Video nzuri, Lakini wacha nizungumzie jambo muhimu, naona vijana na wazee wengi wakifanya makosa ambayo nadhani hayafai. Nadhani kila mtu, mdogo au mzee, anapaswa kuwa na mpango wa uwekezaji unaoongeza mapato yao ya kifedha kwa takwimu tatu hadi sita. Uwekezaji unaweza kuwa mpango wako wa kustaafu au mpango wako wa baadaye, chochote unachotaka, lakini cha muhimu zaidi ni kwamba una uwekezaji wa faida.
Uwekezaji ndio ufunguo wa maisha yenye mafanikio, ikiwa umebahatika kuona jukwaa au wakala aliye na mpango mzuri na utambuzi bora, fanya vyema kuchukua nafasi yako.
So powerful..Be blessed brother Asante sana Njia ya kwanza(Market Penetration) na ya tatu (Market Development) ntaanza nazo. "Mafanikio yako yamefichwa kwenye ujasiri wako wa kutafuta masoko mapya"
Mwanzo nilikuwa nauza chipsi nilikuwa naogopa kuibadili kazi ile kwa miaka mingi. Nilikuwa muoga sana wa kuthubutu kuiacha. Baada ya kufuatilia kwa makini masomo yako Siku izi nimefungua duka la vipodozi na ninaendelea vizuri sana.# asante Mr jn Mungu akubariki sana na akuwezeshe ktk kazi yako.
Kaka nanauka wewe nizaidi ya noma umenifanya nijione JOKA refu kwenye biashara yangu nakuiboresha zaidi na zaidi asante sana mungu akubariki sana nanime donlod
Nashukuru kaka unatoa elim nzr ya ujasiliamali.Tupo nyuma yk haraf nashukuru umefanyia kaz ushaur wangu kwamba ulikuwa unaongea haraka harak mno kipindi cha nyuma ila kwa ss umebadilika unaongea taratibu tunakuellewa na unasikika barabara asante kaka Mungu akupe masikio na maarifa mengi pia
Asante sana bwana Joel. Nimeshasoma vitabu vyako yaani timiza malengo yako, nguvu ya mwanamke, ishi ndoto yako, tabia ya kughairisha mambo. Kwa kweli vyote ni vizuri. Kama utatoa kingine naomba unijulishe niweze kupata softcopy yake maana naamini bei yake itakuwa sio kubwa kama ya hardcopy. Mungu akubariki.
Bado nakufata, nakutazama, najifunza, na-like na pia ninatafiti-sisi watazamaji hasa tunaokomenti na wewe vile vile. Kuna watu walikuwa wanakomenti hapa ili kutafuta followers kwenye account zao za UA-cam, hilo nimegundua, ushahidi upo katika somo moja wakati unamalizia mwishoni ulisema pongezi, shukurani zakweli/kinafki na hata tabasamu(sija-quote kama ilivyo) ulisema inajulikana apewapo mtu, wakajua umewashtukia mara watu wale wakasepa, sijaona tena komenti zao. Tuliopo thabiti kama kawaida unatuona. Mungu akuinue zaidi kaka. Ninabarikiwa na mafunzo yako.
Naongezea mbinu nyingine hapo. Kutoa elimu namna bidhaa au huduma unayoitoa itakavyowasaidia unaowahudumi. Wengne wanaweza wakaelewa huduma/bidhaa ila wasitambue msaada inayowapatia. Wanunuzi wengi huangalia pesa wanasahau umuhimu wake. Asante!!
Joel great point lakini nataka unisaidie nimekuwa na maono ya kufungua saloon ya kiume na Hadi nimenunua vifaa lakini kutokana na mazingira nayo ishi vyumba vimekuwa gharama Zaid nisiyo iweza na Kwa nje na mazingira yangu imekuwa ngumu kufatilia sababu ya majukumu na kuogopa namna ya usimamiaji sasa nataka kujua nifanye nini biashara yangu ianze kufanya kazi
Joel ,, binafsi kupitia post zako nibayaona mapungufu yangu mengi ambayo ninaamini yamenifanya niwe haoa nilipo natamani kufanya uoya kadri niwezavyo . Asante
Waaoh!! Thanks so much nimekuelewa bro🙏🙏mm ndio kwañza nimeanza ka biashar kangu ya urembo lyke cheni,hereni, blacelet na vinginevyooo so naomba ushaurii zaidi nifanyeje ili nikuze zaidii ya hapo.
Mm lengo langu ni kukuza biashara yang iwe kubwa kwa kias chake ila kila nikifanya naona bd sjafikia lengo maana mahitaji yanakuwa mengi nifanye nn ili kutatua tatz hili
Congratulation my brother, nimeipenda, nimefanya biashara ya stationary kwa miaka mnne, nimeweza kuporesha ofisi imesimama vizuri, na soko limekaa vizuri, malengo ya 2018 ni kufungua ofisi na kujenga vyumba vinne vyankupangisha na kuanzisha biashara kwa mwanzo wa mwaka 2019, nimejenga ila sijakilisha kwa maana ya wapangaji kuanza kuishi sijafanya finishing na ofisi nimeweza kufungua mkoa mwingine na nimeboresha kwa 80% ni moja ya malengo yangu , issue inakuja hivi nilipoanzisha ofisi sio pabaya na panauitaji wa stationary issue ni jamii inayonizunguka MTU yupo tayari atoe nauli 1000 kufuta copy za 500 kwa 50, kuliko atoe hizo kwa 100, nilishatangaza kuwa 100, je nikishusha bei aionekana kuwa sina msimamo wa bei? Nimefanya hivyo kwa sababu bei ya kuprint 500 ila kwa eneo ninalofanyia kazi kwa sasa wanata kuprintinkwa 100, na he malengo yangu ya kufanikisha nyumbani ya kupangisha nimefeli, na kwa mwaka huu aikua kwenye malengo nifanyeje?
Video nzuri, Lakini wacha nizungumzie jambo muhimu, naona vijana na wazee wengi wakifanya makosa ambayo nadhani hayafai. Nadhani kila mtu, mdogo au mzee, anapaswa kuwa na mpango wa uwekezaji unaoongeza mapato yao ya kifedha kwa takwimu tatu hadi sita. Uwekezaji unaweza kuwa mpango wako wa kustaafu au mpango wako wa baadaye, chochote unachotaka, lakini cha muhimu zaidi ni kwamba una uwekezaji wa faida.
Uwekezaji ndio ufunguo wa maisha yenye mafanikio, ikiwa umebahatika kuona jukwaa au wakala aliye na mpango mzuri na utambuzi bora, fanya vyema kuchukua nafasi yako.
Salamu kutoka Florida, nimesoma maoni mengi kumhusu katika majukwaa mengi, lazima awe mwanamume halali.
Hii sio mara ya kwanza kumsikia Alexander Barnes na athari zake kwenye ulimwengu wa uwekezaji, nadhani nitajaribu kuwekeza naye.
Safi sana mwalimu wangu mwaka 2018 niliahidi kwamba nwaka 2019 ntafungua duka LA nguo nimefungau narudisha marejesho asante kwa masomo yako mazur
👍
So powerful..Be blessed brother
Asante sana
Njia ya kwanza(Market Penetration) na ya tatu (Market Development) ntaanza nazo.
"Mafanikio yako yamefichwa kwenye ujasiri wako wa kutafuta masoko mapya"
Nashukuru kuanzia nianze kukufatilia nayaona mabadiliko kwenye biashara zangu kutokana na kujitangaza zaidi🙏
2024 nakuskilza mwalm wang Mungu akutunze
Your always my friend nanauka although I never see you facely, thank you for the good advice in business issues
Thanx so much kwa darasa but mim napenda kutumia marketing penetration na diversification nadhani hizo zitanifaa zaidi
Mwanzo nilikuwa nauza chipsi nilikuwa naogopa kuibadili kazi ile kwa miaka mingi. Nilikuwa muoga sana wa kuthubutu kuiacha. Baada ya kufuatilia kwa makini masomo yako Siku izi nimefungua duka la vipodozi na ninaendelea vizuri sana.# asante Mr jn Mungu akubariki sana na akuwezeshe ktk kazi yako.
Nice
Hey....tunahitaji waalimu wengi zaidi kama hawa maana kwasasa tatizo si pesa tuu ila fahamu zetu MUNGU AKUTUNZE MWALIMU PROUD OF YOU
Kaka nanauka wewe nizaidi ya noma umenifanya nijione JOKA refu kwenye biashara yangu nakuiboresha zaidi na zaidi asante sana mungu akubariki sana nanime donlod
Hatua ya tatu ndio natakiwa kuanza nayo . Asante kwa kuendelea kutuelimisha Neema za Mungu ziendelee kuwa juu yako
Nashukuru kaka unatoa elim nzr ya ujasiliamali.Tupo nyuma yk haraf nashukuru umefanyia kaz ushaur wangu kwamba ulikuwa unaongea haraka harak mno kipindi cha nyuma ila kwa ss umebadilika unaongea taratibu tunakuellewa na unasikika barabara asante kaka Mungu akupe masikio na maarifa mengi pia
Asante sana Joel,bado naendelea kuelimika kupitia wewe. Mungu akubariki.
Kaka umenitoa nilipo nimesogea sehemu nyingine,kuanzia kesho nitatafta Wateja wapya wa chakula maofisini,Mungu akubariki sana.
Mungu akulinde Sir❤
Brazaa nakufatilia sanaa vipind vyako
Asante sana bwana Joel.
Nimeshasoma vitabu vyako yaani timiza malengo yako, nguvu ya mwanamke, ishi ndoto yako, tabia ya kughairisha mambo.
Kwa kweli vyote ni vizuri.
Kama utatoa kingine naomba unijulishe niweze kupata softcopy yake maana naamini bei yake itakuwa sio kubwa kama ya hardcopy.
Mungu akubariki.
ANOLD KISHUMU hongera sana kwa kuwa mfuatiliaji mzuri sana .Sawa nitakujulisha
softcopy ulipataje ndugu nahitaji
@@joelnanauka m ntaka ushauri
Asante Mr Joel nayafanyia kazi hayo mawazo... See you at the top
thank you so much to teach us every day if to do work, ibelive yourself we go to succesfull....God belless you ... see you at the top#
Kiukwery ume gusa maisha yangu kwa utofati zaid
Mim lengo Ni kufanya biashara vizuri Ila najikutaa napoteza mtaji kutokana na mahitaj kuwa mengii na biashara kuwa ndogo nifanyaje
u r the best broh….lemme start dealing with this ideas ❤❤❤
Bado nakufata, nakutazama, najifunza, na-like na pia ninatafiti-sisi watazamaji hasa tunaokomenti na wewe vile vile.
Kuna watu walikuwa wanakomenti hapa ili kutafuta followers kwenye account zao za UA-cam, hilo nimegundua, ushahidi upo katika somo moja wakati unamalizia mwishoni ulisema pongezi, shukurani zakweli/kinafki na hata tabasamu(sija-quote kama ilivyo) ulisema inajulikana apewapo mtu, wakajua umewashtukia mara watu wale wakasepa, sijaona tena komenti zao. Tuliopo thabiti kama kawaida unatuona.
Mungu akuinue zaidi kaka. Ninabarikiwa na mafunzo yako.
Karibu morogoro bro. Nikuandalie semina ya vijana
Hi hilda
Najifunza sana kwako unanifundisha sana nimeshaanza kubadilika kiufaham na mtazamo wangu umebadilika kabisa nataman unitembelee kwenye duka langu
Naongezea mbinu nyingine hapo. Kutoa elimu namna bidhaa au huduma unayoitoa itakavyowasaidia unaowahudumi. Wengne wanaweza wakaelewa huduma/bidhaa ila wasitambue msaada inayowapatia. Wanunuzi wengi huangalia pesa wanasahau umuhimu wake. Asante!!
Joel great point lakini nataka unisaidie nimekuwa na maono ya kufungua saloon ya kiume na Hadi nimenunua vifaa lakini kutokana na mazingira nayo ishi vyumba vimekuwa gharama Zaid nisiyo iweza na Kwa nje na mazingira yangu imekuwa ngumu kufatilia sababu ya majukumu na kuogopa namna ya usimamiaji sasa nataka kujua nifanye nini biashara yangu ianze kufanya kazi
Your lesson it's nice I have learnt something ...Thanksgiving 🙏🙏💯
Umenifurahisha sana kaka nimepata madini kidogo endapo nilichelewa
ahsante brother binafsi nimejifunza mengi kupitiaa ww accha niyafanyia kazi kisha penye tatizo nikujulisha kwa msaada zaidi
Asante sana schoolmate, unrelated and related business na kufanya promotion ktk biashara yako
Very helpful presentation. God bless you
Yes, ni kweli moja ya point muhimu uliyozungumza ni kuhusu matangazo na discount, nakukubali mkuu
Daah umeniongezea maarifa, asante kaka. Sikuwahi kugundua kama kuna mambo mazuri huku.
Asante kwa kufungua mind set yangu .natamani kukuza biashara yangu ya duka genge.
Jazaaaq LLAH kheir..
Thanks brother my regards ALLAH BLESSING you..and towerds efforts for all you wish in your life
Joel ,, binafsi kupitia post zako nibayaona mapungufu yangu mengi ambayo ninaamini yamenifanya niwe haoa nilipo natamani kufanya uoya kadri niwezavyo . Asante
Nimekuelewa sana
Wakati mwingine mafanikio yako yamejificha kwenye uoga wako wa kutafuta masoko mapya..NOTED
Ameni
Nahitaji mabadiliko eneo la kutimiza malengo
Asante kaka kwa ushauri wako mzuri mungu akubariki kwa kutupa elimu nzuri
We salute my fover right ad viser wesh your long life 💘🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mimi bd sema naitaji kuwa mfanya biashala hapo baadae enderea kutuelimisha kaka mungu hawe pamoja nawe🙏🙏🙏
Ahsante Sana broo Mungu azidi kuku uongoza vyema zaidi kiongozi
Nakushkur Sana blaz kwa kunfundisha somo Leo ntatafta wateja wapya
Waaoh!! Thanks so much nimekuelewa bro🙏🙏mm ndio kwañza nimeanza ka biashar kangu ya urembo lyke cheni,hereni, blacelet na vinginevyooo so naomba ushaurii zaidi nifanyeje ili nikuze zaidii ya hapo.
Mm lengo langu ni kukuza biashara yang iwe kubwa kwa kias chake ila kila nikifanya naona bd sjafikia lengo maana mahitaji yanakuwa mengi nifanye nn ili kutatua tatz hili
I really enjoyed it brother,. that's lit!,,you rock,.!.,
From Burundi nakufuatilia saaana haswa katika mtandao wa Facebook daaaah ubarikiwe kwa saaaaana tuu
Good brother..real appreciate. God bless you
Nashkuru nimekutana na mtu sahihi. Asante sana
Blessing for u brother
God bless you....!!
what about the the factor of production in business is it also the main factor ?
Asante kwa mafunzo,lakini nina swali niko na salon nataka kugawanya pande moja iwe duka,inawezekana ama haziko related.
Shukraan brother kwa somo makini sana ubarikiwe 🙏🙏
Asantee kwa somo zurii kaka i real appreciate you
Asante sana Kaka. Umenipa kitu.
Kaka na kupenda sana , mimi nipo marecani ila mimi ni mkongo ume nibadilisha sana , kama vp nahomba namba yako ya simu
Kuhama mji n kuongeza vtu vnavyoendana.. Bst fr me
Congratulation my brother, nimeipenda, nimefanya biashara ya stationary kwa miaka mnne, nimeweza kuporesha ofisi imesimama vizuri, na soko limekaa vizuri, malengo ya 2018 ni kufungua ofisi na kujenga vyumba vinne vyankupangisha na kuanzisha biashara kwa mwanzo wa mwaka 2019, nimejenga ila sijakilisha kwa maana ya wapangaji kuanza kuishi sijafanya finishing na ofisi nimeweza kufungua mkoa mwingine na nimeboresha kwa 80% ni moja ya malengo yangu , issue inakuja hivi nilipoanzisha ofisi sio pabaya na panauitaji wa stationary issue ni jamii inayonizunguka MTU yupo tayari atoe nauli 1000 kufuta copy za 500 kwa 50, kuliko atoe hizo kwa 100, nilishatangaza kuwa 100, je nikishusha bei aionekana kuwa sina msimamo wa bei? Nimefanya hivyo kwa sababu bei ya kuprint 500 ila kwa eneo ninalofanyia kazi kwa sasa wanata kuprintinkwa 100, na he malengo yangu ya kufanikisha nyumbani ya kupangisha nimefeli, na kwa mwaka huu aikua kwenye malengo nifanyeje?
asante sana maana hadi kichwa kili stuck umenipa wazo
Kaka njoo na somo LA uwekezaji katika njia mbal mbal tunakuomba
Nmekuelewa sana, inayonifaa kwa sasa ni market penetration
SoMo zuri me ni mmoja wapo ninaetaka kufunga biashara
Nimekuelewa Kaka nimeferi muda mrefu Sana kwenye biashara yangu
Asante sana kwa somo zuri
Thank you brother
Samahani joel manauka nataka kuanzisha biashara ya mikate sasa sija jua napataje vifungishio vya kubebea mikate nisaidie napataje
For now nahitaji hii market penetration inaweza kua bora zaidiii na nikifanikiwa hapooo nita Move on ... Kwenye izooo zengine......
Binafis najifunza zaidi kwako kaka ww kweli nimfano wa kuigwa
Nimekuelewa brother Nafikili ntafanyia kazi
Vip bei ya utengenezaji naomba kujua
Asante kwa darasa
Merci bouquet..+250
Asante sana nimejifunza kitu
Nahitaji kitabu kaka yangu cha kukuza biashara na jisi ya kuanzisha biashara nakupataje nipo Kenya lakinii nakaa Katoro nakupataje kaka
Asante kaka yang mungu akubariki sana
Dar nakuelewasana
Daaaa safi sana
Bomba sana Mkuu
Shukurani sana mwalim
Mungu akubariki sana
Unazidi kutufundisha sana kaka yake
Mm naomba ushauri kutoka kwako
Thank you nataman ungekuwa dodoma
Mr.joel nisaidie mm ni fundi wa terrazo nimerasimisha kazi yangu,nifanyeje kiweza kuitangaza zaidi?
Noted brother
Kwakweli izo njia ni nuli sana
Asanteh sana brother
NJIA GANI NA WEZA KUANZISHA BIASHARA
Naitwa Ibrahim saburi natokea kalenga cte iringa Tanzania nimekupata vizuli kaka
Ahsante Sana Kaka kwa somo nzuri
Shukran b blessed
Mimi nimefungua duka nimeanza na mtaji niliokua nao (mtaji mdogo) nakutana na changamoto mauzo ni duni mpaka nakata tamaa sijui nifanyeje
Badilisha eneo la biashara
Mm sina mtaji bt naitaji nifanye biashara ya kuuza nguo za mtumba
Nakukubali Cana Mr Nanauka
Somo zur Sana mwalimu
Nataka nianze na step 1 up step 4.
Asante sana mm naomba niaze no 1maana nilikuwa naona siwez kitu
Nataka kukuza biashara yangu ya duka ni duka la vitu vidogo vidogo vya matumizi ya nyumbn