WAFANYABIASHARA DARAJANI SOUK WALIA NA RAISI MWINYI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 19 тра 2024
  • Kutoka AL FATAH TV .
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
    #AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
    #AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
    #ZANZIBAR​​

КОМЕНТАРІ • 85

  • @ZubeirJuma-up7kb
    @ZubeirJuma-up7kb 27 днів тому +5

    Hatar maisha haya ALLAH tusaidie waja wako maoovu yamekidhir na hatutaki kuomba toba

  • @SaidOmar-iw9kk
    @SaidOmar-iw9kk 27 днів тому +5

    Allah alikwisha sema dhulma haidumu ikidumu inaangamiza ndo haya Sasa njaa imezid maisha magumu biashara haziendi shida tu

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh 27 днів тому +6

    Tatzo la hii nchi wanaotoa tasmini ya kodi za biashara na milango sio wafanya bishara ni watu waliopo tu maofisini hawawezi kujua changamoto tunazopitia wafanya biashara

    • @rajabmsinzia1715
      @rajabmsinzia1715 26 днів тому

      Lipeni kodi iliowekwa na sio kulalamika tu kama hamuwezi si muirudishe milango ya watu na mtengeneze yenu kisha muweke kodi munayoitaka nyinyi au

    • @nadraiddi8064
      @nadraiddi8064 23 дні тому

      Hadithi
      "haingii peponi anayekusanya kodi" (imepokewa na imam Abuu Dauud)

  • @ArRahman-ih1pi
    @ArRahman-ih1pi 21 день тому

    Heee subuhanallah iyo pesa kweli nyingi

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku 26 днів тому

    Ccm wanapenda sana kuwanyonya wananchi

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh 27 днів тому +4

    Musaraka ni kiongozi mzuri sana na anaguza maisha ya wananchi ila kwa nguvu alionayo hawezi tatua haya ni majukumu ya mkuu wa mkoa yupo wp???

    • @user-xv4tl8iv4l
      @user-xv4tl8iv4l 22 дні тому

      umesema kweli . maana tumeshuhudia akiwa mkuu wa wilaya akilisha mtama njiwa hapo darajani na kusema hayo ndio maendeleo yanayotakiwa

  • @kassim1262
    @kassim1262 26 днів тому

    Kwenye dhulma hkujawahi kutokea maendeleo patajengwaa pafanywe kubwa njaa naumasikini kuzidi hkuna jengine mungu hajawahi kukosea tukimsahau tukienda kinyume nae atatupa viongozi tunaoendana nao

  • @AhmadiMbaraka-xg4yi
    @AhmadiMbaraka-xg4yi 26 днів тому

    Huwezi kumlazimisha mbuzi kunywa maji tukubali tu kwamba maisha yetu ya kimaskini

  • @ibrahimarmour4711
    @ibrahimarmour4711 24 дні тому

    Tukubali kurudi kwa allha maisha yamekuwa magumu kutokana na matendo yetu sisi wanadamu RIBA imesiri ZINAA ndio usiseme DHULMA kumdhulumu mwenzako asaiv ndio unaonekana mjanja yaani ww ndio mtoto wa mjini tukubali kurudi kwa allha na tuyafuate amri na tuachane na haya mambo yanayoangamiza

  • @user-tg3fy3yh5m
    @user-tg3fy3yh5m 24 дні тому

    Afrika Afrika Afrika

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh 27 днів тому +3

    Kwa biashara ilivombovu Zanzibar kwasasa Kodi ya milango ya serekali iwe laki mbili kwa mwezi maana unakaa siku nzima hujauza

    • @rajabmsinzia1715
      @rajabmsinzia1715 26 днів тому

      Hata ukiuza Millioni kwa siku utasema hauuzi Wazanzibari kwa kulalamika hampo nyuma

    • @ibrahimame9805
      @ibrahimame9805 26 днів тому

      Ww tunakujua umsenge ndio hujibiwi nn atadili na mtu anae firwa.

    • @rajabmsinzia1715
      @rajabmsinzia1715 26 днів тому

      @@ibrahimame9805 mtoto wa kiume una matusi utafikiri Sabri Bachani

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 27 днів тому

    Hatar na nusu

  • @aliyaliya1995
    @aliyaliya1995 27 днів тому +1

    Sasa jamani hayondio matunda ya mapinduz

  • @IsmailJuma-zb5ni
    @IsmailJuma-zb5ni 27 днів тому

    Sema kimeumana

  • @SelemaniDowile-mk1wm
    @SelemaniDowile-mk1wm 24 дні тому

    Dah kwakweli Znbr yetu kwisha kabisa kila kitu kinasimiwa na wabongo titaisoma sana namba kwa hali hiii biashara zimekufa kabisa alafu Kodi zipo juuu na Mlima Uhdi

  • @user-hy7op6tr8p
    @user-hy7op6tr8p 23 дні тому

    Hapo bdo ZRA hawana hata huruma

  • @user-fh3np5yk9g
    @user-fh3np5yk9g 17 днів тому

    Kod nyingi san

  • @user-by7jo6dk6r
    @user-by7jo6dk6r 25 днів тому

    Alhwa.. Afanyee.. Wepes.. Hilii.. Tatizo.. Si.. LA.. Vyama.. Msitie.. Vyama.. Na.. Wey.. Unosema.. Zanzibar.. Hakuna.. Vyakula.. Tuletee.. Uko.. Kwenu

  • @ArRahman-ih1pi
    @ArRahman-ih1pi 21 день тому

    Ss Kama Iyo serekali isaidie wanachi wake ss apo wanakandamiza wanachi mtihani Kwa kweli

  • @ahmadSeif860
    @ahmadSeif860 27 днів тому +1

    MAPINDUZ DAIMAAAAAA.....

  • @user-gc3ec9wx6z
    @user-gc3ec9wx6z 24 дні тому

    Andamaneni kama kariakoo daaa

  • @aliy3303
    @aliy3303 26 днів тому +1

    Pavunjwe paekwe mall kubwa

  • @sultansallah8772
    @sultansallah8772 26 днів тому +1

    Chama na wawekezaji. Hahahahajahajanaan

  • @hashimalihamad3477
    @hashimalihamad3477 19 днів тому

    Wengi wenu mumetutowa kwa mlango wa nyuma mumedandia gari ya mbele mulituona tunafaidi

  • @haydarabdallah7914
    @haydarabdallah7914 27 днів тому

    Tatizo hatuna uhuru zanzibar na watuu wananjaa

  • @user-om7ye5vo1u
    @user-om7ye5vo1u 26 днів тому

    Saiv kodi ya serikal imekua kubwa kulik ya mtu binafsi duh!

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 26 днів тому

    Wape Wamasai milango hiyo waeke vinyago hao wazanzibari washazoweya vya bure hamuuzi tatizo lenu ni washirikina munashindana kwa kuzindika majini

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 27 днів тому

    Haaaa milioni kumi na2 ni kubwa saana kwa mlango 1 3: kila mlango..utapokea zaidi ya gharama ya hapo kwa mwaka tu!

  • @user-zd8nn8ii2g
    @user-zd8nn8ii2g 20 днів тому

    Mtihan hu rais angalia hili c hivo wajane watazid wanaume wakikosa kazi

  • @rahimahamad1016
    @rahimahamad1016 27 днів тому

    CCM Oyeeeee😅😅😅😅😅😅

  • @ahmadSeif860
    @ahmadSeif860 27 днів тому

    Wale machinga wa nje wote wangizwe humo ndani

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 26 днів тому

    Zanzibar Wananchi hawana kipato cha kula watakuwa na kipato cha kununuwa mahitaji wanayo yataka??? Kodi za maduka mnowatolesha Wananchi ni kubwa sana kwa maduka hayo loooh. .Rais Hussein kwanza wafikiriye Wananchi wacho uwazidishiye mishahara waweze kuishi. Siyo mnafikiriya Watalii kwanza na Wananchi wako kwenye mateso.

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 24 дні тому

    Maisha ya wa zanzibar ni kunufaisha serekali na watanganyika

  • @khalifasaidi7001
    @khalifasaidi7001 26 днів тому

    Hii ni dhulma rais mwinyi kunawatu wanakuhujumu, angalia sana baazi ya vitu vitafajari haswa vinavyohusu jamii

  • @user-sh2os4yh5l
    @user-sh2os4yh5l 27 днів тому

    Duuh

  • @halimsaidi9567
    @halimsaidi9567 24 дні тому

    Kwan wamachinga hawaingii apo ndani

  • @mohammedmfamau43
    @mohammedmfamau43 26 днів тому +1

    Tunahangaika bure kwakweli.ivi kweli znz tunalia eti hatuna nyenzo za kiuchumi ktk kukuza pato la serikali pamoja na serikali kw ujumla? Tuna eneo kubwa la kujenga bandari ya kisasa ya kukaa meli za mizigo cargo ships zaidi ya kumi na kuendelea,lkn pia uwanja wa ndege uliopo na pato linaloingia,tuna viwanda vingapi vilifungwa mpaka ivi juzi vya bakharesa vikafungwa?tusifanyiane km watoto wadogo haya mambo ya kiuchumi kw znz ni upande wa 2 uko ndiko wanayoihujumu serikali ya znz pamoja wananchi kw ujumla nyenzo tunazo tunaoneqna muhali.ivi vilango vya darajani haviwezi kutatua matatizo ya nchi hii

    • @user-xv4tl8iv4l
      @user-xv4tl8iv4l 22 дні тому

      UMESOMA LAKINI HUKUFAHAMU.. YAPO MAMBO MENGI YANAYOIFANYA ZANZIBAR KUFIKIA HAPO ILIPO SI SUALA LA KISIASA. MFANO BANDARI TANZANIA BARA ZIPO 3. SOKO LINALOTARAJIWA LA EAST AFRIIKA MBURUNDI, MGANDA, MRUANDA HAWEZI KUTEREMSHA BIDHAA ZANZIAR ANAKIMBIA DOUBLE SHIPMENT AND HANDLING. HIVYO BANDARI YA ZANZIBAR ITABAKI IPO IPO TU. UKILETA KONTENA MOJA 40' SOKSI 2,000,000 WATU WOTE UNGUJA NA PEMBA WATAVAA NA ZITABAKIA. PANA BIASHARA HAPO. UKITOA SADAKA TSH. 2,000,000 WATU WOTE WATAPATA NA CHENJI ITARUDI

  • @sultansallah8772
    @sultansallah8772 26 днів тому

    Watu wanakata mitaji , et mkakati

  • @nassormessi-zk5cz
    @nassormessi-zk5cz 26 днів тому

    Wenyewe kwa Wenyewe wanasokotana Serikali yote wanayo wao bdo wanalalamika waunguja tumetulia tunawatizama tu na kujifanya kujua kwao

    • @user-xv4tl8iv4l
      @user-xv4tl8iv4l 22 дні тому

      HILO NENO. TUACHWE NA KISIWA CHETU KILA SIKU LINAZUKA HILI MARA LILE

  • @salmaabdu5011
    @salmaabdu5011 27 днів тому

    Huyu msaraka ni tapeli mkubwa hata sijui ilikuwaje akawekwa mkuu wa wilaya

  • @eastafricaqualitychickenfa9916
    @eastafricaqualitychickenfa9916 25 днів тому

    Kiduma chama cha mapinduzi

  • @nassormessi-zk5cz
    @nassormessi-zk5cz 26 днів тому

    Si alisema ataiweza Zanzbar hyo rais na hao ndo ndugu zake yaanaanza hyo vinyunyu bado mvua

  • @yasminjuma9146
    @yasminjuma9146 27 днів тому

    Rais wetu sikiliza vilio vya wananchi wako kweli ni kodi kubwa

    • @rajabmsinzia1715
      @rajabmsinzia1715 26 днів тому

      Mwinyi hapo hana usemi maana milango sio ya Serikali

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589 27 днів тому +1

    Sasa nyinyi mulio huko mwalia je sisi tulip pemba

    • @user-tg3fy3yh5m
      @user-tg3fy3yh5m 24 дні тому

      pemba ndio usiseme tumevurumishwa ukoo

    • @user-xv4tl8iv4l
      @user-xv4tl8iv4l 22 дні тому

      Bora kurudi Pemba tuko tulio pamoja na tunyamazishani wenyewe kwa wenyewe

  • @harithwhite589
    @harithwhite589 26 днів тому

    Tutafuga mabata umo

  • @mosaidi2633
    @mosaidi2633 27 днів тому

    Ache I kulalamika hameni 😂😂

    • @rajabmsinzia1715
      @rajabmsinzia1715 26 днів тому

      Hiyo ndio hoja Wahame tu kwani sisi hatuitaki hiyo milango ila kwa sababu hatuna hizo kodi ndio tumetulia kama alif so na wao wattulie tu wakatafute iliyo rahisi

  • @IsmailJuma-zb5ni
    @IsmailJuma-zb5ni 27 днів тому

    Kodi Inatakiwa isizidi laki mbili

    • @rajabmsinzia1715
      @rajabmsinzia1715 26 днів тому

      Hahahha kwani milango ya Familia ile hahaha Wazanzibari bhana

  • @radaonlinetv1922
    @radaonlinetv1922 25 днів тому

    Alfatah angalia isije kua unatumika kisiasa...

  • @user-lq4cm4rq6z
    @user-lq4cm4rq6z 26 днів тому

    Kitwana hili lako watatulie hii changamoto

    • @rajabmsinzia1715
      @rajabmsinzia1715 26 днів тому

      Haina kutatuliwa hiyo asiweza kulipa kodi arudishe mlango tu halas

    • @user-xv4tl8iv4l
      @user-xv4tl8iv4l 22 дні тому

      HILI SI LA KITWANA NAMTETEA HILI LAKE MTU MWENYEWE KABLA YA KUAMUWA KUFANYA BIASHARA LAZIMA UFANYE UTAFITI WA KUTOSHA NA UANGALIE RISK GANI ZIPO KTK BIASHARA HIYO WEWE USITEGEMEE GOOD RETURNS TU . MNAINGI KUFANYA BIASHARA BILA KUSOMA BIASHARA UNAYOTOKA KUFANYA.

    • @user-lq4cm4rq6z
      @user-lq4cm4rq6z 21 день тому

      @@user-xv4tl8iv4l nani mgeni wa biashara pale kwani ndo kwanza wameanza pale tatizo lipo Mkuu wa mkoa aende akawasikilize na awatatulie kma si lake la nani lako ww unayajuwa lakini majukumu ya Rc au ndo kila kitu ashuke Rais .

  • @ahmadSeif860
    @ahmadSeif860 27 днів тому

    Hapana biashara hapo kwa sasa, mwinyi Kapatia sumu

    • @rajabmsinzia1715
      @rajabmsinzia1715 26 днів тому

      Biashara haipo kwako Ila hapo Biashara kama Kawa tatizo mmezowea umbwanyenye mnataka vya rahisi tu

    • @user-xv4tl8iv4l
      @user-xv4tl8iv4l 22 дні тому

      RAIS ASILAUMIWE. HAPO HAPANA BIASHARA ONDOKA KAWEKE KWARARA, FUONI, KINUNI, KIJICHI MILANGO HUKO ELFU 50'000 IKIWA BIASHARA YAKO NA VITU UNAVYOLETA VIZURI WATU WATAKUFUATA HUKO HUKO USISUBIRS IRUDISHWE STAND KWANI HAO WANATOKEA HUKO HUKO UTAWARAHISISHIA USAFIRI

    • @rajabmsinzia1715
      @rajabmsinzia1715 22 дні тому

      @@user-xv4tl8iv4l Wambile ndugu maana Hao ni ndugu lawama kila siku

  • @rajabmsinzia1715
    @rajabmsinzia1715 27 днів тому +1

    Hapo wamachinga wasirejeshwe maana usalama utakuwa mdogo ,pia kuhusu maegesho ya magari soon Malindi kutamaliza so ni kuwa na Subra tu kama hamuwezi rudisheni milango halas

  • @AminMasoud-rc7si
    @AminMasoud-rc7si 27 днів тому

    Ayo yote yasingetokea kama si amani karume mlevi ndio aliendoa freeport sasa munategemea wateja watatokea wapi? Tanzania bara yote ilikua zanzibar, ngazija,kenya,uganda, zambia, Malawi,wote zanzibar, ilikua kituo cha biashara,ikipita sikukuu zanzibar madukani watu wanainga nzi tu,laana yote ni uyo karume leo amekua upande wa upinzani na wenyewe wanamkubali kua ni mkombozi wao

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 26 днів тому

      Basi wewe rudisha hiyo freeport

    • @user-xv4tl8iv4l
      @user-xv4tl8iv4l 22 дні тому

      karume hana kosa lolote.nenda KASOME kitabu kimeandika east AFRICA ports cha mwaka 1964 haya yanayotokea yameelezwa humo. wacha ujinga!

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 27 днів тому

    WAMACHINGA WARUSI KWA TANGANYIKA!

    • @khamisali5978
      @khamisali5978 27 днів тому

      Na wazenji walio Dar na wao warudi kwao 😅

    • @rajabmsinzia1715
      @rajabmsinzia1715 26 днів тому

      @@khamisali5978 fresh taratibu tu zifuatwe mbona fresh sana wa Tanganyika kwao Wazanzibari kwao atakae taka kwenda upande wa pili ni kufuata taratibu tu mbona Wazanzibari kibao wapo mambele na wanaishi?

  • @AbdulRahmanHajrah
    @AbdulRahmanHajrah 26 днів тому

    Inaumiza Sana kwa kwel hii Kodi kubwa Sana halaf hii changamoto ya wateja waliangalie Sana serekali dah mtihan

  • @khalifasaidi7001
    @khalifasaidi7001 26 днів тому

    Sisi tunakujuwa wewe rais ni mtu wa watu wawekee stend punguza kodi darajani irudi kama zamani zanzibar ni njema yanini mizengwe?

  • @user-lp1gh7im3f
    @user-lp1gh7im3f 27 днів тому +1

    Musilie na Mwinyi lilieni na chama cha mapinduzi ccm hichi ni chama cha matapeli ccm mtapeli

    • @kassim1262
      @kassim1262 26 днів тому

      Mwinyi anachama chake pekeake au co yeye c makamo mwenye kiti kwaznzbar mwinyi ndio kiongozi mkuu wccm ss waende kwenye ccm ipi umerogwa au😂😂😂

    • @user-lp1gh7im3f
      @user-lp1gh7im3f 26 днів тому +1

      @@kassim1262 aje mufti kutoka makka akijiunga na ccm basi amekwisha afuata sera za ccm ili Nchi itulie kiongozi atoke chama chengine

  • @HalidMuhammad-gi9qy
    @HalidMuhammad-gi9qy 26 днів тому

    Kodi sio kubwa hta kidogo iongezwe kodi msimsumbue raisi wetu ccm oyeee

    • @ibrahimame9805
      @ibrahimame9805 26 днів тому

      Wwe unarais. Ulimsumbua mamako kuku bebea mimba .hd kukua asiambie km nani .bc mlete mkeo tumwambie shida zetu.

    • @SubiraOmar-ld5bx
      @SubiraOmar-ld5bx 25 днів тому

      😂😂😂​@@ibrahimame9805

    • @user-gc3ec9wx6z
      @user-gc3ec9wx6z 24 дні тому

      Uyu halid ni mwana kharam ndio kajitokeza mbwa mkuwa ww