Mwenyezi Mungu akulinde akuongezee Mika mingi Kwa kusema ukweli ,hata kifo cha Magu ulisema wakakubishia badaye ilithihirika kuwa wewe ndie ulikua unasema kweli.
Nafurahi sana nikiona sahii tu mmeshaanza kumkumbuka Magufuli sawasawa na neno lake akisema najua siku moja mtanikumbuka si kwa mabaya ni kwa mazuri sababu nimesakrifais maisha yangu kwa ajili ya watanzania masikini.
Hawa ni wanafki sana walimpinga Magu sana katika kila jambo alilofanya. Sasa Leo wanaanza kujitekenya wenyewe. Yule ndio alikua makini na kutosaini mikataba tata.
We hear you @Lisu This is for the Nation and the generations to Generations - Our greatest Nyerere could sell the whole Nation to whoever - But he has Heart/Brain and Love to not only Tanzanians but the rest of African people.... Africans we should keep our heads ups.
Safii Sana Kaka Lisu Mungu akujalie afya tele skuzote za uhai wako. Naomba kw msaada wa watu wachini ambao hawajui kingereza mfanye utaratibu wa kuutafsiri, kuuchapa huo mkataba Kwa lugha ya kiswahili na muusambaze kwenye mitandao yotee ya kijana watu wasome wote.
Nakwambiaje haya anayoyaongea mukishampatia kura ile kuja kuwatesa huyu mtu mutashangaa anaongozwa na mabeberu na siku zote mabeberu hawapendi kuona africa wakienuka sasa huyu ndie kaja kumaliza tanzania mutanikumbuka RIP JPM.
lisu leo umeongea vema,,,kikawaida ,lisu mimi huwa simkubali coz alikuwa ana discourage sana movenment za maendeleo za HAYATI MAGUFULI , because am so positive leo nimeona , vile umenipa nilicho kuwa nakitafuta maana,mimi naipenda sana nchi yangu na ndio maana nilimpenda sana magufuli , hivyo kiufupi RAISI wa sasa TANZANIA , ni vema aangalie taifa hili linahitaji nin na si yeye anahitaji nni hatuwezi tukawa watumwa katika taifa letu wenyewe , miaka yake ni michache kiutawala ila taifa hili lipo na umri mrefu sana na wanufaika ni kizazi cha sasa na cha badae hivyo ,ni dhahiri ubinafsi na kuto jali rasilimali za nchi ni kutalipoteza taifa hili .
Bandari ya daresalaam haina ushindani na inapoteza wateja kila siku sgr haitakuwa na faida pasipo kuwekeza banndarin kwa kuvutia meli kubwa za mizigo kutumia bandari ya dsm...mkataba ukiwa ni mzuri haina shida 50/50 .
Walaaaniwe wote wanaotaka kuteketeza nchi eee baba wa mbinguni wewe ndio uliumba kila kitu mpaka binadamu na mawazo yake nakuomba ,, teketezaa kila binadamu mwenye Nia na mawazo mbaya na nchi ya Tanzania wafeee wotee uitee nchi Amen
Hii inaweza ika affect uchaguzi ujao kama maoni ya wananchi yatadharauliwa. Wapinzani watapata pointi muhimu kujipatia kura .na hao wanaoshangilia sasa hivi kupoteza viti vyao
*nilishtuka sana pale nilipoona lile jengo kubwa la Dubai kuonyesha bendera yetu pamoja na mama nilijua tuu Kuna namna hapo sio kawaida kwass watu tuliosomea cyuba tunaelewa ukitaka kula na kipofu usimguse*
Huyu ni mrokaji ila mengi anayajua hata kifo cha magufuli nilianza kumsikia yeye akisema viongozi waseme ukweli raisi yuko wapi wakakaa kimyaa gafla ametangazwa amekufa raisi daah 😢😢😢😢😢😢😢
Sioni uzuri wowote wa mkataba huu we mama utatuaacha kwenye maisha magumu sana hii haijawahi kutokea tangu Tanzania iumbwe nyie mnakula vizr siye hata panado tutakoswa mungu awaonyeshe njia iliyonzuri Amina.
Wazanzibari wametukalia....watanganyika sisi ni mbumbumbu.....Rais muislam....waziri mkuu muislam.... Mshauri wa rais ni kikwete Muislam...wanaopewa bandari waislamu....Hata marais waliovuruga nchi hii ni wale waislam
NI CHUKI NA WAARABU TU AKA WAISLAAN TULIONA HATA OIC NA MAHAKAMA YA KADHI MLIVIMBA MASHAVU SANA TU ILA MIKATABA YA MEMORANDUM OF UNDERSTANDING MIDOMO YENU KIMYAA KWELI NI WAPENDA HAKI AU MNAIENZI BETTER CHANCE YA BABA WA TAIFA
Wafanyabiashara wetu wanaumizwa kwa kubambikiziwa kodi. Leo wanabinafsisha Bandari kwa kisingizio eti inaendeshwa kwa hasara wakati wahuni wezi wanaachiwa wanaiba Mali za maskini badala ya kusimamia uendeshaji kwa kuwaondoa wezi na kufanya ufuatiliaji na kuweka teknolojia.
unajuwa hii nchi inapoelekea inaelekea kubaya sana kwasababu marehemu magufuri aliyapinga kabisa haya lakini baada ya kufa tu imekuwa nifuraha kwao leo hii alienacho ndio yuko juu ambae hana anateseka poleni sana watanzani kwani huu ndio mwanzo picha bado harijaanza
Nilichoelewa mimi kwa ujumla ni kuwa serikali imeamua kuziuza bandari zetu ili tupate maendeleo makubwa. Kwaiyo maendeleo tutapata lakini bandari sio zetu Mfano. Una eneo lako kubwa sana umejenga nyumba moja tu na umechoka kukaa eneo kubwa nyumba moja . Hivyo unaamua kuuza maeneo mengine kwa watu ili mazingira unayoishi yawe na maendeleo. Hivyo wakinunua eneo lako maendeleo yatatokea lakini Yale maeneo uliyouza sio yako Tena. Amebaki Mungu Tu Tz yetu
Namuomba Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema muumba mbingu na ardhi na vyote vilivyomo akupe maisha marefu mheshimiwa Tundu Antipasi Lissu ili uendeelee kuwaelimisha wa Tanzania wengi mpaka watakaposema Sasa hawa viongozi wanatuchezea Sasa liwalo na liwe 😭😭😭😭😭😭
Wew nahisi hauna akili na Kama unazo bas zipo sehem ya hajakubwa waulize wanao jua vita watakuhadithia, huyo mnae muona kua mkombozi aliku ulaya kwa muda gani? na kwann karudi na huko alihifadhiwa na nani? na kwann yupo hapa kwa sasa! Kilichomkimbiza mwanzoni ni nini?, huo mkataba mnao upigia kelele nani alie kutafsirieni katka woote hao wanao kupotosheni au mmewahi kuambiwa kua ni kifungu kipi chenye utata! acheni kucheza mchezo wa kujiua
Watanzania amkeni mtetee rasili mali zenu.....wakenya huo mpango umetushangaza....mh tundu lisu anahitaji nguvu za raia watanzania kupangua mikataba ya hovyo...karibuni 🇰🇪...
Watanganyika washenzi wametutawala kwa zaidi ya miaka hamsini hawakujua km muungano huu n wa kinyonyaji na wanatunyonya na kuikandamiza Zanzibar leo bandari imekodishwa tu wamekuja juu mamazao mama kodisha mpk viwanja vya ndege vyao shenz type hawa✌️
Hii ndio shida yakua nakiongozi ambaye hajachaguliwa nawananchi,hawezi kua nauchungu nanchi hii,hawezi kuitetea hii nchi,maisha yamekua magumu sana,bado viongozi wanafanya vitu vyahovyo,yaani hata msukuma tuliyemwamini,???,kweli wamehongwa pesa nyingi,wazirudishe tu,wabunge vilaza kabisa,kweli pesa ilimuua Yesu,daaa niaibu sana,bora kuongozwa namaroboti kuliko hawa watu,roboti linajua boksi hili nimetoa hapa niweke pale,lakini banadam anasaini takataka kama hiyo kweli????Mungu asimame tu.
Asemayo ni kweli kabisa kuna vipengere vya ovyo sana viko wazi lakini watu wanavipindisha au kujifanya hawavioni. Na haijulikani kama ni uwekezaji ukodishaji au ubia.
Mwenyezi Mungu akulinde akuongezee Mika mingi Kwa kusema ukweli ,hata kifo cha Magu ulisema wakakubishia badaye ilithihirika kuwa wewe ndie ulikua unasema kweli.
Asante xana Kwa kuweka ukweli ndani ya huo mkataba maana walituzuga sana bila kuelewa 🔥🔥 xana man
Mungu akupe maisha marefu kaka
Nafurahi sana nikiona sahii tu mmeshaanza kumkumbuka Magufuli sawasawa na neno lake akisema najua siku moja mtanikumbuka si kwa mabaya ni kwa mazuri sababu nimesakrifais maisha yangu kwa ajili ya watanzania masikini.
Yaani Acha tu, inaumiza sana Mungu atusaidie
Hawa ni wanafki sana walimpinga Magu sana katika kila jambo alilofanya.
Sasa Leo wanaanza kujitekenya wenyewe.
Yule ndio alikua makini na kutosaini mikataba tata.
😮❤
Yeah wanafiki vile hawajagaiwa pesa na wao !wangekua wamegawana wote wangekaa kimya
Magufulication forever mtanikumbuka
Tembea inchi nzima kutuelimisha zaidi ulipokua inje ya inchi nilikua sikuelewi lakini sasa wanainchi wengi tumeanza kukuelewa kabisa.
Lissu kaongea point sana
Nipo ITIKADI tofauti, lakini kwa hili tupo pamoja saaaana!!
Kabisa kiongoz ata Mimi tundulisu sio type yangu lakini hapa Niko nae kwenye ili😂😂
Tuungane tutokomeze maharamia.
😂😂😂😂
Tutasumbuana kichwa bure Tanzania hakuna bunge Wala rais tuna nguruwe bungeni kule hamna wabunge zile ni nguruwe na mashetani
Ujue wanakuona wajomba watakushughulikiaa,lugha imekuwa kalii mno
@@odilomwemeziernest646 washughulike.na.mkataba.kwanza.ndipo.wawashughulikie.haowenye.lugha.kali
@@lightnessmushi8137 mkataba kwanza mengine baadae
Wote watakufa mungu amesikia
@@lilykarim8968kwani mkataba unasemaje? na nikifungu gan chenye utata au ndio bendera fuata upepo! ebu acheni ujinga
Huyu ni mwanasheria tunakusikiliza kwa makini.
Mwanasheria kwako tu lissu anasapoti mapenzi ya jinsia moja ushoga hizo Sheria za lissu utazisikiliza ww tu
Aiseee hapanaaaaaa vidonda visivyopona🙌 Rest in peace dady Magufuli 😪
We hear you @Lisu
This is for the Nation and the generations to Generations - Our greatest Nyerere could sell the whole Nation to whoever - But he has Heart/Brain and Love to not only Tanzanians but the rest of African people....
Africans we should keep our heads ups.
Nyerere alikuwa kibaraka tuu naye
daa Adv Antipas alishajitoaga mazima mazima huyu hata ukimuhonga anakuumbua 😀😃
Safii Sana Kaka Lisu Mungu akujalie afya tele skuzote za uhai wako.
Naomba kw msaada wa watu wachini ambao hawajui kingereza mfanye utaratibu wa kuutafsiri, kuuchapa huo mkataba Kwa lugha ya kiswahili na muusambaze kwenye mitandao yotee ya kijana watu wasome wote.
Ccm 2025 hakuna kupitia kwanza huyu mama hafai kabisa kuwa raisi mwizi tuu
@@omaryhabibu2746 zezeta mkubwa fatakumbo, hiv unajua unacho simamia pumbuv wew, unajiingiza katka mtego wa ngiri kwann! Kama hujui kitu kaakimy
@@kamanapomo7029kuma la mama ako
Kweli magufuri hakupenda mambo hayaaa
Lkn pia hakuruhusu ujinga km huu 😂😂
Huyu mchambawima atuachie nchi yetu
Kabisaa
Mtanikumbuka kwa mazuri na sio kwa mabaya. RIP Mfalme JPM.
Nakwambiaje haya anayoyaongea mukishampatia kura ile kuja kuwatesa huyu mtu mutashangaa anaongozwa na mabeberu na siku zote mabeberu hawapendi kuona africa wakienuka sasa huyu ndie kaja kumaliza tanzania mutanikumbuka RIP JPM.
lisu leo umeongea vema,,,kikawaida ,lisu mimi huwa simkubali coz alikuwa ana discourage sana movenment za maendeleo za HAYATI MAGUFULI , because am so positive leo nimeona , vile umenipa nilicho kuwa nakitafuta maana,mimi naipenda sana nchi yangu na ndio maana nilimpenda sana magufuli , hivyo kiufupi RAISI wa sasa TANZANIA , ni vema aangalie taifa hili linahitaji nin na si yeye anahitaji nni hatuwezi tukawa watumwa katika taifa letu wenyewe , miaka yake ni michache kiutawala ila taifa hili lipo na umri mrefu sana na wanufaika ni kizazi cha sasa na cha badae hivyo ,ni dhahiri ubinafsi na kuto jali rasilimali za nchi ni kutalipoteza taifa hili .
Mungu yupo juu sana ,,ndo maana alikulinda walishindwa kuua
Lisu hongera kwa ufafanuzi mzuri.Tuwaongeje Ccm na Serkalikuu.
Awana mpya watakuja bwabwaja tuuu
Mungu awalinde watu kama hawa Jesus name
MUNGU HALINDI MIJITU YA HOVYO HOVYO KAMA HUYO NA ANAE MUUNGA MKONO
@@omaryramdhani9823 unaongea ukiwa wapi ? Ukweli ni kwamba huna akili ata kidogo ata kama ww ni CCM hapa umechemka
Ashamlinda Sana tu,na baado ataendelea kumlinda🙏🙏
@@omaryramdhani9823sasa mungu kaweza mlinda asiuwawe kwa lisasi 16 mwilini mwake ilikuwaje hapo
Wenye kuelewa wameelewa maana mambo ambayo ayafafanuliwi Kwa kina ni mengi
Kwa sasa bola mungu awauwe viongozi wote hakiyamungu wafe mungu pokea dua hii,ili waje wapya wazarendo, Amin imeisha hiyo
Nakumbuka ndugai alisema nchi itapigwa maana yake ndoo hii....ukishindwa kulipa deni unalipa ulichonacho
Alipoongea Ndugai walisema amebugi lkn alikuwa anajua
Bandari ya daresalaam haina ushindani na inapoteza wateja kila siku sgr haitakuwa na faida pasipo kuwekeza banndarin kwa kuvutia meli kubwa za mizigo kutumia bandari ya dsm...mkataba ukiwa ni mzuri haina shida 50/50 .
Mungu akurinde tund lis do maana mungu alikutetea
Watanzania wenzangu tuletewe malaika wa aina gan atueleweshe jaman
Acha tuu aiseee
Huna akili hata chembe 😂😂
Tuingie barabarani jamani hadi ikulu tukamng'oe huyu anauza nchi yetu
Ndicho kimebaki huyu bibi kalewa madaraka nchi anataka kuifanya yake eemungu tufundishe kumtoa huyu bibi kizee na genge lake
watu.watatuwanampotosha.Razzmbarawnamstaafu
Sidhan km police wa kibongo n km wa Kenya nenden
ingia wewe unataka uwatoe chambo wenzio..ukivunjika mguu haji kiongozi kukuletea msaada
Barikiwa sana mama nchi imemshinda mungu atusaidie
Acha ujinga huo vv nahao hamwezi ata kuuku acheni kupotosha wanaume
@@alirama1897 Ungeweka angalau hoja moja ya kuonesha wanavyopotosha!
@@yesunialamayakiama.9013yaah iyo ndo point
Kwakwel mungu akupe maisha marefu yenye baraka na Aman tundu lissu
Mungu amdhalilishe Kwa uhaini
@@abdallahally842aanze na wewe kwa upofu wa macho
@@abdallahally842 😁😁😁😁
@@jeffhard5773Mzanzibar ww
Walaaaniwe wote wanaotaka kuteketeza nchi eee baba wa mbinguni wewe ndio uliumba kila kitu mpaka binadamu na mawazo yake nakuomba ,, teketezaa kila binadamu mwenye Nia na mawazo mbaya na nchi ya Tanzania wafeee wotee uitee nchi Amen
Kweli bhana MUNGU ATUSAIDIE
Mungu atatusaidia,maadam ameamua kuwa wazi.
HAKUNA CHA BABA WA MBINGUNI WALA ARDHINI KUCHUKIA KWENU WAARABU HAIWEZI KUA SABABU YA KUACHA KUPEWA BANDARI.KUFENI NA MACHUNGU YENU
@@kefajoseph158MUNGU HASAIDII MIJITU YA HOVYOHOVYO
@@omaryramdhani9823 utakufa.wewena.washiriki.wote.mungu.hashindwi.iliijulikane.kuwa.yupo
Samia ukimlza bandari naomba uukodishe na mkoa wa kigoma mana watanganyika si wametupora vingpi uza kila k2 hko adi vichogo wakatae muungano
Mungu alikunusuru, alikuwa na makusudi na wewe na aendelee kukupa maisha marefu
Hii inaweza ika affect uchaguzi ujao kama maoni ya wananchi yatadharauliwa. Wapinzani watapata pointi muhimu kujipatia kura .na hao wanaoshangilia sasa hivi kupoteza viti vyao
Tz hii ccm ipate kura kumi tuuu itaongoza nchi
Kuna watu uwaambii kitu kuhusu ccm bado watu awajapewa vitenge na jezi za Bure 😂😂😂
Kura zetu hazihesabiwi, ni mazingaombwe.
Ivi nikweli wabunge kwenye mkataba huo hakuna vipengele ambayo mliviona avina tija Kwa wananchi mkavikosoa kweli jamani🙏
Tanzania Haina bonge mamuzi anayo rais 😢😢😢😢
Mimi nikiikamata hii nchi, nafuta bunge maana halifai hata kidogo.
jeuri huna
Kumbe ukiikamata.. ndoto za mchana hazifai unaota unajenga angani we kweli chizi
🤣😂 hii nchi
Hongera kwa kusema ukweli
Ninachojua wamewawahi kwenye kuongeza mapato' lazima utatukana sana na kutumia nguvu kubwa, kuakikisha nchi na Uongozi mambo yao hayafanikiwi,
*nilishtuka sana pale nilipoona lile jengo kubwa la Dubai kuonyesha bendera yetu pamoja na mama nilijua tuu Kuna namna hapo sio kawaida kwass watu tuliosomea cyuba tunaelewa ukitaka kula na kipofu usimguse*
😅😅😅😅sawa watu wa Cuba
Nyinyi mnatusaidia watu wa chini maana wanaoteseka ni WA Hali chini
Mungu pigania nchi yetu isamehe Tz, ibariki Tz
Huyu ni mrokaji ila mengi anayajua hata kifo cha magufuli nilianza kumsikia yeye akisema viongozi waseme ukweli raisi yuko wapi wakakaa kimyaa gafla ametangazwa amekufa raisi daah 😢😢😢😢😢😢😢
Nayeye aliyetaka kumuua anamjua pia maana alimiminiwa risasi kushinda tembo
Hahahaa leo kamsifu magufuli?😊
Mropokaji ni wewe, ambaye magufuri alikuwa Mungu wako. Lisu hawezi kueleweka kwa mataahira anaeleweka kwa wazalendo
Au Atakuwa alihusika kifo chake..?😅😅😅
Sasa ww unafanana nae au ww chocolate tuuu
Mama yupo kazini mwacheni apige kazi mh samia suluhu hasani mungu ambalik
Dah Mungu naomba ukathibitike
Neno la John ndugai IPO siku nci itapigwa mnada
Mungu ameona mtumishi,Sasa atafanya kabla ya 2025 Mungu ni mkweli zaidi inatosha.
Jaribuni muone
Subutu! Jaribuni muone
Sioni uzuri wowote wa mkataba huu we mama utatuaacha kwenye maisha magumu sana hii haijawahi kutokea tangu Tanzania iumbwe nyie mnakula vizr siye hata panado tutakoswa mungu awaonyeshe njia iliyonzuri Amina.
Wazanzibari wametukalia....watanganyika sisi ni mbumbumbu.....Rais muislam....waziri mkuu muislam.... Mshauri wa rais ni kikwete Muislam...wanaopewa bandari waislamu....Hata marais waliovuruga nchi hii ni wale waislam
hyu jamaa nae akishakufa tutmkumbuka kama maghu
Hata wafanyaje MUNGU atakataa kufa kwa lissu maana siku yake haijafika ndio maana risasi zimemshindwa kumuua
Creativity at the highest level
Mungu akulinde na mabaya yote, maana kutusemea wanyonge si kazi ndogo maadui lazima wawepo
Kweli kabisa
Mungu atusimamie na uo mkataba ukashindwe.nyerere alise uo niumalaya umalayaa.
A man of the other ranks bigup
Ukweli mtupu mungu akubaliki Lissu
Angepewa mzungu tungekaaa kimyaaa ..tuanze na migodi ya wazungu na mikataba ya wazungu
Raisi wangu ni marehem magufuli
Ndiyo maana Mungu ni alikuacha uishi Mungu tusaidie Tanzania
Kwel Mungu alijua umuhimu wake
Jamani nasikitika sana kuwa na wabunge kama hawa
Upo vzr kamanda tusaidie tuikomboe nch yetu
Hasaidii chochote think carefully
Nafikiri inabidi tuache mzaha katika Jambo hili
Samia ni adui wa taifa hili hususan bara ametuuza 😢
Mwakahuuu kazi mnayo viongozi.
Lisu kichwa 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Mtanikumbuka kwa mengi na sio mabaya.
Tufanye yote lakin tusiwe Kama kongo, becouse no politics
NI CHUKI NA WAARABU TU AKA WAISLAAN TULIONA HATA OIC NA MAHAKAMA YA KADHI MLIVIMBA MASHAVU SANA TU ILA MIKATABA YA MEMORANDUM OF UNDERSTANDING MIDOMO YENU KIMYAA KWELI NI WAPENDA HAKI AU MNAIENZI BETTER CHANCE YA BABA WA TAIFA
Kumbe walisha sign toka 2022 kumbe mange alikuwa sahihi kwamba wanatuzuga tu walishasign
Wafanyabiashara wetu wanaumizwa kwa kubambikiziwa kodi. Leo wanabinafsisha Bandari kwa kisingizio eti inaendeshwa kwa hasara wakati wahuni wezi wanaachiwa wanaiba Mali za maskini badala ya kusimamia uendeshaji kwa kuwaondoa wezi na kufanya ufuatiliaji na kuweka teknolojia.
Yan kifupi tunaenda kuzika hii nchi aiseee
WATU WA PWANI WASHENZI SANA
Duh kweli Kuna haja ya kufanya mabadiliko maana,serikali iliyopo inaendesha nchi kimazoea sasa wamejisahau
Tanzania wananchi tumelogwa HATA kuandamana hatuwezi?
😂😂😂😂 Aizaa Hana Akili Au Amehongwaa pesa
Siyo bandari tu pia air space yetu ndege zakimataifa zikitumia anga letu waarabu watakusanya pesa
unajuwa hii nchi inapoelekea inaelekea kubaya sana kwasababu marehemu magufuri aliyapinga kabisa haya lakini baada ya kufa tu imekuwa nifuraha kwao leo hii alienacho ndio yuko juu ambae hana anateseka poleni sana watanzani kwani huu ndio mwanzo picha bado harijaanza
Nilichoelewa mimi kwa ujumla ni kuwa serikali imeamua kuziuza bandari zetu ili tupate maendeleo makubwa. Kwaiyo maendeleo tutapata lakini bandari sio zetu
Mfano. Una eneo lako kubwa sana umejenga nyumba moja tu na umechoka kukaa eneo kubwa nyumba moja . Hivyo unaamua kuuza maeneo mengine kwa watu ili mazingira unayoishi yawe na maendeleo. Hivyo wakinunua eneo lako maendeleo yatatokea lakini Yale maeneo uliyouza sio yako Tena.
Amebaki Mungu Tu Tz yetu
Du no hatari
Ndo tatizo la kuwa na wabunge wa ndiooooo mhuuuuu Asante tundu lisi
Sasa hao wabunge mnao wategemea kupinga si amewafukuza magufuli na nyinyi mlikuwa mnashangiria Sasa mnaona madhara yake
Namuomba Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema muumba mbingu na ardhi na vyote vilivyomo akupe maisha marefu mheshimiwa Tundu Antipasi Lissu ili uendeelee kuwaelimisha wa Tanzania wengi mpaka watakaposema Sasa hawa viongozi wanatuchezea Sasa liwalo na liwe 😭😭😭😭😭😭
Qqqqqqq
Wew nahisi hauna akili na Kama unazo bas zipo sehem ya hajakubwa waulize wanao jua vita watakuhadithia, huyo mnae muona kua mkombozi aliku ulaya kwa muda gani? na kwann karudi na huko alihifadhiwa na nani? na kwann yupo hapa kwa sasa! Kilichomkimbiza mwanzoni ni nini?, huo mkataba mnao upigia kelele nani alie kutafsirieni katka woote hao wanao kupotosheni au mmewahi kuambiwa kua ni kifungu kipi chenye utata! acheni kucheza mchezo wa kujiua
Mungu amuwe
Upo vzr lisu
Twambieni na mikataba ya kanisa iliyoingia na serikali ktk ma hospital yetu
Duh jamani kwanini lakini hii nchi inaendeshwa ivi
Watanzania amkeni mtetee rasili mali zenu.....wakenya huo mpango umetushangaza....mh tundu lisu anahitaji nguvu za raia watanzania kupangua mikataba ya hovyo...karibuni 🇰🇪...
Komaeni wataramu wa Sheria kuelimisha wananchi mbumbu kuikomboa nchi isiuzwe badari zake usalama utakuwa mdogo kiulinzi wa mipaka yake
Aise nchi yetu ndio hivyo tena,tutamkumbuka mwenda zake, mungu inusuru nchi yetu itoke kwenye hili dimbwi
Hakika
P
Tutamkumbuka? si ndio tunamkumbuka
hakuna cha Mungu kuinusuru kikubwa watupe mijegeja tuseme nao tu za kichwa tu,tumechoka kwa kwel mambo gani haya
BAS TU TANZANIA 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Samia POPOTE ULIPO MUNGU ANAKUONA
Hahahahaaaaaaaah
Mama wa hovyo sana huyu simpendi, cjui kwann hajauza kwao
Bora ww mm Ndio namchukia kupita maelezo
Akimaliza kuiuza nchi yetu atarudi kwake ZANZIBAR Kula bata
Mungu wanguuuuuuu
Watanganyika washenzi wametutawala kwa zaidi ya miaka hamsini hawakujua km muungano huu n wa kinyonyaji na wanatunyonya na kuikandamiza Zanzibar leo bandari imekodishwa tu wamekuja juu mamazao mama kodisha mpk viwanja vya ndege vyao shenz type hawa✌️
Zanzibar yenyewe imeshajaa watanganyika,acha ubaguz
Hiyo ni MOU sio contract of agreement. Mambo anayo uliza hayawekwi kwenye MOU.
Nachanganyikiwa😭😭💔
Mtanikumbuka kwa mazuri na sio mabaya! Big up Mh lissu kwa kuendelea kuwafungua akili watz
RIP Magu
Lakini kwa nn tuzungumze haya baada ya mkataba kuwa umeshapitishwa
Duh ndooo faida ya kuwa na wanasiasa wasomii wewe nijembe sana
Tupe ukweli baba make tulikuwa hatujui.🔑
Huyu mama nchi imemshinda aachie tu hakujifunza chochote kwamtangulizi wake ni jinsi gani nch inatakiwa iendeshwe in short anakurupuka
madubwasha fulani yalienda pale yakauze nchi
Awaa ccm ni mijizi sana
Huyu mama hana chake 2025, asitegemee kuchaguliwa.... 😭😭 Hana uchungu na hii nchi
Kabisaaa
Hii ndio shida yakua nakiongozi ambaye hajachaguliwa nawananchi,hawezi kua nauchungu nanchi hii,hawezi kuitetea hii nchi,maisha yamekua magumu sana,bado viongozi wanafanya vitu vyahovyo,yaani hata msukuma tuliyemwamini,???,kweli wamehongwa pesa nyingi,wazirudishe tu,wabunge vilaza kabisa,kweli pesa ilimuua Yesu,daaa niaibu sana,bora kuongozwa namaroboti kuliko hawa watu,roboti linajua boksi hili nimetoa hapa niweke pale,lakini banadam anasaini takataka kama hiyo kweli????Mungu asimame tu.
Mungu baliki tz
Yan mm naona hadi aibu kuwaambia watu mm ni MTANZANIA ,TOKEA MAGUFULI ATUTOKE
Asemayo ni kweli kabisa kuna vipengere vya ovyo sana viko wazi lakini watu wanavipindisha au kujifanya hawavioni. Na haijulikani kama ni uwekezaji ukodishaji au ubia.
Ebu taja kipengere cha hovyo
@@Baba-nm4qzhujamsikia lisu hapo ? Amekuambia onyesha sehemu inayoonyesha kuwa tutapata ata mia kwenye huo mkataba onyesha😂😂😂
@2348 mwamba anavunga hajasikia
Tundu lisu.muongo.sana
Mimi sipotezi muda wangu nikalisikiliza hili lissu ni shoga2 linasapotu mapenzi ya jinsia moja
Jmn Tanzania sisi,tutaishia wap sjui,mungu tusaidie
Ishi Tajiri
Nchi ya kimalaya sana hii kweli kuishi Tanzania sio kaz ndogo
Wakishatuuza watavunja muungano. Kazi kwetu.