PROPHET IPM AGOMA KUMZUNGUMZIA NABII KIBOKO YA WACHAWI, ATOA NENO WALOKOLE KUWA MATAJIRI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 34

  • @JamesPeter-y3w
    @JamesPeter-y3w 2 місяці тому +1

    Amna

  • @jenipherkachecheba8097
    @jenipherkachecheba8097 2 місяці тому

    nakukubali Prophet

  • @GeorgeMwaura-pt7yz
    @GeorgeMwaura-pt7yz Місяць тому

    Yesu hakuenda kwenye chuo chochote,

  • @evelinemlay5572
    @evelinemlay5572 Місяць тому

    Nimependa hekima ya huyu Mtumishi, kutokuwashambulia watumishi wengine, Mungu azidi kukuinua Mtumishi wa Mungu

  • @RojaMwambena
    @RojaMwambena 3 місяці тому

    Nakukubari sana ipm

  • @ismailsoud3634
    @ismailsoud3634 3 місяці тому +1

    Huyu naye ni NDUMILA KUWILI ni mjanja mtafutaji
    Mwa aliye funuliwa na Mungu anakuwa ha na haja ya kusoma maandiko vitabuni, anapaswa kueleza NENO kisha waumini wao ndio wataangakia maandiko. Mtumishi wa Mungu anakija na NENO siyo kusoma mistari vitabuni..

  • @sophiaesmarcharo9775
    @sophiaesmarcharo9775 3 місяці тому

    ❤❤❤t is a 🌷❤🙏🙏🙏🙏

  • @danielkamau2987
    @danielkamau2987 3 місяці тому

    Alika Ndacha akufundishe bibilia.

  • @paschalsafari9747
    @paschalsafari9747 3 місяці тому

    Walokoke mpoooo msikikize huyu mchungaji upate maarifa

  • @EmanuelyThomas-ml7sf
    @EmanuelyThomas-ml7sf Місяць тому

    Uongo

  • @HenryRuharara-l5r
    @HenryRuharara-l5r 3 місяці тому +1

    Mafuta,,,ya upako na maji ya upako uko sawa,,,,usiache kusema ,,,wapenda kweli tuko nyuma ysko

  • @SiwemaMohamed-s9e
    @SiwemaMohamed-s9e 3 місяці тому

    Sasa elimu ya Dunia itakufikisha kwenye ufalme?

  • @marymassawemassawe
    @marymassawemassawe 3 місяці тому

    Mch kuwa makini YESU anarudi hili jambo la kutoa kafara kuchinja linatoka wapi jamani mtuache tu jamani tusimame kwa zamu zetu wenyewe yule unaeona afadhali kumbe hakuna kitu

  • @danielkamau2987
    @danielkamau2987 3 місяці тому

    Debate na Ndacha tunjue ukweri wa bibilia..

  • @annanamuyala
    @annanamuyala 3 місяці тому

    Chuo siyo ndiyokitakacho kuingiza ufalime wa mbinguni apana nia duniani yani ukiitwa nikujiongeza tu

  • @marymassawemassawe
    @marymassawemassawe 3 місяці тому

    Nilikuwa nakukubali kwa kiasi Ila kwa kafara umeniacha mbali sijakuelewa

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 3 місяці тому

    IPM unyoke na mambo y'ako hueleweki unaongea vitu ambavyo havieleweki mara.biblia inaonyesha kila.kitu mara umechunguza miaka.3 walokole hawana hela mara kuvaa suruali wanawake sio dhambi angalia kudandia gari kwenye kibini.utagongwa baba.mkwe dunia haziko mbili waumbaji.hawako wawili.chagua Moja usimhubiri Mungu kama hajakutokea huwezi kumpendeza Mungu pasipo kumwamini.kuwa.anaweza kutenda

  • @chamaibra5966
    @chamaibra5966 3 місяці тому

    Yani hawa wachungaji wizi mtupu eti ana degree kumi na gwajima anatunga vitabu anauza Korea wizi mtupu

  • @suzanagilbert2523
    @suzanagilbert2523 2 місяці тому

    Hakuna miujiza feki

  • @SeveStone
    @SeveStone 3 місяці тому

    Degree 10 hongera baba mchungajiiiiii

  • @FrancoisMangala
    @FrancoisMangala 3 місяці тому

    SASA WEWE KAMA UNAPEWA UDUMA ALAFU UNA SHINDWA KUKEMEA WENGINE HAUFAI,HEKIMA YAKO NI YA KIDUNIA AO UNAJUWANA NA KIBIKO YA WACHAWI......BIBLIA INASEMA ONYA,KEMEA,KARIPIA

    • @msemakweli243
      @msemakweli243 3 місяці тому

      @@FrancoisMangala hakuna mtumishi wa mungu ni wakala wa shetani

  • @msemakweli243
    @msemakweli243 3 місяці тому

    Uho ndo unafiki hakuna hekima ya kutokesema ukweli

  • @MfiriFulgensi
    @MfiriFulgensi 3 місяці тому

    Kiboko ni mwenzie anasemaje?

  • @RastaSuma
    @RastaSuma 3 місяці тому

    Jpm umefeli kwakuwa umetoka kwenye njia sahii yenye mafundisho ya Mungu wa kweli ukafuata mafundisho ya watu

    • @msemakweli243
      @msemakweli243 3 місяці тому

      @@RastaSuma njia sahihi ni uisilamu hapana ndo maana mnaomba mwisho mwema amna njia sahihi

  • @MkuuKuu
    @MkuuKuu 3 місяці тому

    Mchungaji anayejua kuongea kiarabu na swala za kiislamu kuliko mistari ya Biblia! Mti hujulikana kwa matunda yake. Bora arudi alikotoka.

  • @msemakweli243
    @msemakweli243 3 місяці тому

    Hapo unatulisha matango poli ya mungu hayasomewi ni uongo wa dhahili kabisa

  • @swedijuma-rn4kr
    @swedijuma-rn4kr 3 місяці тому

    Wajinga ndio waliwao umetoka katika din ya haki wakamue hao maana dunia ndio pepo yako akhera huna kitu.

    • @ismailsoud3634
      @ismailsoud3634 3 місяці тому

      Akhera ataensa sujudu motoni.
      Maana mila nafsi yenyewe Ina alama ya usaliti huzidiana kutokana na elimu ya shetani katika uovu. Huyu amezidi mno.
      Nabii wa Mungu anapo kuja hana haja ya kushika kitaabu, yeye hunena neno tu.

  • @gerkombo6512
    @gerkombo6512 3 місяці тому

    Mwislamu aliyejiongeza aliyeamua kupiga pesa kupitia ukristo. Endelea kukamata wajinga kupitia degree zako 10

  • @evelinemlay5572
    @evelinemlay5572 Місяць тому

    Nimependa hekima ya huyu Mtumishi, kutokuwashambulia watumishi wengine, Mungu azidi kukuinua Mtumishi wa Mungu

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 3 місяці тому

    IPM unyoke na mambo y'ako hueleweki unaongea vitu ambavyo havieleweki mara.biblia inaonyesha kila.kitu mara umechunguza miaka.3 walokole hawana hela mara kuvaa suruali wanawake sio dhambi angalia kudandia gari kwenye kibini.utagongwa baba.mkwe dunia haziko mbili waumbaji.hawako wawili.chagua Moja usimhubiri Mungu kama hajakutokea huwezi kumpendeza Mungu pasipo kumwamini.kuwa.anaweza kutenda