KINGWANGALLA ATEMA CHECHE BUNGENI ''ANACHOFANYA WAZIRI BASHE/ AENDA KUWALINDA WANNCHI WA NCHINI"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 29 вер 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

КОМЕНТАРІ • 21

  • @nkwazigatsha
    @nkwazigatsha 3 місяці тому

    Pamoja sikubaliana na mawazo yako, nakupongeza kwa kutomuita Samia Dokta. Karibu wengi wanaojua uzito na uhalali wa udaktari wa kuhenyekea ukimuondoa chawa Kabudi, wanakwepa kumuita daktari kwa sababu si daktari.

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 3 місяці тому

    Wabunge wengi wa Tanzania ni wafanya biashara wakubwa na wapo kwenye trucks industry......
    Kwahiyo hapo lazima wananchi na Madereva wataisoma namba tu.

  • @fatumahassanduale4701
    @fatumahassanduale4701 3 місяці тому +1

    Viwanda ni wezi wamepewa nafasi ya kuzalisha ,kuagiza,na kupanga bei,sasa serikali ikivunja huo ukiritimba wa kusababisha upungufu wanamtumia mhina.serikali isirudi nyuma.

  • @JaphetMugini-wj6ow
    @JaphetMugini-wj6ow 3 місяці тому

    mbona bado mpaka sasa bei ya sukari iko juu? Sababu ni nini serikali itupe sababu

  • @saidkhamismasai1204
    @saidkhamismasai1204 3 місяці тому

    BADO NATAFUTA KOSA LA MPINA KUFUKUZWA. MNAPAKA RANGI MAKABUR JUU WAKAT CHIN YAMEOZA YANANIKA NI MANENO YA YESU 😮SPIKA JIANGALIE SANA HATA NDUGAI ALIKUA HIVOHVO LEO HATUMUON TENA

  • @noeljuvenalmunishi75
    @noeljuvenalmunishi75 3 місяці тому

    Nzega FC = Bashe + Kigwa
    😂😂😂😂
    Huitaji D2

  • @KapondaZenaida-g3z
    @KapondaZenaida-g3z 3 місяці тому

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿🙏🙏

  • @PoulFred
    @PoulFred 3 місяці тому +2

    Wew kigwangala unajaribu kutetea ufisadi wa bashe kwenye swala la sukar siyo unaonekana umepewa mgao kidogo maana wew pia mzee baba alikupa kauwazir ka wanyama ukavurunda sana kwa hiyo unamtetea mwz mwenzio

  • @devangandhl2255
    @devangandhl2255 3 місяці тому +2

    Mheshimiwa mpina amehoji watu waliopewa hiyo tender.kama serikali ingekuwa na lengo hilo ingeweka wazi

  • @davidmalogo7100
    @davidmalogo7100 3 місяці тому +1

    Iposiku laisi ajae mpenda watu atakuja kumtaja mpina kuwa ndie mmbunge pekee alie jitoa mhanga kuwatetea wananchi mana hao wabunge kalibu wote wanatetea matumbo Yao nahao wabunge ndo waliochangia laisi kuiuza bandari navingine vingi ipo siku mpina atakuwa lais au wazili naomba mungu hatahawa wabunge wote wanao ihujum nchi waje washuhudie ulais wa mpina

  • @alexanderkapinga700
    @alexanderkapinga700 3 місяці тому +1

    Leteni hoja ya kujibu tuhuma zilizotolewa sio kuleta vingereza vingi visivyo na msingi

  • @mndambokilavo2502
    @mndambokilavo2502 3 місяці тому +1

    Huu ndio ujinga yaani badala viwanda kuzalisha mpaka akiba iwepo leo watu wanafikiria kuagiza sukari ya akiba hivi viwanda ni vya nani??? Kuna shida kubwa sana nchi hii

  • @mesharothuman2443
    @mesharothuman2443 3 місяці тому +1

    Ndio wale wale na mfumo uleule lindwa

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg 3 місяці тому +1

    Nguvu kubwa imetumika kumudhoofisha mpina

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku 3 місяці тому

    Kigwangala na wenzako,mnaoiona bajeti nzuri,tunawaona na mungu wetu anawasikia kama bajeti niyakutukomboa na smbwembwe nasi wananchi tutashukuru vinginevyo mungu statutea

  • @chesconkwera2005
    @chesconkwera2005 Місяць тому

    Demand and supply

  • @MgangaDaud
    @MgangaDaud 3 місяці тому

    Hili nalo bwege tu eti linataka kuteuliwa na bibi

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi7637 3 місяці тому

    Tanzania tuna hasara ya wabunge!

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi7637 3 місяці тому

    Huyu ni hasara kwa taifa.

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw 3 місяці тому

    Good job kigwangala

  • @JohnsonBagambi
    @JohnsonBagambi 3 місяці тому

    Asantee mweshimiwa kwa mchango mzr