Dunia ya saii nikinyume...watu waloachana ndio huonana sasa! Na watu wasojuana ndio wataka kujuana ima mitandaoni ama mahali mbali mbali 😏 INASIKITISHAA
Ikiwa alikupa talaka tatu kwa wakati tofauti na zikatimia hawezi tena kukuowa ni mpk uoleke na mume mwengine kisha itokee akuache mwenyewe ndio unaweza olewa na mume wako wa kwanza tena
Ma shaa Allah... Jazaka Allahu kheyr Akhi
Hakuna anaemuacha mkewe kwa furaha😂😂😂....
Shukran shekh
MASHA ALLAH ALEIK
Jeee mwanamke alie achwa talaka anawez kuposwa ndan ya eda ikiwa hukuingilian na mumewe takriban miez 9?
Jazzakallahu khayra
Dunia ya saii nikinyume...watu waloachana ndio huonana sasa! Na watu wasojuana ndio wataka kujuana ima mitandaoni ama mahali mbali mbali 😏 INASIKITISHAA
Kila afanyae kosa humsingizia shetani na shetani yy akifanya kosa amsingizie nanii mtihani
mashaallah
mashaa allah
🤣🤣🤣 kila mmoja anamsingizia shetani !
majambazi pia wanao majambaz wenzao
Ukipewa talaka tatu uyo mwanaume anaweza kukuoa tena mkikaa miaka miwili au mmoja bila mie kuolewa na kuachia
Nauliza swali Hilo hilo. Je nawaza kumuowa tena na kama amekataa kuolewa na mwanamume mwengine?
Ikiwa alikupa talaka tatu kwa wakati tofauti na zikatimia hawezi tena kukuowa ni mpk uoleke na mume mwengine kisha itokee akuache mwenyewe ndio unaweza olewa na mume wako wa kwanza tena
Mtihan
🤣🤣🤣🤣🤣
Mie naomba kuuliza talaka ya kulazimishwa na wazazi inafaa