Jamaa Amua Mume Aliyepatikana Na Mkewe

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 лют 2014
  • Wanaume wawili wameuawa katika mtaa wa kariobangi south hapa nairobi kwa kile kinachotajwa kuwa ni kutokana na mgogoro wa kimapenzi. Yadaiwa mwanamume mmoja alimkuta aliyekuwa mkewe kwani walikuwa wametalikiana akiwa na mwanamume mwingine, alipokuwa akimpelekea pesa za matumizi ya mwana waliyekuwa wamezaa naye. Mzozo ukaanza kati ya wanaume hao kabla ya mwanamume aliyepatikana chumbani kuchukua kisu na kumdunga na kumuua mwenzake. Umati wa watu ukafika na kumuua mwanamume muuaji huku polisi wakimnusuru mwanamke huyo kutokana na ghadhabu za umati huo.

КОМЕНТАРІ • 58

  • @biblefanatic2902
    @biblefanatic2902 3 роки тому +6

    Waah,hii area kila mtu anakaa mlevi

  • @umiy1971
    @umiy1971 5 років тому +12

    Tusiwe mahodari kujaji shida ya wengine keshasema mtoto alikuwa analia njaa nyinyi munajua ni muda gani huyu mama na mtoto hajakula ? tena wameshaachana najuaje kama atarudi na kama atarudi nilinii?? we mathe ngoja wewe tu .......wanawake mara zote hatusimamiani kiukweli.

  • @dianawabaha8815
    @dianawabaha8815 5 років тому +27

    Huyu mathe ako na makosa gani? If they had already divorced she has a right to get another guy

    • @emcarsonem4072
      @emcarsonem4072 Рік тому

      Hatuelewani. Ex wake ndio alikuja kulala kwa his new husband. Makosa kubwa

    • @agneswanjau559
      @agneswanjau559 Рік тому

      @@emcarsonem4072 she was with the new man and ex came na akaingia nyumba by force. Then he was killed by the new lover of his wife thru being knifed.

    • @emcarsonem4072
      @emcarsonem4072 Рік тому

      @@agneswanjau559 whah

  • @athmankarisa7058
    @athmankarisa7058 Рік тому +2

    Only God knows the truth, but this is very sad, ukiachana na mtu mwaache na maisha yake.

  • @abdishukriguliyewhytoknow5290
    @abdishukriguliyewhytoknow5290 6 років тому +4

    Huyo dem ana bonga sheng kali

  • @emmienyarnoah5039
    @emmienyarnoah5039 5 років тому +1

    Uyo dem wa sheng ni goon wa gheto😂😂😂😂😂

  • @allutacontinua5900
    @allutacontinua5900 2 роки тому +1

    Ata akiwa mpenzi wake shinda Ninini mngechoma uyo muhuwaji Ii maisha ukishindwa namtu niuwachane nayeye mnauwana nini

  • @assumptavyenna640
    @assumptavyenna640 5 років тому +2

    Ngoja ngoja humiza matumbo ukiachwa ajika hata bustop huwezi ngoja Gari la samoja likukujie sambili

  • @azzahssn3624
    @azzahssn3624 5 років тому +5

    Usiku kucha wakishiriki mapenzi??we reporter nawe wachha izo,,

  • @suzeemnati8356
    @suzeemnati8356 5 років тому +7

    Mimi niliachwa 8 years ago with 5 children na baba watoto hajui wanakula nini ama wanasoma na nini kazi yake ni umalaya tu na bado ananitishia asiwai niona na mwanaume .......please men tukiwazalia hua tunaamini tuna jega falimia sio veterinary wakutuzalisha tu

  • @rachaelw580
    @rachaelw580 2 роки тому

    Woiyi soo sad

  • @ruzzswizz729
    @ruzzswizz729 8 років тому

    so sad

  • @thepowerofsilentsoul2135
    @thepowerofsilentsoul2135 2 роки тому

    Mm Niko three kids two Wa teacher Na 1niwa police,,Na hakuna mwenya huwa ananisaidia,, sometime life is so hard,,,Kila MTU ako Raha zake Na mm Na watoto tuna Kula shida,,,,, kama mm sioni makosa YA Huyu mama

  • @chesiretsiret2638
    @chesiretsiret2638 7 років тому

    waah

  • @ussimapweza5214
    @ussimapweza5214 5 років тому

    Hii

  • @iminzaiminza5813
    @iminzaiminza5813 5 років тому

    No comment

  • @brigidmua9558
    @brigidmua9558 6 років тому

    Weeeeeee

  • @carowanjiku3126
    @carowanjiku3126 5 років тому +2

    Advice to fellow women, remain a single mother mkiachana, stand up on your own hata kama utafulia watu nguo......be a lady until the right person comes akuoe akupeleke kwake. Mwanaume ngani anahakiri hulala kwa mwanamke.???????.

  • @Priscillazawadi
    @Priscillazawadi 2 роки тому +1

    Hapa Kila mtu alikuwa Maji vye Wanaka

  • @wakiama9609
    @wakiama9609 2 роки тому

    Alikuja teke

  • @abijahwairimu8753
    @abijahwairimu8753 Рік тому

    Iyo nyanga,o ifugwe

  • @user-jm4ry1fp4y
    @user-jm4ry1fp4y 5 років тому +1

    Njeri wewe unaweza patia mwanaume aje usingizi

    • @gladysnjuku9255
      @gladysnjuku9255 5 років тому

      Eish they were already divorced read btn the lines the lady said they had no food so what do u expect!!??where was that idiot ..nway im not supporting killing

  • @georgebwanya2382
    @georgebwanya2382 4 роки тому

    kariobangi north

  • @marynjeri8607
    @marynjeri8607 5 років тому +1

    Kula yamikoni yako

  • @rachaelw580
    @rachaelw580 2 роки тому

    Mama ulikuwa na makosa kubwa

  • @njerikangethe6143
    @njerikangethe6143 5 років тому

    Mama hana makosha coz alikua anatafuta food

  • @paulinepolly1750
    @paulinepolly1750 5 років тому

    sad indeed

  • @zilpahcharlotte3856
    @zilpahcharlotte3856 5 років тому

    Na mwenye kupewa mahali PA kulala alisikia utamu Sana akachelewa kutoka mapema ama kuliendaje

  • @jacklinembae8139
    @jacklinembae8139 6 років тому +9

    Ukiachwa tafuta mwingine kwani iko nini

  • @peternyongesa8229
    @peternyongesa8229 Рік тому

    Very bad

  • @maryodanga140
    @maryodanga140 5 років тому

    Na si walikua wameachana

    • @emcarsonem4072
      @emcarsonem4072 Рік тому

      Hapo ndio naona watu kwa comments hawaelewi.

  • @user-ol5rv2sr1r
    @user-ol5rv2sr1r 7 років тому +1

    wewe mma mwenzangu iyo nitama kama baba mtoto muliachana mukikutana kwa barabar ana kupa kidogo nn ingine kama sio tama utosheki siunge tafuta job uji saidie pale una lemewa.una ona sasa lahana kwako..salume omushibo.

  • @jannet506
    @jannet506 5 років тому +1

    Pia madame tujiheshimu ,,,walai siwezi leta mwanamme kwangu atakama tumeachana na X jamani

    • @steveswakei9600
      @steveswakei9600 5 років тому +1

      jamaa hawezi kukupeleka kwake cause bibi ako na anakungoja na uji moto. lodging hadi lini na hizo doh ndo unawachiwa, pengine mwingie kwa mahindi shambani

  • @suzeemnati8356
    @suzeemnati8356 5 років тому +4

    Wacheni kuwekelea huyu mama moto kwa kichwa Coz hawa watoto hatuwezi wauza ama kuwaua lazika kuwatafutie .........sasa ikiwa mwanaume amekuacha utakula watoto warundi kwa tumbo ama .......then l know well lazima huyo mwanaume ata yeye tangu waachane bado alikua anatomba wake wengine kumanina zake

  • @marykalei3277
    @marykalei3277 5 років тому

    Wewe unatulia ukia.,,,

  • @sarahnjeringige1451
    @sarahnjeringige1451 5 років тому

    Mnaacha mtu mkidhani mtu amefika mwisho

  • @mura5615
    @mura5615 5 років тому

    sasa wewe mama ndio umefaidika na nini na mtoto atafaidika na nini kutokana na kugoganisha hão- wanaume mpaka wakauana?

  • @hildamodoni
    @hildamodoni Рік тому

    Hii

  • @beckybeto4328
    @beckybeto4328 7 років тому

    So sad

  • @flomrembowakenya5524
    @flomrembowakenya5524 7 років тому

    so sad