MCHEKESHAJI MKWELE MBELE YA RC CHALAMILA "SISI HATUUZI BANGI TUNALESENI, HATUNA KISASI NA NYINYI"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 45

  • @petermbise
    @petermbise Рік тому +6

    Mkwere og umeongea vizuri sana.

  • @johnenos9473
    @johnenos9473 Рік тому

    Mkwere. Umetisha

  • @bfox3549
    @bfox3549 Рік тому +3

    Kelele za usiku zimezidi, niko Kawe: weekend hatulali
    Just bse kuna chance ya hela doesn’t mean tuwaumize wengine

  • @westcijosh
    @westcijosh Рік тому +2

    Yani waafrica buana unapewa nafasi badala utumie kama fursa kutaja vtu vya msingi unaanza mlolongo

  • @mamlomamlo9064
    @mamlomamlo9064 Рік тому +6

    Ulevi kwa uislamu ni mama wa maasi yote mtume Muhammad saw ametuamrisha bar hazifai kabisa na wanozipigia debe ni wafuasi wa ibilisi

    • @geraldminja5142
      @geraldminja5142 Рік тому

      Ushasema kwa uisilam pambana na hali yako

    • @mamlomamlo9064
      @mamlomamlo9064 Рік тому

      @@geraldminja5142 pamoja na wewe ni umati wa Muhammad umo

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 Рік тому

      😂😂​@@geraldminja5142

  • @colmanlesulie250
    @colmanlesulie250 Рік тому

    Mpo Kama mpo afrikaaaa

  • @SamwelAgast-e4s
    @SamwelAgast-e4s Місяць тому

    Tako

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 Рік тому +7

    Mkweree kasema kweli, ukweli kabisaaaaa wa jifunze ulaya watu wanakesha wakitembea

  • @IssackMaingu-ng5lk
    @IssackMaingu-ng5lk Рік тому +2

    Hapo mkwere amesema ukweli kabisa

  • @RajabKondo-e2x
    @RajabKondo-e2x Рік тому

    Kwel hapo mapato yanapotea,Sasa tuongeze kod kwenye mabar,halafu tuaache wakeshe,

  • @RajabKondo-e2x
    @RajabKondo-e2x Рік тому +1

    Sasa umesema Kuna Hela zinapotea,Kila siku dolia mnatoa shingap,tujumlishe Ili mlipe miezi 6,kumbe bar Zina Hela sana,Kila siku mnatoa hongo sh,40

    • @RajabKondo-e2x
      @RajabKondo-e2x Рік тому

      Wacheni wakeshe tu,selekali Haina dini,Ila walipe Kodi kubwa

  • @YOHANAMKUNGA-f8d
    @YOHANAMKUNGA-f8d Рік тому +1

    Kabisa

  • @peterfujokalogi7821
    @peterfujokalogi7821 Рік тому +2

    Mkwereeeee😂😂😂😂😂

  • @RajabKondo-e2x
    @RajabKondo-e2x Рік тому

    Kwa mwezi mnatoa hongo shingap,tupige mala miezi sita,hiwe ndio kiwango chenu Cha Kodi,

  • @abdulmanoti288
    @abdulmanoti288 Рік тому

    Mkwele wewe muongo sana mimi ni mteja wako miaka 6 sass kila nikiletwaa Tanzania lazima nikuje apoo kwako Choo zako azinanga maji iwee usiku or mchana leo tuu nimekuitaaunaimbia niodoke uwezi kusikiliza mteja wakati ukija kwenye vikoa sis ndio unatuomba ivoo achaa uswahili na dhalau uwei kulalamikia police ikiwa Choo yako ain majii siku zote unataka watu wauguwee UTI or

  • @mohamedmbalazi748
    @mohamedmbalazi748 Рік тому +2

    Mkwere na ww mfanyabiashara hahahahahaha😂😂😂😂😂😂

    • @TeophilBuilding
      @TeophilBuilding Рік тому

      Unatombwa kwel Kuma ww

    • @miltonjohn9779
      @miltonjohn9779 Рік тому

      Kwan wafanya biashara wote unawajuwa!

    • @janetmatunga1701
      @janetmatunga1701 Рік тому

      Nenda kwenye bar yake inatwa kwa mkwere 😂utajua ujui kama mkwere mfanya biashara au sio mfanyabiashara

    • @DavalsonMarlony
      @DavalsonMarlony Рік тому

      hata muuza dagaa ni mfanya biashara Kwan ujui

  • @MalikiIsmail-g6v
    @MalikiIsmail-g6v Рік тому +2

    Tatizo makelele na kero za muziki zinatuumiza kiafya usiku.Kumbuka ni makazi ya watu kuna wagonjwa ,watoto na wazee

    • @noahfilimoni4703
      @noahfilimoni4703 Рік тому

      ACHA wivu

    • @erickdioniz8277
      @erickdioniz8277 Рік тому

      Nchi za watu huko watu hawalali wanakesha kufanya kazi na biashara nyie mnalala kwani unazani huko hakuna wagonjwa na watotot

    • @hafidhissa4405
      @hafidhissa4405 Рік тому

      ​@@erickdioniz8277Bar hakuna mziki nchi za watu

    • @dennismtatiro8230
      @dennismtatiro8230 Рік тому

      Sasa leseni ya vileo haitakiwi kutolewa kwenye makazi ya watu, labda iwe ya take away, kama ni makazi ya watu ni ishu nyingine na haitakiwi kabisa makelele hata kama ni kabla ya saa6 usiku.

  • @ChristopharKhamis
    @ChristopharKhamis Рік тому

    Daa

  • @jumarajab5316
    @jumarajab5316 Рік тому +6

    umepata nafasi unashindwa kutaja baa yako

  • @jumasaidi8157
    @jumasaidi8157 Рік тому

    👏👏👏👏👏

  • @kilimaentertainment1687
    @kilimaentertainment1687 Рік тому +2

    Simama vizuri bas kwenye mike

  • @bakariadamu6068
    @bakariadamu6068 Рік тому

    Sasa hata kama huo ujumbe unampa mkuu wa mkoa ndio umgeukie yeye badala uangalie camera 😂

  • @furahamandai6628
    @furahamandai6628 Рік тому

    Mkwere kumbe gnz

  • @greaterjustin2231
    @greaterjustin2231 Рік тому

    Hapa angetaja jina la bar yake ilikua njia nyingne ya kupromote

  • @jumahaji207
    @jumahaji207 Рік тому

    Angaria camera😅😅

  • @Ndu-wa.uroony2
    @Ndu-wa.uroony2 Рік тому

    AYO TV IMESHAKUA YA KIPUMBAVU,MMEMTOA WAPI HUYO MWANDISHI ANAYEANDIKA MKWELE NA BADO MNAMUACHA TU? FUKUZILIA MBALI.

  • @MakalaPlus
    @MakalaPlus Рік тому +2

    😂

  • @trendingfootshorts
    @trendingfootshorts Рік тому +2

    Kwan tanzania atuwez kuongea adi tusujudie wa tu kwa kuwapa sifa?

    • @GoldenchipsChips
      @GoldenchipsChips Рік тому +1

      😂😂😂kuwajaza mabichwa viongozi 😂😂kiunafki nafki sinajua wanadamu wanashiba kwa misifa😂😂😂