SIMULIZI MPYA : ANITA, by Ankojay

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 363

  • @sumeiyamaddy95
    @sumeiyamaddy95 Рік тому +9

    Ni ngumu sana kumeza wallah Bora hta wawegukua mabinamu lkn kwa kua Wana familia mungu mwenywe ndie ajue mm nigetaka ushauri wa viogozi wa dini pia niwekwe sawa kifikra pia Yani madakatar wa ushauri hilo jambo ni kubwa sana akil yaweza lipuka haswa kwa cc watoto wa kike inaumiza sana makosa ya wazazi wetu inakua adhabu kwetu pole maisha yaendelee

  • @evelinazaina2455
    @evelinazaina2455 Рік тому +25

    Katika simulizi zako zote anko jay hii imenigusa sana na imenipa funzo kubwa ❤Ubarikiwe anko jay ni Mimi mshabiki wako Emerance kutoka usa nakupenda sana pia na kukubali sana

    • @ankojay_
      @ankojay_  Рік тому +5

      Ahsante sana 🙏🤝 kwa sapot unayo nipatia

    • @MonicaIlomo
      @MonicaIlomo 2 місяці тому +2

      🎉❤

  • @dalilaamiri
    @dalilaamiri Рік тому +8

    Waooo ngoj tumskilize dada yet Anita anasemaj ❤❤❤

  • @eda_juma
    @eda_juma Рік тому +6

    Anita na slim hawana kosa,kosa ni la wazazi hata ningekuwa mimi ningeendelea tu kumpenda mume wangu Kwa sababu nilikuwa sijui Kam ni kaka yangu,ila kubwa ningeendelea kumuomba mungu ailinde ndoa yangu pamoja na watoto wangu❤❤❤❤

  • @ChristinesifaRuwa-ix9iy
    @ChristinesifaRuwa-ix9iy Рік тому +8

    Hongera dada anita kwa uamuzi wako na msimamo mamaa pamoja na mumeo Mungu awabariki na aitunze familia yenu lkn hao wazazi walifanya makosa sana isay

  • @EpimackChami-g2f
    @EpimackChami-g2f 6 місяців тому +31

    Kama una mpenda ank jay gonga like

    • @TumainiJakobo
      @TumainiJakobo Місяць тому

      Jamn wazaz mnapaswa kutokuficha vitu kwa watoto maana ni hatar baadae

    • @CatherineJacob-u2t
      @CatherineJacob-u2t 7 днів тому

      bebeenen today haveme know if this to year we can talk

  • @sarahhagai8191
    @sarahhagai8191 Рік тому +16

    Sichezi mbali na kazi zako ase, zimenifungua akili na mawazo❤

  • @judyauko8134
    @judyauko8134 Рік тому +7

    Makose ni ya wazazi.Slim na Anita waendelee na maisha yao. Shukran kwa simulizi hii. Natumai imewafumbua macho watu wengi.

  • @queenlee9495
    @queenlee9495 Рік тому +6

    Jaman hisimulizi ni tamu jaman na ime nifundisha vingi sana asante Anko jay na kipenz changu lisa mwallah mungu awabaliki.❤💙💚

  • @ruthwaithera2650
    @ruthwaithera2650 Рік тому +17

    Uuuiiii nyieeee❤❤❤❤ this sound always make me go crazy.Anita wish you all the best❣💖💖

  • @rizkimw1301
    @rizkimw1301 Рік тому +7

    Ongeren Anita na bwanako Mungu azdi kuwapa furaha katika mausha yenu

  • @RahelIbrahim-id2li
    @RahelIbrahim-id2li 7 місяців тому +1

    Asante mwandishi wetu mahiri sana Lisa mwala na msimuliaji wetu kipenzi cha wasikilizaji wake wa kike na wa kiume wakubwa na wadogo Anko j

  • @salmamohamedi5405
    @salmamohamedi5405 Рік тому +4

    Mmmh my brother ankojay hata ningekuwa mm ningebaki ktk ndoa yangu maana sio kosa langu my dear brother

  • @ConsoSeba
    @ConsoSeba 10 місяців тому +3

    Siachani naye tena sikubari ni kulaviana tu❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉😂😂chezea mapenzi nakupa big up ankoj.

  • @SabrinaBon-pu8st
    @SabrinaBon-pu8st 12 днів тому +1

    Simulizi tamu sana❤🎉🎉

  • @Winniequinepretty-wm7rr
    @Winniequinepretty-wm7rr 10 місяців тому +5

    Big lesson learned amazing voice love it ❤❤❤❤

  • @shadyasalum192
    @shadyasalum192 Рік тому +14

    Jamani nimechelewa miee haya huyu ANITA kafanyanini ankojay nasikiliza ili nijuwe halafu nijifunze kitu🥰🥰🥰

  • @rehemanifasha5524
    @rehemanifasha5524 Рік тому +11

    Anita ame amuwa vizuri sana nampongeza kwa maamuzi yake ❤ 🎉

  • @alinaswemuziya876
    @alinaswemuziya876 Рік тому +2

    Kwanza nikushukuru ankoj watu wanaweza kusema hii NI simulizi tu haya yapo naninawashukuru hao watoto kwa ujasiri wao kwa ssb halikuwa kosa lao NI kosa la wazazi wao God bless you ankoj from zambia

  • @carlossirya5016
    @carlossirya5016 Рік тому +4

    Safi sanaaa makosa yalifanywa nawazazi so watoto hawapaswi kupata adhabu

  • @anastaziasanga
    @anastaziasanga Рік тому +4

    Apa tunakumbushwa vikao vya familia nakoo zetu jamani haya yapo kweli 🤔🤔🤔 Asante Anko jay na madame Lissa kutukumbusha

  • @mariamrashid6880
    @mariamrashid6880 Рік тому +42

    SubhanaLLah ni mtihan mzito ajab, kweli wazazi walifanya makosa sana tumejifunza na kuelimika sana. Hata hivyo story hii imenikumbusha wazazi wetu wa mwanzo yaani Adam Alaihi Salaam na mama yetu Hawa kwa kuwa walikuwa ndio wanaadamu wa mwanzo kabisa kuumbwa na kuwa katika hii dunia na walikuwa wakizaa pacha wa kike na WA kiume asubuhi na jioni so ALLah The ALMighty akawaamuru mtoto wa asubuhi WA kiume amuoe mtoto wa kike wa jioni kwa ufupi tu hapo ndipo vita vya Habil na Kabil zilianza. Lisa mwala Simulizi zako huwa ni moto🔥wa kuotea mbali halafu Msimulizi na Anko Jay Wacha tu hayasemeki otherwise shukran sana kwenu nyote

  • @sarahhagai8191
    @sarahhagai8191 Рік тому +5

    🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃mbio mbio nawahi simulizi ❤❤❤❤

  • @soldd-xz5ue
    @soldd-xz5ue 10 місяців тому +2

    Asante jamani nimeipenda. Runge wachana tu tukalea watoto

  • @reachelchemtai2604
    @reachelchemtai2604 Рік тому +3

    Hata kama dhambi zako ni nyekudu kama damu yesu Hana Safi she kabisa. Huskimbiliye kujihuwa hutapotea hutaona mungu

  • @KulotidaMihambo
    @KulotidaMihambo 10 місяців тому +1

    Ila anko Jay wewe unajua sauti yako Ni balaaa ubarikiwe

  • @shantellekwamboka7444
    @shantellekwamboka7444 Рік тому +2

    Finally ❤❤❤❤, makosa n wazazi,, mm kwangu mm naona sasa yashaamwagika n kukubali tu n kujaribu kuenda mbele though mapenzi yatakuwa n mawazo endapo mtu ukumbuka

  • @Rummy4871
    @Rummy4871 9 місяців тому +2

    Ndoa ni ngumu ila maamuz ya ndoa ni ya mume na mke as long as Kuna upendo mambo mengine yapo tu❤❤❤

  • @salmakim557
    @salmakim557 Рік тому +3

    Shukran sana Anko Jay uzidishiwe baraka,kuna mafunzo tele

  • @NawMi121-lj8cf
    @NawMi121-lj8cf Рік тому +5

    Anko j unajuanga kutufurahisha kweli🙏🙏🤣🙏🙏🙏🙏

  • @Julietmosekithi
    @Julietmosekithi 11 місяців тому +3

    Sauti nzuri sana yani tamu kweli nakupenda bure kakangu❤😂

    • @KanadeMrangu
      @KanadeMrangu 11 місяців тому

      😂😂😂😂😂❤❤❤tamuuu Haswaaaaaa❤❤❤😂😂😂

  • @blessingrajabu2519
    @blessingrajabu2519 Рік тому +3

    Kwangu mm uncle jj kwakua tayari nimezanae nisingekubari kumwacha me wangu

  • @maryworkman635
    @maryworkman635 Рік тому +14

    Thanks Anko Jay hakika unatumaliza na simulizi zako zuri na sauti yako ❤❤ ❤😂

  • @MbarikiwaFoundation-it5tm
    @MbarikiwaFoundation-it5tm Рік тому +2

    Ninge achana nae tu kwakua din hairuhusu japo na mpenda sana na vile binadam tumeumbwa na sahau ningesahau ishallah

  • @wertqwe8326
    @wertqwe8326 Рік тому +6

    Thanks anko jay kwa simulizi yako tamu ❤❤❤

  • @nabintuneema907
    @nabintuneema907 11 місяців тому +1

    Upendo wa kweli huo kabisa wa toto wa zuri

  • @sarahhagai8191
    @sarahhagai8191 Рік тому +11

    Naingiwa na ujasiri sasa wakufanya jambo katika maisha haya, asante anko

    • @joycemwangala
      @joycemwangala Рік тому

      Simachi maana nikimuacha walimwengu watanisemanga vibaya heri uwamuzi mzuri wao mziri huwo walioufanya haowawili

  • @lainacemmmwasote1862
    @lainacemmmwasote1862 4 місяці тому +1

    Siwezi kuendelea nae kamwe,siwezi jaman,hata iweje...lkn pia inatufunza kusikiliza usia wa wazazi...laiti Anita angeshika usia wa mama yake kwa kutojiingiza kwenye mapenzi kabla ya ndoa mambo yangekua rahisi tu...na hata Kama sawa mama ake asingekwenda kwenye harusi Mungu angefanya tu muujiza kwa kuwa Anita angekua kaonesha uaminifu wakutokutana kimapenzi kabla ya ndoa.Tujifunze.

  • @sophiahassan-kn7ov
    @sophiahassan-kn7ov Рік тому +8

    Simulizi nzuri yenye mafunzo .......mmmh ...seriously maoni yangu, hata mm ningeendelea tuu ..mmmh ,mapenzi yanauma vibaya 😂😂😂na hata sijui kwanini😂

  • @binthassan9191
    @binthassan9191 Рік тому +5

    Ahsante sana Anko jay kwa kitu kipya ❤

  • @Stephanie-mp1nn
    @Stephanie-mp1nn 7 місяців тому +1

    Me mwenyewe ntaendelea ku enjoy mapenz yangu kwakweli staki ata kusikia ❤ makosa ni ya kwao wazazi ..keep it up anko jay.

  • @RahelIbrahim-id2li
    @RahelIbrahim-id2li 7 місяців тому

    Huu mjengo unaleta mafundisho ya kila namna ktk maisha,asante saaaana kwa mtunzi wetu na msimuliaji wetu matata sana anko j

  • @WardaNuru-ci9rx
    @WardaNuru-ci9rx Рік тому +1

    katk smuliz zote yaleo ...imenigusa mnooo ...thanks anc jay

  • @nindymuruga4798
    @nindymuruga4798 Рік тому +4

    Dah tuyasike tu kwenye storry za anko jay usiombe yakukute aisee.asante kwa simulizi za mafunzo❤

  • @LifeofSalmah
    @LifeofSalmah Рік тому +6

    Hatari fire Ankojay 😊Much Love❤🎉

  • @rizkimw1301
    @rizkimw1301 Рік тому +1

    Asante sana Anko J na dda Lisa Mwala jwa smlz tamu nawaoenda sana 2❤❤❤ ngekuwa mm ata siachan na bwana ngu kwan makosa ni ya wazaz na maji yakushamwaika ayazolek kuamanisha lishakuwa tayar

  • @alisalim2145
    @alisalim2145 Рік тому +4

    Nam Ning kubal kuolew nae man namimi hap ndug Zang upand wababa siw jui🫢🫢😁😁🤣🤣🤣🤣

  • @ashaabdalla924
    @ashaabdalla924 Рік тому +4

    Shukran anko J mie sina jibu lingenifika ndio ningejua la kufanya ila ni mtihani mkubwa huu ❤❤❤

  • @ZainabIdrissa
    @ZainabIdrissa Рік тому +2

    Oooh shukran san kwa simulizi nzur...na ya kuhuzunish pia 😢😢...Allah akujalie nguvu ya kusimulia zaidi ya iyo 🤲🤲

  • @maryworkman635
    @maryworkman635 Рік тому +2

    Duu hiyo Kali kweli hata kama ni mimi simuachi piya 🫣 inanuma kweli wow thanks Anko Jay simulizi nzuri kwele na ni tamu kweli

  • @ponsianomwakisunga899
    @ponsianomwakisunga899 4 місяці тому

    Dah simulz nzur Sanaa be blessed speaker

  • @matesomoci6376
    @matesomoci6376 Рік тому +3

    Hongereni sana kwa upande wangu ninge handelea na kaka tu

  • @sarahhagai8191
    @sarahhagai8191 Рік тому +7

    Najifunza kupitia wew maana katika mapenzi sikuwahi jua mambo ya bi shuuu❤❤❤😅😅😅

  • @DalinaSamweli-ji3fc
    @DalinaSamweli-ji3fc Рік тому +1

    Okay nimekuwa wa mwsh leo but tuendelee 🥰🥰🥰🥰 love you anko jay kea kuelimisha jamii

  • @jenniferlicko4736
    @jenniferlicko4736 Рік тому +9

    Heleeeelllooooo guys Now it's New stroy 💗💗💗🥰🥰🥰🥰 Anko l want go to church let's listen this letter seee you next time ❤❤❤❤

  • @rizkimw1301
    @rizkimw1301 Рік тому +3

    Hahahaa,,🤣🤣❤❤unamwambia enuka mke wangu achana na awa wazee

  • @ziadamtebwa3712
    @ziadamtebwa3712 Рік тому +2

    Asante Anko J kwa simulizi nzuri yenye mafunzo ningekua mimi ningeacha tuendelee mke mme aina jinsi.

  • @fatumamusa6811
    @fatumamusa6811 Рік тому +4

    Anko unajua unajua tena

  • @brigdk
    @brigdk Рік тому +9

    Natulia kuzikiza kazi nzuri Anko jay nakubali sana ❤❤❤❤❤❤

  • @NadiahLucas
    @NadiahLucas 9 місяців тому +1

    Napenda sna simlizi zko unasimlizi tam

  • @slyla2565
    @slyla2565 Рік тому +2

    Anko J barikiwa tunajifunza mengi Ila kwahili kunaumuhumu wakuwa muwazi jaman

  • @binthassan9191
    @binthassan9191 Рік тому +5

    Bora tuachane tuleee tu watoto 😢ila siwezi kumvulia nguo tena 😭bora hata tusingeambia km sisi ni ndugu ,,ila inauma sana aiseee ngumu kumeza bhana😊

    • @avelinabaluhya2804
      @avelinabaluhya2804 Рік тому

      😂😂😂😂umvulie nguo mara ngapi wakati keshaona kila Siri jamani😂😂😂😂😂

    • @binthassan9191
      @binthassan9191 Рік тому

      @@avelinabaluhya2804 kaona ni kweli ila nilikua sijajua kama ni kakaangu 🤣🤣🤣🤣

  • @beatriceonsongo9915
    @beatriceonsongo9915 Рік тому +3

    Asante Anko kwa simulizi mpya be blessed ❤

  • @JuliusKope
    @JuliusKope 10 місяців тому +1

    Daaah kwel ni mtian San bt ni makosa ya wazazi

  • @deborahkavira2415
    @deborahkavira2415 Рік тому +1

    Asante sana anko Jay kwa simulizi, umenipa ujasiri anko Mungu akupe maicha marefu

  • @nashaldy1804
    @nashaldy1804 Рік тому +10

    Kma ni mm pia ningetwaa uamuzi kma huo wa Anita.tena ukizingatia hyo ni first luv wke.aa weh! Udugu ukaepembeni.

  • @PendoCharles-c8f
    @PendoCharles-c8f Рік тому +3

    Asante Sana anko tunajifunza sana 3:45

  • @mildredalivitsa1186
    @mildredalivitsa1186 Рік тому +2

    ❤ your simulizi Anita nakuoenda ni mimi kutoka Kenya

  • @DortheaMaria-ti5er
    @DortheaMaria-ti5er 6 місяців тому +6

    Ni ngumu sana kumeza wallah

  • @FathelaFy-hj4jn
    @FathelaFy-hj4jn Рік тому +1

    Tumachi janihi ilawako na.msimamo maishayae.ndele.shuklan..anko..❤❤❤❤

  • @AhadiDamiano
    @AhadiDamiano 10 місяців тому +1

    Asante san bro similizi zako dhuuu

  • @emilianamchomvu7765
    @emilianamchomvu7765 2 місяці тому

    Mimi nampenda sana anko jay na simulizi zake nazipenda sana

  • @raiyaanyusufyusuf17
    @raiyaanyusufyusuf17 Рік тому +8

    Hii simulizi ina mafunzo mazuri sana jamani na inaskitisha na inaogopesha....ingekuwa mimi tungeachana Nikahama mji na watoto tukakata mawasiliano kabsaa na baba watoto maana kuendelea na ndugu yangu tena kwa mama ni ngumu ....kwa maelewano lakini

  • @speciozamikole2194
    @speciozamikole2194 11 місяців тому +1

    Ni Sahihi wabarikiwe tunaomba e9 10 11 yaani weka fuluiuiuu

  • @EstherJoram-gt4lt
    @EstherJoram-gt4lt Рік тому +2

    Daah hiii ni ngumu kumezaa mimi bora kuachna AFu watoto wakikua tunasemq wazazi went warifarik kwa ajari 😢😢japo daah

  • @LindaRobson-qn1br
    @LindaRobson-qn1br Рік тому +3

    Ishatokea nabaki na mme wang wazazi watajua wenyew

  • @JackMgaya-qo3qn
    @JackMgaya-qo3qn Рік тому +4

    Simulizi ni nzur sanaa

  • @JessicaDonson
    @JessicaDonson 3 місяці тому

    Dah asante sana kwa simuliz nzuri

  • @JanethAssanga
    @JanethAssanga 3 місяці тому

    Unasimulia vizuri San nimekupenda bure kak yangu

  • @RahilAisha
    @RahilAisha Рік тому +1

    Daah hongeren kak na dad mung aidumish ndoa yen

  • @zuhuranadahhinda1366
    @zuhuranadahhinda1366 Рік тому +2

    Wa kwanza mie🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰👀

  • @tegemeamhimba832
    @tegemeamhimba832 Рік тому +4

    Mmm balaaa ila hii Tania ya kutelekeza watoto haifai kabisa

  • @ZinaTanzani
    @ZinaTanzani Рік тому +2

    Hii simulizi pambe anko wakuache maika mia

  • @Elizakilisipinilikolika1996
    @Elizakilisipinilikolika1996 Рік тому +1

    asante sana kwa mafundisho yako anko jey

  • @fatmamasoud1398
    @fatmamasoud1398 Рік тому +2

    Ako jey napenda sana simuliz zako ❤❤❤❤

  • @ashamenza2212
    @ashamenza2212 Рік тому +3

    Waah Anita haya wadau twende nalo

  • @Salma-zi6hn
    @Salma-zi6hn Рік тому +3

    Mh apa tumejifunza kitu aseeeee

  • @aseaaaa5812
    @aseaaaa5812 Рік тому +2

    Shukurani san ❤❤❤

  • @Happy-gi9tq
    @Happy-gi9tq Рік тому +3

    Weendelee na ndoa Yao tu

  • @nellylewa4457
    @nellylewa4457 11 місяців тому

    Story nzuri sana asante imetufunza ❤❤❤

  • @agnesagnes5288
    @agnesagnes5288 Рік тому +1

    ❤❤❤❤❤Ankoj mapesa tunakupenda xn walai

  • @selfamitche3530
    @selfamitche3530 Рік тому +13

    Big lesson learned. Love it ❤❤

  • @ZaiZainabu-o4p
    @ZaiZainabu-o4p 5 місяців тому

    Jmn msimuliaji apewe mauwa yake🙌🙌

  • @sarahhagai8191
    @sarahhagai8191 Рік тому +5

    Mpe hi Lissa mwalla Mafunuo yakawe mengi katika fahamu zake ❤🙏

  • @hudumampyahalisi4846
    @hudumampyahalisi4846 Рік тому +4

    Inatufundisha wazazi kiukwel 😢😢

  • @paskalistephano3309
    @paskalistephano3309 Рік тому +3

    Hat watt wana makox wangewjulixh wazz wao kabl ya kufanya mapenz

  • @RahelIbrahim-id2li
    @RahelIbrahim-id2li 7 місяців тому

    Nampa hongera mam Anita kwa malezi yake

  • @lidiajephter7564
    @lidiajephter7564 Рік тому +4

    Jamani narudi acha nisikilize kwanza

  • @sukainamusa4651
    @sukainamusa4651 Рік тому +1

    Ankojay huyooooooo na simlizi tamuuuu

  • @bibizainab-fk4bt
    @bibizainab-fk4bt Рік тому +1

    Thanx that was a good simulizi