Jinsi Gani Ya Kupata Wateja Wengi Katika Biashara Yako Kupitia Mtandao Bila Ya Kuweka Matangazo
Вставка
- Опубліковано 16 вер 2024
- http"//onlineprofits.co.tz
Kuna makundi mawili ya wafanyabiashara wanaotafuta wateja kwenye mtandao.
1. Kundi la kwanza: Wanapata wateja baada kutumia pesa nyingi kutangaza bidhaa zao. Wenye bidhaa zenye kuleta faida ndogo wanashindwa kuendelea kulipia matangazo yao.
2. Wanapata wateja wanaonununua bidhaa wanazouza bila ya kufanya tangazo lolote.
Video hii inakuonyesha jinsi gani ya kuwemo katika kundi la pili ya kuweza kupata wateja wengi bila ya kutangazia bidhaa zako.
matangazo, bidhaa, kupata wateja, mauzo, masoko, tanzania, kenya, uganda, congo
• Jinsi Gani Ya Kupata W...
Mimi nafanya biashara za kawaida. Tena huwa katka hesabu huwa nauza kwa bei ya juu kabisa na kuona kuwa nimepata faida, lkn mwisho wa siku nikipiga hesabu najikuta hesabu hairidhishi! Jinq nifanye nini ilikuepokana na hayo?, ahsante.
Hongra akhi
ok hongera
Hongera kwa maelezo.
brother you are such an inspiration to me,
thank you Brian. I really appreciate.
Thanks
Mimi ni meneja wa kutafuta masoko kwenye kampuni ya ulizi je ni fanye nini hili kupata Wateja zaidi mahana kampuni zaulizi ni nyingi sana
Ok....nakupgia mkuuu
Tafathali naomba namba zako
Mm naomba namba yako
Je naulizia kuhusu anayeuza mapochi anapataje wateja kuna umuhimu wa hizo blogs
Naomba namba yako tafadhali nikutafute whatsapp
Habari yako kaka
Tafadhali tuwasiliane kwa email elungwa96@gmail.com
Emmanuel Julius tuma ujumbe kwenda said@onlineprofits.co.tz
@@dr.saidsaid ni kweli kaka Ila Sasa nilipenda nikuulize ni kind gani naweza kuanza biashara kwa mtaji wa chini?