Aida Ndelwa Nakushauri angalia episode ya pili utayameza maneno yako, aliwekwa aigize hivyo kusudi ukiangalia episode ya pili ya tatu na ya nne utaelewa Dear
Sio muigizaji mzuri japo nimewahi kipindi cha nyuma but baadhi ya makosa ya uhusika nayaona (Dada Wa kazi hajabeba uhusika Wa ushamba bali amebeba uhusika Wa ushizi)
UFUMBUZI WA TATIZO LA SAUTI. Mimi kama mmoja wa watengeneza maudhui katika mtandao wa UA-cam napenda kutoa ufafanuzi mdogo kuhusu tatizo na kero ambayo watu wengi watazamaji humu UA-cam wamekuwa wanailalamikia kila kukicha. Mfano kwenye hii tamthilia ya dada wa kazi, kuna baadhi ya muda sauti yote (dialogues na soundtracks) zinaonodoka zote, na kubakia picha tu bila hata chembe ya sauti. Tatizo hili limekuwa sugu na la kujirudia katika tasnia ya filamu hasa za kibongo. Sasa basi kiini cha tatizo ni hiki: filamu wakati inatolewa baada ya kueditiwa inakuwa na sauti zote (dialogues, soundtracks na effect sounds) kwa pmoja zote bila ukakasi wowote ule. Na uki play kwenye kompyuta au device yoyote ile ita play na sauti zote bila tatizo, hata kama igizo lingekuwa linarushwa kwenye tv basi ungesikia sauti zote bila shida. So mpaka hapa hakuna tatizo katika suala la uzalishaji (Production). Lakini sasa igizo hili unapolipandisha UA-cam tu basi tayari linahitaji kukidhi vigezo na masharti ya kuwa ndani ya mtandao huu ili iwezekane kutazamwa bila tatizo lolote lile. Kuna kitu kinaitwa hati miliki (Copyrights), unatakiwa uwe ni mmiliki halali wa maudhui yako (Video,Audio, soundtracks, effect sounds na kadhalika) ndipo UA-cam wairuhusu video yako kutazamwa bila tatizo. Ikitokea humiliki moja ya vitu hivyo, matokeo yake ndio kuna hatua za kisheria zinachukuliwa juu yako kwa video yako hiyo. Kwa mfano wetu ikiwa umetumia soundtrack ambayo huimiliki kwa maana hujatengeneza wewe au haujainunua na kupewa leseni ya kuitumia katika platforms kama UA-cam, basi mmiliki halali wa soundtrack hiyo anatuma malalamiko kwenda UA-cam kuwa kuna kazi yake moja imetumiwa bila ya idhini yake, au youtube wanakutumia email kukujulisha kuna kitu umetumia lakini hauna haki miliki nacho, so hapo wanakupa option 2. Ukitaka uiondoe hiyo soundtrack na ibakiye igizo bila ya sountrack hiyo kwenye muda muwafaka tu kama sekunde 10 au hata dakika moja inategemea na urefu wa kipande ambacho kimetumiwa soundtrack hiyo. So youtube wataiodoa sountrack automatically baada ya wewe kuchagua iondolewe, au ukitaka unaweza kuibadilisha na soundtrack nyingine ya bure kutoka youtube na chaguo hili huwa ni gumu hasa kwa igizo au video zote ndefu. Ndio maana Zama analazimika kuchagua futa soundtrack, sasa wakati wa kufuta youtube haina mfumo imara wa kuchambua sauti ya sountrack na sauti ya maongezi ya waigizaji ili iiache, matokeo yake inafuta sauti yote kabisa na kubaki zero sound katika kipande hiko. Kwa nini Zama analazika kuchagua futa sountrack? ni kwa sababu anatka kuruhusiwa kuonesha matangazo kwenye video (Monetization ads) ili aendelee kuingiza pesa kupitia video yake, akiwa hajachagua chaguo lolote kama kufuta au kubadilisha soundtrack basi ads ambazo zitaoneshwa kwenye video hiyo mapato yake yatakwenda kwa mmiliki wa soundtrack. Kama ni yote au kwa mgao wa asilimia kadhaa, na zilizobaki atapatiwa Zama ambazo huwa ni ndogo sana. Mmiliki wa soundtrack anawezakuamua ku block video isitazamwe ulimwengu mzima, au nchi kadhaa isiweze kutazamwa, au akaomba youtube waishushe video hiyo kutoka kwenye mtandao (shot down/take down) ambapo ikifutwa na youtube basi unakuwa kama umepigwa kadi ya njano vile (copyright trike). Kadi za njano zikifika 3 basi inakuwa kama umepewa kadi nyekundu na channel kufungiwa UA-cam maisha. Kwa nini wanafikia hatua hii ngumu ya kupewa chaguo mbili tu za kufuta au kubadilisha kile walichotumia na hawakimiliki? Labda hawana uelewa wa kutosha kuhusu UA-cam na maudhui zake zinapaswa ziweje, au bajeti ya production haitoshi kuweza kumiliki kila kitu kama vile wanaweza kutengenezesha soundtracks zao wenyewe binafsi kwa kuwatumia ma composers wa filamu, au waweze kununua soundtracks nzuri wanazozipenda na kupatiwa leseni ya kuzitumia watakapo (permanently), au wavivu wa kutafuta soundtracks nzuri na za bure ambazo unaweza kutumia popote pale kwa masharti madogo sana kama kutoa credit kwa chanzo cha soundtrack hiyo/hizo. Na labda kuna sababu nyingine nyingi tu. Wanawezaje kujing'atua kutoka kwenye hii mitego na kero kwa watazamaji wa maudhui zao nzuri na za kupendeza? Ni wakati sasa tasnia ya filamu ikawa professional katika kutengeneza kazi zake, kama unayo shoot filamu basi unatakiwa pia u-design soundtracks zako binafsi kwa ajili ya tamthilia, movie, filamu au hata kipindi tu chochote kile, composers ndio kazi yake hii. Wazalisha filamu wanatakiwa wawe na bajeti za kutosha ili wajikimu hata kwa kununua soundtracks ambazo zipo tayari kwa matumizi mitandaoni. Pia wanatakiwa wawe waungwana katika kutoa credits kwa chanzo cha maudhui kama soundtrack waliyoitumia pindi watumiapo soundtracks za bure. Tatizo hili la kupotea sauti katikati ya video lipo sana kwenye filamu za kibongo nyingi tu ambazo ziko UA-cam, na si hili igizo la Zamaradi tv pekee. Na mara nyingine sauti ya waigizaji hujrudia, au huenda tofauti na midomo yao( mfano kwenye picha unaona wako ndani wanakula na wanazungumza lakini sauti zao zinazungumzia mambo ya ofisini picha ambayo tayari umeshaiona kwenye dakika za nyuma) huu mpishano, mkaririsho wa sauti (dialogues) au kufutika kabisa na kuwa kimya kiini cha matatizo yote haya ni kama nilivyoeleza hapo juu. Binafsi napenda kuona tasnia ya filamu Tanzania inakuwa na kuwa bora zaidi. Kama unataka kutengeneza tamthilia au igizo kwa ajili ya Digital platforms basi kumbuka kanuni na masharti ya mtandao utakao utumia katika kurusha igizo lako au kipindi chako. Kumbuka ukiwakera watazamaji au mashabiki zako mara kwa mara tena kwa tatizo lile lile basi utawapoteza, na kuyumba kisha kupoteza lengo lako au kutofikia faida uliyoikusudia kupitia hawa watazamaji, maana ujumbe unaishia njiani, na wewe utashindwa kurejesha gharama za uandaaji ambazo ulitegemea zirudi kwa kupitia watazamaji wa mtandaoni (viewers). Hongera kwa ubunifu mzuri wa maudhui lakini jitihada bado inahitajika Zamaradi tv. Ahsanteni. Ni mimi Kham Salim mtanzania anayependa ku share ayajuayo na wengine.
Huyo dada wa kazi kama tahira tu......anazidisha mpk anaharibu sasa...mbadilisheni asee....na we mama mzma unaondoka hutatindiki kitanda unaacha chumba km kimepigwa bomu...kazi ipo 😂
UFUMBUZI WA TATIZO LA SAUTI. Mimi kama mmoja wa watengeneza maudhui katika mtandao wa UA-cam napenda kutoa ufafanuzi mdogo kuhusu tatizo na kero ambayo watu wengi watazamaji humu UA-cam wamekuwa wanailalamikia kila kukicha. Mfano kwenye hii tamthilia ya dada wa kazi, kuna baadhi ya muda sauti yote (dialogues na soundtracks) zinaonodoka zote, na kubakia picha tu bila hata chembe ya sauti. Tatizo hili limekuwa sugu na la kujirudia katika tasnia ya filamu hasa za kibongo. Sasa basi kiini cha tatizo ni hiki: filamu wakati inatolewa baada ya kueditiwa inakuwa na sauti zote (dialogues, soundtracks na effect sounds) kwa pmoja zote bila ukakasi wowote ule. Na uki play kwenye kompyuta au device yoyote ile ita play na sauti zote bila tatizo, hata kama igizo lingekuwa linarushwa kwenye tv basi ungesikia sauti zote bila shida. So mpaka hapa hakuna tatizo katika suala la uzalishaji (Production). Lakini sasa igizo hili unapolipandisha UA-cam tu basi tayari linahitaji kukidhi vigezo na masharti ya kuwa ndani ya mtandao huu ili iwezekane kutazamwa bila tatizo lolote lile. Kuna kitu kinaitwa hati miliki (Copyrights), unatakiwa uwe ni mmiliki halali wa maudhui yako (Video,Audio, soundtracks, effect sounds na kadhalika) ndipo UA-cam wairuhusu video yako kutazamwa bila tatizo. Ikitokea humiliki moja ya vitu hivyo, matokeo yake ndio kuna hatua za kisheria zinachukuliwa juu yako kwa video yako hiyo. Kwa mfano wetu ikiwa umetumia soundtrack ambayo huimiliki kwa maana hujatengeneza wewe au haujainunua na kupewa leseni ya kuitumia katika platforms kama UA-cam, basi mmiliki halali wa soundtrack hiyo anatuma malalamiko kwenda UA-cam kuwa kuna kazi yake moja imetumiwa bila ya idhini yake, au youtube wanakutumia email kukujulisha kuna kitu umetumia lakini hauna haki miliki nacho, so hapo wanakupa option 2. Ukitaka uiondoe hiyo soundtrack na ibakiye igizo bila ya sountrack hiyo kwenye muda muwafaka tu kama sekunde 10 au hata dakika moja inategemea na urefu wa kipande ambacho kimetumiwa soundtrack hiyo. So youtube wataiodoa sountrack automatically baada ya wewe kuchagua iondolewe, au ukitaka unaweza kuibadilisha na soundtrack nyingine ya bure kutoka youtube na chaguo hili huwa ni gumu hasa kwa igizo au video zote ndefu. Ndio maana Zama analazimika kuchagua futa soundtrack, sasa wakati wa kufuta youtube haina mfumo imara wa kuchambua sauti ya sountrack na sauti ya maongezi ya waigizaji ili iiache, matokeo yake inafuta sauti yote kabisa na kubaki zero sound katika kipande hiko. Kwa nini Zama analazika kuchagua futa sountrack? ni kwa sababu anatka kuruhusiwa kuonesha matangazo kwenye video (Monetization ads) ili aendelee kuingiza pesa kupitia video yake, akiwa hajachagua chaguo lolote kama kufuta au kubadilisha soundtrack basi ads ambazo zitaoneshwa kwenye video hiyo mapato yake yatakwenda kwa mmiliki wa soundtrack. Kama ni yote au kwa mgao wa asilimia kadhaa, na zilizobaki atapatiwa Zama ambazo huwa ni ndogo sana. Mmiliki wa soundtrack anawezakuamua ku block video isitazamwe ulimwengu mzima, au nchi kadhaa isiweze kutazamwa, au akaomba youtube waishushe video hiyo kutoka kwenye mtandao (shot down/take down) ambapo ikifutwa na youtube basi unakuwa kama umepigwa kadi ya njano vile (copyright trike). Kadi za njano zikifika 3 basi inakuwa kama umepewa kadi nyekundu na channel kufungiwa UA-cam maisha. Kwa nini wanafikia hatua hii ngumu ya kupewa chaguo mbili tu za kufuta au kubadilisha kile walichotumia na hawakimiliki? Labda hawana uelewa wa kutosha kuhusu UA-cam na maudhui zake zinapaswa ziweje, au bajeti ya production haitoshi kuweza kumiliki kila kitu kama vile wanaweza kutengenezesha soundtracks zao wenyewe binafsi kwa kuwatumia ma composers wa filamu, au waweze kununua soundtracks nzuri wanazozipenda na kupatiwa leseni ya kuzitumia watakapo (permanently), au wavivu wa kutafuta soundtracks nzuri na za bure ambazo unaweza kutumia popote pale kwa masharti madogo sana kama kutoa credit kwa chanzo cha soundtrack hiyo/hizo. Na labda kuna sababu nyingine nyingi tu. Wanawezaje kujing'atua kutoka kwenye hii mitego na kero kwa watazamaji wa maudhui zao nzuri na za kupendeza? Ni wakati sasa tasnia ya filamu ikawa professional katika kutengeneza kazi zake, kama unayo shoot filamu basi unatakiwa pia u-design soundtracks zako binafsi kwa ajili ya tamthilia, movie, filamu au hata kipindi tu chochote kile, composers ndio kazi yake hii. Wazalisha filamu wanatakiwa wawe na bajeti za kutosha ili wajikimu hata kwa kununua soundtracks ambazo zipo tayari kwa matumizi mitandaoni. Pia wanatakiwa wawe waungwana katika kutoa credits kwa chanzo cha maudhui kama soundtrack waliyoitumia pindi watumiapo soundtracks za bure. Tatizo hili la kupotea sauti katikati ya video lipo sana kwenye filamu za kibongo nyingi tu ambazo ziko UA-cam, na si hili igizo la Zamaradi tv pekee. Na mara nyingine sauti ya waigizaji hujrudia, au huenda tofauti na midomo yao( mfano kwenye picha unaona wako ndani wanakula na wanazungumza lakini sauti zao zinazungumzia mambo ya ofisini picha ambayo tayari umeshaiona kwenye dakika za nyuma) huu mpishano, mkaririsho wa sauti (dialogues) au kufutika kabisa na kuwa kimya kiini cha matatizo yote haya ni kama nilivyoeleza hapo juu. Binafsi napenda kuona tasnia ya filamu Tanzania inakuwa na kuwa bora zaidi. Kama unataka kutengeneza tamthilia au igizo kwa ajili ya Digital platforms basi kumbuka kanuni na masharti ya mtandao utakao utumia katika kurusha igizo lako au kipindi chako. Kumbuka ukiwakera watazamaji au mashabiki zako mara kwa mara tena kwa tatizo lile lile basi utawapoteza, na kuyumba kisha kupoteza lengo lako au kutofikia faida uliyoikusudia kupitia hawa watazamaji, maana ujumbe unaishia njiani, na wewe utashindwa kurejesha gharama za uandaaji ambazo ulitegemea zirudi kwa kupitia watazamaji wa mtandaoni (viewers). Hongera kwa ubunifu mzuri wa maudhui lakini jitihada bado inahitajika Zamaradi tv. Ahsanteni. Ni mimi Kham Salim mtanzania anayependa ku share ayajuayo na wengine.
Afu dada wa kazi si mtumwa wa familia but ni msaidizi wa kazi so why afanye every thing around the home HASA nyie mloolewa kumuachia dada ampikie mume ni upuuzi jifunzeni kupitia hapa
UFUMBUZI WA TATIZO LA SAUTI. Mimi kama mmoja wa watengeneza maudhui katika mtandao wa UA-cam napenda kutoa ufafanuzi mdogo kuhusu tatizo na kero ambayo watu wengi watazamaji humu UA-cam wamekuwa wanailalamikia kila kukicha. Mfano kwenye hii tamthilia ya dada wa kazi, kuna baadhi ya muda sauti yote (dialogues na soundtracks) zinaonodoka zote, na kubakia picha tu bila hata chembe ya sauti. Tatizo hili limekuwa sugu na la kujirudia katika tasnia ya filamu hasa za kibongo. Sasa basi kiini cha tatizo ni hiki: filamu wakati inatolewa baada ya kueditiwa inakuwa na sauti zote (dialogues, soundtracks na effect sounds) kwa pmoja zote bila ukakasi wowote ule. Na uki play kwenye kompyuta au device yoyote ile ita play na sauti zote bila tatizo, hata kama igizo lingekuwa linarushwa kwenye tv basi ungesikia sauti zote bila shida. So mpaka hapa hakuna tatizo katika suala la uzalishaji (Production). Lakini sasa igizo hili unapolipandisha UA-cam tu basi tayari linahitaji kukidhi vigezo na masharti ya kuwa ndani ya mtandao huu ili iwezekane kutazamwa bila tatizo lolote lile. Kuna kitu kinaitwa hati miliki (Copyrights), unatakiwa uwe ni mmiliki halali wa maudhui yako (Video,Audio, soundtracks, effect sounds na kadhalika) ndipo UA-cam wairuhusu video yako kutazamwa bila tatizo. Ikitokea humiliki moja ya vitu hivyo, matokeo yake ndio kuna hatua za kisheria zinachukuliwa juu yako kwa video yako hiyo. Kwa mfano wetu ikiwa umetumia soundtrack ambayo huimiliki kwa maana hujatengeneza wewe au haujainunua na kupewa leseni ya kuitumia katika platforms kama UA-cam, basi mmiliki halali wa soundtrack hiyo anatuma malalamiko kwenda UA-cam kuwa kuna kazi yake moja imetumiwa bila ya idhini yake, au youtube wanakutumia email kukujulisha kuna kitu umetumia lakini hauna haki miliki nacho, so hapo wanakupa option 2. Ukitaka uiondoe hiyo soundtrack na ibakiye igizo bila ya sountrack hiyo kwenye muda muwafaka tu kama sekunde 10 au hata dakika moja inategemea na urefu wa kipande ambacho kimetumiwa soundtrack hiyo. So youtube wataiodoa sountrack automatically baada ya wewe kuchagua iondolewe, au ukitaka unaweza kuibadilisha na soundtrack nyingine ya bure kutoka youtube na chaguo hili huwa ni gumu hasa kwa igizo au video zote ndefu. Ndio maana Zama analazimika kuchagua futa soundtrack, sasa wakati wa kufuta youtube haina mfumo imara wa kuchambua sauti ya sountrack na sauti ya maongezi ya waigizaji ili iiache, matokeo yake inafuta sauti yote kabisa na kubaki zero sound katika kipande hiko. Kwa nini Zama analazika kuchagua futa sountrack? ni kwa sababu anatka kuruhusiwa kuonesha matangazo kwenye video (Monetization ads) ili aendelee kuingiza pesa kupitia video yake, akiwa hajachagua chaguo lolote kama kufuta au kubadilisha soundtrack basi ads ambazo zitaoneshwa kwenye video hiyo mapato yake yatakwenda kwa mmiliki wa soundtrack. Kama ni yote au kwa mgao wa asilimia kadhaa, na zilizobaki atapatiwa Zama ambazo huwa ni ndogo sana. Mmiliki wa soundtrack anawezakuamua ku block video isitazamwe ulimwengu mzima, au nchi kadhaa isiweze kutazamwa, au akaomba youtube waishushe video hiyo kutoka kwenye mtandao (shot down/take down) ambapo ikifutwa na youtube basi unakuwa kama umepigwa kadi ya njano vile (copyright trike). Kadi za njano zikifika 3 basi inakuwa kama umepewa kadi nyekundu na channel kufungiwa UA-cam maisha. Kwa nini wanafikia hatua hii ngumu ya kupewa chaguo mbili tu za kufuta au kubadilisha kile walichotumia na hawakimiliki? Labda hawana uelewa wa kutosha kuhusu UA-cam na maudhui zake zinapaswa ziweje, au bajeti ya production haitoshi kuweza kumiliki kila kitu kama vile wanaweza kutengenezesha soundtracks zao wenyewe binafsi kwa kuwatumia ma composers wa filamu, au waweze kununua soundtracks nzuri wanazozipenda na kupatiwa leseni ya kuzitumia watakapo (permanently), au wavivu wa kutafuta soundtracks nzuri na za bure ambazo unaweza kutumia popote pale kwa masharti madogo sana kama kutoa credit kwa chanzo cha soundtrack hiyo/hizo. Na labda kuna sababu nyingine nyingi tu. Wanawezaje kujing'atua kutoka kwenye hii mitego na kero kwa watazamaji wa maudhui zao nzuri na za kupendeza? Ni wakati sasa tasnia ya filamu ikawa professional katika kutengeneza kazi zake, kama unayo shoot filamu basi unatakiwa pia u-design soundtracks zako binafsi kwa ajili ya tamthilia, movie, filamu au hata kipindi tu chochote kile, composers ndio kazi yake hii. Wazalisha filamu wanatakiwa wawe na bajeti za kutosha ili wajikimu hata kwa kununua soundtracks ambazo zipo tayari kwa matumizi mitandaoni. Pia wanatakiwa wawe waungwana katika kutoa credits kwa chanzo cha maudhui kama soundtrack waliyoitumia pindi watumiapo soundtracks za bure. Tatizo hili la kupotea sauti katikati ya video lipo sana kwenye filamu za kibongo nyingi tu ambazo ziko UA-cam, na si hili igizo la Zamaradi tv pekee. Na mara nyingine sauti ya waigizaji hujrudia, au huenda tofauti na midomo yao( mfano kwenye picha unaona wako ndani wanakula na wanazungumza lakini sauti zao zinazungumzia mambo ya ofisini picha ambayo tayari umeshaiona kwenye dakika za nyuma) huu mpishano, mkaririsho wa sauti (dialogues) au kufutika kabisa na kuwa kimya kiini cha matatizo yote haya ni kama nilivyoeleza hapo juu. Binafsi napenda kuona tasnia ya filamu Tanzania inakuwa na kuwa bora zaidi. Kama unataka kutengeneza tamthilia au igizo kwa ajili ya Digital platforms basi kumbuka kanuni na masharti ya mtandao utakao utumia katika kurusha igizo lako au kipindi chako. Kumbuka ukiwakera watazamaji au mashabiki zako mara kwa mara tena kwa tatizo lile lile basi utawapoteza, na kuyumba kisha kupoteza lengo lako au kutofikia faida uliyoikusudia kupitia hawa watazamaji, maana ujumbe unaishia njiani, na wewe utashindwa kurejesha gharama za uandaaji ambazo ulitegemea zirudi kwa kupitia watazamaji wa mtandaoni (viewers). Hongera kwa ubunifu mzuri wa maudhui lakini jitihada bado inahitajika Zamaradi tv. Ahsanteni. Ni mimi Kham Salim mtanzania anayependa ku share ayajuayo na wengine.
Munawaonea bure wa dada wa kazi wewe mwanamk unatokaj chumbani kwako bila kutandika kitanda ? bila kupanga chumba chako? michupi inaenea chumba kizima kwa nn ukitoka hufungi mulango wako ? Ati dada wa kazi wewe mwenyew muchafu atariiii kwa nini dada apikee Mme wako ? Akipika kwa nn usichunguzi kama amepika vizur au la
UFUMBUZI WA TATIZO LA SAUTI. Mimi kama mmoja wa watengeneza maudhui katika mtandao wa UA-cam napenda kutoa ufafanuzi mdogo kuhusu tatizo na kero ambayo watu wengi watazamaji humu UA-cam wamekuwa wanailalamikia kila kukicha. Mfano kwenye hii tamthilia ya dada wa kazi, kuna baadhi ya muda sauti yote (dialogues na soundtracks) zinaonodoka zote, na kubakia picha tu bila hata chembe ya sauti. Tatizo hili limekuwa sugu na la kujirudia katika tasnia ya filamu hasa za kibongo. Sasa basi kiini cha tatizo ni hiki: filamu wakati inatolewa baada ya kueditiwa inakuwa na sauti zote (dialogues, soundtracks na effect sounds) kwa pmoja zote bila ukakasi wowote ule. Na uki play kwenye kompyuta au device yoyote ile ita play na sauti zote bila tatizo, hata kama igizo lingekuwa linarushwa kwenye tv basi ungesikia sauti zote bila shida. So mpaka hapa hakuna tatizo katika suala la uzalishaji (Production). Lakini sasa igizo hili unapolipandisha UA-cam tu basi tayari linahitaji kukidhi vigezo na masharti ya kuwa ndani ya mtandao huu ili iwezekane kutazamwa bila tatizo lolote lile. Kuna kitu kinaitwa hati miliki (Copyrights), unatakiwa uwe ni mmiliki halali wa maudhui yako (Video,Audio, soundtracks, effect sounds na kadhalika) ndipo UA-cam wairuhusu video yako kutazamwa bila tatizo. Ikitokea humiliki moja ya vitu hivyo, matokeo yake ndio kuna hatua za kisheria zinachukuliwa juu yako kwa video yako hiyo. Kwa mfano wetu ikiwa umetumia soundtrack ambayo huimiliki kwa maana hujatengeneza wewe au haujainunua na kupewa leseni ya kuitumia katika platforms kama UA-cam, basi mmiliki halali wa soundtrack hiyo anatuma malalamiko kwenda UA-cam kuwa kuna kazi yake moja imetumiwa bila ya idhini yake, au youtube wanakutumia email kukujulisha kuna kitu umetumia lakini hauna haki miliki nacho, so hapo wanakupa option 2. Ukitaka uiondoe hiyo soundtrack na ibakiye igizo bila ya sountrack hiyo kwenye muda muwafaka tu kama sekunde 10 au hata dakika moja inategemea na urefu wa kipande ambacho kimetumiwa soundtrack hiyo. So youtube wataiodoa sountrack automatically baada ya wewe kuchagua iondolewe, au ukitaka unaweza kuibadilisha na soundtrack nyingine ya bure kutoka youtube na chaguo hili huwa ni gumu hasa kwa igizo au video zote ndefu. Ndio maana Zama analazimika kuchagua futa soundtrack, sasa wakati wa kufuta youtube haina mfumo imara wa kuchambua sauti ya sountrack na sauti ya maongezi ya waigizaji ili iiache, matokeo yake inafuta sauti yote kabisa na kubaki zero sound katika kipande hiko. Kwa nini Zama analazika kuchagua futa sountrack? ni kwa sababu anatka kuruhusiwa kuonesha matangazo kwenye video (Monetization ads) ili aendelee kuingiza pesa kupitia video yake, akiwa hajachagua chaguo lolote kama kufuta au kubadilisha soundtrack basi ads ambazo zitaoneshwa kwenye video hiyo mapato yake yatakwenda kwa mmiliki wa soundtrack. Kama ni yote au kwa mgao wa asilimia kadhaa, na zilizobaki atapatiwa Zama ambazo huwa ni ndogo sana. Mmiliki wa soundtrack anawezakuamua ku block video isitazamwe ulimwengu mzima, au nchi kadhaa isiweze kutazamwa, au akaomba youtube waishushe video hiyo kutoka kwenye mtandao (shot down/take down) ambapo ikifutwa na youtube basi unakuwa kama umepigwa kadi ya njano vile (copyright trike). Kadi za njano zikifika 3 basi inakuwa kama umepewa kadi nyekundu na channel kufungiwa UA-cam maisha. Kwa nini wanafikia hatua hii ngumu ya kupewa chaguo mbili tu za kufuta au kubadilisha kile walichotumia na hawakimiliki? Labda hawana uelewa wa kutosha kuhusu UA-cam na maudhui zake zinapaswa ziweje, au bajeti ya production haitoshi kuweza kumiliki kila kitu kama vile wanaweza kutengenezesha soundtracks zao wenyewe binafsi kwa kuwatumia ma composers wa filamu, au waweze kununua soundtracks nzuri wanazozipenda na kupatiwa leseni ya kuzitumia watakapo (permanently), au wavivu wa kutafuta soundtracks nzuri na za bure ambazo unaweza kutumia popote pale kwa masharti madogo sana kama kutoa credit kwa chanzo cha soundtrack hiyo/hizo. Na labda kuna sababu nyingine nyingi tu. Wanawezaje kujing'atua kutoka kwenye hii mitego na kero kwa watazamaji wa maudhui zao nzuri na za kupendeza? Ni wakati sasa tasnia ya filamu ikawa professional katika kutengeneza kazi zake, kama unayo shoot filamu basi unatakiwa pia u-design soundtracks zako binafsi kwa ajili ya tamthilia, movie, filamu au hata kipindi tu chochote kile, composers ndio kazi yake hii. Wazalisha filamu wanatakiwa wawe na bajeti za kutosha ili wajikimu hata kwa kununua soundtracks ambazo zipo tayari kwa matumizi mitandaoni. Pia wanatakiwa wawe waungwana katika kutoa credits kwa chanzo cha maudhui kama soundtrack waliyoitumia pindi watumiapo soundtracks za bure. Tatizo hili la kupotea sauti katikati ya video lipo sana kwenye filamu za kibongo nyingi tu ambazo ziko UA-cam, na si hili igizo la Zamaradi tv pekee. Na mara nyingine sauti ya waigizaji hujrudia, au huenda tofauti na midomo yao( mfano kwenye picha unaona wako ndani wanakula na wanazungumza lakini sauti zao zinazungumzia mambo ya ofisini picha ambayo tayari umeshaiona kwenye dakika za nyuma) huu mpishano, mkaririsho wa sauti (dialogues) au kufutika kabisa na kuwa kimya kiini cha matatizo yote haya ni kama nilivyoeleza hapo juu. Binafsi napenda kuona tasnia ya filamu Tanzania inakuwa na kuwa bora zaidi. Kama unataka kutengeneza tamthilia au igizo kwa ajili ya Digital platforms basi kumbuka kanuni na masharti ya mtandao utakao utumia katika kurusha igizo lako au kipindi chako. Kumbuka ukiwakera watazamaji au mashabiki zako mara kwa mara tena kwa tatizo lile lile basi utawapoteza, na kuyumba kisha kupoteza lengo lako au kutofikia faida uliyoikusudia kupitia hawa watazamaji, maana ujumbe unaishia njiani, na wewe utashindwa kurejesha gharama za uandaaji ambazo ulitegemea zirudi kwa kupitia watazamaji wa mtandaoni (viewers). Hongera kwa ubunifu mzuri wa maudhui lakini jitihada bado inahitajika Zamaradi tv. Ahsanteni. Ni mimi Kham Salim mtanzania anayependa ku share ayajuayo na wengine.
Yan hii movie imembeba hyo dada wa kazi lakin yeye ndo anafanya uozo mtupu anakimbia kimbia yupo kama chiz na hyo pua yake anavyoikunjakunja kila wakati hadu anaboa
Ikiwa nzuri nitakuwa bega kwa bega hapa kuifatilia hii Episode ya *DADA WA KAZI*
Hahaha unayawez shoga
Nzuri kazi
Uyu dada ni noma kweli
movie nzuri , story nzuri, ila dada wa kazi KAZIDISHA aidha abadilike au ABADILISHWE
🤣🤣🤣
Dada wa kazi kuigiza hapana..kutetemeka gn uko unajua kabisa anaigiza!
Kazidisha masifa🤣
Nzuri
Hahahahaaaaaa huyu Dada noma na make nae bado hujapata kabisa
mashaailaah ongereni
Ongereni sana
Sasa ukiwa dada wakazi ndio ujifnge mavitenge hvyo 😂😂😂
Nzuri sana👍👍👍👍
Story nzuri Ila waigizaji hasa uyu dada wa kazi ajui kwakweli
Aida Ndelwa Nakushauri angalia episode ya pili utayameza maneno yako, aliwekwa aigize hivyo kusudi ukiangalia episode ya pili ya tatu na ya nne utaelewa Dear
Leo nmekuwa top 10 😛 naomben like zenu wapenzi😌
Hata kama una bint wa kaz vzr mmeo umpikie
Jaklini Faustini ua-cam.com/video/-e90N1kx0UI/v-deo.html
Jaklini Faustini m enyewe ndo nashangaa baba ndo mkosoaj wa chakula, mama kalala chumban duuuh🙄🙄🙄🙄
Dada wa kazi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Dada Wa Kazi Kama huyu anakondesha.
Sio muigizaji mzuri japo nimewahi kipindi cha nyuma but baadhi ya makosa ya uhusika nayaona (Dada Wa kazi hajabeba uhusika Wa ushamba bali amebeba uhusika Wa ushizi)
Dada wakaz hawez.kuvaa uhusika lakin ni nzur ila Dada wakaz hapana kwakwel
hongera dada wakazi
Duuuu htr🤣🤣dada w kazi
Sautiiii haisikii lkn nzuri
UFUMBUZI WA TATIZO LA SAUTI.
Mimi kama mmoja wa watengeneza maudhui katika mtandao wa UA-cam napenda kutoa ufafanuzi mdogo kuhusu tatizo na kero ambayo watu wengi watazamaji humu UA-cam wamekuwa wanailalamikia kila kukicha. Mfano kwenye hii tamthilia ya dada wa kazi, kuna baadhi ya muda sauti yote (dialogues na soundtracks) zinaonodoka zote, na kubakia picha tu bila hata chembe ya sauti.
Tatizo hili limekuwa sugu na la kujirudia katika tasnia ya filamu hasa za kibongo. Sasa basi kiini cha tatizo ni hiki: filamu wakati inatolewa baada ya kueditiwa inakuwa na sauti zote (dialogues, soundtracks na effect sounds) kwa pmoja zote bila ukakasi wowote ule. Na uki play kwenye kompyuta au device yoyote ile ita play na sauti zote bila tatizo, hata kama igizo lingekuwa linarushwa kwenye tv basi ungesikia sauti zote bila shida.
So mpaka hapa hakuna tatizo katika suala la uzalishaji (Production). Lakini sasa igizo hili unapolipandisha UA-cam tu basi tayari linahitaji kukidhi vigezo na masharti ya kuwa ndani ya mtandao huu ili iwezekane kutazamwa bila tatizo lolote lile.
Kuna kitu kinaitwa hati miliki (Copyrights), unatakiwa uwe ni mmiliki halali wa maudhui yako (Video,Audio, soundtracks, effect sounds na kadhalika) ndipo UA-cam wairuhusu video yako kutazamwa bila tatizo. Ikitokea humiliki moja ya vitu hivyo, matokeo yake ndio kuna hatua za kisheria zinachukuliwa juu yako kwa video yako hiyo. Kwa mfano wetu ikiwa umetumia soundtrack ambayo huimiliki kwa maana hujatengeneza wewe au haujainunua na kupewa leseni ya kuitumia katika platforms kama UA-cam, basi mmiliki halali wa soundtrack hiyo anatuma malalamiko kwenda UA-cam kuwa kuna kazi yake moja imetumiwa bila ya idhini yake, au youtube wanakutumia email kukujulisha kuna kitu umetumia lakini hauna haki miliki nacho, so hapo wanakupa option 2. Ukitaka uiondoe hiyo soundtrack na ibakiye igizo bila ya sountrack hiyo kwenye muda muwafaka tu kama sekunde 10 au hata dakika moja inategemea na urefu wa kipande ambacho kimetumiwa soundtrack hiyo. So youtube wataiodoa sountrack automatically baada ya wewe kuchagua iondolewe, au ukitaka unaweza kuibadilisha na soundtrack nyingine ya bure kutoka youtube na chaguo hili huwa ni gumu hasa kwa igizo au video zote ndefu.
Ndio maana Zama analazimika kuchagua futa soundtrack, sasa wakati wa kufuta youtube haina mfumo imara wa kuchambua sauti ya sountrack na sauti ya maongezi ya waigizaji ili iiache, matokeo yake inafuta sauti yote kabisa na kubaki zero sound katika kipande hiko.
Kwa nini Zama analazika kuchagua futa sountrack? ni kwa sababu anatka kuruhusiwa kuonesha matangazo kwenye video (Monetization ads) ili aendelee kuingiza pesa kupitia video yake, akiwa hajachagua chaguo lolote kama kufuta au kubadilisha soundtrack basi ads ambazo zitaoneshwa kwenye video hiyo mapato yake yatakwenda kwa mmiliki wa soundtrack. Kama ni yote au kwa mgao wa asilimia kadhaa, na zilizobaki atapatiwa Zama ambazo huwa ni ndogo sana. Mmiliki wa soundtrack anawezakuamua ku block video isitazamwe ulimwengu mzima, au nchi kadhaa isiweze kutazamwa, au akaomba youtube waishushe video hiyo kutoka kwenye mtandao (shot down/take down) ambapo ikifutwa na youtube basi unakuwa kama umepigwa kadi ya njano vile (copyright trike). Kadi za njano zikifika 3 basi inakuwa kama umepewa kadi nyekundu na channel kufungiwa UA-cam maisha.
Kwa nini wanafikia hatua hii ngumu ya kupewa chaguo mbili tu za kufuta au kubadilisha kile walichotumia na hawakimiliki?
Labda hawana uelewa wa kutosha kuhusu UA-cam na maudhui zake zinapaswa ziweje, au bajeti ya production haitoshi kuweza kumiliki kila kitu kama vile wanaweza kutengenezesha soundtracks zao wenyewe binafsi kwa kuwatumia ma composers wa filamu, au waweze kununua soundtracks nzuri wanazozipenda na kupatiwa leseni ya kuzitumia watakapo (permanently), au wavivu wa kutafuta soundtracks nzuri na za bure ambazo unaweza kutumia popote pale kwa masharti madogo sana kama kutoa credit kwa chanzo cha soundtrack hiyo/hizo. Na labda kuna sababu nyingine nyingi tu.
Wanawezaje kujing'atua kutoka kwenye hii mitego na kero kwa watazamaji wa maudhui zao nzuri na za kupendeza?
Ni wakati sasa tasnia ya filamu ikawa professional katika kutengeneza kazi zake, kama unayo shoot filamu basi unatakiwa pia u-design soundtracks zako binafsi kwa ajili ya tamthilia, movie, filamu au hata kipindi tu chochote kile, composers ndio kazi yake hii. Wazalisha filamu wanatakiwa wawe na bajeti za kutosha ili wajikimu hata kwa kununua soundtracks ambazo zipo tayari kwa matumizi mitandaoni. Pia wanatakiwa wawe waungwana katika kutoa credits kwa chanzo cha maudhui kama soundtrack waliyoitumia pindi watumiapo soundtracks za bure.
Tatizo hili la kupotea sauti katikati ya video lipo sana kwenye filamu za kibongo nyingi tu ambazo ziko UA-cam, na si hili igizo la Zamaradi tv pekee. Na mara nyingine sauti ya waigizaji hujrudia, au huenda tofauti na midomo yao( mfano kwenye picha unaona wako ndani wanakula na wanazungumza lakini sauti zao zinazungumzia mambo ya ofisini picha ambayo tayari umeshaiona kwenye dakika za nyuma) huu mpishano, mkaririsho wa sauti (dialogues) au kufutika kabisa na kuwa kimya kiini cha matatizo yote haya ni kama nilivyoeleza hapo juu.
Binafsi napenda kuona tasnia ya filamu Tanzania inakuwa na kuwa bora zaidi. Kama unataka kutengeneza tamthilia au igizo kwa ajili ya Digital platforms basi kumbuka kanuni na masharti ya mtandao utakao utumia katika kurusha igizo lako au kipindi chako. Kumbuka ukiwakera watazamaji au mashabiki zako mara kwa mara tena kwa tatizo lile lile basi utawapoteza, na kuyumba kisha kupoteza lengo lako au kutofikia faida uliyoikusudia kupitia hawa watazamaji, maana ujumbe unaishia njiani, na wewe utashindwa kurejesha gharama za uandaaji ambazo ulitegemea zirudi kwa kupitia watazamaji wa mtandaoni (viewers).
Hongera kwa ubunifu mzuri wa maudhui lakini jitihada bado inahitajika Zamaradi tv. Ahsanteni. Ni mimi Kham Salim mtanzania anayependa ku share ayajuayo na wengine.
dada wa kazi nimetokea kukupenda ayiiiii
Nimeipenda sana ili igizo
Sauti haiko sawa jamnii
Kazi nzuri nimependa Mwenyezi awatie maarifa zaidi katika kazi zenu na awape afya jema mzidi kutuelimisha. Ahsante.. 🌹🙏
Nice
Ipo good sana
Nzuri Sana nilitamani iendelee
Jackson Washington katisha sanaaaa hahahaha security na huyo dada wa kazi hahaha
,😂🤣🤣🤣🤣 anafumua nywele uku anapika uyu mwehuuu
Nice movie
Dada wa kazi❤❤❤❤👍👍🇧🇮
Mbona hamjatoa EP 7 move kali sana
Dada wa wakzi anaharibu movie
Jaman nipen like zang Kam kin Dada was Kaz Kam huy
Nice sana
Kazi nzuri mamaangu zamaradi
hawa police Mbona atujawaona Tena hahahahahh wamkoroge uyo dada wa kazi 😂 Kaz nzuri sana zama
nimeipendaaa
Hii kali kabisa hata mimi wa kwangu alikua na tabia hiyo nikitoka anavaa nguo zote mwanangu ndo anampiga picha
Yani hawa mabint kuna wengine ni pasua kichwa
😂😂😂😂jamani
Nzuri sana
Nafatiliaaa
Dada wa Kazi kweli kichomi🤣🤣
Km umesikia ivyo alivyosema mama mjengo Ebu 🤣🤣
Aaaaaa zama jaman kigoma tena
Uko boba Sana asateni
Ikopoa
Huyu mfanyakazi duuuh 😂😂😂😂😂
Daniel Gray ua-cam.com/video/-e90N1kx0UI/v-deo.html
Dakika chache xana Dada zamarad
Dada wa kazi badilisha mfumo wa uogopaji
Good job
Huyu msichana wakazi ana jichetua Sana adi anaboa
Kweli mi ananiboa had ana haribu tena
Hata kama niwe busy kiasi gani lazima mume wangu nimuandalie chakula ale chakula changu
mama anafanana na dada wakazi
Nzuri sn
Kz nzur twasubir muendelezo
Duuu😅😅
Next episode lini jmn. big up
Huyo dada wa kazi kama tahira tu......anazidisha mpk anaharibu sasa...mbadilisheni asee....na we mama mzma unaondoka hutatindiki kitanda unaacha chumba km kimepigwa bomu...kazi ipo 😂
💓💓💓
Mama mwenye nyumba nae mvivu pia lol
Kabisaaaa yani anashidwa hata kumpikia mume wake chakul kizur
Sauti iko chini sanaaa duh
dada wa kaz anazingua hajavaa uhusika yaan inshort uigizaji wake ni mbovuuu
Much appreciation kwa hii kazi ni umeme🔥🔥🔥🔥 plus mdada wa kazi💪💪💪💪
ua-cam.com/video/-e90N1kx0UI/v-deo.html
Huyo boss alianza kwa kichekaa kabla ya kamela kulolii
Nzuri, ila dada amezidisha uoga
Sauti haiko poa
UFUMBUZI WA TATIZO LA SAUTI.
Mimi kama mmoja wa watengeneza maudhui katika mtandao wa UA-cam napenda kutoa ufafanuzi mdogo kuhusu tatizo na kero ambayo watu wengi watazamaji humu UA-cam wamekuwa wanailalamikia kila kukicha. Mfano kwenye hii tamthilia ya dada wa kazi, kuna baadhi ya muda sauti yote (dialogues na soundtracks) zinaonodoka zote, na kubakia picha tu bila hata chembe ya sauti.
Tatizo hili limekuwa sugu na la kujirudia katika tasnia ya filamu hasa za kibongo. Sasa basi kiini cha tatizo ni hiki: filamu wakati inatolewa baada ya kueditiwa inakuwa na sauti zote (dialogues, soundtracks na effect sounds) kwa pmoja zote bila ukakasi wowote ule. Na uki play kwenye kompyuta au device yoyote ile ita play na sauti zote bila tatizo, hata kama igizo lingekuwa linarushwa kwenye tv basi ungesikia sauti zote bila shida.
So mpaka hapa hakuna tatizo katika suala la uzalishaji (Production). Lakini sasa igizo hili unapolipandisha UA-cam tu basi tayari linahitaji kukidhi vigezo na masharti ya kuwa ndani ya mtandao huu ili iwezekane kutazamwa bila tatizo lolote lile.
Kuna kitu kinaitwa hati miliki (Copyrights), unatakiwa uwe ni mmiliki halali wa maudhui yako (Video,Audio, soundtracks, effect sounds na kadhalika) ndipo UA-cam wairuhusu video yako kutazamwa bila tatizo. Ikitokea humiliki moja ya vitu hivyo, matokeo yake ndio kuna hatua za kisheria zinachukuliwa juu yako kwa video yako hiyo. Kwa mfano wetu ikiwa umetumia soundtrack ambayo huimiliki kwa maana hujatengeneza wewe au haujainunua na kupewa leseni ya kuitumia katika platforms kama UA-cam, basi mmiliki halali wa soundtrack hiyo anatuma malalamiko kwenda UA-cam kuwa kuna kazi yake moja imetumiwa bila ya idhini yake, au youtube wanakutumia email kukujulisha kuna kitu umetumia lakini hauna haki miliki nacho, so hapo wanakupa option 2. Ukitaka uiondoe hiyo soundtrack na ibakiye igizo bila ya sountrack hiyo kwenye muda muwafaka tu kama sekunde 10 au hata dakika moja inategemea na urefu wa kipande ambacho kimetumiwa soundtrack hiyo. So youtube wataiodoa sountrack automatically baada ya wewe kuchagua iondolewe, au ukitaka unaweza kuibadilisha na soundtrack nyingine ya bure kutoka youtube na chaguo hili huwa ni gumu hasa kwa igizo au video zote ndefu.
Ndio maana Zama analazimika kuchagua futa soundtrack, sasa wakati wa kufuta youtube haina mfumo imara wa kuchambua sauti ya sountrack na sauti ya maongezi ya waigizaji ili iiache, matokeo yake inafuta sauti yote kabisa na kubaki zero sound katika kipande hiko.
Kwa nini Zama analazika kuchagua futa sountrack? ni kwa sababu anatka kuruhusiwa kuonesha matangazo kwenye video (Monetization ads) ili aendelee kuingiza pesa kupitia video yake, akiwa hajachagua chaguo lolote kama kufuta au kubadilisha soundtrack basi ads ambazo zitaoneshwa kwenye video hiyo mapato yake yatakwenda kwa mmiliki wa soundtrack. Kama ni yote au kwa mgao wa asilimia kadhaa, na zilizobaki atapatiwa Zama ambazo huwa ni ndogo sana. Mmiliki wa soundtrack anawezakuamua ku block video isitazamwe ulimwengu mzima, au nchi kadhaa isiweze kutazamwa, au akaomba youtube waishushe video hiyo kutoka kwenye mtandao (shot down/take down) ambapo ikifutwa na youtube basi unakuwa kama umepigwa kadi ya njano vile (copyright trike). Kadi za njano zikifika 3 basi inakuwa kama umepewa kadi nyekundu na channel kufungiwa UA-cam maisha.
Kwa nini wanafikia hatua hii ngumu ya kupewa chaguo mbili tu za kufuta au kubadilisha kile walichotumia na hawakimiliki?
Labda hawana uelewa wa kutosha kuhusu UA-cam na maudhui zake zinapaswa ziweje, au bajeti ya production haitoshi kuweza kumiliki kila kitu kama vile wanaweza kutengenezesha soundtracks zao wenyewe binafsi kwa kuwatumia ma composers wa filamu, au waweze kununua soundtracks nzuri wanazozipenda na kupatiwa leseni ya kuzitumia watakapo (permanently), au wavivu wa kutafuta soundtracks nzuri na za bure ambazo unaweza kutumia popote pale kwa masharti madogo sana kama kutoa credit kwa chanzo cha soundtrack hiyo/hizo. Na labda kuna sababu nyingine nyingi tu.
Wanawezaje kujing'atua kutoka kwenye hii mitego na kero kwa watazamaji wa maudhui zao nzuri na za kupendeza?
Ni wakati sasa tasnia ya filamu ikawa professional katika kutengeneza kazi zake, kama unayo shoot filamu basi unatakiwa pia u-design soundtracks zako binafsi kwa ajili ya tamthilia, movie, filamu au hata kipindi tu chochote kile, composers ndio kazi yake hii. Wazalisha filamu wanatakiwa wawe na bajeti za kutosha ili wajikimu hata kwa kununua soundtracks ambazo zipo tayari kwa matumizi mitandaoni. Pia wanatakiwa wawe waungwana katika kutoa credits kwa chanzo cha maudhui kama soundtrack waliyoitumia pindi watumiapo soundtracks za bure.
Tatizo hili la kupotea sauti katikati ya video lipo sana kwenye filamu za kibongo nyingi tu ambazo ziko UA-cam, na si hili igizo la Zamaradi tv pekee. Na mara nyingine sauti ya waigizaji hujrudia, au huenda tofauti na midomo yao( mfano kwenye picha unaona wako ndani wanakula na wanazungumza lakini sauti zao zinazungumzia mambo ya ofisini picha ambayo tayari umeshaiona kwenye dakika za nyuma) huu mpishano, mkaririsho wa sauti (dialogues) au kufutika kabisa na kuwa kimya kiini cha matatizo yote haya ni kama nilivyoeleza hapo juu.
Binafsi napenda kuona tasnia ya filamu Tanzania inakuwa na kuwa bora zaidi. Kama unataka kutengeneza tamthilia au igizo kwa ajili ya Digital platforms basi kumbuka kanuni na masharti ya mtandao utakao utumia katika kurusha igizo lako au kipindi chako. Kumbuka ukiwakera watazamaji au mashabiki zako mara kwa mara tena kwa tatizo lile lile basi utawapoteza, na kuyumba kisha kupoteza lengo lako au kutofikia faida uliyoikusudia kupitia hawa watazamaji, maana ujumbe unaishia njiani, na wewe utashindwa kurejesha gharama za uandaaji ambazo ulitegemea zirudi kwa kupitia watazamaji wa mtandaoni (viewers).
Hongera kwa ubunifu mzuri wa maudhui lakini jitihada bado inahitajika Zamaradi tv. Ahsanteni. Ni mimi Kham Salim mtanzania anayependa ku share ayajuayo na wengine.
Movie nzur nanilivoona zamaradi nikajua ni hatar ila huyu dada wa kaz anaharibu movie yote hayuko serious
Kwa kawaida ukileta dada wa Kaz ni vizur kumuonesha utaratib wa nyumba yako ili hata makosa yakitokea ni madogo madogo,sasa huyu 🙄ni kiboko
Nasubiri epsod inayofuata💃
😂😂😂atari 🔥🔥
🤣🤣🤣majangaa haya.ntafuatilia kwa umakin
Kingeleza cha baba mwenye nyumba 😹🌚
Kumbe na wewe kimekuboa kama mie
Kina bowaa
Dada wa kazi km fala vile
So kwa lemba ilo😂😂😂
😄😄😄😄😄😁😁😁Utarudi tuu kigoma mdogoangu usjali piga kaziii😀😀😀
Humwazomzur sijumbeleni
Mbonasautinazakukata
Mbona akuna sauti
@@elizabethjohn376 Iko sauti
😂😂😂uyu mdada wa kazi m taban
The movie is so okay but shida kwa dada wa kazi ana over react mpaka anatoa uhalisia wenyew☺️
haswaaa kazidisha kuact jamn
tutaza kufataria hapa inshallah iwe nzur tu
Ashira Ally kwa Mapishi matamu pitia channel yangu ujifunze ua-cam.com/video/dJAHK3vpHa0/v-deo.html
Afu dada wa kazi si mtumwa wa familia but ni msaidizi wa kazi so why afanye every thing around the home HASA nyie mloolewa kumuachia dada ampikie mume ni upuuzi jifunzeni kupitia hapa
Umeonaa eee mpaka suruwali za ndani
Nikweli kabisa mm kwangu dada wakazi hajui kumpikia mmewangu aisee maana walakumpikia mmewangu maana hawahaminiki hawawadada
Hata kufua walakusafisha chumbani kwangu hatakumuandalia chakula Mezan mmewangu boranifanye mwenyewe
@@hannahsanga5647 hongera kwa kulitambua hilo coz ndo sifa ya wife material
Da zama napenda kukfuatilia lakini unakwama kwenye sauti jamani duhhh🙄kma siku unamuhoji haji manara aki nilisitisha kuangalia
UFUMBUZI WA TATIZO LA SAUTI.
Mimi kama mmoja wa watengeneza maudhui katika mtandao wa UA-cam napenda kutoa ufafanuzi mdogo kuhusu tatizo na kero ambayo watu wengi watazamaji humu UA-cam wamekuwa wanailalamikia kila kukicha. Mfano kwenye hii tamthilia ya dada wa kazi, kuna baadhi ya muda sauti yote (dialogues na soundtracks) zinaonodoka zote, na kubakia picha tu bila hata chembe ya sauti.
Tatizo hili limekuwa sugu na la kujirudia katika tasnia ya filamu hasa za kibongo. Sasa basi kiini cha tatizo ni hiki: filamu wakati inatolewa baada ya kueditiwa inakuwa na sauti zote (dialogues, soundtracks na effect sounds) kwa pmoja zote bila ukakasi wowote ule. Na uki play kwenye kompyuta au device yoyote ile ita play na sauti zote bila tatizo, hata kama igizo lingekuwa linarushwa kwenye tv basi ungesikia sauti zote bila shida.
So mpaka hapa hakuna tatizo katika suala la uzalishaji (Production). Lakini sasa igizo hili unapolipandisha UA-cam tu basi tayari linahitaji kukidhi vigezo na masharti ya kuwa ndani ya mtandao huu ili iwezekane kutazamwa bila tatizo lolote lile.
Kuna kitu kinaitwa hati miliki (Copyrights), unatakiwa uwe ni mmiliki halali wa maudhui yako (Video,Audio, soundtracks, effect sounds na kadhalika) ndipo UA-cam wairuhusu video yako kutazamwa bila tatizo. Ikitokea humiliki moja ya vitu hivyo, matokeo yake ndio kuna hatua za kisheria zinachukuliwa juu yako kwa video yako hiyo. Kwa mfano wetu ikiwa umetumia soundtrack ambayo huimiliki kwa maana hujatengeneza wewe au haujainunua na kupewa leseni ya kuitumia katika platforms kama UA-cam, basi mmiliki halali wa soundtrack hiyo anatuma malalamiko kwenda UA-cam kuwa kuna kazi yake moja imetumiwa bila ya idhini yake, au youtube wanakutumia email kukujulisha kuna kitu umetumia lakini hauna haki miliki nacho, so hapo wanakupa option 2. Ukitaka uiondoe hiyo soundtrack na ibakiye igizo bila ya sountrack hiyo kwenye muda muwafaka tu kama sekunde 10 au hata dakika moja inategemea na urefu wa kipande ambacho kimetumiwa soundtrack hiyo. So youtube wataiodoa sountrack automatically baada ya wewe kuchagua iondolewe, au ukitaka unaweza kuibadilisha na soundtrack nyingine ya bure kutoka youtube na chaguo hili huwa ni gumu hasa kwa igizo au video zote ndefu.
Ndio maana Zama analazimika kuchagua futa soundtrack, sasa wakati wa kufuta youtube haina mfumo imara wa kuchambua sauti ya sountrack na sauti ya maongezi ya waigizaji ili iiache, matokeo yake inafuta sauti yote kabisa na kubaki zero sound katika kipande hiko.
Kwa nini Zama analazika kuchagua futa sountrack? ni kwa sababu anatka kuruhusiwa kuonesha matangazo kwenye video (Monetization ads) ili aendelee kuingiza pesa kupitia video yake, akiwa hajachagua chaguo lolote kama kufuta au kubadilisha soundtrack basi ads ambazo zitaoneshwa kwenye video hiyo mapato yake yatakwenda kwa mmiliki wa soundtrack. Kama ni yote au kwa mgao wa asilimia kadhaa, na zilizobaki atapatiwa Zama ambazo huwa ni ndogo sana. Mmiliki wa soundtrack anawezakuamua ku block video isitazamwe ulimwengu mzima, au nchi kadhaa isiweze kutazamwa, au akaomba youtube waishushe video hiyo kutoka kwenye mtandao (shot down/take down) ambapo ikifutwa na youtube basi unakuwa kama umepigwa kadi ya njano vile (copyright trike). Kadi za njano zikifika 3 basi inakuwa kama umepewa kadi nyekundu na channel kufungiwa UA-cam maisha.
Kwa nini wanafikia hatua hii ngumu ya kupewa chaguo mbili tu za kufuta au kubadilisha kile walichotumia na hawakimiliki?
Labda hawana uelewa wa kutosha kuhusu UA-cam na maudhui zake zinapaswa ziweje, au bajeti ya production haitoshi kuweza kumiliki kila kitu kama vile wanaweza kutengenezesha soundtracks zao wenyewe binafsi kwa kuwatumia ma composers wa filamu, au waweze kununua soundtracks nzuri wanazozipenda na kupatiwa leseni ya kuzitumia watakapo (permanently), au wavivu wa kutafuta soundtracks nzuri na za bure ambazo unaweza kutumia popote pale kwa masharti madogo sana kama kutoa credit kwa chanzo cha soundtrack hiyo/hizo. Na labda kuna sababu nyingine nyingi tu.
Wanawezaje kujing'atua kutoka kwenye hii mitego na kero kwa watazamaji wa maudhui zao nzuri na za kupendeza?
Ni wakati sasa tasnia ya filamu ikawa professional katika kutengeneza kazi zake, kama unayo shoot filamu basi unatakiwa pia u-design soundtracks zako binafsi kwa ajili ya tamthilia, movie, filamu au hata kipindi tu chochote kile, composers ndio kazi yake hii. Wazalisha filamu wanatakiwa wawe na bajeti za kutosha ili wajikimu hata kwa kununua soundtracks ambazo zipo tayari kwa matumizi mitandaoni. Pia wanatakiwa wawe waungwana katika kutoa credits kwa chanzo cha maudhui kama soundtrack waliyoitumia pindi watumiapo soundtracks za bure.
Tatizo hili la kupotea sauti katikati ya video lipo sana kwenye filamu za kibongo nyingi tu ambazo ziko UA-cam, na si hili igizo la Zamaradi tv pekee. Na mara nyingine sauti ya waigizaji hujrudia, au huenda tofauti na midomo yao( mfano kwenye picha unaona wako ndani wanakula na wanazungumza lakini sauti zao zinazungumzia mambo ya ofisini picha ambayo tayari umeshaiona kwenye dakika za nyuma) huu mpishano, mkaririsho wa sauti (dialogues) au kufutika kabisa na kuwa kimya kiini cha matatizo yote haya ni kama nilivyoeleza hapo juu.
Binafsi napenda kuona tasnia ya filamu Tanzania inakuwa na kuwa bora zaidi. Kama unataka kutengeneza tamthilia au igizo kwa ajili ya Digital platforms basi kumbuka kanuni na masharti ya mtandao utakao utumia katika kurusha igizo lako au kipindi chako. Kumbuka ukiwakera watazamaji au mashabiki zako mara kwa mara tena kwa tatizo lile lile basi utawapoteza, na kuyumba kisha kupoteza lengo lako au kutofikia faida uliyoikusudia kupitia hawa watazamaji, maana ujumbe unaishia njiani, na wewe utashindwa kurejesha gharama za uandaaji ambazo ulitegemea zirudi kwa kupitia watazamaji wa mtandaoni (viewers).
Hongera kwa ubunifu mzuri wa maudhui lakini jitihada bado inahitajika Zamaradi tv. Ahsanteni. Ni mimi Kham Salim mtanzania anayependa ku share ayajuayo na wengine.
MUVI NZULI SEMA SAUTI IPO CHINI SANA
Dada wa kaz hayupo serious uson kama anataka kuchekaa
Nimekimbilia uku kumbe watu washawai😂😂
Tatizo ni sauti tu
Munawaonea bure wa dada wa kazi wewe mwanamk unatokaj chumbani kwako bila kutandika kitanda ? bila kupanga chumba chako? michupi inaenea chumba kizima kwa nn ukitoka hufungi mulango wako ? Ati dada wa kazi wewe mwenyew muchafu atariiii kwa nini dada apikee Mme wako ? Akipika kwa nn usichunguzi kama amepika vizur au la
Gg
Nasubir muendelezo😋😋😋
Mina Mkwizu ua-cam.com/video/-e90N1kx0UI/v-deo.html
Hahahahahahahahahahahahhahhahhh
Jamani mmeipost na mkijua Kuna sehemu hazina sauti au namiss kitu?????
Kweli kuna kipande hakina sauti
UFUMBUZI WA TATIZO LA SAUTI.
Mimi kama mmoja wa watengeneza maudhui katika mtandao wa UA-cam napenda kutoa ufafanuzi mdogo kuhusu tatizo na kero ambayo watu wengi watazamaji humu UA-cam wamekuwa wanailalamikia kila kukicha. Mfano kwenye hii tamthilia ya dada wa kazi, kuna baadhi ya muda sauti yote (dialogues na soundtracks) zinaonodoka zote, na kubakia picha tu bila hata chembe ya sauti.
Tatizo hili limekuwa sugu na la kujirudia katika tasnia ya filamu hasa za kibongo. Sasa basi kiini cha tatizo ni hiki: filamu wakati inatolewa baada ya kueditiwa inakuwa na sauti zote (dialogues, soundtracks na effect sounds) kwa pmoja zote bila ukakasi wowote ule. Na uki play kwenye kompyuta au device yoyote ile ita play na sauti zote bila tatizo, hata kama igizo lingekuwa linarushwa kwenye tv basi ungesikia sauti zote bila shida.
So mpaka hapa hakuna tatizo katika suala la uzalishaji (Production). Lakini sasa igizo hili unapolipandisha UA-cam tu basi tayari linahitaji kukidhi vigezo na masharti ya kuwa ndani ya mtandao huu ili iwezekane kutazamwa bila tatizo lolote lile.
Kuna kitu kinaitwa hati miliki (Copyrights), unatakiwa uwe ni mmiliki halali wa maudhui yako (Video,Audio, soundtracks, effect sounds na kadhalika) ndipo UA-cam wairuhusu video yako kutazamwa bila tatizo. Ikitokea humiliki moja ya vitu hivyo, matokeo yake ndio kuna hatua za kisheria zinachukuliwa juu yako kwa video yako hiyo. Kwa mfano wetu ikiwa umetumia soundtrack ambayo huimiliki kwa maana hujatengeneza wewe au haujainunua na kupewa leseni ya kuitumia katika platforms kama UA-cam, basi mmiliki halali wa soundtrack hiyo anatuma malalamiko kwenda UA-cam kuwa kuna kazi yake moja imetumiwa bila ya idhini yake, au youtube wanakutumia email kukujulisha kuna kitu umetumia lakini hauna haki miliki nacho, so hapo wanakupa option 2. Ukitaka uiondoe hiyo soundtrack na ibakiye igizo bila ya sountrack hiyo kwenye muda muwafaka tu kama sekunde 10 au hata dakika moja inategemea na urefu wa kipande ambacho kimetumiwa soundtrack hiyo. So youtube wataiodoa sountrack automatically baada ya wewe kuchagua iondolewe, au ukitaka unaweza kuibadilisha na soundtrack nyingine ya bure kutoka youtube na chaguo hili huwa ni gumu hasa kwa igizo au video zote ndefu.
Ndio maana Zama analazimika kuchagua futa soundtrack, sasa wakati wa kufuta youtube haina mfumo imara wa kuchambua sauti ya sountrack na sauti ya maongezi ya waigizaji ili iiache, matokeo yake inafuta sauti yote kabisa na kubaki zero sound katika kipande hiko.
Kwa nini Zama analazika kuchagua futa sountrack? ni kwa sababu anatka kuruhusiwa kuonesha matangazo kwenye video (Monetization ads) ili aendelee kuingiza pesa kupitia video yake, akiwa hajachagua chaguo lolote kama kufuta au kubadilisha soundtrack basi ads ambazo zitaoneshwa kwenye video hiyo mapato yake yatakwenda kwa mmiliki wa soundtrack. Kama ni yote au kwa mgao wa asilimia kadhaa, na zilizobaki atapatiwa Zama ambazo huwa ni ndogo sana. Mmiliki wa soundtrack anawezakuamua ku block video isitazamwe ulimwengu mzima, au nchi kadhaa isiweze kutazamwa, au akaomba youtube waishushe video hiyo kutoka kwenye mtandao (shot down/take down) ambapo ikifutwa na youtube basi unakuwa kama umepigwa kadi ya njano vile (copyright trike). Kadi za njano zikifika 3 basi inakuwa kama umepewa kadi nyekundu na channel kufungiwa UA-cam maisha.
Kwa nini wanafikia hatua hii ngumu ya kupewa chaguo mbili tu za kufuta au kubadilisha kile walichotumia na hawakimiliki?
Labda hawana uelewa wa kutosha kuhusu UA-cam na maudhui zake zinapaswa ziweje, au bajeti ya production haitoshi kuweza kumiliki kila kitu kama vile wanaweza kutengenezesha soundtracks zao wenyewe binafsi kwa kuwatumia ma composers wa filamu, au waweze kununua soundtracks nzuri wanazozipenda na kupatiwa leseni ya kuzitumia watakapo (permanently), au wavivu wa kutafuta soundtracks nzuri na za bure ambazo unaweza kutumia popote pale kwa masharti madogo sana kama kutoa credit kwa chanzo cha soundtrack hiyo/hizo. Na labda kuna sababu nyingine nyingi tu.
Wanawezaje kujing'atua kutoka kwenye hii mitego na kero kwa watazamaji wa maudhui zao nzuri na za kupendeza?
Ni wakati sasa tasnia ya filamu ikawa professional katika kutengeneza kazi zake, kama unayo shoot filamu basi unatakiwa pia u-design soundtracks zako binafsi kwa ajili ya tamthilia, movie, filamu au hata kipindi tu chochote kile, composers ndio kazi yake hii. Wazalisha filamu wanatakiwa wawe na bajeti za kutosha ili wajikimu hata kwa kununua soundtracks ambazo zipo tayari kwa matumizi mitandaoni. Pia wanatakiwa wawe waungwana katika kutoa credits kwa chanzo cha maudhui kama soundtrack waliyoitumia pindi watumiapo soundtracks za bure.
Tatizo hili la kupotea sauti katikati ya video lipo sana kwenye filamu za kibongo nyingi tu ambazo ziko UA-cam, na si hili igizo la Zamaradi tv pekee. Na mara nyingine sauti ya waigizaji hujrudia, au huenda tofauti na midomo yao( mfano kwenye picha unaona wako ndani wanakula na wanazungumza lakini sauti zao zinazungumzia mambo ya ofisini picha ambayo tayari umeshaiona kwenye dakika za nyuma) huu mpishano, mkaririsho wa sauti (dialogues) au kufutika kabisa na kuwa kimya kiini cha matatizo yote haya ni kama nilivyoeleza hapo juu.
Binafsi napenda kuona tasnia ya filamu Tanzania inakuwa na kuwa bora zaidi. Kama unataka kutengeneza tamthilia au igizo kwa ajili ya Digital platforms basi kumbuka kanuni na masharti ya mtandao utakao utumia katika kurusha igizo lako au kipindi chako. Kumbuka ukiwakera watazamaji au mashabiki zako mara kwa mara tena kwa tatizo lile lile basi utawapoteza, na kuyumba kisha kupoteza lengo lako au kutofikia faida uliyoikusudia kupitia hawa watazamaji, maana ujumbe unaishia njiani, na wewe utashindwa kurejesha gharama za uandaaji ambazo ulitegemea zirudi kwa kupitia watazamaji wa mtandaoni (viewers).
Hongera kwa ubunifu mzuri wa maudhui lakini jitihada bado inahitajika Zamaradi tv. Ahsanteni. Ni mimi Kham Salim mtanzania anayependa ku share ayajuayo na wengine.
Muuendekeza jmn
Dada wakaz omani skkfai🤣🤣🤣🤣
Rahimaaa ume ona ee
Umeonaeee yan siku ya kwanza tu balaaa 😂😂😂
Umeonaeeeee anarejeshwa siku hiyo hiyo kwa ajenti
@@ashamohd61 😂😂😂
Yan hii movie imembeba hyo dada wa kazi lakin yeye ndo anafanya uozo mtupu anakimbia kimbia yupo kama chiz na hyo pua yake anavyoikunjakunja kila wakati hadu anaboa
Dada ametisha
🔥🔥🔥🔥🔥🔥👌
Tatizo sautiiiiii
Matangazo kibao adi kero 🙄🙄🙄
Huyo dada wakazi kama tahira
🙆♂️🙆♂️
Huyo mfanyakazi hamnazo
Hiyo nyimbo tutumie audio Kali xanaaa
Saut