BABA LEVO AFICHUA - "NIMEMKUTA ZUCHU NYUMBANI KWA DIAMOND, ANAMLISHA CHAKULA"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 16 жов 2024
  • BABA LEVO AFICHUA - "NIMEMKUTA ZUCHU NYUMBANI KWA DIAMOND, ANAMLISHA CHAKULA"
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

КОМЕНТАРІ • 101

  • @nostresslyly5454
    @nostresslyly5454 2 роки тому +18

    Baba levo wewe nakukubali👌👌👌👌

  • @mnrakishrasheed6629
    @mnrakishrasheed6629 2 роки тому +8

    Why can't she be happy..... It's her time...if it's meant to be it would be ..all the best zuchu.

  • @kimah9461
    @kimah9461 2 роки тому +3

    Babalevo anajua kitu🤣😅Sisi tunapenda wakiwa wameowana 🙌🥰

  • @alverztv6272
    @alverztv6272 2 роки тому +25

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂
    B-Levo mkali wa yote 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @romakoko2292
    @romakoko2292 2 роки тому +15

    Niulize Mimi😂😂😂Baba Levo alokuroga

  • @ucjvvjcjjvih9934
    @ucjvvjcjjvih9934 2 роки тому +3

    Am tz baba Levo toa siri❤😅😅😅 pasua Nice job ZUCHU TUNAMPENDA NA SIMBA TUNAWAPENDA SAWA TU

  • @zamzamabdi5279
    @zamzamabdi5279 2 роки тому +3

    Tanzani mtakufa kufatiliya maisha za watu

  • @tabasamtv6728
    @tabasamtv6728 2 роки тому +12

    Kazuchu kanatumika ipo siku akiondoka WCB atakujaga kusimuliwa.

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema 2 роки тому +20

    Simba Diamond Platnumz huyu mtoto Zuchu ni zaidi ya Beyonce. Wanawake aina ya Zuchu akizaa watoto wanakuwa na IQ kubwa sana maana Zuchu ni Msanii pekee wa kike anayeandika mashairi hivyo Ubongo wake ni material.Simba tulia na mtoto huyo ule maisha pia atakusaidia kuendeleza Kampuni ya Wasafi huko mbeleni Inshallah.

    • @omarswaleh6082
      @omarswaleh6082 2 роки тому

      Mondi aweza kuowa huyu amejaliwa kuza watoto wa haramu ulisikia wapi mtu anae abudu mashetani

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 2 роки тому +8

    Baba levo anajua anachokisema sababu yuko karibu sana na diamond hawezi kukosakuona ishara za kimapenzi kati ya zuchu na diamond ila jamaa anajua kula na diamond

  • @omarihamadumetishasanalava4725
    @omarihamadumetishasanalava4725 2 роки тому +1

    Nice

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 2 роки тому +2

    Yn bbaa levo cjui lipoje utasema yy ndo Lina fanyiwa kipindi

  • @nyirandagijimanashamila6230
    @nyirandagijimanashamila6230 2 роки тому +4

    Haya endelea umeniwuwa sana

  • @coolzeddy_official9216
    @coolzeddy_official9216 2 роки тому +7

    Baba levooooo😃😃😃😃

  • @saudahassan6667
    @saudahassan6667 2 роки тому +2

    Seeeemaaaa baba levooooooooooooo

  • @shishybaby4524
    @shishybaby4524 2 роки тому

    Baba levo we noma

  • @ngarathecomedian5743
    @ngarathecomedian5743 2 роки тому +2

    B levo Ba anaemkubali like hapa jamaa hajui kuficha Kbsa 😂🤣🤣🤣🤣

  • @ayni193
    @ayni193 10 місяців тому

    B levo chawa

  • @johnmasanja1762
    @johnmasanja1762 2 роки тому

    B levo mastory gd sana

  • @luciametuselah5164
    @luciametuselah5164 2 роки тому

    Yan uyu baba levu

  • @simeonchui2256
    @simeonchui2256 2 роки тому +4

    🔥🔥🔥🔥

  • @sakinaabdallah7713
    @sakinaabdallah7713 Рік тому +1

    Sasa la ajabu ndio gani hapo huyo zuchu si kahamia kwa mondi Tangu zamani alikuwa akichezea kina wema sepetu n'a kina Aliya, Pia hata tanasha kawachezea mbona hakuthubuti ,kumchezea zari siku ile ya mpira alibaki tu kubinua midomo uwanjani kama kunguru aliyenyeshewa.

  • @mwaiphamkuruto1087
    @mwaiphamkuruto1087 2 роки тому +11

    Huyo Zuchu kama kweli anatoka na Mond fala tu hivi haoni warembo walikuwa nae saa hii wako ama nataka kuzaa tu na Diamond nje ya ndoa awe analea mtoto haramu upuuzi tu

    • @gracesilayo7670
      @gracesilayo7670 2 роки тому +2

      Anajiamini ni mrembo zaidi ya waliopita nae 😂😂😂😂😂😂😂

    • @mwaiphamkuruto1087
      @mwaiphamkuruto1087 2 роки тому

      @@gracesilayo7670 yeye na mobeto, na joketi , wema na zari the big boss haingii hata wakifunga macho

    • @mwaiphamkuruto1087
      @mwaiphamkuruto1087 2 роки тому

      Mbona asiwe kama Nandy mashallah mrembo na ajihifadhi kuliko huyo muislamu Zuhura na sio eti hana mahusiano lakin ni mtulivu saana namkubali saana

    • @gracesilayo7670
      @gracesilayo7670 2 роки тому

      @@mwaiphamkuruto1087 anaonyesha pajaaaa vimini ndo mitoko yake huenda aliambiwa ndo anapendeza

    • @binaljabirmshihirzanzibar8369
      @binaljabirmshihirzanzibar8369 2 роки тому

      Cku moja ataliaaa km paka huyoooo mondiii nomaaa

  • @birusidesmond3245
    @birusidesmond3245 2 роки тому +3

    Chawa 🔥🔥🔥😂😂😂

  • @alfredmhana235
    @alfredmhana235 2 роки тому

    Mhh kumlisha bosi?

  • @khamisshee5131
    @khamisshee5131 2 роки тому +2

    ss ww chawa wivu umekujaa kwani ulikuwa wataka kuliswa ww kuweni wabunifuu kila siku boss wenu ama Hamo mwaboowesha sana

  • @jacquelinesangu1521
    @jacquelinesangu1521 2 роки тому +4

    Diamond kula wote hao

  • @michutv9677
    @michutv9677 2 роки тому +7

    Hahahahahaaaa niulize mm😂😂😂

  • @alainmuhindo2137
    @alainmuhindo2137 2 роки тому +6

    Babalevo jamani 🤣🤣🤣🤣

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 2 роки тому +2

    Uwo upuuzi haushitui tena kila ngoma muje na hili

  • @nasrihussein4293
    @nasrihussein4293 2 місяці тому

    Msidangane ukweli hiyo

  • @markifilberttv9859
    @markifilberttv9859 2 роки тому +3

    Acheni Mambo ya kidada wanaume

  • @abdulmtausi5590
    @abdulmtausi5590 2 роки тому +5

    Adela na baba levo nawapenda sana,akili zao zinaendana

  • @daudkhatib4678
    @daudkhatib4678 2 роки тому +1

    Kwani. Kumuekea. Chakulaa. Boss. Wakoo. Mdomoo. Kudety. Naee

  • @letisiamakonda3873
    @letisiamakonda3873 2 роки тому +1

    KunguniProMax😆😆👐

  • @bmk4482
    @bmk4482 2 роки тому

    Hawa wote kelele tu.

  • @VicKi-ot7pq
    @VicKi-ot7pq Рік тому

    Zuchu na diamond tuna subiri doa

  • @aminakassim7486
    @aminakassim7486 2 роки тому +1

    😀😀😀

  • @deboratv1941
    @deboratv1941 2 роки тому +1

    weeee

  • @rehemakulwa8331
    @rehemakulwa8331 2 роки тому +2

    Baba levoooo hatar

  • @zakahusain8184
    @zakahusain8184 2 роки тому

    Chawa kma chawa...kiroboto yuko wapi jumah😂😂😂

  • @salehkhamis-ob8ln
    @salehkhamis-ob8ln Рік тому

    Kwani hata wakiwa wapenzi si wameridhiana kuna ubaya gan

  • @jennytugara9470
    @jennytugara9470 2 роки тому +5

    Lol Mwanamme umbea sio kazi yaani imefikia mahali umbea umekuwa kazi yaani Mtu analipwa kutangaza umbea duh hatari. Yaani eti tumwambie Diamond akuoe Zuchu hao wengine Baba Levo watu ndio walisema aachane nao???

  • @jaberjohn7556
    @jaberjohn7556 2 роки тому +1

    Adele be intelligent not subsequent

  • @michaeljgruppiii7257
    @michaeljgruppiii7257 2 роки тому +1

    Wasafi wanajua kutafuta pesa kweli wameacha bifu sasa ni mambo y’a mahusiano baadaye tutasikia mboso n’a wema sepetu

  • @abdonkakesiumkakesium5747
    @abdonkakesiumkakesium5747 2 роки тому +1

    😄😄😄😄❤️♥️♥️♥️♥️🌸ZucH

  • @lydiahmartinz925
    @lydiahmartinz925 2 роки тому +1

    Ameamua kukula his own stock. Si mbaya

  • @shaneshane4175
    @shaneshane4175 2 роки тому +3

    Baba levo🤣🤣👌

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 2 роки тому +2

    Adela miwanibkama kipof

  • @majaliwa_tz5004
    @majaliwa_tz5004 2 роки тому +1

    B_Levo ba

  • @lewismpangala927
    @lewismpangala927 2 роки тому

    Kazuri kametembea km chache kuliko ile mi mazaa

  • @mwambarock2562
    @mwambarock2562 2 роки тому +1

    😂😂😂😂😂😂ila baleo daaa

  • @albelikane7005
    @albelikane7005 2 роки тому

    Baba levo naee anaongea sana Aki ila ni ngpn

  • @Vumimakil8102
    @Vumimakil8102 2 роки тому +1

    😂😂😭Baba Levo

  • @abdulkheri7322
    @abdulkheri7322 2 роки тому +3

    Yan ndio mmeamua kuuwa Kiki ya harmonise na kajala🤣🤣🤣

  • @reuben_phone_accessories1686
    @reuben_phone_accessories1686 2 роки тому +1

    Hapa hamtoki🤣🤣

  • @abdonkakesiumkakesium5747
    @abdonkakesiumkakesium5747 2 роки тому

    😃😃😃😀😀😀😀😃❤️❤️❤️❤️❤️😍😍

  • @sirallantoiske6250
    @sirallantoiske6250 2 роки тому +2

    😂😂😂😂😂😂😂 chawa pro max no 🧢

  • @jafarrashid6536
    @jafarrashid6536 2 роки тому +1

    kama wanakulana si waseme tu kila siku maneno ushuzi 😂😂

  • @sakinaabdallah7713
    @sakinaabdallah7713 Рік тому +1

    Kila mtu anakufa kwa ugonjwa wake hakuna atakae kufa kwa ugonjwa wa mwenzake kwa hivyo huyu mondi ugonjwa. Wake ni kucheat wala hato pona huyo

  • @munirahmed7753
    @munirahmed7753 2 роки тому

    Kaa jamaa mbea huyu duh

  • @stevewesco6669
    @stevewesco6669 2 роки тому +1

    😂😂😂niulize mm

  • @blueberrypotatogames7950
    @blueberrypotatogames7950 2 роки тому

    Unaongea ukweli.

  • @omarswaleh6082
    @omarswaleh6082 2 роки тому +2

    Baba levo wewe huna bibi au watoto mtu mzima kama wewe mbona ovyo sana mwana mume hatakikani kuwa hivyo hizo nitabia za kishoga

    • @anthonysindabaha7517
      @anthonysindabaha7517 2 роки тому

      Wabongo bhnaa mwenzako anaingiza pesa kutumia domo lake ww unabaki makasiriko daahh

  • @abdonkakesiumkakesium5747
    @abdonkakesiumkakesium5747 2 роки тому

    😄😄😄😄😄😄😄🥰😍🥰

  • @user-restie
    @user-restie Місяць тому

    Babalevo😂

  • @halimaamani4095
    @halimaamani4095 2 роки тому

    Studio mbovu mno, hongeeeni mamba ya maana

  • @maasaimkisii9089
    @maasaimkisii9089 2 роки тому +1

    😂😂😂😂 *Chawa*

  • @deboratv1941
    @deboratv1941 2 роки тому +5

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @zainabakida3125
    @zainabakida3125 2 роки тому

    😜

  • @franklinmganga736
    @franklinmganga736 2 роки тому

    Baba levo utauponza

  • @rugerfamily8577
    @rugerfamily8577 2 роки тому +1

    😂😂😂

  • @barakatabdul3212
    @barakatabdul3212 2 роки тому +3

    Zuchu Aache kutuchezea na kiki zenu Shenzi nyinyi hakuna cha mausiano hapo ni Drama tupu! Yote nikuzima mausiano ya Hamonize hakuna mvuto.

  • @broka_genius3615
    @broka_genius3615 2 роки тому +1

    Balev

  • @sakinaabdallah7713
    @sakinaabdallah7713 Рік тому +1

    Kaji fanya ATI mondi ni boss Léo fyuuuuuuuu vile alivyomchukua ndio hivyo hivyo atakavyo toroka tuuu

  • @feronandsulubu6711
    @feronandsulubu6711 2 роки тому +1

    😂😂😂😂😃

  • @hadijahope8632
    @hadijahope8632 2 роки тому

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 levolevo

  • @hoseajeremia9181
    @hoseajeremia9181 2 роки тому +1

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @rosemkumbwa3508
    @rosemkumbwa3508 2 роки тому

    .

  • @beatriceaoko3947
    @beatriceaoko3947 2 роки тому +2

    🤣🤣🤣

  • @brantarry4585
    @brantarry4585 2 роки тому +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😊

  • @nanaleetz
    @nanaleetz 2 роки тому

    😹😹😹😹😹 dah

  • @philimonmtwale2273
    @philimonmtwale2273 2 роки тому +1

    🤣🤣🤣