HALI TETE SAKATA LA MPINA NA BASHE UKWELI WAWEKWA WAZI NA WAKILI MOSES
Вставка
- Опубліковано 23 чер 2024
- Karibu Ngasa Media - Tunatoa huduma Zifuatazo
MEDIA COVERAGE
1.Goverment Events
2.Social Events
3.Documentary
4.Live Streaming
5.Zoom Meting
6.Photo & Videograph
BUSINESS ADVERTISEMENT
#Hotel
#Appartiment
#Restaurant
#Supermakert
#Hall
#Sallon
#New Business
PTINTING
1.Banner
2.Sticker & Flyers
3.Brochures
4.Business Card
5.Graphics Design
6.Logo Design
7.Tshirt Printing
Call Us
0716909567
0766909567
DODOMA
Katika wabunge wote ni Waitara tu ndiye aliyesimama na haki, wengine wote wameterea wizi. Wizi na udanganyifu wa mali za umma. Waitara nimekupenda bure. Asante sana kwa kuzungumuza ukweli. Unalisaidia taifa na Rais. Achana na wabunge thahifu wanaosema tuwaachie Bashe wawo, elimu ndogo. Bashe ni waziri ameajiliwa na Watanzania, na analipwa na kodi za watanzania. Shida tuna wabunge wengi hawajuwi ni kwa nini wako bungeni. Wanakula mishahara ya bure na kulifanya bunge ni mali yawo. Bunge ni la watanzania na jambo hili tunalifuatilia. Kwa niaba ya watanzania Mpina Ana haki ya kumuhoji Bashe. Kątowa ushahidi na Watanzania sio wajinga.
Wanajua sana sababu ya kua bungeni tatizo ni dharau kwa wananchi.
@@hakiyangukuna siku watanzania watauvuwa uwoga. Watatafuta njia ya kupitia
Kwa ufafanuzi huu mpina amekosea wapi spika ulitaka tusiyajuwe. Hayaa mlitaka iwe sili yenu nyiye wabunge sasa tupo tayari kwa lolote kumsaidia mpina hilo bunge ni bunge la kutugandamiza watanzania asante mwanasheria kwa kutufafanulia mpina yupo sahihi ccm tuiyondowe madarakani ili haya yasiwepo mpina mungu atakulinda
Well done 👍 Mr. lawyer, the true freedom is coming, Hawa watu wanatuona kama sisi mambumbumbu na wajinga wa mwisho ila wao ndiyo waliosoma.
Shem on them na wanahitaji kulaaniwa kwa kutufanya sisi hamnazo na wao ndiyo wajanja.
Asante Wakili kwa ufafanuzi mzuri Mh Bashe na Mh Mwigulu mchunguzwe na msimamishwe kazi uchunguzi ukiendelea na pia msimamishwe kuingia bungeni cku 15
Kwa maelezo ya ndugu wakili ,,naamini haki ipo mbinguni,,hapa duniani nikuvunjiana heshima na kutoana roho,,kama vile mheshiwa mpina anavyo sulubiwa kwa kumvujia heshima na wengine wakiwa hawajui Sheria,, zaidi ya kutumia madaraka na kuula za kinafiki.
Asante sana Wakili kwa ufafanuzi mziri . Tunafanyaje na hawa majambazi ???
Wew ni wakili msomi, sio AKINA SPIKA ALIEINGIZWA KWA MCHONGO, SASA KAMA MSUKUMA DARASA LA SABA ANAJUA SHERIA HAWA NDO WAPIGA MAKOFI , MBUMBUMBUUUUU!
Mabunge yetu haya ya nchi za kiafrica mtu ukiongea ukweli tu unakua mwiba kwa serikali husika mpina alikua mkweli sena ndohivyo alikosa sapota
Wana sheria happy ndio mnaitajiwa kwenda mahakamani kumtetea ndungu mpina!
Kwa namna hii kumbe bunge ndio limevunja sheria na sio Mpina ila sasa yeye ndiye anayeadhibiwa, kumbe waziri wa kilimo na waziri wa fedha ndio wamevunja sheria na kulidharau bunge ila sasa Mpina ndiye amedhibiwa hili bunge la chama kimoja linaharibu hili taifa ila hakuna chenye mwanzo kisichokua mwisho watakuja isha vibaya sana.
2025 itatoa majibu halisi ya Utawala bora .Ajira na maisha bora kwa kila mtanzania yanakuja
Wakili asante sana kwa ukweli huu uliowazi lakini wenzio tunatafuta fedha za uchaguxi
Harafu anatokea mpumbavu mmoja amasema mpina apimwe afya ya hakir yeye ndiye anapaswa kupimwa maana kila kitu ndiyo mzee
Wafanya biashara wa sukari kwa sasa wengi wao ni wabunge na ndio maana hawajali vilio vya wananchi na wanamuona mpina kama adui yao kwa kua anagusa maslahi yao 1kwa1. Mpina amehujumiwa kwa kuwambia ukweli wananchi.
Nicjangamoto. Mi nasikia kilimo cha umwagiliaji na bajeti kubwa. Ila sidhani kama nimewahi kula nafaka au mchele wowote wa umwagiliaji. Maji hata kwa matumizi ya kawaida ni changamoto. Haya ya kumwagilia inakuaje. Tunahitaji kuelewa sana hiki kilimo na jinsi kinavyofanya kazi.
Shukuran kwa ufafanuzi wa sheria
Duuuuuu!!!!!! Mungu tusaidie
Wabungu wa ccm.ukimtoa gwajima.wengine wote katika jila la YESU kama MUNGU aishisho.awataludi bungeni 2025 wache tu wapge makofi Kwa kutetea ufisadi
Tunapoelekea sio pazuri, kwanza sinamuda na bunge kuangalia maana ni utoporo mtu ni watu wa masilayi yao sio wananchi
Tatizo watanzania hatujitambuwi kanisa ukifika uchaguzi yaani tunakuwa kama tumelogwa tunachaguwa viongozi wa ovyo tu kwa njaa,zetu
Umewachagua wewe au walijichagua na mwendazake
kwa hali hii mpina haponi kwa mkiti simiyu,kamati ya siasa mkoa kamati kuu taifa ukweli hali ya uchumi na bei ya bidhaa ni mbaya inapotokea janga ambalo lilitakiwa lishughulikiwe mapema linashughulikiwa kama zima Moto kupata ujiko
Tanzania 🇹🇿 nchi nzuri
Inamvuto
Duh
Nchi hii jamani!!!
THE BEAUTIFUL ONES ARE NOT YET BORN......IT DOES NOT MEAN THAT THE BEUTIFUL ONES ARE NOT BEING BORN NO, BUT THEY ARE POLUTED BY CORRUPT SYSTEMS.....2025 IKO KAZI TENA KAZI KUBWA.
Nani msafi awe wakwanza kumpiga mwingine mawe?
Nimeshindwa kuelewa kabisa.Mbunge msukuma mtu anasema kweli na unatetea bila aibu na mnatishia NEC.Hiii c sawa kabisa.
Huyu msukuma mimi nilikuwaga nampenda sana lkn toka kwenye DP WORD alivyo kuwa anatetea kwa nguvu zote kumbe kuna madudu ya kufa mtu nilimtoa maana kabisa.
Rushwa hupofusha macho, penye rushwa akili nzuri hushindwa kufanya kazi
Magu amka nchi hii imeshindikana
Kwani ninyi amjui kama kuna kifooo????
Kaka iyo ndio ccm
Nchi yenye mvuto
Awamu ya sita kichaka cha mafisadi
Spika unajifanya shera ni malli yako binafsi.Umeyakanyaga wewe na genge lako mtajuta .
BONGO MATAMU
Hili bunge walipita kibabe, sasa aliye wabeba katangulia. Patachimbika 25 nyie tufanyeni hatunazo!!
Watabebwa tena
SELEKALI YA UKWELI ILIKUA YA ANKO MAGU BWSNA YAANI TUMEUZIWA SUKARI BEI KUBWA KISA WANAPIGA HELE WAO NA WABUNGE WANAKUA UPANDE WA KULE CC TUTUMIE KILO 6000