WANANCHI WENYE NJAA HAWAOGOPI CHOCHOTE| KINACHOENDELEA KENYA NI FUNZO KWA VIONGOZI WENGI AFRIKA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 лют 2025
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

КОМЕНТАРІ • 246

  • @emmanuelgastomwachamwacha6042
    @emmanuelgastomwachamwacha6042 7 місяців тому +55

    Wakenya wamesoma wanajua Sheria hakuna kubebwa ujinga

  • @Kengele
    @Kengele 7 місяців тому +49

    CORRECTION HATUNA NJAA, WE KNOW OUR RIGHTS #KENYA

    • @princejames0218
      @princejames0218 7 місяців тому +9

      Yeah, a poor country like Tanzania shouldn't talk of our Hunger,,if it was US or UK it's understandable.

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 7 місяців тому

      @@princejames0218 ni kweli baba..tumekuskia..tunawapenda sana Kenya..mkae mkilijua hilo

    • @Prettykathunzi
      @Prettykathunzi 7 місяців тому +5

      Repeat that again . Hatuna njaa

    • @Faridkhalid-z3p
      @Faridkhalid-z3p 7 місяців тому

      100% mimi kama mtanzania, watanzania wenzangu ni majinga kabisa hayajui kama kenya wako mbele sana kukinganisha na tanzania, swala hili sinla njaa ni logic ya wakenya kujua uhuni wa serikali yao, kuweka kodi za kishenzi, sasa mitanzania wenzangu ni majinga kujua hilo

    • @mediacare6744
      @mediacare6744 7 місяців тому

      Nipee number ya simu nikutumie elfu moja ujenge ukuta wa matope.

  • @SdShardy.777
    @SdShardy.777 7 місяців тому +46

    Next tunaenda mpaka Ikulu,, wananchi sisi dio kusema 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @alibinali_
      @alibinali_ 7 місяців тому +2

      Ikulu itafika but next ni police station juu ya wale walio shikwa na Kisha about waliouliwa

    • @brysonkaale3003
      @brysonkaale3003 7 місяців тому +6

      Wakenya nawasifu Sana,lazima Rais ajue kwamba anatawala watu na siyo Ng"ombe,Pelekeni Moto!

    • @HassanJaphari-rx7jy
      @HassanJaphari-rx7jy 7 місяців тому +1

      Kutoka Tanzania tupo pamoja nanyi ndugu zetu wa kenya. Ifike mahali viongozi wa Afrika wajue kuwa sisi kama raia tunapaswa kusikilizwa pia Kwamana wapo madarakani Kwa kulitumikia taifa Kwa usawa.

    • @ramadhanmanzi661
      @ramadhanmanzi661 7 місяців тому

      Kwa hiro kenye mpo vzul Tz hta kilo yaunga iwe alf10 bado tunalilia chumban ukifosi unatekwa nanjaa yako kama Roma 😂😂

    • @ManswetKimario
      @ManswetKimario 7 місяців тому

      Jidanganye kwenda ikulu usipoitwa MHAINI kwanza utafia hapo hapo!

  • @abdullahmanalex2306
    @abdullahmanalex2306 7 місяців тому +57

    Nawapongeza sana Majirani zetu Kenya

    • @aisha_mohammed5825
      @aisha_mohammed5825 7 місяців тому +1

      ❤❤❤❤❤pia ss tunawapenda sasa 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

    • @jaysmart3277
      @jaysmart3277 7 місяців тому +2

      Pamoja sana,lazima waafrica tuamke ju maraisi wengi wanabudu wazungu,kama huyu Zakayo aliamdikiwa hiyo bill na IMF na World bank tumekataa,juzi akasign ushoga uruhusiwe saa hii anataka kutumaliza kiuchumi#No To FINANCE BILL.

    • @salomekisanga560
      @salomekisanga560 7 місяців тому

      ​@@jaysmart3277nimegundua kit pia hap maan ukipandish kodi n huku umesign ushog inamaanish wat watajiingz kweny ushog ili wapate hela n kukosa maarifa kwa kwel bil kujua n kizaz chake kipo hatarin so sad kwa kwel

  • @fabicshofficial
    @fabicshofficial 7 місяців тому +23

    Kenya my country ❤

  • @RamadhanAthuman-d4c
    @RamadhanAthuman-d4c 7 місяців тому +16

    Kwa hili Kenya nimewakubali sana

  • @kiptunenjustus393
    @kiptunenjustus393 7 місяців тому +46

    Kenya hatuna njaa😂😂,,we are just rejecting the finance bill

    • @jumandegwakazee
      @jumandegwakazee 7 місяців тому +2

      Hawapigani tumbo wacha upuzi wamesoma

    • @ronaldkimengich8958
      @ronaldkimengich8958 7 місяців тому +4

      This people don't have any idea of what they're saying Kenyans we know how right

    • @4806lency
      @4806lency 7 місяців тому +1

      Tukona njaa wewe pekee ndio umeshiba, I reject this statement

  • @maimunaahmed3477
    @maimunaahmed3477 7 місяців тому +7

    Ndio wao hawana njaaa kama.vile tunafikilia ila wanaijua haki yao na wanamaamuzi tofauti sana na afrika mashariki .

  • @JefwaKhamisi
    @JefwaKhamisi 7 місяців тому +5

    Hatuta simama maovu yakitendeka
    I love my country kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @CrissManda
    @CrissManda 7 місяців тому +26

    Utasikia sana watanzania wanasema kwamba wakenya sii waoga, sii kama sio waoga ika wameenda shule na wanajielewa na wanajua haki zao

  • @presentertelence1679
    @presentertelence1679 7 місяців тому +3

    *LOCVE MY COUNTRY KENYA* 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @tishomkatoliki
    @tishomkatoliki 7 місяців тому +9

    Huku Kenya tumemesoma na tunajua haki zetu.Tumekataa unyanyapaa unaotakona na ubinafsi wa wanadiasa wapumbavu. 🇰🇪🇰🇪

  • @AhamedyKibarati
    @AhamedyKibarati 7 місяців тому +25

    Naipenda kenya na watu wake

    • @Kengele
      @Kengele 7 місяців тому

      NDO SISI SASA #KENGELE

  • @BellaAYIEKO
    @BellaAYIEKO 6 місяців тому

    Akili ya watanzania iko chini sana nawarumia sana jamani atuna shinda ya chukula kenya tunajiweza sana ki maisha

  • @melody_mike_mavoice
    @melody_mike_mavoice 7 місяців тому +7

    The revolution is here

  • @homebest9258
    @homebest9258 7 місяців тому +6

    Mwenyezi Mungu awe nanyi ndugu zetu wakenya. Ruto nipumbavu tena mujinga sana aliamuwa kuitenga nchi ya Congo 🇨🇩 ndani ya umoja wa East Africa kwa kukubali kujiunga na wauaji kama Kagame,Museveni na wazungu kwakuangamiza Wakongo. Nchi ya Congo inao uwezo wa kuisadiya East Africa yote na nja ikaisha pamoja na umasikini ila kwa sababu ya akili mbovu waliamuwa kuipoteza ujinga mutupu kabisa.

  • @elijawakaba
    @elijawakaba 7 місяців тому +7

    Kenya hatuna njaa we are just saying no to punitive taxation

  • @ommimg2467
    @ommimg2467 7 місяців тому +3

    Huyu jamaa pembeni ya oscar ameongea point sana huwez sema njaa sio kweli

  • @Agnes_Mugambi
    @Agnes_Mugambi 7 місяців тому +5

    Fellow Kenyans gonga like! Hatutasimama maovu yakitawala🇰🇪

  • @salimbilali5174
    @salimbilali5174 7 місяців тому +13

    Tumevurugwa mtuache tu ivi mkituombea Mungu...haki isimame

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 7 місяців тому +2

    hawa wakenya mie nawakubaligi toka enzi..Hata huyu Rais wao penda mimi sana yeye..Ruto jmni Mungu akushike utoe maamuzi kutoka Kwake Mungu wetu vile inatakiwa

  • @Optionxll_Playz1
    @Optionxll_Playz1 7 місяців тому +7

    I M.F inaleta shida sana , watalamu wetu wafikilie sana .

  • @MonicaRaila-tn5rb
    @MonicaRaila-tn5rb 7 місяців тому

    Hakika watu Hawana.chakula
    Dhiki kubwa nawamejimbkishia mali wanchi wakiendelea kuteseka😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @EmmaWamugo
    @EmmaWamugo 7 місяців тому

    😂😂😂wewe hatuna njaa

  • @paschalfausitine7108
    @paschalfausitine7108 7 місяців тому +5

    Nchi zetu ni za kitajiri sema viongozi wetu ndo mabinafisi hayataki wananchi wao wapate maisha bora

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 7 місяців тому

      Kwel kabisaa inch za Africa ni tajir sanaa sema viongoz wetu ni mafisadi ndo wanaoziharibu wakishirukiana na wazungu

  • @wemamtundu7906
    @wemamtundu7906 7 місяців тому +1

    Tz tunahofu ya Mungu, watu wakulilia Pembeni😂😂

  • @TitoRufizi-xb2ub
    @TitoRufizi-xb2ub 7 місяців тому +17

    Wakenya wanaakili sana wanajielewa sana

    • @ameirzapy1318
      @ameirzapy1318 7 місяців тому +2

      😂😂 Kati ya watu hawajielewi ni Kenya,, Kenya wala shida sio Serikali yao,, bali Kenya ni Wavivu sana,, nina experience nao,, wanajifanya kila mtu ni matawi, wanapenda kuishi kifahari zaidi

    • @Ministerjudahngali
      @Ministerjudahngali 7 місяців тому

      ​@@ameirzapy1318We fala sana huijui kenya wewe

    • @vanjay8685
      @vanjay8685 7 місяців тому

      ​@@ameirzapy1318you are very illiterate and stupid, wakenya wamesoma na wanajua haki zao sio nyinyi kila siku kulamba viongozi matako mkiumizwa...wakenya ni wavivu kivipi,wamewapiga kielimu,kiuchumi,miundomsingi na kila kitu,how dare you insult kenyans

    • @nathanlusulo-po2lj
      @nathanlusulo-po2lj 7 місяців тому

      Kwani wewe hauna akili

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 7 місяців тому

      ​@@ameirzapy1318 unaongea kujifurahisha, hakuna mkenya mvivu acha chuki na kutokubali ili ujitambue, watanzania ni uchawa tu na mapovu kwenye mitandao, mtu akiwa na uwezo na umetafuta jasho lake muache awe matawi ya juu

  • @cinthianyangasibeib851
    @cinthianyangasibeib851 7 місяців тому

    Every country iko na njaa ila tu sisi hatupendi ujinga sasa it's our right ✅️ kama mkenya kupigania haki zetu. Kwa sasa hana tunyanya .kutuletea mambo za America hapa hatuezi kubali upuzi .halipita mme kwa mme .mke kwamke waohana tuka kimya around hii hatatutambua even Bible haikubali hii mambo.and tz respect hapo kwa ebu urekebishe kama uelewi twa handamani kwa sabu ngani bora tu ukimye

  • @abeidsabuni5026
    @abeidsabuni5026 7 місяців тому +1

    Wamefikia point of not return.... Na pia hawa watu wana uelewa mkubwa sana..... Wanajua wanachihutaji

  • @FortunataNguma
    @FortunataNguma 7 місяців тому +2

    Wakenya wanajielewa sana nawapenda bure

  • @emilywasari470
    @emilywasari470 7 місяців тому

    But we know our rights
    Enough is Enough

  • @kellymagotsi4991
    @kellymagotsi4991 6 місяців тому

    Shida sio njaa ,shida ni uongozi mbaya ,,tunajua haki yetu na katiba tumeisoma tunaijua

  • @AlHamra-k4u
    @AlHamra-k4u 7 місяців тому +1

    Nawaunga mkono wakenya. Kwanza hawana uoga big up kanifurahisha sana kuchukua koti la spika na ngao yake na kuchoma jengo la bunge. Wabunge walitimua km ngiri

  • @KhadijaMohammad-z9e
    @KhadijaMohammad-z9e 7 місяців тому

    Kenya hatuna njaa acha upuziii😅😅tunajua haki zetu.we are the government sio kama nyinyi kumsifu samia.sisi tunaangalia makubwa kufanyika kenya

  • @tovinent1414
    @tovinent1414 7 місяців тому

    sisi ndio boss wa wabunge kahivyo lasima wafanye tunavyo taka sisi wananchi 🇰🇪 Gen z power 💪

  • @jumak.ismail2504
    @jumak.ismail2504 7 місяців тому

    the main reasons here this Gen Z Generation is the group of boys and girls who Ruto promise them Laptops and football field, now its 12 years bado hajafanya now anakeep promise and not doing anything, promise without fulfiling Ruto must goooooooooo sugoi with his people in power and those who vote yes

  • @qerysir4410
    @qerysir4410 7 місяців тому +1

    WATZ WANAFIKIRIA KULA TU!!!

  • @JosephTibu
    @JosephTibu 7 місяців тому

    mungu ibariki tanzania😢😢😢

  • @JuliusOkoyo-s5u
    @JuliusOkoyo-s5u 7 місяців тому

    The sovereign power belong to the people and leaders must be accountable

  • @babupiza641
    @babupiza641 7 місяців тому +1

    Sio njaa hebu badili kauli kenya wanajitambua sio tz cc uchawa na ujinga

  • @RajabuKitalambo-q2u
    @RajabuKitalambo-q2u 7 місяців тому

    Kenyans mumeelimika safi sa🙏🙏🙏

  • @Lullyh
    @Lullyh 7 місяців тому +1

    Wewe SI eti njaa ,ni kipigania rights zetu weweata wenye wanapesa wanaandamana ,,,,hatukaliwi Kenya...we have democracy

  • @odipocalvin7679
    @odipocalvin7679 7 місяців тому +6

    Nani alikuambia tuko na njaa??? Wakenya hatubebwi ufala

  • @jamilahali-jg8er
    @jamilahali-jg8er 7 місяців тому

    # kenya mafee Joann kenya's Maibwah ruto, ruto baraaaa surahaaaa suraaaaah yala 😂

  • @Meaw687
    @Meaw687 7 місяців тому

    We Know our RIGHTS..its not about NJAA

  • @willynyambok1568
    @willynyambok1568 7 місяців тому

    Kenya hatuna njaa , tumesoma tuko na vyeti viko juu Sana tatizo NI ufisadi, katiba inatupa huwezo WA kuitii.

  • @brianmunanga658
    @brianmunanga658 7 місяців тому +1

    Wacheni kukataa vipengele sio wananchi wenye njaa kaka ni haki zetu tunatetea Ikifika ni umoja sisi huwa tuko vile tunajitokeza

  • @mariamkimtai693
    @mariamkimtai693 7 місяців тому

    REJECT FINANCE BILL 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪💪💪💪💪💪

  • @ALCADOJAMES
    @ALCADOJAMES 7 місяців тому +5

    Wakenya wana akili sana nawapenda sio SS tz tukitiswa tunajinyea

  • @yonarsalach5842
    @yonarsalach5842 7 місяців тому +1

    Hapa kenya kwa sasa watu wengi sana wamesoma, especially hii generation ya sasa, ila hawana kazi. Hivyo wanaelewa sana mambo yanayoendelea.

    • @Meaw687
      @Meaw687 7 місяців тому

      Most kenyans are educated. Education in kenya is a right not a privilege

  • @joyceMaleo
    @joyceMaleo 7 місяців тому +1

    Haya ya Kenya ni fundisho kwa Tanzania CCM lazima ilione hili. Mimi ni Mwanachama wa CCM, kubweteka kwa wachache Katika mifumo ya utawala inalipeleka taifa letu kwenye ukingo mbaya

  • @mwendamumbi2647
    @mwendamumbi2647 7 місяців тому +1

    Hatuna njaa

  • @xfamefatetv
    @xfamefatetv 7 місяців тому

    Mko vizuri Jana na Leo #Famefate

  • @gchalijabiri3845
    @gchalijabiri3845 7 місяців тому

    Kenya wanajielewa sanaa

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 7 місяців тому +1

    Sio kenya wananjaa ya chakula, bali wanajielewa na wanaona haki yao iko wapi. Kama njaa hata Tanzania wengi wananjaa, ila upstairs hakuna kitu. Wakidanganywa na t-shirt moja ya CCM wakati wa kampeni meno nje, tumbo hakuna kitu, miaka 5 na t-shirt ya kijani, maji, masoko, bidhaa juu wamefunga midomo. Kenya oyeee!!

  • @KenvevaElia
    @KenvevaElia 7 місяців тому +1

    Hakuna njaa.

  • @barackmuteti2012
    @barackmuteti2012 7 місяців тому

    Kenya hatuna njaa..you can't compare tz na Kenya...apo wasafi kuna mtagazaji anaeza ogea sentezi ya kigereza kweli

  • @mohanmashine3518
    @mohanmashine3518 7 місяців тому +2

    tangu nimfaham hyu osca leo ndo ameongea point

  • @lynnedarling1135
    @lynnedarling1135 7 місяців тому

    Tuna kula lakini pia tunataka tujiendeleze kwa mambo mengi na huyu anaturegesha nyuma.We Kenyans are beyond basics

  • @clouartmichael7296
    @clouartmichael7296 7 місяців тому +4

    Raisi Ruto yupo makini sana kutowapeleka watu wake ktk shimo dhidi ya ibilisi ,lakin wananchi hawajui kinachosababish hayo yote..ila ntakuja kujuta siku Ruto atakapoondok ,Hii agenda ya kidunia dhidi ya Mungu wa Mbinguni ndio shida..ila Mungu awape jicho la rohoni ..na watumishi wa Mungu muombe kwa bidii kumshinda shetani...hat misaad isipokuj uvumilien tu lakin msikubaliane n Ibilisi

    • @jaysmart3277
      @jaysmart3277 7 місяців тому

      Ju umetaja MWENYEZI MUNGU acha nisiongee sana

    • @ChumanaSusi
      @ChumanaSusi 6 місяців тому

      Mkono wa ruto huko hapo Dani kwa hizi shida zinakumba kenya za uchumi.hivi sasa. Yeye na uhuru walikopa pesa hatujui zilienda wapi wala zilifanya nini . Zikapotelea kwa benki zao. Tunakngea mkopo wa 2billion dollars amboa hukufika kenya. Weee ruto fisadi lazima jela na arudishe pesa zetu na uhuru

  • @colletatesha5265
    @colletatesha5265 7 місяців тому

    Kwa hiyo mnatuambia nni wa Tz

  • @stevekipepeo2134
    @stevekipepeo2134 7 місяців тому +3

    Hatuna njaa Acha ufalla, tunaelewa tunacho taka 😊reject finance bill

    • @IsmailiAyubu
      @IsmailiAyubu 7 місяців тому

      Sema2 munabahati ruto hajawahi kuua angelikua mwanajeshi adi sasa tungejua tunaongea mengine mafara nyie munafaa kuuawa

    • @mariamkimtai693
      @mariamkimtai693 7 місяців тому

      They don't have freedom of speech thats why they think we have hunger 😂😂😂😂 REJECT The Bill 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪💪💪💪💪💪 Ruto Must Go

    • @mariamkimtai693
      @mariamkimtai693 7 місяців тому

      ​@@IsmailiAyubu Fala ni mamako washamba nyinyi munanyanyaswa lkn bado munasifia raisi

  • @ronaldkimengich8958
    @ronaldkimengich8958 7 місяців тому +5

    Kenyans we're very strong we don't fear like you Tanzania shangazi amewakalia Sana 😂😂 gen Z have open our eyes 👀 Kabisa

  • @AndieliBwala
    @AndieliBwala 7 місяців тому

    Tanzania sisi hatuna Njaa... Tunataka #RutomustGo

  • @goodhelpnolland7787
    @goodhelpnolland7787 7 місяців тому

    Mko sawa lakini mbona yakwenu hamuongei mkokimia kama hamna kinachoendelea,mgomo wa wafanyabiashara hawasikilizwi kero zao Kariakoo maduka yamefungwa na mikoa mingine pia wafanyabiashara wamefunga maduka yao wapazie sauti

  • @japhetkahindi4791
    @japhetkahindi4791 7 місяців тому

    Asanteni Tanzania

  • @eunicejackson2851
    @eunicejackson2851 7 місяців тому +1

    Hatuna njaa uelewe hilo,,twaifahamu katiba

  • @thehubtvke
    @thehubtvke 7 місяців тому

    Wewe hatuna njaa tujua haki zetu

  • @noahlameck1564
    @noahlameck1564 7 місяців тому

    Nyie wenyewe wasafi ni kusifiasifia tu serikali ata wanapo pitisha miswada kandamizi

  • @themion4263
    @themion4263 7 місяців тому

    Brother hawana njaa hao,wanajitambua. nchi yako wapo wenye njaa wengi tu.oscar anakosea,hawa tunasema wana self esteem.

  • @BrasceLahtney
    @BrasceLahtney 7 місяців тому

    The first speaker is saying non sense,,,, there is a difference between finance bill and hunger,,,,, acha kuropokwa mzee,,,, but the second one is very very well informed,,,,,

  • @ChumanaSusi
    @ChumanaSusi 6 місяців тому

    Tunataka audit ya deni ya nchi tujue pesa ilikopwa ya nini na hawa viongozi. Hiyo tu. Kisha Ruto must go mwizi.Ati wakope pesa za nchi alafu wafiche na tusione kile hiyo mikopo ilifanya. Haitowezekana. Siko za ufisadi na wizi kenya kwa pesa ya uma ini.kwisha.

  • @HawaaHamadi
    @HawaaHamadi 7 місяців тому

    Hatutaki kuongezewa ushuru Oscar lkn si njaa hapa kwenye maandamano kuna watu wameshiba tu sana mbona .Kuna mpk wenye pesa zao kwenye haya Maandamano.

  • @maroajames254
    @maroajames254 7 місяців тому +1

    At sisi wakenya ni wananchi wenye njaa??? Wewe rekebisha io statement, sisi hatupendi viongozi wafanye mambo yao na huku sisi ndio tumewatuma huko watuwakilishe

    • @BrasceLahtney
      @BrasceLahtney 7 місяців тому

      Yes the first one is just talking nonsense but huyu WA pili ako sawa

  • @monnisjnr4875
    @monnisjnr4875 7 місяців тому

    Kenya hatuogopi sisi

  • @pinchesmbuche4354
    @pinchesmbuche4354 7 місяців тому

    Sio njaa ni haki tunajua na uhuru tunao.

  • @cidewashington670
    @cidewashington670 7 місяців тому

    Waongeaji hawa nao hawajitambui vilevile km Ruto,viongozi wengi wa Afrika ni vibaraka na sio kwa maslahi kwa wananchi wao

  • @satarantonio3077
    @satarantonio3077 7 місяців тому +1

    kenya tofauti na sisi sukali elfu 5000 tunapiga makofi kenya wanajitambua wako sawa cc mabogazo tz wote

  • @babiz255
    @babiz255 7 місяців тому +1

    Ishu sio njaa Oscar ishu jamaa hawajakubari kuishi ndani ya sera za unyonyaji they know their right. Amin sisi tunaimua zaid yao lakin hatuna ile patriotism tunabaki kunong'ona tu

    • @broamz
      @broamz 7 місяців тому

      Nimependa comment yako

  • @atlatt-t8z
    @atlatt-t8z 7 місяців тому

    Situation of vajah Shibu bhav

  • @adiaygo8546
    @adiaygo8546 7 місяців тому

    Na Sisi Kuna siku tutaenda DODOMA Kwa miguu watu mjengon jiandaeni wakina mwingilu Na faini zenu kandamizi Za ml15😅😅😅

  • @jaysmart3277
    @jaysmart3277 7 місяців тому

    Kwa taarifa yako Wakenya hatuna njaa nikusoma tumesoma sana na hatuna kwa kupeleka madegree zetu ju government imebana jobs ndio tunataka better leadership

  • @Nick_threesixty
    @Nick_threesixty 7 місяців тому

    Mwananchi mwenye njaa ndo nani sasa ?? 🤨

  • @johnkabucho6850
    @johnkabucho6850 7 місяців тому +1

    Sio njaa ni kwamba wamejisahau tunawakumbusha sisi ndio MABOSSI WAO.
    #STAYWOKE

    • @darelet
      @darelet 7 місяців тому

      sasa stay woke inatokea wapi

    • @johnkabucho6850
      @johnkabucho6850 7 місяців тому

      @@darelet with time utakuja kujua pahali inatokea

    • @darelet
      @darelet 7 місяців тому

      @@johnkabucho6850 Unataka kuleta hizo wazimu za majuu? Hiyo sahau

    • @johnkabucho6850
      @johnkabucho6850 7 місяців тому

      @@darelet Sawa mkuu

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 7 місяців тому

    Sio watu kama hawa and amani wanakuwa wameshiba niwajinga nchi zenye watu wanaojitambua wenye elimu wanaandamana fasta shida watanzania mwenge umetufanya tuwe hivi na pia ushabiki wa yanga na simba ndio kabisaaa umetufanya tuwe mandondicha zaidi utakuta kutwa nzima watu wanabishana mpira wa yanga na simba wakati maisha ni magumu

  • @FettyOriginal
    @FettyOriginal 7 місяців тому +1

    Wa kenya wamesoma na wanatumiya elimu zao vizur wewe ndo mwenye njaaa

  • @mnyamabon
    @mnyamabon 7 місяців тому

    Cheki huyu fala anadhani tuko njaa..these people

  • @GabrielSky64
    @GabrielSky64 7 місяців тому +1

    Watangazaji Kumbe muda mwingine muda kuwa na akiri timamu 😅

  • @bestman8182
    @bestman8182 7 місяців тому

    Ishu sio njaa tu wala kujua haki bali na polisi wao wanajielewa. Polisi wa nchi jirani wao wanakufyatua kweli tena live kwa risasi😅

  • @hajjisanga789
    @hajjisanga789 7 місяців тому

    Kusoma nini sasa au kusoma sasa kila wakati maandamano na kuiba vitu vya watu sasa kama kusoma ndio vurugu sasa mmesoma halafu mnapitisha vitu vya ovyo kusoma halafu muwe na busara yani hekima kusoma Bila hekima ni bure

  • @festokemibala5832
    @festokemibala5832 7 місяців тому

    Hapa kwetu wanadhani upepo huu watauepa kwa vitisho vya "..unahubiri shari.." badala ya kurekebisha pale penye mkoroganyo! Tunisia na Misri pia Kenya ni fundisho.
    Uchawa bungeni na sera za ndiyooo, mwisho unachungulia

  • @EddySempay-qf1on
    @EddySempay-qf1on 7 місяців тому

    Sisi watanzania mpaka kwenye vocha mb zote nihatari ilahatuna lakusema cz tulisha logwa

  • @YohanaMagembe-i6z
    @YohanaMagembe-i6z 7 місяців тому

    Magufuli alikuwa jiniazi sana maana aliwalinda sana watu wa chini lakini sasa mhuuu

  • @lattentwriter6918
    @lattentwriter6918 7 місяців тому

    Hatutapangwa na zakayo

  • @MuchaiSamuel-tm8xg
    @MuchaiSamuel-tm8xg 7 місяців тому

    We Acha ukuma hamna cha njaa nikujua haki zao kuma wwe😮

  • @danielsituma5809
    @danielsituma5809 7 місяців тому

    Huyo mjinga,eti njaa.Kenyans hawakubali kugandamizwa.

  • @AbdulHakeem-eo9ep
    @AbdulHakeem-eo9ep 7 місяців тому

    Mwenye njaa nani ? Hatuna njaa

  • @ashleyluyai3509
    @ashleyluyai3509 7 місяців тому

    Correction amuna jaa Kenya but tunataka haki yetu kenya

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 7 місяців тому

    Inchi zetu sio maskini ira tuna viongozi vibaraka wauzaa inchi omba omba

  • @Rajab-Raj
    @Rajab-Raj 7 місяців тому +1

    #rejectfinancebill