Ni ngumu sana kumeza wallah Bora hta wawegukua mabinamu lkn kwa kua Wana familia mungu mwenywe ndie ajue mm nigetaka ushauri wa viogozi wa dini pia niwekwe sawa kifikra pia Yani madakatar wa ushauri hilo jambo ni kubwa sana akil yaweza lipuka haswa kwa cc watoto wa kike inaumiza sana makosa ya wazazi wetu inakua adhabu kwetu pole maisha yaendelee
Katika simulizi zako zote anko jay hii imenigusa sana na imenipa funzo kubwa ❤Ubarikiwe anko jay ni Mimi mshabiki wako Emerance kutoka usa nakupenda sana pia na kukubali sana
Anita na slim hawana kosa,kosa ni la wazazi hata ningekuwa mimi ningeendelea tu kumpenda mume wangu Kwa sababu nilikuwa sijui Kam ni kaka yangu,ila kubwa ningeendelea kumuomba mungu ailinde ndoa yangu pamoja na watoto wangu❤❤❤❤
Kwanza nikushukuru ankoj watu wanaweza kusema hii NI simulizi tu haya yapo naninawashukuru hao watoto kwa ujasiri wao kwa ssb halikuwa kosa lao NI kosa la wazazi wao God bless you ankoj from zambia
SubhanaLLah ni mtihan mzito ajab, kweli wazazi walifanya makosa sana tumejifunza na kuelimika sana. Hata hivyo story hii imenikumbusha wazazi wetu wa mwanzo yaani Adam Alaihi Salaam na mama yetu Hawa kwa kuwa walikuwa ndio wanaadamu wa mwanzo kabisa kuumbwa na kuwa katika hii dunia na walikuwa wakizaa pacha wa kike na WA kiume asubuhi na jioni so ALLah The ALMighty akawaamuru mtoto wa asubuhi WA kiume amuoe mtoto wa kike wa jioni kwa ufupi tu hapo ndipo vita vya Habil na Kabil zilianza. Lisa mwala Simulizi zako huwa ni moto🔥wa kuotea mbali halafu Msimulizi na Anko Jay Wacha tu hayasemeki otherwise shukran sana kwenu nyote
Finally ❤❤❤❤, makosa n wazazi,, mm kwangu mm naona sasa yashaamwagika n kukubali tu n kujaribu kuenda mbele though mapenzi yatakuwa n mawazo endapo mtu ukumbuka
Siwezi kuendelea nae kamwe,siwezi jaman,hata iweje...lkn pia inatufunza kusikiliza usia wa wazazi...laiti Anita angeshika usia wa mama yake kwa kutojiingiza kwenye mapenzi kabla ya ndoa mambo yangekua rahisi tu...na hata Kama sawa mama ake asingekwenda kwenye harusi Mungu angefanya tu muujiza kwa kuwa Anita angekua kaonesha uaminifu wakutokutana kimapenzi kabla ya ndoa.Tujifunze.
Asante sana Anko J na dda Lisa Mwala jwa smlz tamu nawaoenda sana 2❤❤❤ ngekuwa mm ata siachan na bwana ngu kwan makosa ni ya wazaz na maji yakushamwaika ayazolek kuamanisha lishakuwa tayar
Hii simulizi ina mafunzo mazuri sana jamani na inaskitisha na inaogopesha....ingekuwa mimi tungeachana Nikahama mji na watoto tukakata mawasiliano kabsaa na baba watoto maana kuendelea na ndugu yangu tena kwa mama ni ngumu ....kwa maelewano lakini
Ni ngumu sana kumeza wallah Bora hta wawegukua mabinamu lkn kwa kua Wana familia mungu mwenywe ndie ajue mm nigetaka ushauri wa viogozi wa dini pia niwekwe sawa kifikra pia Yani madakatar wa ushauri hilo jambo ni kubwa sana akil yaweza lipuka haswa kwa cc watoto wa kike inaumiza sana makosa ya wazazi wetu inakua adhabu kwetu pole maisha yaendelee
Katika simulizi zako zote anko jay hii imenigusa sana na imenipa funzo kubwa ❤Ubarikiwe anko jay ni Mimi mshabiki wako Emerance kutoka usa nakupenda sana pia na kukubali sana
Ahsante sana 🙏🤝 kwa sapot unayo nipatia
🎉❤
Waooo ngoj tumskilize dada yet Anita anasemaj ❤❤❤
Anita na slim hawana kosa,kosa ni la wazazi hata ningekuwa mimi ningeendelea tu kumpenda mume wangu Kwa sababu nilikuwa sijui Kam ni kaka yangu,ila kubwa ningeendelea kumuomba mungu ailinde ndoa yangu pamoja na watoto wangu❤❤❤❤
Hongera dada anita kwa uamuzi wako na msimamo mamaa pamoja na mumeo Mungu awabariki na aitunze familia yenu lkn hao wazazi walifanya makosa sana isay
Kama una mpenda ank jay gonga like
Jamn wazaz mnapaswa kutokuficha vitu kwa watoto maana ni hatar baadae
bebeenen today haveme know if this to year we can talk
Sichezi mbali na kazi zako ase, zimenifungua akili na mawazo❤
Makose ni ya wazazi.Slim na Anita waendelee na maisha yao. Shukran kwa simulizi hii. Natumai imewafumbua macho watu wengi.
Jaman hisimulizi ni tamu jaman na ime nifundisha vingi sana asante Anko jay na kipenz changu lisa mwallah mungu awabaliki.❤💙💚
Uuuiiii nyieeee❤❤❤❤ this sound always make me go crazy.Anita wish you all the best❣💖💖
Ongeren Anita na bwanako Mungu azdi kuwapa furaha katika mausha yenu
Asante mwandishi wetu mahiri sana Lisa mwala na msimuliaji wetu kipenzi cha wasikilizaji wake wa kike na wa kiume wakubwa na wadogo Anko j
Mmmh my brother ankojay hata ningekuwa mm ningebaki ktk ndoa yangu maana sio kosa langu my dear brother
Siachani naye tena sikubari ni kulaviana tu❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉😂😂chezea mapenzi nakupa big up ankoj.
Simulizi tamu sana❤🎉🎉
Big lesson learned amazing voice love it ❤❤❤❤
Jamani nimechelewa miee haya huyu ANITA kafanyanini ankojay nasikiliza ili nijuwe halafu nijifunze kitu🥰🥰🥰
Anita ame amuwa vizuri sana nampongeza kwa maamuzi yake ❤ 🎉
Mama anita ndochanzo chamatatizo
Kwanza nikushukuru ankoj watu wanaweza kusema hii NI simulizi tu haya yapo naninawashukuru hao watoto kwa ujasiri wao kwa ssb halikuwa kosa lao NI kosa la wazazi wao God bless you ankoj from zambia
Safi sanaaa makosa yalifanywa nawazazi so watoto hawapaswi kupata adhabu
Apa tunakumbushwa vikao vya familia nakoo zetu jamani haya yapo kweli 🤔🤔🤔 Asante Anko jay na madame Lissa kutukumbusha
SubhanaLLah ni mtihan mzito ajab, kweli wazazi walifanya makosa sana tumejifunza na kuelimika sana. Hata hivyo story hii imenikumbusha wazazi wetu wa mwanzo yaani Adam Alaihi Salaam na mama yetu Hawa kwa kuwa walikuwa ndio wanaadamu wa mwanzo kabisa kuumbwa na kuwa katika hii dunia na walikuwa wakizaa pacha wa kike na WA kiume asubuhi na jioni so ALLah The ALMighty akawaamuru mtoto wa asubuhi WA kiume amuoe mtoto wa kike wa jioni kwa ufupi tu hapo ndipo vita vya Habil na Kabil zilianza. Lisa mwala Simulizi zako huwa ni moto🔥wa kuotea mbali halafu Msimulizi na Anko Jay Wacha tu hayasemeki otherwise shukran sana kwenu nyote
Ww ndy umesem nn mbon ujaelewek
❤
Kiukweli ata mm cjamuelewa uyu
🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃mbio mbio nawahi simulizi ❤❤❤❤
Asante jamani nimeipenda. Runge wachana tu tukalea watoto
Hata kama dhambi zako ni nyekudu kama damu yesu Hana Safi she kabisa. Huskimbiliye kujihuwa hutapotea hutaona mungu
Ila anko Jay wewe unajua sauti yako Ni balaaa ubarikiwe
Finally ❤❤❤❤, makosa n wazazi,, mm kwangu mm naona sasa yashaamwagika n kukubali tu n kujaribu kuenda mbele though mapenzi yatakuwa n mawazo endapo mtu ukumbuka
Ndoa ni ngumu ila maamuz ya ndoa ni ya mume na mke as long as Kuna upendo mambo mengine yapo tu❤❤❤
Shukran sana Anko Jay uzidishiwe baraka,kuna mafunzo tele
Anko j unajuanga kutufurahisha kweli🙏🙏🤣🙏🙏🙏🙏
Sauti nzuri sana yani tamu kweli nakupenda bure kakangu❤😂
😂😂😂😂😂❤❤❤tamuuu Haswaaaaaa❤❤❤😂😂😂
Kwangu mm uncle jj kwakua tayari nimezanae nisingekubari kumwacha me wangu
Thanks Anko Jay hakika unatumaliza na simulizi zako zuri na sauti yako ❤❤ ❤😂
Ninge achana nae tu kwakua din hairuhusu japo na mpenda sana na vile binadam tumeumbwa na sahau ningesahau ishallah
Thanks anko jay kwa simulizi yako tamu ❤❤❤
Upendo wa kweli huo kabisa wa toto wa zuri
Naingiwa na ujasiri sasa wakufanya jambo katika maisha haya, asante anko
Simachi maana nikimuacha walimwengu watanisemanga vibaya heri uwamuzi mzuri wao mziri huwo walioufanya haowawili
Siwezi kuendelea nae kamwe,siwezi jaman,hata iweje...lkn pia inatufunza kusikiliza usia wa wazazi...laiti Anita angeshika usia wa mama yake kwa kutojiingiza kwenye mapenzi kabla ya ndoa mambo yangekua rahisi tu...na hata Kama sawa mama ake asingekwenda kwenye harusi Mungu angefanya tu muujiza kwa kuwa Anita angekua kaonesha uaminifu wakutokutana kimapenzi kabla ya ndoa.Tujifunze.
Simulizi nzuri yenye mafunzo .......mmmh ...seriously maoni yangu, hata mm ningeendelea tuu ..mmmh ,mapenzi yanauma vibaya 😂😂😂na hata sijui kwanini😂
Ahsante sana Anko jay kwa kitu kipya ❤
Me mwenyewe ntaendelea ku enjoy mapenz yangu kwakweli staki ata kusikia ❤ makosa ni ya kwao wazazi ..keep it up anko jay.
Huu mjengo unaleta mafundisho ya kila namna ktk maisha,asante saaaana kwa mtunzi wetu na msimuliaji wetu matata sana anko j
katk smuliz zote yaleo ...imenigusa mnooo ...thanks anc jay
Dah tuyasike tu kwenye storry za anko jay usiombe yakukute aisee.asante kwa simulizi za mafunzo❤
Kabisa 😂😂😂😂
Kweli usiombe yakukute
Hatari fire Ankojay 😊Much Love❤🎉
Asante sana Anko J na dda Lisa Mwala jwa smlz tamu nawaoenda sana 2❤❤❤ ngekuwa mm ata siachan na bwana ngu kwan makosa ni ya wazaz na maji yakushamwaika ayazolek kuamanisha lishakuwa tayar
Nam Ning kubal kuolew nae man namimi hap ndug Zang upand wababa siw jui🫢🫢😁😁🤣🤣🤣🤣
Shukran anko J mie sina jibu lingenifika ndio ningejua la kufanya ila ni mtihani mkubwa huu ❤❤❤
Oooh shukran san kwa simulizi nzur...na ya kuhuzunish pia 😢😢...Allah akujalie nguvu ya kusimulia zaidi ya iyo 🤲🤲
Duu hiyo Kali kweli hata kama ni mimi simuachi piya 🫣 inanuma kweli wow thanks Anko Jay simulizi nzuri kwele na ni tamu kweli
Dah simulz nzur Sanaa be blessed speaker
Hongereni sana kwa upande wangu ninge handelea na kaka tu
Najifunza kupitia wew maana katika mapenzi sikuwahi jua mambo ya bi shuuu❤❤❤😅😅😅
Adi bili leo unamkumbusha bi bishuuu🤣🤣😂🤣
Mambo ya bi Shuu kweli ni motomoto
Okay nimekuwa wa mwsh leo but tuendelee 🥰🥰🥰🥰 love you anko jay kea kuelimisha jamii
Heleeeelllooooo guys Now it's New stroy 💗💗💗🥰🥰🥰🥰 Anko l want go to church let's listen this letter seee you next time ❤❤❤❤
Hahahaa,,🤣🤣❤❤unamwambia enuka mke wangu achana na awa wazee
😂😂😂 umefanya nicheke kwa sauti
Asante Anko J kwa simulizi nzuri yenye mafunzo ningekua mimi ningeacha tuendelee mke mme aina jinsi.
Anko unajua unajua tena
Natulia kuzikiza kazi nzuri Anko jay nakubali sana ❤❤❤❤❤❤
Napenda sna simlizi zko unasimlizi tam
Anko J barikiwa tunajifunza mengi Ila kwahili kunaumuhumu wakuwa muwazi jaman
Bora tuachane tuleee tu watoto 😢ila siwezi kumvulia nguo tena 😭bora hata tusingeambia km sisi ni ndugu ,,ila inauma sana aiseee ngumu kumeza bhana😊
😂😂😂😂umvulie nguo mara ngapi wakati keshaona kila Siri jamani😂😂😂😂😂
@@avelinabaluhya2804 kaona ni kweli ila nilikua sijajua kama ni kakaangu 🤣🤣🤣🤣
Asante Anko kwa simulizi mpya be blessed ❤
Daaah kwel ni mtian San bt ni makosa ya wazazi
Asante sana anko Jay kwa simulizi, umenipa ujasiri anko Mungu akupe maicha marefu
Kma ni mm pia ningetwaa uamuzi kma huo wa Anita.tena ukizingatia hyo ni first luv wke.aa weh! Udugu ukaepembeni.
😄😄😄😄🙌
Hhhhhhh real
Umeona ee
Asante Sana anko tunajifunza sana 3:45
❤ your simulizi Anita nakuoenda ni mimi kutoka Kenya
Sorry nakupenda
Mmm jamani mapenzi nimazito Anita pole tens nakupa ongera kwaujasiri kutoka Zambia
Ni ngumu sana kumeza wallah
Tumachi janihi ilawako na.msimamo maishayae.ndele.shuklan..anko..❤❤❤❤
Asante san bro similizi zako dhuuu
Mimi nampenda sana anko jay na simulizi zake nazipenda sana
Hii simulizi ina mafunzo mazuri sana jamani na inaskitisha na inaogopesha....ingekuwa mimi tungeachana Nikahama mji na watoto tukakata mawasiliano kabsaa na baba watoto maana kuendelea na ndugu yangu tena kwa mama ni ngumu ....kwa maelewano lakini
Hujakutana na nguvu ya mapenz
Ni Sahihi wabarikiwe tunaomba e9 10 11 yaani weka fuluiuiuu
Daah hiii ni ngumu kumezaa mimi bora kuachna AFu watoto wakikua tunasemq wazazi went warifarik kwa ajari 😢😢japo daah
We ni fala
Hujakutana na nguvu ya mapenzi bado
Ishatokea nabaki na mme wang wazazi watajua wenyew
Simulizi ni nzur sanaa
Dah asante sana kwa simuliz nzuri
Unasimulia vizuri San nimekupenda bure kak yangu
Daah hongeren kak na dad mung aidumish ndoa yen
Wa kwanza mie🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰👀
Mmm balaaa ila hii Tania ya kutelekeza watoto haifai kabisa
Hii simulizi pambe anko wakuache maika mia
asante sana kwa mafundisho yako anko jey
Ako jey napenda sana simuliz zako ❤❤❤❤
Waah Anita haya wadau twende nalo
Mh apa tumejifunza kitu aseeeee
Shukurani san ❤❤❤
Weendelee na ndoa Yao tu
Story nzuri sana asante imetufunza ❤❤❤
❤❤❤❤❤Ankoj mapesa tunakupenda xn walai
Big lesson learned. Love it ❤❤
Jmn msimuliaji apewe mauwa yake🙌🙌
Mpe hi Lissa mwalla Mafunuo yakawe mengi katika fahamu zake ❤🙏
Inatufundisha wazazi kiukwel 😢😢
Hat watt wana makox wangewjulixh wazz wao kabl ya kufanya mapenz
Nampa hongera mam Anita kwa malezi yake
Jamani narudi acha nisikilize kwanza
Ankojay huyooooooo na simlizi tamuuuu
Thanx that was a good simulizi