HISTORIA YA MAJJINI // SHEIKH OTHMAN MAALIM

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 6 жов 2024
  • USISAHAU KU SUBSCRIBE

КОМЕНТАРІ • 53

  • @momadesuales
    @momadesuales 3 місяці тому +11

    Shaikh Othuman maalim yupo vizuri katika kufafanua Qur'an na Hadith za mtume s.a.w mungu akupe maisha marefu shaikh wetu tuzidi kufaidika na iilmu yako shaikh

  • @PrincessZAmlima-qh1uq
    @PrincessZAmlima-qh1uq 3 місяці тому +6

    Elimu kubwa ....Allah awafanye wengine waipate kupitia hii clip ya Shk Othman

  • @mbwanamtops4936
    @mbwanamtops4936 4 місяці тому +5

    Alhamdulillah ,jazaka Allah Kheur

  • @RahimChande
    @RahimChande 2 місяці тому +2

    ALLAH amjaalie Pepo

  • @سعدياقوت-ت2خ
    @سعدياقوت-ت2خ 3 місяці тому +3

    Ma shaa allah Tabarakallah napenda sana unavyo ichambua Qur'an Sheikh Othman Maalim Shukran sana sheikh wangu ❤❤❤❤

  • @sidesaid4604
    @sidesaid4604 4 місяці тому +6

    MIE NAKUELEWA SANA SHEIKH WANGU...ALLAH AKUBARIQ SANA

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 2 місяці тому +1

    Mimi Kiukweli Uyu Shee Napenda Sana Mawaidha Yake Mana Anajua Kufafanua Kwa Umakini Sana Kwa Mujibu Wa Vitabu Vya Imani

  • @MindaWilson-d7i
    @MindaWilson-d7i 3 місяці тому +1

    Mashaallah moe unapochambuaga quran uwa najiskia faraja sana nakuwaga na utulivu mkubwa nakuelewa sababu upo kwajiri ya kumwelewesha mtu amfuate Allah,,kwakweli Allah akusimamie ivoivo

  • @abdallahkawambwa6179
    @abdallahkawambwa6179 4 місяці тому +3

    😢JAZAKA LLAHU KHEIYRU SHEIK MOLA AKULINDE ZAID NA MAADUI WKO ISHAALLAH

  • @MindaWilson-d7i
    @MindaWilson-d7i 3 місяці тому +1

    Mashaallah moe unapochambuaga quran uwa najiskia faraja sana nakuwaga na utulivu mkubwa nakuelewa sababu upo kwajiri ya kumwelewesha mtu amfuate Allah,,kwakweli Allah akusimamie ivoivo ❤❤❤❤❤

  • @andrewmoi2186
    @andrewmoi2186 4 місяці тому +14

    Kama wewe unawaogopa Majin ebu jaribu kumuifathi mwenyezi mungu ndani ya moyo wako alafu utaona uwezi kuogopa majini na wachawi

  • @NgarigariOmari
    @NgarigariOmari 4 місяці тому +2

    Jazaakallahu khair

  • @MwanlyGogo
    @MwanlyGogo 2 місяці тому

    Waisilamu hatuwaogope majini ila tumuogope mwenyez mungu ametakasika subuhanaka

  • @Kautharkabanga
    @Kautharkabanga 4 місяці тому

    Shukran yaaah shekhe Othman maalim

  • @NanaHsn525
    @NanaHsn525 4 місяці тому

    Allah akupe afia ma umri sheik Othman

  • @husseinibrahim5438
    @husseinibrahim5438 4 місяці тому +3

    AMEEN YAA RABAL ALAMEEN ❤❤❤❤

  • @husseinchaka1821
    @husseinchaka1821 4 місяці тому +1

    Somo zuri Sana ,Dr sullez ako Sawa Kwa mafundisho yake .

  • @alyehemed4477
    @alyehemed4477 4 місяці тому

    Mashaallah Mashaallah sauti nzuri sana unapoisoma quran

  • @dokadoka9426
    @dokadoka9426 2 місяці тому

  • @HeriethMatemba
    @HeriethMatemba 4 місяці тому

    Mungu akujaaliye barak na akujaalie mwisho mwema

  • @IbrahimMambo-l9r
    @IbrahimMambo-l9r 3 місяці тому

    ❤Mashaallah

  • @farris_2549
    @farris_2549 3 місяці тому

    Sheikh wet u Allah akuhifadhi.

  • @azzaaltouqi2323
    @azzaaltouqi2323 4 місяці тому

    بركه الله فيك شيخنا الله يحضيك ماشاء الله تبارك الله

  • @IssaSalim-kv4gr
    @IssaSalim-kv4gr 4 місяці тому

    Jazakallah khaira

  • @ZainatManzi
    @ZainatManzi Місяць тому

    😊

  • @UstadhiRai
    @UstadhiRai 3 місяці тому

    Taybu taybu ❤🎉mufti Athuman

  • @a.856
    @a.856 4 місяці тому

    Jazakallah khayran

  • @businesscenterenglishcours9136
    @businesscenterenglishcours9136 3 місяці тому

    mashaAllah

  • @mukhtaromar-g5p
    @mukhtaromar-g5p 3 місяці тому +1

    ❤❤❤❤❤

  • @saidkokani
    @saidkokani Місяць тому

    Mung ampe upright kudanya daawa

  • @WonderfulSeagull-lg1tz
    @WonderfulSeagull-lg1tz 4 місяці тому +1

    Waalykum Salam warahmatulah wabaraktuh

  • @husseinchaka1821
    @husseinchaka1821 4 місяці тому +5

    Masheikh ambao hawana elimu ya majini wakubali na kujitokeza mbele ya Dr sullez kabila umauti umechukue ,wanyoshe Jambo hili,sio kupiga makelele mtandaoni.kenya kulikuwa na sheikh aboud rogo ,alikuwa akipenda kuzungumzia jihad na kuhumiza waisilamu wasiwe wanyonge mbele ya makafiri ,wako masheikh ambao walimpinga ingawa walikosa hoja za msingi ,wakazua uzushi kitu kilicho sababisha umauti WA sheikh aboud rogo.tusiwe wanafiki Kwa minajili ya dunia .mwenye anapinga Dr sullez aende kumuona ili kuzidi kupambanua hili swala la majini.

  • @OmarOmar-q2q
    @OmarOmar-q2q 3 місяці тому

    Duh

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 4 місяці тому +1

    Assalamu alykum warhatuallah wabarakatuh

  • @nabiimgongolwa8728
    @nabiimgongolwa8728 3 місяці тому +1

    MIMI NASHANGAA, BADALA YA KUSHUGHULIKIA MAADILI YA TUNAHUBIRI KUHUSU MAJINI SISI MAJINI HAYATUHUSU. VIJANA WANAHARIBIKA VIONGOZI MMEKALIA KUHUBIRI MAJINI!!!!

  • @SaidMgeni
    @SaidMgeni 4 місяці тому +2

    مشأ الله

  • @StellahGirgis
    @StellahGirgis 4 місяці тому

    Bora umesema jini na sshetani kitu kimoja nimeukelewa

    • @zaidiissa3714
      @zaidiissa3714 3 місяці тому

      Lakini lazima pia uwelewe wanapo kosea ndio wanaitwa mashetani yaani shetani nisifa ya tendo

  • @alijuma7674
    @alijuma7674 4 місяці тому

    Hakika majini ni viumbe km sisi tofauti yake ni kuwa wao wameumbwa kwa moto na wao sisi hatuwaoni

  • @issackmakanga5603
    @issackmakanga5603 3 місяці тому

    Majini walifukuzwa mbinguni kwa ajili ya kuasi,nyinyi waislam mumejiunga nao katika ibaada, Je! mna uhakika sala yenu inaenda mbinguni?

  • @FaridaYusuph-x2z
    @FaridaYusuph-x2z 3 місяці тому

    Kuna watu hawana akili kwakwel hiv hujui afya ndo kila kitu lakin?hao vijana ndo wanaharibika na mashetan walioasi

  • @MindaWilson-d7i
    @MindaWilson-d7i 3 місяці тому

    Mashaallah moe unapochambuaga quran uwa najiskia faraja sana nakuwaga na utulivu mkubwa nakuelewa sababu upo kwajiri ya kumwelewesha mtu amfuate Allah,,kwakweli Allah akusimamie ivoivo ❤❤❤❤❤

  • @MindaWilson-d7i
    @MindaWilson-d7i 3 місяці тому

    Mashaallah moe unapochambuaga quran uwa najiskia faraja sana nakuwaga na utulivu mkubwa nakuelewa sababu upo kwajiri ya kumwelewesha mtu amfuate Allah,,kwakweli Allah akusimamie ivoivo

  • @user-to6up4hg2w
    @user-to6up4hg2w 4 місяці тому +1

    ❤❤❤❤

  • @MindaWilson-d7i
    @MindaWilson-d7i 3 місяці тому

    Mashaallah moe unapochambuaga quran uwa najiskia faraja sana nakuwaga na utulivu mkubwa nakuelewa sababu upo kwajiri ya kumwelewesha mtu amfuate Allah,,kwakweli Allah akusimamie ivoivo ❤❤❤❤❤