Naupendaga huu wimbo, mko vzr. Mko So relaxed, uimbaji ni raha sio, nimepata raha jinsi mlivyokuwa na raha. Keep it up, msiache kuimba. Make God proud of you Vijana wa Keko. Karibuni Iringa KKKT Kanisa Kuu, tunawapenda.
Je vous apprécie vraiment que le seigneur vous bénisse richement mes frères et sœurs, je vous appelle frères et sœurs non parceque on est de même église mais en Christ 🙏🙏🙏🙏
Mko vizuri ila mkemeeni shetani anaoneka katikati yenu na amejivisha ngozi ya kondoo kumbe ni mbwa mwitu. Mungu awaonyeshe najua mtamtambua na mtamkea Kwa nguvu tena Sana.
Amen Mungu awabariki......ila don't concentrate so much on body movement/ dancing that you forget about the message or forget about what listeners are suppose take home. Punguzeni michezo ya mwili....
ZABURI 149:3-4 "Israeli na washangilie katika Muumba wao, watu wa Sayuni na wafurahi katika Mfalme wao. Na walisifu jina lake kwa kucheza na wampigie muziki kwa matari na kinubi
Leo nmeona wanaimba live kurasin sda walivyo kuwa wanaimba nkawa najiuliza keko kanisa la wasabatho lipo wapi ck nyingne niende nkasari ndo wakasema ni kkkt keko yaaan nmebki nashangaaa
WaKKKT wanauimbaji wao wa asili kama wa kisabato tu toka enzi hizo wala hawajaanza Leo, ukifuatilia kwaya zao kuu utagundua hilo na huwa wanaimba bila vyombo ,ni uimbaji mzuri sana
Mmeimba kama Waadventista wa Sabato kabisa... Karibu kwenye misingi, mtaleta mapinduzi kwenye tasnia ya muziki wa unjili ambayo inaonekana kupoteza uelekeo. Sijabarikiwa tu na uchezaji wenu maana kuna step mnalazimisha ila wimbo unakataa
Mwalimu wenuu he is very talented mnaimba kama wasabato nabarikiwa mnoo mungu awabariki sana 🥰🥰🥰
Naupendaga huu wimbo, mko vzr. Mko So relaxed, uimbaji ni raha sio, nimepata raha jinsi mlivyokuwa na raha. Keep it up, msiache kuimba. Make God proud of you Vijana wa Keko. Karibuni Iringa KKKT Kanisa Kuu, tunawapenda.
Lupyana Samuel Aminaaa ubarikiwe sana mtumishi! Tukipata connection ya huko tutafika kabisa. Msisite kuwasiliana nasi kwa WhatsApp 0786309122
Amina ntawaconnect na Mwenyekiti wetu wa Vijana Kanisa Kuu hapa
Yaani huwa simalizi siku bila kuangalia na kusikiliza huu wimbo,mpangilio wa maneno na namna unavyochezwa vinanibariki Sana,kazi nzuri kweli kweli!
Nawapendq sana hawa vijana sichoki kuwatizama wanaimba vzr sana
Saluti kwenu watumishiiii🙌🇹🇿
Je vous apprécie vraiment que le seigneur vous bénisse richement mes frères et sœurs, je vous appelle frères et sœurs non parceque on est de même église mais en Christ 🙏🙏🙏🙏
Nyevaa inguluvi yivatange deni mhwimba siluhwana isauti nofu kweli
Haya veya, twilumba swe!
Akaendani yangu nami ndani yake huyo
Huzaa sana🍇🍇❤
Mmeimba vizuri kama wasabato big up
xio wasabato saw hawa ni kkkt keko saw
Ndo maana akasema kama maana yake sio ila wamefanana
Kazi nzuri sana wapendwa mnapaswa kuwa Adventist wasabato maana kwahali hiyo 💘🤝
Kila mwenye pumzi amsifu bwana so haijalishi ni msabato au laa
wasabato mna vichaa...
@@apostlemelkizedeckmsechu6274 hayo maneno yameandikwa na mfuasi wa Yesu Ama yameandikwa na kibaka mvuta bangi!!!???
Hakika mmetisha
Mmeimba vizuri sana kama wasabato sasa msicheze sana , kucheza umepitwa na wakati
Sio sanamu hizi
Twenzetu kwa yesu safi sana Rego
Mungu awabariki kwa kazi nzuri, Yesu ni njia kweli na uzima, hallelujah
Hongerin sana keko Mungu awa tangulie kazi ya Bwana isonge mbele 👏👏👏👏👏👏👏💞
Jamani mbarikiwe sana sana nimebarikiwa sana
Hongeren keko Mungu awatangulie kwa kila Jambo mfanyalo
Mko vizuri ila mkemeeni shetani anaoneka katikati yenu na amejivisha ngozi ya kondoo kumbe ni mbwa mwitu.
Mungu awaonyeshe najua mtamtambua na mtamkea Kwa nguvu tena Sana.
Nenda kamchomoe huyo shetani unayemuona katikati yao
Amen Mungu awabariki......ila don't concentrate so much on body movement/ dancing that you forget about the message or forget about what listeners are suppose take home. Punguzeni michezo ya mwili....
Ameen Ameen
You aren't serious. Wasimame kama sanamu then? Sababu hizo movements zao tayari ni minimal. Asietaka kuwa distracted na body movents afumbe macho🙄
Hao ni Evangelical Lutheran Church sio sabbath, kumbuka Daudi alivomchezea Bwana
Huu wimbo unanipa upako sana 👑💕😍😸
Twende zetu basss kwa Yesu original aliyeangikwa msalabani. Twende zetu kwa Yesu wa ukweli
Hongela vijana wenzangu mungu awabariki kwa kazi nzur
hakika nataman kuwaalika katika kanisa langu wapige wimbo huu mpaka watu wamwone yesu.melody ya kisabato kabisa
Ameen, karibu sana sisi tunakwenda kuhudumu popote.
Twenzetu kwa Yesu Mungu awabariki kazi nzur vijana keko
Jamani I'm blessed with song.
ZABURI 149:3-4 "Israeli na washangilie katika Muumba wao,
watu wa Sayuni na wafurahi katika Mfalme wao.
Na walisifu jina lake kwa kucheza
na wampigie muziki kwa matari na kinubi
Twende zetu kwa Yesu kwenye raha ya Milele,,,,Nimebarikiwa sana .
Twenzetuni kwa yesu my favourite song
Anna Mollel Be blessed!😇
Twenzetuni kwa Yesu
So much love sound best like seventy day Adventist
Good video indeed
Ameen wimbo mzuri sana Mungu awabariki
Mbarikiwe San maan mnaimba km sda Ila bado mahelen
Mungu awabariki kaz yenu njema sana,
Naisubir taji langu maana Bwana yuaja....mambo fire fire.......🔥🔥🔥🔥🔥❄💪💯Nawakubari saana hata waimbaji wana jua hilo🙏🙏
nimewaelewa vixur keko mimi naitaka CD pleaseee
💯🙏🙏
Kwa anayetaka dvd piga namba hii nikuleteee 0786/759 309 122
Lest goes to Jesus...for forever rejoice
Ameen Ameen!
They're very talented
Waaaaoh 😍 yaan ni🔥🔥 Mungu awabariki sana kwaya ya Vijana keko
Hongela mwimbile vanu va mutua
Sarah Luvanda Ale twihongedza veya!🙏
Amen, I love your dress code
Twenzetu kwa yesu nic song
My choir my home ❤
Thank you may God bless
Hakika nabarikiwa na nyimbo zenu
MUNGU awatunze
🙌🙌🙌🤝
Uimbaji wa kisabato mbarikiwe MTU asipowaangalia live atajua SDA😅
Leo nmeona wanaimba live kurasin sda walivyo kuwa wanaimba nkawa najiuliza keko kanisa la wasabatho lipo wapi ck nyingne niende nkasari ndo wakasema ni kkkt keko yaaan nmebki nashangaaa
Keko Kama sabato
Nahisi hiii ni Tungo ya Kibaso. They arw blessed
WaKKKT wanauimbaji wao wa asili kama wa kisabato tu toka enzi hizo wala hawajaanza Leo, ukifuatilia kwaya zao kuu utagundua hilo na huwa wanaimba bila vyombo ,ni uimbaji mzuri sana
Nice nice nice Sanaa.. nmebarikiwa
Woow so beutiful!!! Be blessed
Hahaa kuna wale wasabato but got influenced by the mtindo ya Lutheran
Mmetishaa keko tunakujaaa
Good
Wonderfully hongereni sana vijana
Twenzetu kwa yesu
Serafenin ministries asenono madongo
Organized choir spiritual songs all the best
Ameen Ameen!
Ur doing great things to praise Lord 🔥🔥🔥
Ameen! To God be the glory!
SDA version be blessed forever 🙏🙏
Amen twenzetuni kwa yesu ❤❤❤❤
😍😍😍😍😍👍👍👍👍🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Twende zetu kwa Yesu 👏👏👏👏👏
Safisana
Amen
Alooooooooooooooo 😘😘😘😘
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Napenda sana mnavyo imba
Naomba tuwasiliane kwa maili muhubiriproduction2017@gmail.com or wsp no +254 786200556 tujadili jambo hapa
Muhubiri Production okay
WhatsApp yangu 255786309122
woow nice song nice performance
Great!!!
Twenzetu
Beautiful music,lively singers
Huu wimbo unanibariki saaana
Feelin blessed
waooow🎶🎼...nice one
Hawajakaa kisabato kabisa
kwanza mmependeza sana hakika mnafaa taji mana huduma mmefanya tumebarikiwa
Waoo nice songs
hongeren kwa kaz nzr
Sauti watu hupewa na Bwana na hakuna special sauti kwa ajili ya dhehebu fulani
umeonae kaka
nabarikiwa sana
Yan mnaimba km kwaya za kisabato
sawa but kucheza si utaratibu wa Kristo, kwa mujibu wa maandiko na hairuhusiwi kabisa
Maandiko yapi?
Hivi mfalme Daud alichana nguo zake akiwa anafanyaj
Miaka ya 1880 mlikuwa mnacheza? Haya masuala ya kucheza yamekuja shetani alivyozidi kujichomeka makanisani
Read psalms 149:3-4
Acheni kila mmoja afanye kinachomfaa ,Mungu ndiye anajua nani sawa na nani si sawa
Mmeimba kama Waadventista wa Sabato kabisa... Karibu kwenye misingi, mtaleta mapinduzi kwenye tasnia ya muziki wa unjili ambayo inaonekana kupoteza uelekeo. Sijabarikiwa tu na uchezaji wenu maana kuna step mnalazimisha ila wimbo unakataa
Acha kuleta misingi ya kanisa lako hapa. Eti sijapenda. kwani wanataka kukufurahisha wewe?
@@apostlemelkizedeckmsechu6274 it was just a suggestion
We f
MMEIMBA KAMA WAADVENTISTA WASABATO NI NYIMBO NZURI
SDA watupu,msicheze sas 😁
Hope walipata kufundishwa na mwalim Kibaso
Nyie mnaufahamu uimbaji wa asili wa KKKT? Au mnasema tu
Mais je ne connais pas le pays
A good song with a message.But dancing??? Not adventist.!
Lutheran
They are not Adventists
Saluti kwenu watumishiiii🙌🇹🇿
Mungu awabariki sana,huduma isonge mbele
Twenzetu kwa yesu