MBUNGE MPINA ALIVYOTOLEWA BUNGENI,ONA ALIVYOMTOLEA JICHO BASHE ...

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 23 чер 2024
  • #OFFTRACKTV #offtracktv
    Karibu kujiunga na Channel yetu ya WhatsApp kwa Habari, Matukio, Burudani
    BONYEZA LINK 👉👉 whatsapp.com/channel/0029VaDF...
    KWA HABARI ZA KITAIFA,KIMATAIFA ELIMU,MAKALA NA BURUDANI KWA UHAKIKA MASAA 24,TUFUATILIE OFFTRACK TV.
    PIA USISAHAU KUSUBSCRIBE OFFTRACK TV
    / offtracktv
    Email | info@offtrack.co.tz
    🔴 JE, NA WEWE UNA HABARI AU UNAHITAJI KUTANGAZA NASI?
    🔴 WASILIANA NA OFFTRACK TV : (+255 769 612 166)
    🔴 Email: info@offtrack.co.tz
    Www.offtrack.co.tz
    𝙏𝙝𝙖𝙣𝙠 𝙔𝙤𝙪 𝙁𝙤𝙧 𝙒𝙖𝙩𝙘𝙝𝙞𝙣𝙜
    ...............................................................................................
    Subscribe: / offtracktv

КОМЕНТАРІ • 207

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 7 днів тому +19

    Mmemtoa nje Mpina msema kweli Mtanganyika mzalendo Mungu atasimama na Mpina ❤❤

  • @beatricemhongole8852
    @beatricemhongole8852 8 днів тому +22

    Mpina ndiye Mbunge aliyewakilisha Wananchi na Watanzania tulioko mitaani.
    Wapiga makofi Mungu anawaona

    • @birianination7097
      @birianination7097 7 днів тому +2

      Mpina alitaka sukari ingizwe tani 120 tu badala ya 410 akidai Waziri ni mwongo, ila ikajulikana Mpina analipwa na makapuni ya sukari.
      Wabunge kama mpina ni Hatari sana

    • @EmmanuelLupoja
      @EmmanuelLupoja 7 днів тому

      Ww mbwa tulia

    • @birianination7097
      @birianination7097 7 днів тому

      @@EmmanuelLupoja usitukane, hivo tuna kosea. Wewe toa hoja yako,

    • @vicentnyanda828
      @vicentnyanda828 7 днів тому

      ​@@birianination7097tutolee ujinga wako hapa

  • @thomaskiponda6079
    @thomaskiponda6079 8 днів тому +18

    NANI KAMA MPINA❤❤?

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u 8 днів тому +15

    TUTAWASHANGAA SANA SANA WANA MBEYA KUMCHAGUA HUYU MAMA TULIA KUWA MBUNGE WENU!

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 7 днів тому

      Mambo yote 2024 2025 Mpina oyeeeee kazi inaendelea

    • @birianination7097
      @birianination7097 7 днів тому +1

      Spika yupo sawa kabisa, wengi inaonekana hamja jua alicho fanya mpina

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 7 днів тому

      @@birianination7097 Kafanya kitu gani Mnyonge Mnyongeni haki yake mpeni Mie ni Ccm halisi Nsema Ukweli mtetezi wa wanyonge huwa hapendwi na yeye asubiri lake inshallah mungu atatoa jibu tu

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 7 днів тому

      @@birianination7097 Huyo anapendwa na wanyonge maskini walalahoi wazee wamachinga ni kama Hayati Magufuli na Makonda watu kama hao waba vita kali sana Mafisadi huwa hawawapendi humo huko bdani yq Ccm kuna Wabunge ndiyo wanafiki wenye msimamo kila kitu kiko wazi na ushahidi upo shida nini

    • @amosdickson6318
      @amosdickson6318 7 днів тому

      Hatuwahi kumchagua na hatutamchagua ILA ameshasafisha njia jinsi atakavyojipitisha

  • @AbuuThabiti
    @AbuuThabiti 7 днів тому +7

    Huyo Bashe na wewe spika tunawasubiri 2025 tutahakikisha tunawatoa msiludi bungeni

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 8 днів тому +14

    Kazi yenu kupiga makofi tuu hata kama mambo hayaendi😢😢

  • @PaulMsema
    @PaulMsema 7 днів тому +9

    Malipo ya spika yupo Sugu atatulipia mbeya mjini 2025,alimtafutia sababu

  • @ibrahimmartin9171
    @ibrahimmartin9171 7 днів тому +12

    MUNGU Akupiganie Luhaga mpina akufiche ubavuni Kwake
    Adui asikupate katika JINA la YESU KRISTO
    Mtetezi

  • @komuhsengo9796
    @komuhsengo9796 7 днів тому +4

    😮mpinga do be strong and happy, you are good for us we the poor

  • @user-rs4vz2vt9z
    @user-rs4vz2vt9z 7 днів тому +5

    Mpima❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤,Pamoja sana ,wamekujenga badala ya kukubomoa.Tutakuja kukupokea.

  • @rogersiddy
    @rogersiddy 8 днів тому +10

    Ukitaka kupendwa na ccm ongea uongo tu ukiongea ukweli utatoka kama MPINA😂😂

  • @Luganoamos-jv5in
    @Luganoamos-jv5in 8 днів тому +11

    Tunakusubili Kwa mapokezi makubwa mpina wetu

  • @jamesndinda4692
    @jamesndinda4692 8 днів тому +8

    Yani aise kama kuna mwananchi anashadadia ccm atakuwa anatukosea sana ccm inabidi ikataliwe na wananchi wote wa Tanzania

    • @faustinebahenobi3412
      @faustinebahenobi3412 7 днів тому +1

      Yaani umeongea point mm natamani wabunge wote wa ccm wafe ata kama ni ndg yangu siwapendi

  • @nicholauspaschal5756
    @nicholauspaschal5756 7 днів тому +3

    Historia inaoyesha kila mbunge aliyesimamishwa kuhudhulia vikao bungeni huwa anaaminika sana kwa wananchi na ni tiketi ya kurudi bungeni 2025

  • @shakaurembo477
    @shakaurembo477 6 днів тому +3

    Ajasema uongo
    Mpina nakuona mbali sana mkuu🎉

  • @juliuskitomari3057
    @juliuskitomari3057 7 днів тому +4

    Dah.....aisee,kweli hapa hatuna bunge,maana,mtu anatoa ushahidi alafu badala ya kumsaidia mnamfukuza,alafu ili ajisikie vibaya mnamtoa mbele ya kamera ili ajisikie mnyonge.Mimi namuona Mpina mtu ambaye amejitengenezea jina na umaarufu mkubwa sana

  • @ponsianomnyaru9140
    @ponsianomnyaru9140 8 днів тому +8

    Kumbe kila anayesema ukweli anaitwa mpotoshaj ila wale wez waliotajwa na cag sio wapotoshaj

  • @johnsebastian-bx6qn
    @johnsebastian-bx6qn 6 днів тому +3

    Mpina safi Mungu yuko nawe

  • @emmanuelnjile2013
    @emmanuelnjile2013 8 днів тому +7

    Mwenyez mungu anawaona ote mbinguni mtaisikiatu ispokuwa luhanga mpina

    • @birianination7097
      @birianination7097 7 днів тому

      Hivi unajua kwa nini kafukuzwa

    • @Uhuru351
      @Uhuru351 7 днів тому

      Sababu ni nini??​@@birianination7097

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u 8 днів тому +6

    KOMREDI MPINA....WEWE NI MBUNGE WA TAIFA....WEWE NI MBUNGE WA MAMILIONI WATANZANIA.

  • @user-pn5gv7ix3g
    @user-pn5gv7ix3g 7 днів тому +2

    Mh Mpina wewe ni mpambanaji hodari anayejiamini na asiye mnafiki!! Uchambuzi wa kina unaofanya umeonesha umahiri na weledi wa hali ya juu. Ripoti yako inahitaji majubu ya kina na si vinginevyo. Endelea kuipambania nchi hii bila woga. Mungu atakulinda nasi tuko pamoja nawe kokote utakakokua..Aluta Continua

  • @user-pn5gv7ix3g
    @user-pn5gv7ix3g 7 днів тому +2

    Iwapo tuhuma alizowasilisha katika vyombo vya habari si za kweli, aje kukanusha taarifa hiyo na sio kumzuia KWANI HILI SIO JAMBO LA SIRI!! Sote ni watanzania tujulishwe mbivu na mbich

  • @suleimanbalemba3348
    @suleimanbalemba3348 7 днів тому +3

    Ukitaka Tanzania wakuchoke mapema au uonekani mbaya ongea ukweli kuhusu watu wengine visasi na chuki vinaanza

  • @anyosisyedaniel1790
    @anyosisyedaniel1790 День тому

    Mwigulu kafurahi naona anagonga meza ka mwenda wazimu kwa mwenzie kwa adhabu ya kutohudhuria vikao kumi na tano. Utafikiri posho ya Mh mpina itaenda kusaidia ndugu zake, lakini Mungu yupo ujue hilo mwigulu😢😢

  • @charlesmtangi9046
    @charlesmtangi9046 7 днів тому +2

    Mtia asila afu ata amuoni aibu Yan kuonana aibu kutetea majambaz ndo kitu mnajua sifuatilii bunge Tena kuanzia Leo mnauzi saSana 😢😢😢😢

  • @uredmwasembo8579
    @uredmwasembo8579 7 днів тому +2

    Mpina ndo shujaa wetu na tupo pamoja naye tunaona ss s vipofu mpina nguvu yetu

  • @JuliusKiria-j7i
    @JuliusKiria-j7i 7 днів тому +3

    Mbn tarifaa ya mpina hamjaipa kipaumbele ila mekuwa mkichambua n wapi kakosea yani kiufupi akili ndogo inaendesha akili kubwa nikimanisha WABUNGE WOTE HAMNA AKILI MKIONGOZWA NA HUYO TULIA WA PUMBAVU TU

  • @RomanMwinyi
    @RomanMwinyi 7 днів тому +3

    Sasa mpina kasema kwelii katolewa nauyo mwigulu kila siku zina potea fezaa na bado yup atolewi ili aendelee kuiba sio

  • @sumaidgasto4721
    @sumaidgasto4721 7 днів тому +2

    Hii inapaswa kutokea ili kwamba kiongozi apatikane. CCM hupunguza nguvu yake kwa kutojibu hoja za msingi baadae nchi inakuwa ngumu

  • @tumsifumartine612
    @tumsifumartine612 7 днів тому +1

    Mpina Mungu akubariki na akuinue juu tena

  • @dicksondkaganga1290
    @dicksondkaganga1290 8 днів тому +4

    Ooh my country Tanzania!

  • @mashakankagi2851
    @mashakankagi2851 8 днів тому +7

    Hakuna lolote mnatupotosha tu wexi wakubwa

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq 7 днів тому +2

    Ngoja 2025 mutatukuta mumemwaga ugari tutamwaga mboga

  • @saidkhamismasai1204
    @saidkhamismasai1204 8 днів тому +1

    Well done Mpina jasiri mzalendo simama nao kwenye ukweli hicyo hcyo vilaza hao na spika wao mlinda ufisadi

  • @JumaaHussein-ut6fc
    @JumaaHussein-ut6fc 7 днів тому +1

    Mzee njoo tena utupimie samaki kwa rula Ila Mpina!

  • @allyabdallah1183
    @allyabdallah1183 5 днів тому

    Sio alimchongea ninyi watu wa media tumieni vyema kalam zenu kwa wananchi.😊

  • @user-jy4pm3hh9s
    @user-jy4pm3hh9s 7 днів тому +1

    Mpina always is❤❤

  • @petermbise
    @petermbise 2 дні тому

    Mhe.Mpina kumbuka tu kubwa huwezi kupendwa na watu wote hata BWANA Yesu alipingwa ishi na binadamu kwa akili.

  • @philimonmtweve4522
    @philimonmtweve4522 7 днів тому +3

    Mpina hoyeeeee

  • @user-bu1gm8nt2z
    @user-bu1gm8nt2z 17 годин тому

    Nimekumaind sana tulia sema tu mkono wangu mfupi, nko nje apa general mpina twende tukaandae mipango mingine ukweli wameshaujua watz.

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 7 днів тому +2

    Ama kweli Msema kweli huwa hapendwi

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 8 днів тому +3

    Wanaambiwa waheshimiwa wabunge kumbe hamkuchaguliwa na mtu yeyote

    • @jamesndinda4692
      @jamesndinda4692 8 днів тому

      Sema wanatudharau sana awa inabidi siku moja tuwatolee uvivu

  • @jumaalmasjuma1700
    @jumaalmasjuma1700 7 днів тому +1

    Hii nchi ngumu mtuhumiwa anabaki afu mtuhumu anatolewa sawa katolewa sasa tupate majibu ya hizo hoja kama ni alitupotosha au ni kweli

  • @Zainabnoor0087-ze
    @Zainabnoor0087-ze 6 днів тому

    safi mh spika kwa kusimamia kanuni, aende akapime samaki kwa rula 😂

  • @ponsianomnyaru9140
    @ponsianomnyaru9140 8 днів тому +3

    Iv aliyemteua huyu kuwa spika wa mabunge dunian ninan maana naona hata haenda na Hilo jukumu alilopew

    • @birianination7097
      @birianination7097 7 днів тому

      Mmmmh! Kwa hiyo wewe alicho fanya mpina ni sawa, watu tuna teseka na mifumuko ya bei za sukari alafu wabunge kama mpina wanalipwa kupotosha bunge kwa manufa ya makampuni hayo.

  • @amosmangura
    @amosmangura 7 днів тому +1

    Wabunge wetu yaaji sio faida kwa wananchi

  • @nicholauspaschal5756
    @nicholauspaschal5756 7 днів тому

    Wajanja wote huwa wanafukuzwa bungeni nakumbuka mbunge wa kigoma mjini dr.kaburu alifukuzwa,mbunge wa kigoma kusini mhe,Zitto alifukuzwa leo ni komredi Mpina.saluti kwa bunge

  • @gasperaroni5751
    @gasperaroni5751 7 днів тому +2

    Lkn nina uhakika mbunge kama Shabiby ajakubali huo ujinga yeye ni mzalendo

  • @shakaurembo477
    @shakaurembo477 6 днів тому +1

    Mpina oyee!

  • @user-zi1gp6dc2q
    @user-zi1gp6dc2q 6 днів тому

    Mara nyingi nasku zote msema kweli uchukiwa sana achen ivo

  • @mkonyapeter2320
    @mkonyapeter2320 6 днів тому +1

    mpina sauti ya uma

  • @kingmichael1234
    @kingmichael1234 6 днів тому

    BUNGE LA MAFISDI HILI WATANZANIA TUMECHOKA NALO 😢😢😢

  • @ngassakissimba5640
    @ngassakissimba5640 5 днів тому

    Alichokosea Mpina ni kuhitisha vyombo vya habari kuelezea ushahid aliombwa na spika public kabla ya kuwasilisha bungeni

  • @jonfredkewe3451
    @jonfredkewe3451 6 днів тому

    Bunge la kitoto Sana kilakitu ndiooo unafikiri watoto washule ya msingi.

  • @DaudiLengai-ym5fx
    @DaudiLengai-ym5fx 2 дні тому

    Najiuliza swali moja hivi ni kweli wabunge wote hawakupenda Mpina kuleta ushahidi wa matumizi mabaya ya ununuzi wa sukari? Swali la pili,ni kweli wabunge wote hawajui kama Bashe alilidanganya Bunge? Maswali haya yatawatafuna wengi wabunge 2024/2025 subiri tuone.

  • @BoniphasLukas
    @BoniphasLukas 5 днів тому

    Yan huyu dada anajikuta maljia wambingu ila mungu yupo tutaona mwisho wake

  • @PaschalphillipLugwisha
    @PaschalphillipLugwisha 7 днів тому +2

    Pina oyeee

  • @mwajemwafula5777
    @mwajemwafula5777 7 днів тому

    Bunge linapotexa mvuto kabisa spika maamuxi Yako umeshilikisha Mungu asimame na wewe 😢😢

  • @OmarMohamed-bs2hf
    @OmarMohamed-bs2hf День тому

    Sasa mkiambiwa ukweli mnawatowa watu kwanini jamani uhuru wa bunge letu upowap

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u 8 днів тому +2

    BUNGE DHAIFU LIKIONGOZWA NA SPIKA DHAIFU.....GENGE LA WABUNGE WACHUMIA TUMBO!

  • @allyhasani3750
    @allyhasani3750 8 днів тому +8

    Mpina oyeeeeeeeee

  • @ibinmgeta2406
    @ibinmgeta2406 7 днів тому

    Mpina ndio kiongozi wangu. Mzalendo wa taifa langu.

  • @gilbertkalanda9354
    @gilbertkalanda9354 8 днів тому +1

    Daaaah, maandiko hayadanganyi

  • @josephmkinga9509
    @josephmkinga9509 7 днів тому

    bashe hovyo sana endeleni kumkumbatia ili mpige dili mpina mungu atamsimamia ukweli usemwe endeleni kua machawa kwenye inshu za msingi za kitaifa tanganyika kwanza mengnine badae

  • @ipepeetube449
    @ipepeetube449 6 днів тому

    Nakumbuka mbali sana nikiwa shuleni

  • @georgemahenge
    @georgemahenge 6 днів тому

    Mpina yupo sahihi.nanimzarendo wa nchi yake.ira wote wariobaki ni wezi wa nchi.hawjui kiricho wareta hapo bungeni.ndiyo maana mimi.nakiita nikikao cha ccm.

  • @abdukhalnyerere8993
    @abdukhalnyerere8993 7 днів тому

    Kama ni uchunguzi mbona CAG analeta madudu kwenu na hamyafanyii kazi hapo hakuna cha maana ni bunge la kuteteana tu kwenye maslahi yenu binafsi

  • @nicholausmasese6337
    @nicholausmasese6337 5 днів тому

    AMEFUKUZWA JE KWA KUMFUKUZA TATIZO LA SUKARI LIMEKWISHA AU LIPO ? KAMA LIPO LIJADILIWE KWA LUGHA IPI ?

  • @hamudshabani7801
    @hamudshabani7801 3 дні тому

    Ccm ni genge LA wahuni tu lenye kujali matakwa yao ila nashangaa kwa nn bado wanashikiria lakn muda utaongea

  • @HenryKisusi
    @HenryKisusi 7 днів тому

    Mpina usijali kwa sababu imewapiga kwenye mshono.😂

  • @user-zi1gp6dc2q
    @user-zi1gp6dc2q 6 днів тому

    Mmemuonea kakosea wp hapo shida mmejaa unafiki mpina msema kweli

  • @sarahshalom97
    @sarahshalom97 7 днів тому

    Kabisa mpo bize kumjadili mbunge anaejaribu kutetea maslahi ya wananchi i😢

  • @ayububrantaya6624
    @ayububrantaya6624 8 днів тому +3

    Bashe anajiona mshindi tunakusubil huku

    • @haggaikinyau1395
      @haggaikinyau1395 7 днів тому

      Wewe nani u ayemsubiri Bashe? Lazima kanuni za Bunge zifuatwe na wote hata huyo Mpina m ayemtetea

    • @user-vd8hs6ue2n
      @user-vd8hs6ue2n 7 днів тому

      ​@@haggaikinyau1395chawa promax

  • @rehemakarafuu-xi1py
    @rehemakarafuu-xi1py 8 днів тому +3

    ushindi wa maovu

  • @user-vt2el8pd6s
    @user-vt2el8pd6s 7 днів тому +1

    Yaanze maandamano ya kumuanga mkono Mpina the Great. Nchi nzima.

    • @abuusuhayl7830
      @abuusuhayl7830 7 днів тому +1

      Unafikiri watu wote wajinga kama unavyofikiria wewe😂😂

    • @Zainabnoor0087-ze
      @Zainabnoor0087-ze 6 днів тому

      ​@@abuusuhayl7830😅😅😅 aende akapime samaki na rula za shule za msingi 😊

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 7 днів тому

    CHADEMA MCHUKUWENI MPINA AWE MGOMBEA WENU WA URAIS 2025 ILI WANANNCHI TUICHAGUWE CHADEMA. KAMA SIYO MPINA MCHUKUWENI MAKONDA KWA KWELI TANZANIA YOOOTE ITAMCHAGUWA. NA MABADILIKO YATAONEKANA.

  • @user-md7sd3hk6l
    @user-md7sd3hk6l 7 днів тому

    ujumbe usha tufikia tusha juwa kama tuna pigwa tuku tane kwenye ucha guzi mungu ana waona

  • @SelemaniHamisi-ve5od
    @SelemaniHamisi-ve5od 6 днів тому

    Watanzania wote tuko pamoja na mpina huyu anawakilisha tanzania nzima sio kisesa tuu

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 7 днів тому

    HATA MIMI NASHANGAA SANAA, NA MUNGU AWALAANI VIBARAKA WOOTE.

  • @user-kz5en5tq2z
    @user-kz5en5tq2z 7 днів тому

    Sikutaka kujiandikisha kupiga kura. Kesho naenda jiandikisĥa 2025 labda Muibe kula. Tumeichokaaaa. Ccm.

  • @Dominaevance
    @Dominaevance 8 днів тому +1

    😂😂😂😂 Ujinga ni Mwingi unajitekenya afu unacheka Mwenyewe, Jibuni hoja za Mpina acheni Comedy, nwamba anawapelekea ipasavyo

  • @user-sc8cg8iw7d
    @user-sc8cg8iw7d День тому

    Laaana iwe juu yenu

  • @JosephJon-wk6il
    @JosephJon-wk6il 8 днів тому

    Mheshimiwa mpina usijali watanzania tukopamoja nawewe shujaa wetu wabunge wanao ungamkono utoke tutakutana kwenye uchaguzi spika haujatenda haki

  • @husseinjosephitocho6754
    @husseinjosephitocho6754 7 днів тому

    mpina viva viva achana na ayo mazuzu yenyewe kila kitu ndio ndio akili zao zimeamia tumboni badala ya kichwani

  • @barakanatus5676
    @barakanatus5676 8 днів тому +1

    DUHU MPINA AHAMIE CHADEMA

  • @kingmichael1234
    @kingmichael1234 4 дні тому

    Bunge la Tanzania lina linda wezi

  • @williamkavuta8066
    @williamkavuta8066 День тому

    Mh spika mwanasiasa kwel kwel plus u wanasheria..Maneno Mingiiiii

  • @reaganhassan156
    @reaganhassan156 7 днів тому

    Eeeh Tanzania 🇹🇿 nchi isiyo wapenda wasema ukweri😢

  • @JordanEmmanuel-dq4pn
    @JordanEmmanuel-dq4pn 7 днів тому

    Mpina ndiye msema kweli yupo upande Wa wananchi

  • @user-li8zu6fp9w
    @user-li8zu6fp9w 4 дні тому

    Hili li mama c litanzania kwanin atawale nchi ya wtu

  • @gabybulba9574
    @gabybulba9574 8 днів тому

    Mh.mpina Endelea kusimamia hiyo haki wala usiwaze chochote

  • @user-xq1cx7qg5s
    @user-xq1cx7qg5s 6 днів тому

    Mhh ...sjapenda 😢

  • @amosdickson6318
    @amosdickson6318 7 днів тому

    Hawa majizi sijui tutayachoka lini ili tujikomboe

  • @mbuyaelyaoni6266
    @mbuyaelyaoni6266 4 дні тому

    Bunge feki. Hamjaona Kenyaee, cku itafika

  • @kingmichael1234
    @kingmichael1234 6 днів тому

    Mnaogoza nchi kama vile mnaongoza watoto wa Nursery school. Shame on you. .. you guys 😏😏😏

  • @MenaldMbilinyi
    @MenaldMbilinyi 7 днів тому

    ❤ mpinns

  • @user-bx3ko9ft5t
    @user-bx3ko9ft5t 7 днів тому

    Mungu ana endelea kuwa umbua tuna wasubili uchaguzi ujao

  • @user-rk6jf6zq6d
    @user-rk6jf6zq6d 7 днів тому

    Nime mzuum jamaa kajishtukia wakati mpina anapita nyuma yake kiasi Akawa anageuka geuka Kumbe muoga Kishenzi Pumbaav sana

  • @respiceandason
    @respiceandason 7 днів тому

    Mungu wangu bunge letuuuuuuu

  • @amoswankara3863
    @amoswankara3863 7 днів тому

    mpina ni mshindi hao wabunge wengine hamna wanachokifanya.