MAISHA YA MAREKANI NI YA MADENI | WENGI WANAKUFA KWA STRESS YA PESA | ELIMU YA FEDHA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 27 сер 2024
  • Jajojo ambae anaishi Marekani tokea mwaka 1995, ameeleza Safari yake na changamoto za kuishi marekani.
    Ambapo amesema changamoto kuu ni MADENI
    Anakwambia System imetengenezwa kukushawishi kuchukua mikopo ambayo baadae inageuka kua mateso kwako.
    Anasema alijifunza elimu ya fedha baada ya kupatwa na mkasa wa Mkopo.
    Na sasa anatoa elimu kwa watu juu la namna gani ya kuepuka Mkopo na kuongeza kipato chako.
    Unaweza kuwasiliana nae kupitia jajojo@jajojo.com kwa kumuandikia barua pepe.
    Thank you Jajojo for allowing this to be online
    www.oda.international

КОМЕНТАРІ • 137