
Kila la heri kibibi.
Umetisha sana Mungu azidi kukubariki ...
Shuhuda zinajenga na utukufu unarudi kwa Mungu
Hongera sana kibibi I like your acting in the Huba mungu akubariki
Kupitia hii interview hakika nimeongeza kitu katika maisha yangu
Isaac Maro,Mungu akubariki doct Mungu akupe maisha marefu,umemuwezesha Kibibi kuwa katika utulivu mzur sana..
Hakika Mungu ni Mkuu kupita fahamu zetu. Asante sana Baba Kimaro na Dada Getrude.
Mungu akitaka kukuinua akuna wakupinga mungu azidi kukuinua
Indeed your testimony has made shade tears of joy. Stay blessed abundantly Kibibi🙏
Mungu aendelee kukuinua Mtumishi wa Mungu Dkt. Kimaro, hakika namuelewa sana Kibibi.
Ubarikiwe sana Mchungaji Kimaro lkn Kibibi nakupenda sana! ❤
Nimehamasika sana na story yako hadi nimeshare na wananguna mume wangu be blessed na from today you have a new fan naanza kukufuatilia
Mungu ni mkuu kwa wamchao. Msiosmini miujiza njoeni muuone kibibi.
Hongera sana Kibibi kwa kujipata:wow kumbe ni KKKT mwenzangu I love you so so much.
It's something good hongera sana kwa Dr. Kimaro , nilichogundua kwa kweli kuwahoji watu nayo ni karama kumhoji mtu na kuweka mtiririko mwanzo mwisho. I hope event ijayo mambo yatarekebishwa zaid
Hongera sana.
Wow! Hongera saana Kibibi
Hongera kibibi amazing
Aaezaz
Maana halisi yaDream come true Glory to Jesus
Ooooh!!! Hallelujah hallelujah, Mungu auzidishe utukufu wake kwako @Getrudamwita Hakika historia yako/ ushuhuda wako umenijenga Sana🙏 umenifanya niseme ''NINAWEZA KATIKA JINA LA YESU KRISTO''
Good
Woooow 👏👏👏Madam kibibi hongera sana for real ushuhuda wako umenijenga sana kumbe na mimi naweza 😂 Mungu akubariki sana
Wajina big up sana, hayo majina yana baraka sana na yana ndoto,hongera sana Getrude Mwita
Nakupongeza sana Mchungaji Kimaro kwa kuhubiri injili inayobadilisha watu (Hii ni habari njema kwa watu wote ) unaibua na kufumbua macho ya watu wengi.
MUNGU akubariki Sana my sister
Beautiful kibibi mashallah❤❤
Hongera kibibi. Kuna mengi nimejifunza kupitia ushuhuda huu
Mchungaji Kimario ubarikiwe sana hizi sessions zina mengi ya kujifunza. Hasa nyakati hizi kwenye changamoto za ajira vipaji vinahitaji kunolewa na kuheshimika sana. Asante kwa kutukumbusha hata elimu ikikwama kuna njia nyingine tuzijaribu
Mungu akubariki Mchungaji Kimaro kwa kutufungua macho kwakweli nimejifunza kitu.
Mungu akubariki sana Dada. Mungu wetu haachi mcha Mungu wake aangamie.
Kupitia mahojiano haya nimejifunza kitu kikubwa Mungu akubariki Kibibi kwa kuishi ushuhuda wako🎉❤
❤
Nakupenda sana mchungaji Eliona Kimaro. Mungu akutunze.
Daaaaaaah Hongera Sana Kibibi Kwa Imani Uliyonayo.
Mungu akutie nguvu da kibibi, nimejifunza vi2 vingi kutoka kwako🙏🏻
Watching fro. Nairobi,very nice platform
She resembles and talk like Hamissa,Mungu awatunze❤
Huwa nampenda sana Getrude ananibariki sanana nlimfuatilia historia yake huwa nasema mimi sijashindwa Mungu akutunze G
Ili story inanikumbusha mingi sana.eee Mungu tusaidiye
Mungu nimkubwa sana 😢🙏
Mungu yupo,ukiwa mwaminifu
Mwenyezi Mungu azidi kukufungulia njia kibibi wewe nimuigizaji mzuri sana
Mungu akubariki mchungaji kimaro
Sasa nimeelewa kwanini aliposimama kwa muda walimlilia sana.......!! 🙌🙌🙌🙌
Umenifanya nimecheka nami ni mmoja wa waliomlilia
Good
Mtani wangu, napenda the way unaigiza. Unauvaa uhalisia mpaka basi. Keep up
Hallelujah nimepata nguvu Sasa nilikuwa nimechoka mpaka Ila kwa huu ushuhuda umenijenga
Fight for your dreams until you achieve what you want.Never give up..Bravooo Kibibi
Mungu amekuinua, na bado unampenda Mungu, utafika mbali
GOD is good all the time barikiwa dada
Nampenda sana uyu dada ana confident ❤
I’m blessed with this session❤
Blessed from kenya. Atatenda kwangu
Nakupenda sana wewe dada niliwah kuona kipande tu cha tamthilia moja uliyocheza nilipenda sana lkn kwa sasa cjaona kazi yako nyingine mungu akubariki sana kipenz
Yupo kwenye tamthilia kongwe tokea 2016 inaitwa HUBA inaonyeshwa DStv 160
Ohoo
God is good 😢😢 one day
Pongezi Sana pastor Wangu
God is Great😍 Blessings ziendeleeee 🎉
God Bless You Dr. Pastor Eliona Kimaro.
Ameeeeeeeeeeeen 🙏🙏🙏🙏🙏 Mungu akupiganie Kila wakati kibibi
Amen Mungu azidi kukubariki kibibi
Glory to God
Hii kitu Dr. Kimaro, umefanya vizuri kuandaa jukwaa linalowahamasisha wengi kutoka nje ta Box. Ubarikiwe sana.
Mmmh ila.nafikiri Mchungaji angempa.nafasi.kwanza ya.kujieleza kuliko kumkatisha.katisha
Mungu mkuba kabisa ndani ya Yesu kuna kila kitu
hongera sana kibibi una upiga mwing san
Amina
Mungu ni mkwa❤❤❤❤
Amen
Kibibi nimekupenda buuree
Hongera sana dada Kibibi Mungu ni mwema❤❤😂😂😂
Nakupenda kibibi🎉❤
❤❤❤
Hongera kibibi
❤❤ Yesu kristo Apewe sifa
Dr Kimaro unatakiwa ufundishwe namna ya kuhoji watu especially Q & A unapoteza utamu wa Taarifa
Hehh!
Ongera sana best
Ei monaweito umepitia mengi mungu akuzidishie
Barikiwa sana kibibi
Mungu akutunze
God is good All de Time
Hongera kibibi.
Msanii kibibi mzuri
Nakupenda kibibi
❤❤❤❤❤❤❤
👏👏👏🙌🙌🙏
Mungu akubari dada
🙏🙏 Mchungaji Tunashukuru kwa kumleta kibibi, Mimi huwa nafuatilia movie ya Huba kumbe sikumjua upande wa pili jinsi Mungu alivyomwinua kwa namna ya ajabu, Hakika wakati unapofika wa Mungu hakuna wa kuzuia..
History yake inaskitisha kwa jinsi alivyosimulia
Mungu akumbariki jmn mungu yupo
Naongezea" Jitume ili usitumwe "ukiwezekana utume watu wew kwa maana ya kutengeneza ajira kwa wengine. Amina
Nimependa sna huu ujumbe wako nimeuelewa kwa kweli
Nakupendaga Sana 😘😘
KIBIBI maashallah
When dream come true
Natamani cku moja nifike kwenye hili kanisa nimuone na huyo mchungaji live jamani
Ameen❤❤❤❤
Overwhelmed indeed
she is elite and humble🥰😍
Nakukubali sana getruda hata mim ni muigizaji lakin mapambana dada angu
Hongera sana kibibi
Hongera
👏👏👏👏
🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Ndoto yangu ni kuja kuwa na Christian movies ambazo zitatuinua kwa namna ya tofauti km zile za kina Kendrick Brothers
Find me when you need a character to play different scene's
Napenda sana ila pakuanzia sasa nilishapoeza tu pesa❤
Do it aisee...we will support you even kwa maombi. I wish too❤
Bwana akutengenezee hayo mazingira ufike huku
Kama.ile ya halelujah dah😊 ilinibadirisha mpaka leo ya kizungu wakatafsiri kwa kiswahili
Receive favor, acceptance and English language in Jesus name lovely girl.
Kibibi uwa anajiheshim na hata mavazi yake yan nampenda sana
Waoooo jamani