ZUCHU NA DIAMOND WALIVYOBANWA KWA MASWALI YA 'NDIO AU HAPANA'

Поділитися
Вставка

КОМЕНТАРІ • 142

  • @kimah9461
    @kimah9461 2 роки тому +1

    Diamond platnumz walahi weh ni funny❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @erickchingawadunia3010
    @erickchingawadunia3010 2 роки тому +4

    Hamuna vya kikohizi sema kwel damond anamupenda zuchu by RAVARICK

  • @queentoto3878
    @queentoto3878 2 роки тому +7

    🥰🥰🥰waaacheni jamnnnnn wanapendana inaonyesha kabsa

  • @jobaisyrainer711
    @jobaisyrainer711 2 роки тому +2

    Asee chawa kama chawa b.levoo😺😺

  • @isahkalambo3278
    @isahkalambo3278 2 роки тому

    Inshaalhaa...! Allha kama amepanga Bac itakuwaaaa.. But kiukweli 💞💞💞

  • @ronyadil
    @ronyadil 2 роки тому +7

    I love this guy diamond ,my God bless you all

  • @cynthiatrishia3210
    @cynthiatrishia3210 2 роки тому +1

    I love Diamond

  • @dalphineatembekwa9381
    @dalphineatembekwa9381 2 роки тому +17

    I love this couple....diamond amekuwa na mabibi bt this one is the best

  • @mishimwinyi7974
    @mishimwinyi7974 2 роки тому +1

    This can be the best couple in africa

  • @happypro3212
    @happypro3212 2 роки тому +9

    🤣🤣🤣🤣
    My part Zuchu mbona hujibu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @saudahassan6667
    @saudahassan6667 2 роки тому +1

    Wallah nimecheka waaaatuuuu weweeeeeeeeeeee diamond kajikanyaga

  • @lastborn7810
    @lastborn7810 2 роки тому +12

    Yaani zuchu hasemi lakini jinsi anavi jibebedua utaelewa tu😂😂dai anakataa lakin Zuu tumekuelewa mama😂😂😂😂😂

  • @TonyCristy-j6e
    @TonyCristy-j6e Місяць тому

    ❤❤❤❤❤

  • @jaredoscar8823
    @jaredoscar8823 2 роки тому

    Baba levo .Kochi la🔥🔥🔥🔥🔥🔥🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 .nakula✌️

  • @lilikeilaliz389
    @lilikeilaliz389 2 роки тому +1

    Diamond you so funny you made me laugh in the whole story

  • @birthdaywishesforlovedones2788
    @birthdaywishesforlovedones2788 2 роки тому +1

    Zuchu mbona hujibu got me haha

  • @annmasaki3517
    @annmasaki3517 2 роки тому +1

    Baba levo kazdi uchawaa

  • @DeborahLongor
    @DeborahLongor Місяць тому

    Who is watching these on 1st january😂😂😂

  • @betrue33
    @betrue33 2 роки тому +19

    Hakia ya Mungu Mondi you are killing us. 🤣🤣Haka katoto ka mama Ndagote kajanja kweli.🤣🤣

  • @belangechocolat8388
    @belangechocolat8388 2 роки тому

    Ndiyo kabisa #Binana

  • @JeanBoscoNdayikengurukiye-q6t
    @JeanBoscoNdayikengurukiye-q6t 8 днів тому +1

    Hawa itakuwaniongo

  • @erdowizzy2652
    @erdowizzy2652 2 роки тому

    Naona Mzee chawa anavyo washa hatuliiii

  • @jfrankmusic1205
    @jfrankmusic1205 2 роки тому +4

    Simba ni Simba apo sawa 🙏🙏

  • @Jomusiqandpretty
    @Jomusiqandpretty 2 роки тому +17

    You guys are cute together 😍

  • @nancywambui44
    @nancywambui44 2 роки тому

    Cake ya happy birthday to u

  • @hellendaniel3809
    @hellendaniel3809 2 роки тому +11

    Baba Levo atafika mbinguni na ambulance khaaaa😀😀😀😀

    • @suleimanrashid3918
      @suleimanrashid3918 2 роки тому +2

      Huu wazimu alio akijibu diamond na huu umwehu ulio comment ww umenifanya nicheke hadi nisijue huko mbele kumeendelea nini mpaka ikaisha nihadithie sasa wameendeleaje.
      Ila kweli kuna siku nami niliwaza baba levo ataendanda mbinguni kwa guta 😂😂😂😂 ulidhani bange wavuta pekeako tu 😂😂😂😂😂😂

    • @Hedva255
      @Hedva255 2 роки тому +1

      Yaani🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @hellendaniel3809
      @hellendaniel3809 2 роки тому +1

      @@suleimanrashid3918 hahahahaaaaaaa wewe utawasumbua sana malaika wa zamu hiyo siku😀😀😀

    • @dannyblossproduction52
      @dannyblossproduction52 2 роки тому

      Ona Ivo alivo ingia ,,ni Kama Petro 😆😆😆

    • @angelambondelo2836
      @angelambondelo2836 2 роки тому

      Hawa wanamahusiano lakini hawataki kujionesha

  • @fannynduwimana4028
    @fannynduwimana4028 2 роки тому +5

    Zuchu awe makini mutu akikukata mbele zawatu acha ukaribu na yeye usije ukaumiya zaidi naona hata hapo ume umiya kimya kimya watu wakubwa tumesha ona ila Pol san💫

  • @PriscaMango
    @PriscaMango 2 місяці тому +1

    Zuchu ataachwa kama walivoacha wengne labda abadili juju 😂😂😂

  • @zainawaziri8994
    @zainawaziri8994 2 роки тому +2

    Jamani uyaweke maswali vizuri kwenye mstari duu, mbona Kama utakuwa umetunga mwenyewe, hapo vip

  • @its__ingrid947
    @its__ingrid947 2 роки тому +7

    Diamond u so funny 😂😂

  • @bintimohamed2646
    @bintimohamed2646 2 роки тому

    Daah diamond 🤪🤪🤪

  • @charlesmasele6327
    @charlesmasele6327 2 роки тому +6

    Kizazi sana tambwe kwa maswali yako naumwa Ila nimekijkuta nacheka kwa sauti 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @daudifaustin3874
    @daudifaustin3874 2 роки тому

    I like the guy who are asking

  • @omarshani7994
    @omarshani7994 2 роки тому +2

    Huyu ashaonja huu mzigo 😋😋

  • @rehemaabtwahi4097
    @rehemaabtwahi4097 2 роки тому +1

    Diamond bwanaa

  • @wardamunguakuzidishew9399
    @wardamunguakuzidishew9399 2 роки тому +2

    Wasenge jamani

  • @dottongariba9911
    @dottongariba9911 2 роки тому

    Waowane2 mbna frexh

  • @KoreanDramaMoviesKiswahili
    @KoreanDramaMoviesKiswahili 2 роки тому +2

    🔥🔥🔥

    • @kiehbhzh7044
      @kiehbhzh7044 2 роки тому

      Mahabba yamenoga mh🤔tutaona mwngi mwaka huu

  • @jaswabe_tz
    @jaswabe_tz 2 роки тому +6

    Baba levo uchawa utakua mpaka kwene intervew

  • @mkphxaztv4609
    @mkphxaztv4609 2 роки тому +4

    Diamond is not serious kwakweli kwakumkana uku sizani Kama atamuowa kweli

  • @reydivaaa1875
    @reydivaaa1875 2 роки тому

    ❤❤

  • @zuweinaally2413
    @zuweinaally2413 2 роки тому +3

    ANGALIA BODY LANGUAGE YA ZUCHU HAJAJIBU MASUALI YOTE KAJIBU DIAMOND TU ALIVYOTAKA YY...HATAKI KUSEMA KUA WANAPENDANA..HII NI DHAHIRI KUA YY ANAMCHEZEA TU AKICHOKA ATAMUACHA KM WENGINE...

  • @anicyaedward5605
    @anicyaedward5605 2 роки тому +11

    Zuchu loves daimond but daimond doesn’t love her trust the process .. zuchu utapigwa kitu kizito daimond hayupo

  • @peterlukose3987
    @peterlukose3987 2 роки тому

    Hahahahha jamaniii baba levo mnooookooooo.naniii kaonaaaa kwamba baba levo anawewesekaaa kusema umbeeeaaaa?????

  • @reydivaaa1875
    @reydivaaa1875 2 роки тому

  • @lilikeilaliz389
    @lilikeilaliz389 2 роки тому

    Zuchu mbona hujibu jamani

  • @Kansiime.2006
    @Kansiime.2006 2 роки тому +4

    Jmn mulipo wauliza eti siku ya wapendanao walitoka kama wapenzi Diamond bado anaongea na nyinyi munamuambia Zuu mbona haongei hadi kasema yes jmn sumungelisubiri tuu diamond kamaliza jmn lol 🤣🤣🤣

  • @pamelaakinyi4769
    @pamelaakinyi4769 2 роки тому +2

    Zuchu Hana bahati coz diamond Bado anapenda tanasha Sasa hawezisema anapenda zuchu hatharani sababu Bado akona matumaini kwatanasha ilhali huku wanakulana kisiri

  • @ayubujohn7126
    @ayubujohn7126 2 роки тому +3

    Kweli ukitaka kumuuwa nyani usimuangalie usoni bro .owa watoto wa kike utawamaliza

  • @pattycelcius164
    @pattycelcius164 2 роки тому +2

    Diamond is clever. Kind of knowing what you gonna ask before even you ask it. That's you can't win this game of YES or NO.... Simbaaaaaaaa

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 2 роки тому +5

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nimecheka jamani

  • @mariamsalum6029
    @mariamsalum6029 2 роки тому +1

    Zuchu anapanga kalata cjui anataka acheze🤣🤣

  • @emmiemmi3861
    @emmiemmi3861 2 роки тому +1

    Yani babalevo anampenda boss wake anatamani asaidie kujibu

  • @iambaizo
    @iambaizo 2 роки тому +4

    Lil ommy:are u guys friends with benefits?
    Diamond:Haaah kizungu ebu niweke kiswahili
    Mila kunis&Justin Timberlake 2011:Hahahhahaha
    Diamond:Inategemea mipango ya mwenyezi Mungu hii ni taasisi.
    Lmao

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid1171 2 роки тому +3

    KIZUCHU KINA MBWEMBWE

  • @binti_jannet
    @binti_jannet 2 роки тому +4

    🤣🤣🤣🤣🤣 I am here laughing loud

  • @jeyshillyjack4470
    @jeyshillyjack4470 2 роки тому +4

    We Zuchu we chizi nini MTU anakukana akijifanya na wewe unaona Kama kawaida chunga usije kujutia

    • @zuweinaally2413
      @zuweinaally2413 2 роки тому

      Mm namuonea huruma Zuchu..Lkn lazima akubali akikataa mkataba utamuhusu nae ndio kwanza anaanza...KAJIVUA NGUO NI LAZIMA MAJI AYAOGE TU JAPO YAMOTO..ANAMTUMIA NYOTA YK MASIKINI BILA YA KUJUA

  • @shabanially5069
    @shabanially5069 2 роки тому +1

    💯💯

  • @timamulituto
    @timamulituto Рік тому

    😂😂😂😂😂😂kwaza mcheke mie😂😂😂😂

  • @Ririmoney
    @Ririmoney 2 роки тому +8

    Ayu guys feel each other??
    Mnajifeel kimapenzi each other ??🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @recholameck7124
      @recholameck7124 2 роки тому

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Nyie mnatufumb macho

  • @bossjulie9627
    @bossjulie9627 2 роки тому

    Kenzo I'm $

  • @linahsemindu4261
    @linahsemindu4261 2 роки тому +1

    Hao n wapenz jmn kusoma hamjui picha hamuoni?

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 2 роки тому +7

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣vigezo na masharti🤣

  • @jeyshillyjack4470
    @jeyshillyjack4470 2 роки тому +1

    Sasa hii TV yenu mbona Kama Kama mmesema maswali ni yes or no mbona diamond anaelwzea

  • @silvestersanga3583
    @silvestersanga3583 2 роки тому

    Ukataaji wazuchu mbona ni washongo upande em nikujibie mm yes

  • @zooz6762
    @zooz6762 2 роки тому +1

    Huyu zuchu anaonrekana kama anamimba kikweli umeona wanavyo cheza kwa kusagana wahakuna aibbbu alafu hkhadija kopa alisema mtoto wake nimsalihina mbona anasagwa makalio na dai

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid1171 2 роки тому +1

    BABA LEVO SILIPENDI

  • @fraykidy3034
    @fraykidy3034 2 роки тому

    Kaka #Diamondplatnumz kajikuta #Steve nyere

  • @monyshaali181
    @monyshaali181 2 роки тому +2

    Ingekua mie amenikana hapo mbele ya umati urafiki huo ungefifia kabsa

    • @irakozelatf8011
      @irakozelatf8011 2 роки тому

      Sasa akunali unafki sio wapenzi ni boss wake tu

  • @paulobagaidagiza3711
    @paulobagaidagiza3711 2 роки тому +4

    Awa wanakulana... 😂😂😂

  • @owenmutale6691
    @owenmutale6691 2 роки тому +1

    Kajiita nasibu Abdul

  • @shabanially5069
    @shabanially5069 2 роки тому +1

    😀😀😀😀

  • @BelindahJohns
    @BelindahJohns 2 роки тому

    Yani hii ndio deny deny deny

  • @johnkideule625
    @johnkideule625 2 роки тому

    Daaah🙄🙄tabwe

  • @tanjaniyoman3160
    @tanjaniyoman3160 2 роки тому +1

    Mbona keki ya b.day🤣🤣

  • @WORDOFMYCREATOR
    @WORDOFMYCREATOR 2 роки тому

    Jamani.Zuchu should read the wall.Its black and white. DIAMOND SAID BEFORE,THEY BRING THEMSELVES, THEY SHOULD BE READY FOR HEART BREAKS. OH LORD I PITTY WOMEN AROUND BIG 🌟. ##womenwesufferalot.##wecandodiffrently

    • @pamelaakinyi4769
      @pamelaakinyi4769 2 роки тому

      I know diamond still love tanasha that's why he will not in repablic

  • @yvettekankindi1433
    @yvettekankindi1433 2 роки тому

    So are they together or what? Can someone tell me

  • @storizakaka
    @storizakaka 2 роки тому +1

    Kujua mengi kwenye maeneo ya Muziki, Chakula, Filamu na Matembezi.
    Pitia UA-cam yangu!

  • @ramadbanihamis1055
    @ramadbanihamis1055 2 роки тому

    Hahahaha Simba umenichekesha Sana Yani unajalibu kutufanya tufurahi but you and zuchu Mmmmh

  • @zulpharashid5308
    @zulpharashid5308 2 роки тому

    Zuchu anapendeamo kua wapenzi alieona twendesawa

  • @nasmanasma8607
    @nasmanasma8607 2 роки тому +4

    Daah jamani ndiy nn sasa wakati ss ♥ tulijuwa mod na zu in love why so now hamuko kimapenzi what happened 😢 kwahiy mod utawachezee watoto wa watu mpka lini jamani daah nimewapenda mod wew sshv unajielewa achana na mambo ya kimila wap umezikiya mapenz yanaingiliwa ukiwa unampenda mtu ni ww to unajirudisha utoto unajuwa mod unaumiza tz yet ww 😄 to man macho yetu yanakuangaliy ww to alafu tena watuambiy hamupo kimausiyano jamani sasa nani atamuowa zuchu ulivyo mushikiliy hivyo kumvujia heshima mtoto wa kiisilam zuhura na ww umeniudhi unajiachiy wakat mod kasema anasubir kauli kwa mama yake atakuchezey mam dangote akisem yes 😄 💖 itakuwa akisema no utakoma na hapo ushavuliwa nguo hadija kopa mama mipasho kazi anayo sijuh atampasha nani sshv me simoo

  • @maryammuhammad2553
    @maryammuhammad2553 2 роки тому +1

    haoo wanazagamuana mbona bira kificho

  • @lovnessmussa6866
    @lovnessmussa6866 2 роки тому +3

    Wap😏hao ,,,., Madamga, 2

  • @alhamdullilla5108
    @alhamdullilla5108 2 роки тому +1

    Ka zuchu kameabika hangekuwa Diamond angesgma yes ila Diamond ana siriya yoote ana kasirika zuchu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣kama Diamond angtkupenda zuchu hangekukana kskukdna bayanaa🤣🤣🤣🤣🤣

  • @nameno8608
    @nameno8608 2 роки тому

    Family plan inafanya maziwa kuwa madogo

  • @sharifaabdullah6825
    @sharifaabdullah6825 2 роки тому +2

    Kiki zitaisha',

  • @hajraissa5089
    @hajraissa5089 2 роки тому +2

    🤣🤣🤣🤣🤣nasib ci hiyo mila

  • @fardowsaabukar2521
    @fardowsaabukar2521 2 роки тому

    Mm

  • @salumsalim7564
    @salumsalim7564 2 роки тому

    Sasa ilo senge uko nyuma lilifata nini mama levo

  • @hashimlowela294
    @hashimlowela294 2 роки тому +1

    😄😄😄

  • @Divinelinna
    @Divinelinna 2 роки тому +1

    Eti keki ya basidei hepi basidie tu yu 🤣

  • @shamsakiobia6421
    @shamsakiobia6421 2 роки тому

    Muwe mnaongea kiswahili acheni uzungu sana

  • @Breez-f
    @Breez-f 2 роки тому

    🤣🤣🤣 diamond you are player -boy .

  • @vovobi2379
    @vovobi2379 2 роки тому +1

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣jmn

  • @zenarodgers278
    @zenarodgers278 2 роки тому +1

    Napenda mondi akiongea

  • @sanityonline4512
    @sanityonline4512 2 роки тому

    😂😂😂mondi maelezo kibao

  • @msalabanireko1518
    @msalabanireko1518 2 роки тому

    Kama nimesikia diamond kajiita nasibu adluli au nimesikia vbaya jamn

    • @owenmutale6691
      @owenmutale6691 2 роки тому

      Sahihi kajiita hivyo mungu ni mwema 😂😂

    • @tozyalex2289
      @tozyalex2289 2 роки тому +1

      Si ndoo jina lak kwan?

    • @msalabanireko1518
      @msalabanireko1518 2 роки тому

      @@tozyalex2289 Ni kwel ndug lkn kulikua na wakti fulani kulikua na utata na uyu mzee adlul mbak walituaminisha sisi mashabiki kua mzee adlul sio mzazi wke yy alikua Ni mlez

    • @shadymbuki87
      @shadymbuki87 2 роки тому

      @@msalabanireko1518 na huo ndo ukweli

    • @msalabanireko1518
      @msalabanireko1518 2 роки тому

      @@shadymbuki87 akika sikupingi Mana inaonekana yule jmaa kulitaj JIna la adlul Ni jepesi kuliko la uyo nyange

  • @ENEAHTV
    @ENEAHTV 2 роки тому +1

    Huyu ndiye MTU wa kwanza kugundua na kupost video UA-cam
    👇👇👇
    m.ua-cam.com/video/UaUEkA1qIZs/v-deo.html

  • @wandemsitumakamba289
    @wandemsitumakamba289 2 роки тому

    😂😂mondi unavtuko

  • @mouryneojiambo2920
    @mouryneojiambo2920 2 роки тому +1

    Haha aty apana,ndio