Nyumba ya Mama Mjane Yapigwa Mnada Ndani ya Dakika 5
Вставка
- Опубліковано 13 січ 2018
- Nyumba ya Mama Mjane Yapigwa Mnada Ndani ya Dakika 5......
FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .
Pole sana mama Mwenyenzi Mungu amekusaidia waliopga mnada wataenda segerea soon
kamata hao wote wahalifu waliouza nyumba ya huyo mama mjane bila kupoteza wakati na kuwatia ndani hali wakihojiwa kabla ya hukumu kwani hao ni majambazi, wanyang'anyi na waoneze kwa akina mama na watoto. Pole sana dada na jamaayo
😂😂😂😂😂 aliyenunua hyo nyumba kapigwa changa la macho
Umetangaza vizuri.
Pole sana mama
"buyer be a ware" "conduct search b4 your buy such land"- kwasisi tulio soma land law hua tuna tumia hizo statement
Pole sana mama angu
pole mama
Semeni vizuri haiwezekani nyumba yako iuzwe wakati hudaiwi
Mtihan
Jasho la mtu halipotei bure dada yangu utapata haki yako, ila haijaeleweka ni nani aliyeinunua, benk, campuni, au mtu binafsi manake imekula kwao
Wanaitamani hiyonyumba yahuyomama
Huu Utapeli Kabisa Yaani Kaah! Mnada Gani Wa Kiwizi Wizi? Msaidieni Mama Huyu Tafadhali
Mungu akusaidie mama yangu
Aisee muda wote hata sisi kwenye manye manyumba yetu tukae tayari kuuzwa.chakufanya ngoja nitafute mgobole wakija tuu nawanyooshea mzee.
Mama pole sana matapeli niwengi tutakuombea mama wataldi baridi pole sana wanaotamani nyumba za wakina mama zetu marikia wa Nguvu!
Ni upuuzi, we unanunua nyumba pasipo kupitia kwa Mwenyekiti wa serikal wa mtaaa...! We mkali...!
ili kupata habari njema za ufalme wa mbinguni bonyeza kushoto kwa maandishi haya barikiwa
g7somola@yahoo.com gseven
g7somola@yahoo.com gseven ok
Jaman watu wana roho ya ajabu
yaani mnada mpaka wanaoishi ndani wameuzwa
Hee jmn mbn binaadam tupo hv
Wahuni hao
Mmhu hao waloandaa mnada wakamatwe wote
jaman huu uonevu sipendi naumia. ila mama utapata haki yako.pole mum.
Hao walioendesha mnada hawana akili kabisaaaa na shule kichwani hakuna
huyo alonunua ni nani anunue nyumba bila ya kuangalia ndani? hii ndio Tanzania ya Magufuli?
Amyass Yassin mambo yakihuni na serikali ya magufuli yanahusiana vip?
"buyer be a ware" "conduct search b4 your buy such land"- kwasisi tulio soma land law hua tuna tumia hizo statement