ITAKUSISIMUA: SIMULIZI YA MFANYAKAZI WA CHUMBA CHA KUHIFADHI MAITI, AFUNGUKA USIYOYAJUA KUHUKU KAZI
Вставка
- Опубліковано 4 лют 2025
- Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp....
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
Imagine alivo mzuri hivo na ajachagua kazi alafu kuna malaya anasubir akadange ndo ale🙌.. Keep going beautiful dada❤
Hongera mpendwa kwa kujitoa mungu azidi kukupigania katika kazi yako
Hongera ni kazi ambayo wengi wanaogopa Maiti . Chapa kazi dada.
Dada nimekupenda bure ulivyo mzuri hutumii mkorogo piga kazi dada Mungu akutetee
dah Chenyewe nikizuli barah ongera dada aaswa we nimuzuli na utumii mukorogo Asante sana
Uko sawa dadaa wewe fanya kazi
Unaweza
Nimempenda bidada mana Yuko wazi sana.napia anapenda kazi yake.safi sana my dada piga kazi. Msisikilize ya watu.
Namalizia coz hii pia Bugando tunaipenda san hawa watu hawasumbui kabsaa tofaut na. Alie hai i like my job
Mzuri mwenyewe Mungu akutunze
Big up sister🎉
Mzuri sanaa❤
She is beautiful
Dada Mremboooo
Hongr dada mingu akupe moy
Hondera sana dada,ila ningekushauri,ulivyo na hiyo roho.Aply Nchi za nje ,kama Europa na Marekani utalipwa vizuri mno
Huyu shangazi mzuri mashallah
Africa kifo watu wana kiogopa sana,
Mauza uza lazima 😂😂😂
Dada mzur San
Ile unafunga tu jokofu mara unaskia oy sister ee me sijafa bhana😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Sas si anamtoa kwa frig
Dada mimi nakupongenza sana kanzi nikanzi kwavire unapokea pesa yako ya alali piga kanzi kwamimi kiupande wangu siwenzi ila nakupongenza sana sana pambana
Sina witoo jaman
Tuelewe neno ina uwito tena ina uwito hasa
Nishushe ata mshahara Milioni 😂😂😂
Mmmh saf dada ila moyo uwo daaah kiukweli sina uongo zambi ila nakupongeza kipenzy
KAZI NJEMA SISTER
Maiti haitishi ila ikifa vibaya ndio utusha hongera dada chapa kazi kwa moyo na bidii Allah yuko pammoja nawe
Mdogo wangu fanya kazi nawala usiogope ninakumba ufanye uolewe kama huja olewa kwakuwa ukiondoka kuenda nyumbani upate mtu wakukuliwaza
Jmn mm sijaelewa Mkoa wa Temeke ni wapi?
Temeke ni hospitali ya mkoa wa Daresalaam.
Mimi Pia Huwa Siujui Huo Mkoa Wa temeke
Ni mrembo malikia wa nguvu
Vp dada umeolewa au