KUMEKUCHA MH.SIMAI M SAID NJIA YA IKULU IFUNGULIWE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 17 тра 2024
  • TOA MAONI YAKO KWA KUTUMA SMS AMA KUPIGA KWA KUTUMIA SIMU NAMBA 0773 95 35 31 AU 0777 94 54 74 AU 0777 37 37 87 FACEBOOK PAGE TIFU TV ZANZIBAR ,TIFU TV KIJAMII ZAID.
    #Tifutv #zanzibar #kijamiizaidi#Tifutv #zanzibar #kijamiizaidi
    #Muuminina​ #Dida​ #Juhuditz​ #Al​-Muuminin #Adila​
    #Mwanacha​ #Afnania​ #Stumai​ #Zuchu​
    #muminina​ #Qadiria​ #zanzibarqaswida​ #AFNAANIA​ #DIRECTORONE​.T #Future​ Tz #Wasafi​ Media #Z​MASTORY #Juhuditz​ #JUMA​FAKIH #Zanzibar​Qaswida #AQAZ​Studio #Al​-muuminin #Yas​mediaTv #stumai​ #zbc #tbc #futuretz #youtubeislife #subscriber #youtubeguru #youtubecontent #newvideo #subscribers #youtubevideo #youtub #youtuber #youtubevideos #youtube #youtuber #youtubechannel #revolutionreal #blacksmokeyeye #smokeyeye #glow #glowingskin #discoverunder5k #discoverunder10k

КОМЕНТАРІ • 27

  • @userKAZIEYENDELEE
    @userKAZIEYENDELEE 29 днів тому +1

    alie fungiwa kupita mungu amrehem

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 26 днів тому +2

    Wananchi wanao iishi hapo Unguja ndio wanajuwa tabu ya kufungwa hiyo njia. Ni bora njia ifunguliwe. Maana haimkeri alokuwa ndani ya Ikulu. Haikuwahi kwenye tarehe ya Zanzibar njia ile kufungwa.

  • @user-xv4tl8iv4l
    @user-xv4tl8iv4l 29 днів тому +1

    UPO SAHIHI

  • @mohamedhajj9881
    @mohamedhajj9881 29 днів тому +3

    Hakuna shida mana ilikuwa ikitumika bila shida..

  • @user-tu2ne7so3b
    @user-tu2ne7so3b 24 дні тому +1

    Mwisho wa ubaya aibu

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh 29 днів тому

    Ameongea on pwent sana

  • @user-wr1iu5re2c
    @user-wr1iu5re2c 29 днів тому +1

    Munachosha sana hizi shule zinamanisha nini sijui munafanya nini humo angefufuka father k et kafa mtu 1

  • @hatimmohamed4299
    @hatimmohamed4299 25 днів тому

    Tunataka Ajira, Kwanza
    Kelele tu

  • @mwinyimsellem2689
    @mwinyimsellem2689 24 дні тому

    tunaunga mkono 100% usalama upo wa kutosha, ni kweli kabisa

  • @kylesmeight4837
    @kylesmeight4837 29 днів тому +1

    "Politics isn't the way u see From Outside" Joram

    • @user-nq2np6de6l
      @user-nq2np6de6l 27 днів тому +1

      Joram Nkumbi Alisema Hili na Mm Huwa nawaambia watu siku zote kwamba maisha Unavyoyaona sivyo yalivyo kuna siri kubwa ndani yake utaona kuna umoja au uhuru kumbe sivo ule umoja wa watu fulani ni utenganifu mkubwa sana utaona vile macho yanaona ila ubongo unakataa

  • @mohamedhajj9881
    @mohamedhajj9881 29 днів тому +3

    Mbona huku sema kabla

  • @saddiqsaddiq6880
    @saddiqsaddiq6880 27 днів тому

    Ifunguliwe kwa muda wote barabara si sababu ya uhalifu

  • @user-zk2cn7xf9g
    @user-zk2cn7xf9g 27 днів тому +1

    Ww unaesema ikulu ni sehem muhimu tatizo hujatembe duniani ofisi km izo haziwekwi kizuizi unaweka kizuizi unaogopa raia wako umewafanya nini basi endeleen kufunga namlinde mpaka kufa kwake anapo ka mueke kizuizi watu wasipite na migombani pia ekeni kizuizi si ni nchi ya viongozi peke yao hii

  • @ahmedalbalooshi8518
    @ahmedalbalooshi8518 29 днів тому

    Ushauri mzuri

  • @user-zk2cn7xf9g
    @user-zk2cn7xf9g 27 днів тому

    Mwijivi hiyi haiamini watu

  • @scoutpwanimchangani6711
    @scoutpwanimchangani6711 29 днів тому

    Ikulu ni sehemu muhimu na siju zote iwe salama.
    Mimi nashauri iendelee kufungwa tuu.

    • @AyoubPapiy
      @AyoubPapiy 29 днів тому

      Tangu 1903 kwanini ifungwe sasa? Unamaanisha Zanzibar siyo salama au"!? Mana hukonyuma kote haikufungwa

  • @HamadaZubeirTahir
    @HamadaZubeirTahir 29 днів тому

    Njia ya Ikulu iendelee kufungwa kama ilivyo na ikibidi wawepo wana Jeshi pande zoote mbili kutokea Spitali na upande wa Vuga japo wawepo Wanajeshi wanne wanne kila upande na kila siku Wanajeshi wawepo pale eneo la IKULU.

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 26 днів тому

      Kwa ajili ya nini??? Na yameanza mwaka gani mambo haya ya kufungwa njia hapo Unguja sehemu hiyo ya Spitali? Basi tu kuwatesa Wananchi na kuzidisha fujo hapo Mjini.. Maisha yote ni tabu hapo Zanzibar.

    • @albaharyhaji8231
      @albaharyhaji8231 25 днів тому

      Hiyo bara bara toka asili ilikuwa ikipitika sema siasa zetu mbovu ndo zimesababisha kufungwa hiyo bara bara..

  • @khamisjuma7616
    @khamisjuma7616 21 день тому

    ile njiaalianza kuifunga dr sheni hamkuyaona hayo mpaka leo awamu ya mwinyi au mnataka mkavunje nazi zenu mlangoni pale

  • @komboruga4271
    @komboruga4271 29 днів тому

    Ya mji mkongwe waachie wenyew. Tungu tuna mengi huyasem

  • @jumayussuf6786
    @jumayussuf6786 29 днів тому

    Hana lolote uyo mwizi mkubwa uyo

  • @zinjibaryetu8451
    @zinjibaryetu8451 27 днів тому

    Kwenda zako huko mwizi mkubwa wewe miaka yote ulikua wapi mbona hata siku moja hutujakia ukiyasema haya? Sasa ushapigwa na chini ndio ati unatafuta yanayowakera wananchi upate point za kuzungumza.
    Hio issue ya kufungwa barabara au raisi kuuza public properties ni mambo you should have said long ago sip leo tena...its too late.
    Wewe na huyo alokupiga na chini nyote wawili ni mijizi tu wanafik wakubwa hamuna faida yoyote kwa Zanzibar. Dr Mwinyi hana nia njema wala hisia kwa waZanzibari kwahio sio yeye wala wewe unaeabudu watalii hamuna jipya hata moja la maana la kutwambia so stop wasting our time