Wanawake Wawili Katili Watiwa Mbaroni Embu
Вставка
- Опубліковано 20 вер 2024
- Wanawake wawili wanazuiliwa na polisi katika kaunti ya Embu baada ya kupatikana wamempa dawa za kumfanya apoteze fahamu mwanamume mmoja katika chumba cha malazi. Wawili hao wanasemekana kuwa walifika kwenye hoteli hiyo , na mwanamume huyo wakidai kuwa mmoja wa mwanamke huyo alikuwa mkewe, ilhali wa pili alikuwa shemejiye, na walihitaji chumba cha kupumzika. Hata hivyo, baadaye wanamume huyo ambaye ni daktari alipatikana akiwa uchi wa mnyama huku akiwa hajitambui.
hehehe eeeee warerererer watatekwa sana nyara kwa sababu uchunge umezorota kwani iko nini
sasa akiwa wamempa dawa za kumdhuru atawezaje kuwapa burudani mzuri. hahahahahaha hao wanawake na wazimu sasa
hao wanawake wako chonjo, dactali diye Malaya alidhani anaenda kunjifijali bali ikamugeukia
God will bless the work of your hands
ai yawa, when you go to embu mr reporter? you speak like them ? mbaloni
I look forward to a follow up on this, we need to know how this doc is doing
Duhh Doctor Katibiwa kisa burudani,jamani tuacheni tamaa.
Tuongeonyeshwa uso... Daah ni kubaya...
Eti wampe burudani...
Are they married 😨
Daktari hakuwa anataka burudani lakini hawa malaya wawili ndio walikuwa wakitaka kumpatia burudani kwa lazima na waweze kufanya menghine pia
I think the good fellow meant "mbaroni" as in custody.
Wakenya mnavituko , wanawake majambazi,maghaidi ya Allah tunusuru waja wako
Hi doctor imepatikana
Buy one get one free business
Hahahaha noma Sana wanawake thitima
daktari kaenda kutibiwa
Saddam Hussein burudani au wamuibie
Waaa corona na nzige kibao hazitaisha duniani ubaya ni mwingi sana
Daktari kwani anataka kula double
weeee wanawake mnatuaibishaa
🤣🤣🤣🤣
Hehehehehehee...hata wewe ni kama Franklin!
Men should style up
daktari kapewa dawa
"Matapeli Virukanjia waliteka nyara hisia za Daktari ili kumpa burudani.".salaala..!
Hawa nalaya wawili wanafa kunyonghwa ndio wanawake wenghi wapate akili ya kutofanyanya harajati kama hizo
Ngai Franklin...can't you make swahili more understanderble...I al totally lost here!!
Ngai
Swali langu ni moja daktari alitorewa kwake ama
matapeli wanawake
Emmanuella
mbaloni? LMAO!
Malimwengu
Nonesense..go home to your wife
hehehe eeeee warerererer watatekwa sana nyara kwa sababu uchunge umezorota kwani iko nini