KUMEKUCHA MH.SIMAI M SAID NJIA YA IKULU IFUNGULIWE
Вставка
- Опубліковано 17 тра 2024
- TOA MAONI YAKO KWA KUTUMA SMS AMA KUPIGA KWA KUTUMIA SIMU NAMBA 0773 95 35 31 AU 0777 94 54 74 AU 0777 37 37 87 FACEBOOK PAGE TIFU TV ZANZIBAR ,TIFU TV KIJAMII ZAID.
#Tifutv #zanzibar #kijamiizaidi#Tifutv #zanzibar #kijamiizaidi
#Muuminina #Dida #Juhuditz #Al-Muuminin #Adila
#Mwanacha #Afnania #Stumai #Zuchu
#muminina #Qadiria #zanzibarqaswida #AFNAANIA #DIRECTORONE.T #Future Tz #Wasafi Media #ZMASTORY #Juhuditz #JUMAFAKIH #ZanzibarQaswida #AQAZStudio #Al-muuminin #YasmediaTv #stumai #zbc #tbc #futuretz #youtubeislife #subscriber #youtubeguru #youtubecontent #newvideo #subscribers #youtubevideo #youtub #youtuber #youtubevideos #youtube #youtuber #youtubechannel #revolutionreal #blacksmokeyeye #smokeyeye #glow #glowingskin #discoverunder5k #discoverunder10k
alie fungiwa kupita mungu amrehem
Wananchi wanao iishi hapo Unguja ndio wanajuwa tabu ya kufungwa hiyo njia. Ni bora njia ifunguliwe. Maana haimkeri alokuwa ndani ya Ikulu. Haikuwahi kwenye tarehe ya Zanzibar njia ile kufungwa.
UPO SAHIHI
Hakuna shida mana ilikuwa ikitumika bila shida..
Mwisho wa ubaya aibu
Ameongea on pwent sana
Munachosha sana hizi shule zinamanisha nini sijui munafanya nini humo angefufuka father k et kafa mtu 1
Tunataka Ajira, Kwanza
Kelele tu
tunaunga mkono 100% usalama upo wa kutosha, ni kweli kabisa
"Politics isn't the way u see From Outside" Joram
Joram Nkumbi Alisema Hili na Mm Huwa nawaambia watu siku zote kwamba maisha Unavyoyaona sivyo yalivyo kuna siri kubwa ndani yake utaona kuna umoja au uhuru kumbe sivo ule umoja wa watu fulani ni utenganifu mkubwa sana utaona vile macho yanaona ila ubongo unakataa
Mbona huku sema kabla
Ifunguliwe kwa muda wote barabara si sababu ya uhalifu
Ww unaesema ikulu ni sehem muhimu tatizo hujatembe duniani ofisi km izo haziwekwi kizuizi unaweka kizuizi unaogopa raia wako umewafanya nini basi endeleen kufunga namlinde mpaka kufa kwake anapo ka mueke kizuizi watu wasipite na migombani pia ekeni kizuizi si ni nchi ya viongozi peke yao hii
Uhkk
Ushauri mzuri
Mwijivi hiyi haiamini watu
Ikulu ni sehemu muhimu na siju zote iwe salama.
Mimi nashauri iendelee kufungwa tuu.
Tangu 1903 kwanini ifungwe sasa? Unamaanisha Zanzibar siyo salama au"!? Mana hukonyuma kote haikufungwa
Njia ya Ikulu iendelee kufungwa kama ilivyo na ikibidi wawepo wana Jeshi pande zoote mbili kutokea Spitali na upande wa Vuga japo wawepo Wanajeshi wanne wanne kila upande na kila siku Wanajeshi wawepo pale eneo la IKULU.
Kwa ajili ya nini??? Na yameanza mwaka gani mambo haya ya kufungwa njia hapo Unguja sehemu hiyo ya Spitali? Basi tu kuwatesa Wananchi na kuzidisha fujo hapo Mjini.. Maisha yote ni tabu hapo Zanzibar.
Hiyo bara bara toka asili ilikuwa ikipitika sema siasa zetu mbovu ndo zimesababisha kufungwa hiyo bara bara..
ile njiaalianza kuifunga dr sheni hamkuyaona hayo mpaka leo awamu ya mwinyi au mnataka mkavunje nazi zenu mlangoni pale
Ya mji mkongwe waachie wenyew. Tungu tuna mengi huyasem
Ndo kwao huyo huko mjii mkongwe ..
Hana lolote uyo mwizi mkubwa uyo
Kwenda zako huko mwizi mkubwa wewe miaka yote ulikua wapi mbona hata siku moja hutujakia ukiyasema haya? Sasa ushapigwa na chini ndio ati unatafuta yanayowakera wananchi upate point za kuzungumza.
Hio issue ya kufungwa barabara au raisi kuuza public properties ni mambo you should have said long ago sip leo tena...its too late.
Wewe na huyo alokupiga na chini nyote wawili ni mijizi tu wanafik wakubwa hamuna faida yoyote kwa Zanzibar. Dr Mwinyi hana nia njema wala hisia kwa waZanzibari kwahio sio yeye wala wewe unaeabudu watalii hamuna jipya hata moja la maana la kutwambia so stop wasting our time