KUMREGELEA MKE KATIKA EDA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 16 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 15

  • @ummukulthumazziz1921
    @ummukulthumazziz1921 3 роки тому +3

    Asalam alleikum ukiachika taraka 1 inabid mum akuudumia au

  • @shammoha5297
    @shammoha5297 5 років тому +2

    Kkkkk loh😂! Uniache kisha unirejelee kw lazima? Mh! Jirekebishe kwanza otherwise😝

    • @algwiji
      @algwiji 11 місяців тому

      Kweli but ujue usharegelewa bila kurekebishwa

  • @RahmaKassim-c5x
    @RahmaKassim-c5x 29 днів тому

    Mume akikutamkia kuwa ikifika tarehe Fulani nitakuwa nimekurejea,jee imekubalika?

  • @ahmedanwar1210
    @ahmedanwar1210 Рік тому

    Sheikh Izudin je wafaa kumregelea mkeo kabla ya eda kuisha

  • @nahyaally6100
    @nahyaally6100 4 роки тому

    Legelea😁😁😁😁

  • @zoonaruqashi700
    @zoonaruqashi700 5 років тому

    Jee talaka ndani ya eda inaswehi yan mtu amekuacha talaka moja halafu hajakurejea akakuacha tena yan akakumalizia talaka zilizobaki inaswehi au vp

  • @ummukulthumazziz1921
    @ummukulthumazziz1921 3 роки тому

    Je mume anaweza kukup taraka kwa kumkaid kitu mfan amekuambia ukija njo nakit furan ww hutak kwenda nach je ilo inawez ikaw sabab ya kukup taraka

    • @algwiji
      @algwiji 11 місяців тому

      Yes talaka inapita

  • @abullahkabaka8774
    @abullahkabaka8774 3 роки тому

    MASHA ALLAH ALEIK

  • @khadijarashid9848
    @khadijarashid9848 3 роки тому

    Salaam sheikh...naomba msaada wa hili kama mwanamke ameachika Talaka moja na ni mjamzito baada ya talaka tu mke akarudi kwao lkn mume wake akimkumbuka amfata kwao kisha wanashiriki tendo la ndoa bila kumwambia kama mke wangu nimekurejea(ndani ya eda) je hapo talaka bdo inaendelea ama inakuaje?

  • @keymoneytracy5398
    @keymoneytracy5398 4 роки тому

    Je mume akiwa yeye ndie aliye muacha mke wake kwa talaka tatu aweza kumurudia akiwa katika eda?