MBUNGE MPINA ALIVYOTOLEWA BUNGENI,ONA ALIVYOMTOLEA JICHO BASHE ...
Вставка
- Опубліковано 23 чер 2024
- #OFFTRACKTV #offtracktv
Karibu kujiunga na Channel yetu ya WhatsApp kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 whatsapp.com/channel/0029VaDF...
KWA HABARI ZA KITAIFA,KIMATAIFA ELIMU,MAKALA NA BURUDANI KWA UHAKIKA MASAA 24,TUFUATILIE OFFTRACK TV.
PIA USISAHAU KUSUBSCRIBE OFFTRACK TV
/ offtracktv
Email | info@offtrack.co.tz
🔴 JE, NA WEWE UNA HABARI AU UNAHITAJI KUTANGAZA NASI?
🔴 WASILIANA NA OFFTRACK TV : (+255 769 612 166)
🔴 Email: info@offtrack.co.tz
Www.offtrack.co.tz
𝙏𝙝𝙖𝙣𝙠 𝙔𝙤𝙪 𝙁𝙤𝙧 𝙒𝙖𝙩𝙘𝙝𝙞𝙣𝙜
...............................................................................................
Subscribe: / offtracktv
Mmemtoa nje Mpina msema kweli Mtanganyika mzalendo Mungu atasimama na Mpina ❤❤
Mpina ndiye Mbunge aliyewakilisha Wananchi na Watanzania tulioko mitaani.
Wapiga makofi Mungu anawaona
Mpina alitaka sukari ingizwe tani 120 tu badala ya 410 akidai Waziri ni mwongo, ila ikajulikana Mpina analipwa na makapuni ya sukari.
Wabunge kama mpina ni Hatari sana
Ww mbwa tulia
@@EmmanuelLupoja usitukane, hivo tuna kosea. Wewe toa hoja yako,
@@birianination7097tutolee ujinga wako hapa
NANI KAMA MPINA❤❤?
TUTAWASHANGAA SANA SANA WANA MBEYA KUMCHAGUA HUYU MAMA TULIA KUWA MBUNGE WENU!
Mambo yote 2024 2025 Mpina oyeeeee kazi inaendelea
Spika yupo sawa kabisa, wengi inaonekana hamja jua alicho fanya mpina
@@birianination7097 Kafanya kitu gani Mnyonge Mnyongeni haki yake mpeni Mie ni Ccm halisi Nsema Ukweli mtetezi wa wanyonge huwa hapendwi na yeye asubiri lake inshallah mungu atatoa jibu tu
@@birianination7097 Huyo anapendwa na wanyonge maskini walalahoi wazee wamachinga ni kama Hayati Magufuli na Makonda watu kama hao waba vita kali sana Mafisadi huwa hawawapendi humo huko bdani yq Ccm kuna Wabunge ndiyo wanafiki wenye msimamo kila kitu kiko wazi na ushahidi upo shida nini
Hatuwahi kumchagua na hatutamchagua ILA ameshasafisha njia jinsi atakavyojipitisha
Huyo Bashe na wewe spika tunawasubiri 2025 tutahakikisha tunawatoa msiludi bungeni
Kazi yenu kupiga makofi tuu hata kama mambo hayaendi😢😢
Malipo ya spika yupo Sugu atatulipia mbeya mjini 2025,alimtafutia sababu
MUNGU Akupiganie Luhaga mpina akufiche ubavuni Kwake
Adui asikupate katika JINA la YESU KRISTO
Mtetezi
😮mpinga do be strong and happy, you are good for us we the poor
Mpima❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤,Pamoja sana ,wamekujenga badala ya kukubomoa.Tutakuja kukupokea.
Ukitaka kupendwa na ccm ongea uongo tu ukiongea ukweli utatoka kama MPINA😂😂
Tunakusubili Kwa mapokezi makubwa mpina wetu
Hivi inajua alicho fanya
Yani aise kama kuna mwananchi anashadadia ccm atakuwa anatukosea sana ccm inabidi ikataliwe na wananchi wote wa Tanzania
Yaani umeongea point mm natamani wabunge wote wa ccm wafe ata kama ni ndg yangu siwapendi
Historia inaoyesha kila mbunge aliyesimamishwa kuhudhulia vikao bungeni huwa anaaminika sana kwa wananchi na ni tiketi ya kurudi bungeni 2025
Ajasema uongo
Mpina nakuona mbali sana mkuu🎉
Dah.....aisee,kweli hapa hatuna bunge,maana,mtu anatoa ushahidi alafu badala ya kumsaidia mnamfukuza,alafu ili ajisikie vibaya mnamtoa mbele ya kamera ili ajisikie mnyonge.Mimi namuona Mpina mtu ambaye amejitengenezea jina na umaarufu mkubwa sana
Kumbe kila anayesema ukweli anaitwa mpotoshaj ila wale wez waliotajwa na cag sio wapotoshaj
Ukweli gani?
Uongo gani?@@haggaikinyau1395
Mpina safi Mungu yuko nawe
Mwenyez mungu anawaona ote mbinguni mtaisikiatu ispokuwa luhanga mpina
Hivi unajua kwa nini kafukuzwa
Sababu ni nini??@@birianination7097
KOMREDI MPINA....WEWE NI MBUNGE WA TAIFA....WEWE NI MBUNGE WA MAMILIONI WATANZANIA.
Mh Mpina wewe ni mpambanaji hodari anayejiamini na asiye mnafiki!! Uchambuzi wa kina unaofanya umeonesha umahiri na weledi wa hali ya juu. Ripoti yako inahitaji majubu ya kina na si vinginevyo. Endelea kuipambania nchi hii bila woga. Mungu atakulinda nasi tuko pamoja nawe kokote utakakokua..Aluta Continua
Iwapo tuhuma alizowasilisha katika vyombo vya habari si za kweli, aje kukanusha taarifa hiyo na sio kumzuia KWANI HILI SIO JAMBO LA SIRI!! Sote ni watanzania tujulishwe mbivu na mbich
Ukitaka Tanzania wakuchoke mapema au uonekani mbaya ongea ukweli kuhusu watu wengine visasi na chuki vinaanza
Mwigulu kafurahi naona anagonga meza ka mwenda wazimu kwa mwenzie kwa adhabu ya kutohudhuria vikao kumi na tano. Utafikiri posho ya Mh mpina itaenda kusaidia ndugu zake, lakini Mungu yupo ujue hilo mwigulu😢😢
Mtia asila afu ata amuoni aibu Yan kuonana aibu kutetea majambaz ndo kitu mnajua sifuatilii bunge Tena kuanzia Leo mnauzi saSana 😢😢😢😢
Mpina ndo shujaa wetu na tupo pamoja naye tunaona ss s vipofu mpina nguvu yetu
Mbn tarifaa ya mpina hamjaipa kipaumbele ila mekuwa mkichambua n wapi kakosea yani kiufupi akili ndogo inaendesha akili kubwa nikimanisha WABUNGE WOTE HAMNA AKILI MKIONGOZWA NA HUYO TULIA WA PUMBAVU TU
Sasa mpina kasema kwelii katolewa nauyo mwigulu kila siku zina potea fezaa na bado yup atolewi ili aendelee kuiba sio
Hii inapaswa kutokea ili kwamba kiongozi apatikane. CCM hupunguza nguvu yake kwa kutojibu hoja za msingi baadae nchi inakuwa ngumu
Mpina Mungu akubariki na akuinue juu tena
Ooh my country Tanzania!
Hakuna lolote mnatupotosha tu wexi wakubwa
Ngoja 2025 mutatukuta mumemwaga ugari tutamwaga mboga
Well done Mpina jasiri mzalendo simama nao kwenye ukweli hicyo hcyo vilaza hao na spika wao mlinda ufisadi
Mzee njoo tena utupimie samaki kwa rula Ila Mpina!
Sio alimchongea ninyi watu wa media tumieni vyema kalam zenu kwa wananchi.😊
Mpina always is❤❤
Mhe.Mpina kumbuka tu kubwa huwezi kupendwa na watu wote hata BWANA Yesu alipingwa ishi na binadamu kwa akili.
Mpina hoyeeeee
Nimekumaind sana tulia sema tu mkono wangu mfupi, nko nje apa general mpina twende tukaandae mipango mingine ukweli wameshaujua watz.
Ama kweli Msema kweli huwa hapendwi
Wanaambiwa waheshimiwa wabunge kumbe hamkuchaguliwa na mtu yeyote
Sema wanatudharau sana awa inabidi siku moja tuwatolee uvivu
Hii nchi ngumu mtuhumiwa anabaki afu mtuhumu anatolewa sawa katolewa sasa tupate majibu ya hizo hoja kama ni alitupotosha au ni kweli
safi mh spika kwa kusimamia kanuni, aende akapime samaki kwa rula 😂
Iv aliyemteua huyu kuwa spika wa mabunge dunian ninan maana naona hata haenda na Hilo jukumu alilopew
Mmmmh! Kwa hiyo wewe alicho fanya mpina ni sawa, watu tuna teseka na mifumuko ya bei za sukari alafu wabunge kama mpina wanalipwa kupotosha bunge kwa manufa ya makampuni hayo.
Wabunge wetu yaaji sio faida kwa wananchi
Wajanja wote huwa wanafukuzwa bungeni nakumbuka mbunge wa kigoma mjini dr.kaburu alifukuzwa,mbunge wa kigoma kusini mhe,Zitto alifukuzwa leo ni komredi Mpina.saluti kwa bunge
Lkn nina uhakika mbunge kama Shabiby ajakubali huo ujinga yeye ni mzalendo
Yule jeshi la ukombozi
Mpina oyee!
Mara nyingi nasku zote msema kweli uchukiwa sana achen ivo
mpina sauti ya uma
BUNGE LA MAFISDI HILI WATANZANIA TUMECHOKA NALO 😢😢😢
Alichokosea Mpina ni kuhitisha vyombo vya habari kuelezea ushahid aliombwa na spika public kabla ya kuwasilisha bungeni
Bunge la kitoto Sana kilakitu ndiooo unafikiri watoto washule ya msingi.
Najiuliza swali moja hivi ni kweli wabunge wote hawakupenda Mpina kuleta ushahidi wa matumizi mabaya ya ununuzi wa sukari? Swali la pili,ni kweli wabunge wote hawajui kama Bashe alilidanganya Bunge? Maswali haya yatawatafuna wengi wabunge 2024/2025 subiri tuone.
Yan huyu dada anajikuta maljia wambingu ila mungu yupo tutaona mwisho wake
Pina oyeee
Bunge linapotexa mvuto kabisa spika maamuxi Yako umeshilikisha Mungu asimame na wewe 😢😢
Sasa mkiambiwa ukweli mnawatowa watu kwanini jamani uhuru wa bunge letu upowap
BUNGE DHAIFU LIKIONGOZWA NA SPIKA DHAIFU.....GENGE LA WABUNGE WACHUMIA TUMBO!
Jifunze kwanza kabla ya kuongea
Mpina oyeeeeeeeee
Mpina ndio kiongozi wangu. Mzalendo wa taifa langu.
Daaaah, maandiko hayadanganyi
bashe hovyo sana endeleni kumkumbatia ili mpige dili mpina mungu atamsimamia ukweli usemwe endeleni kua machawa kwenye inshu za msingi za kitaifa tanganyika kwanza mengnine badae
Nakumbuka mbali sana nikiwa shuleni
Mpina yupo sahihi.nanimzarendo wa nchi yake.ira wote wariobaki ni wezi wa nchi.hawjui kiricho wareta hapo bungeni.ndiyo maana mimi.nakiita nikikao cha ccm.
Kama ni uchunguzi mbona CAG analeta madudu kwenu na hamyafanyii kazi hapo hakuna cha maana ni bunge la kuteteana tu kwenye maslahi yenu binafsi
AMEFUKUZWA JE KWA KUMFUKUZA TATIZO LA SUKARI LIMEKWISHA AU LIPO ? KAMA LIPO LIJADILIWE KWA LUGHA IPI ?
Ccm ni genge LA wahuni tu lenye kujali matakwa yao ila nashangaa kwa nn bado wanashikiria lakn muda utaongea
Mpina usijali kwa sababu imewapiga kwenye mshono.😂
Mmemuonea kakosea wp hapo shida mmejaa unafiki mpina msema kweli
Kabisa mpo bize kumjadili mbunge anaejaribu kutetea maslahi ya wananchi i😢
Bashe anajiona mshindi tunakusubil huku
Wewe nani u ayemsubiri Bashe? Lazima kanuni za Bunge zifuatwe na wote hata huyo Mpina m ayemtetea
@@haggaikinyau1395chawa promax
ushindi wa maovu
Yaanze maandamano ya kumuanga mkono Mpina the Great. Nchi nzima.
Unafikiri watu wote wajinga kama unavyofikiria wewe😂😂
@@abuusuhayl7830😅😅😅 aende akapime samaki na rula za shule za msingi 😊
CHADEMA MCHUKUWENI MPINA AWE MGOMBEA WENU WA URAIS 2025 ILI WANANNCHI TUICHAGUWE CHADEMA. KAMA SIYO MPINA MCHUKUWENI MAKONDA KWA KWELI TANZANIA YOOOTE ITAMCHAGUWA. NA MABADILIKO YATAONEKANA.
ujumbe usha tufikia tusha juwa kama tuna pigwa tuku tane kwenye ucha guzi mungu ana waona
Watanzania wote tuko pamoja na mpina huyu anawakilisha tanzania nzima sio kisesa tuu
HATA MIMI NASHANGAA SANAA, NA MUNGU AWALAANI VIBARAKA WOOTE.
Sikutaka kujiandikisha kupiga kura. Kesho naenda jiandikisĥa 2025 labda Muibe kula. Tumeichokaaaa. Ccm.
😂😂😂😂 Ujinga ni Mwingi unajitekenya afu unacheka Mwenyewe, Jibuni hoja za Mpina acheni Comedy, nwamba anawapelekea ipasavyo
Laaana iwe juu yenu
Mheshimiwa mpina usijali watanzania tukopamoja nawewe shujaa wetu wabunge wanao ungamkono utoke tutakutana kwenye uchaguzi spika haujatenda haki
mpina viva viva achana na ayo mazuzu yenyewe kila kitu ndio ndio akili zao zimeamia tumboni badala ya kichwani
DUHU MPINA AHAMIE CHADEMA
Bunge la Tanzania lina linda wezi
Mh spika mwanasiasa kwel kwel plus u wanasheria..Maneno Mingiiiii
Eeeh Tanzania 🇹🇿 nchi isiyo wapenda wasema ukweri😢
Mpina ndiye msema kweli yupo upande Wa wananchi
Hili li mama c litanzania kwanin atawale nchi ya wtu
Mh.mpina Endelea kusimamia hiyo haki wala usiwaze chochote
Mhh ...sjapenda 😢
Hawa majizi sijui tutayachoka lini ili tujikomboe
Bunge feki. Hamjaona Kenyaee, cku itafika
Mnaogoza nchi kama vile mnaongoza watoto wa Nursery school. Shame on you. .. you guys 😏😏😏
❤ mpinns
Mungu ana endelea kuwa umbua tuna wasubili uchaguzi ujao
Nime mzuum jamaa kajishtukia wakati mpina anapita nyuma yake kiasi Akawa anageuka geuka Kumbe muoga Kishenzi Pumbaav sana
Mungu wangu bunge letuuuuuuu
mpina ni mshindi hao wabunge wengine hamna wanachokifanya.