Nyumba ya Mama Mjane Yapigwa Mnada Ndani ya Dakika 5

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 13 січ 2018
  • Nyumba ya Mama Mjane Yapigwa Mnada Ndani ya Dakika 5......
    FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .

КОМЕНТАРІ • 32

  • @joelnassari105
    @joelnassari105 6 років тому +2

    Pole sana mama Mwenyenzi Mungu amekusaidia waliopga mnada wataenda segerea soon

  • @jeninunu9177
    @jeninunu9177 6 років тому +3

    kamata hao wote wahalifu waliouza nyumba ya huyo mama mjane bila kupoteza wakati na kuwatia ndani hali wakihojiwa kabla ya hukumu kwani hao ni majambazi, wanyang'anyi na waoneze kwa akina mama na watoto. Pole sana dada na jamaayo

  • @Ambweneonlinetv
    @Ambweneonlinetv 6 років тому +2

    😂😂😂😂😂 aliyenunua hyo nyumba kapigwa changa la macho

  • @pendokatindasa2281
    @pendokatindasa2281 5 років тому

    Umetangaza vizuri.

  • @thauratali3656
    @thauratali3656 6 років тому +1

    Pole sana mama

  • @imanimgaya6607
    @imanimgaya6607 6 років тому +2

    "buyer be a ware" "conduct search b4 your buy such land"- kwasisi tulio soma land law hua tuna tumia hizo statement

  • @priscacharlescharles9014
    @priscacharlescharles9014 6 років тому

    Pole sana mama angu

  • @upendoambelemwakilembe8987
    @upendoambelemwakilembe8987 6 років тому +1

    pole mama

  • @maduhujoseph3557
    @maduhujoseph3557 6 років тому +2

    Semeni vizuri haiwezekani nyumba yako iuzwe wakati hudaiwi

  • @jaklinifaustini4259
    @jaklinifaustini4259 5 років тому

    Mtihan

  • @frankfrank459
    @frankfrank459 6 років тому +2

    Jasho la mtu halipotei bure dada yangu utapata haki yako, ila haijaeleweka ni nani aliyeinunua, benk, campuni, au mtu binafsi manake imekula kwao

  • @ziadaalute6836
    @ziadaalute6836 6 років тому +1

    Wanaitamani hiyonyumba yahuyomama

  • @idreamfoto
    @idreamfoto 6 років тому +1

    Huu Utapeli Kabisa Yaani Kaah! Mnada Gani Wa Kiwizi Wizi? Msaidieni Mama Huyu Tafadhali

  • @zuhuraally171
    @zuhuraally171 6 років тому

    Mungu akusaidie mama yangu

    • @ramadhanisuleymani9071
      @ramadhanisuleymani9071 6 років тому

      Aisee muda wote hata sisi kwenye manye manyumba yetu tukae tayari kuuzwa.chakufanya ngoja nitafute mgobole wakija tuu nawanyooshea mzee.

    • @veronicamatin4977
      @veronicamatin4977 6 років тому

      Mama pole sana matapeli niwengi tutakuombea mama wataldi baridi pole sana wanaotamani nyumba za wakina mama zetu marikia wa Nguvu!

  • @mikemnyamwezi7856
    @mikemnyamwezi7856 5 років тому

    Ni upuuzi, we unanunua nyumba pasipo kupitia kwa Mwenyekiti wa serikal wa mtaaa...! We mkali...!

  • @nabiigsevenmwasomola
    @nabiigsevenmwasomola 6 років тому +1

    ili kupata habari njema za ufalme wa mbinguni bonyeza kushoto kwa maandishi haya barikiwa

  • @alexandrinadomaino9868
    @alexandrinadomaino9868 6 років тому +1

    Jaman watu wana roho ya ajabu

  • @rashidsuleiman2663
    @rashidsuleiman2663 6 років тому +1

    yaani mnada mpaka wanaoishi ndani wameuzwa

  • @fautz9778
    @fautz9778 6 років тому +1

    Hee jmn mbn binaadam tupo hv

  • @larickmtui2852
    @larickmtui2852 6 років тому +1

    Wahuni hao

  • @daudhenry913
    @daudhenry913 6 років тому +1

    Mmhu hao waloandaa mnada wakamatwe wote

  • @jaquilinekivunge331
    @jaquilinekivunge331 6 років тому +1

    jaman huu uonevu sipendi naumia. ila mama utapata haki yako.pole mum.

  • @alexandrinadomaino9868
    @alexandrinadomaino9868 6 років тому +1

    Hao walioendesha mnada hawana akili kabisaaaa na shule kichwani hakuna

  • @amyassyassin7909
    @amyassyassin7909 6 років тому +1

    huyo alonunua ni nani anunue nyumba bila ya kuangalia ndani? hii ndio Tanzania ya Magufuli?

    • @larickmtui2852
      @larickmtui2852 6 років тому +1

      Amyass Yassin mambo yakihuni na serikali ya magufuli yanahusiana vip?

  • @imanimgaya6607
    @imanimgaya6607 6 років тому +1

    "buyer be a ware" "conduct search b4 your buy such land"- kwasisi tulio soma land law hua tuna tumia hizo statement