Pamoja sikubaliana na mawazo yako, nakupongeza kwa kutomuita Samia Dokta. Karibu wengi wanaojua uzito na uhalali wa udaktari wa kuhenyekea ukimuondoa chawa Kabudi, wanakwepa kumuita daktari kwa sababu si daktari.
Wabunge wengi wa Tanzania ni wafanya biashara wakubwa na wapo kwenye trucks industry...... Kwahiyo hapo lazima wananchi na Madereva wataisoma namba tu.
Viwanda ni wezi wamepewa nafasi ya kuzalisha ,kuagiza,na kupanga bei,sasa serikali ikivunja huo ukiritimba wa kusababisha upungufu wanamtumia mhina.serikali isirudi nyuma.
BADO NATAFUTA KOSA LA MPINA KUFUKUZWA. MNAPAKA RANGI MAKABUR JUU WAKAT CHIN YAMEOZA YANANIKA NI MANENO YA YESU 😮SPIKA JIANGALIE SANA HATA NDUGAI ALIKUA HIVOHVO LEO HATUMUON TENA
Wew kigwangala unajaribu kutetea ufisadi wa bashe kwenye swala la sukar siyo unaonekana umepewa mgao kidogo maana wew pia mzee baba alikupa kauwazir ka wanyama ukavurunda sana kwa hiyo unamtetea mwz mwenzio
Iposiku laisi ajae mpenda watu atakuja kumtaja mpina kuwa ndie mmbunge pekee alie jitoa mhanga kuwatetea wananchi mana hao wabunge kalibu wote wanatetea matumbo Yao nahao wabunge ndo waliochangia laisi kuiuza bandari navingine vingi ipo siku mpina atakuwa lais au wazili naomba mungu hatahawa wabunge wote wanao ihujum nchi waje washuhudie ulais wa mpina
Huu ndio ujinga yaani badala viwanda kuzalisha mpaka akiba iwepo leo watu wanafikiria kuagiza sukari ya akiba hivi viwanda ni vya nani??? Kuna shida kubwa sana nchi hii
Kigwangala na wenzako,mnaoiona bajeti nzuri,tunawaona na mungu wetu anawasikia kama bajeti niyakutukomboa na smbwembwe nasi wananchi tutashukuru vinginevyo mungu statutea
Pamoja sikubaliana na mawazo yako, nakupongeza kwa kutomuita Samia Dokta. Karibu wengi wanaojua uzito na uhalali wa udaktari wa kuhenyekea ukimuondoa chawa Kabudi, wanakwepa kumuita daktari kwa sababu si daktari.
Wabunge wengi wa Tanzania ni wafanya biashara wakubwa na wapo kwenye trucks industry......
Kwahiyo hapo lazima wananchi na Madereva wataisoma namba tu.
Viwanda ni wezi wamepewa nafasi ya kuzalisha ,kuagiza,na kupanga bei,sasa serikali ikivunja huo ukiritimba wa kusababisha upungufu wanamtumia mhina.serikali isirudi nyuma.
mbona bado mpaka sasa bei ya sukari iko juu? Sababu ni nini serikali itupe sababu
BADO NATAFUTA KOSA LA MPINA KUFUKUZWA. MNAPAKA RANGI MAKABUR JUU WAKAT CHIN YAMEOZA YANANIKA NI MANENO YA YESU 😮SPIKA JIANGALIE SANA HATA NDUGAI ALIKUA HIVOHVO LEO HATUMUON TENA
Nzega FC = Bashe + Kigwa
😂😂😂😂
Huitaji D2
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🙏🙏
Wew kigwangala unajaribu kutetea ufisadi wa bashe kwenye swala la sukar siyo unaonekana umepewa mgao kidogo maana wew pia mzee baba alikupa kauwazir ka wanyama ukavurunda sana kwa hiyo unamtetea mwz mwenzio
Mheshimiwa mpina amehoji watu waliopewa hiyo tender.kama serikali ingekuwa na lengo hilo ingeweka wazi
Iposiku laisi ajae mpenda watu atakuja kumtaja mpina kuwa ndie mmbunge pekee alie jitoa mhanga kuwatetea wananchi mana hao wabunge kalibu wote wanatetea matumbo Yao nahao wabunge ndo waliochangia laisi kuiuza bandari navingine vingi ipo siku mpina atakuwa lais au wazili naomba mungu hatahawa wabunge wote wanao ihujum nchi waje washuhudie ulais wa mpina
Leteni hoja ya kujibu tuhuma zilizotolewa sio kuleta vingereza vingi visivyo na msingi
Huu ndio ujinga yaani badala viwanda kuzalisha mpaka akiba iwepo leo watu wanafikiria kuagiza sukari ya akiba hivi viwanda ni vya nani??? Kuna shida kubwa sana nchi hii
Ndio wale wale na mfumo uleule lindwa
Nguvu kubwa imetumika kumudhoofisha mpina
Kigwangala na wenzako,mnaoiona bajeti nzuri,tunawaona na mungu wetu anawasikia kama bajeti niyakutukomboa na smbwembwe nasi wananchi tutashukuru vinginevyo mungu statutea
Demand and supply
Hili nalo bwege tu eti linataka kuteuliwa na bibi
Tanzania tuna hasara ya wabunge!
Huyu ni hasara kwa taifa.
Good job kigwangala
Asantee mweshimiwa kwa mchango mzr