HISTORIA YA MAJJINI // SHEIKH OTHMAN MAALIM

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 лют 2025
  • USISAHAU KU SUBSCRIBE

КОМЕНТАРІ • 68

  • @momadesuales
    @momadesuales 7 місяців тому +13

    Shaikh Othuman maalim yupo vizuri katika kufafanua Qur'an na Hadith za mtume s.a.w mungu akupe maisha marefu shaikh wetu tuzidi kufaidika na iilmu yako shaikh

  • @PrincessZAmlima-qh1uq
    @PrincessZAmlima-qh1uq 7 місяців тому +6

    Elimu kubwa ....Allah awafanye wengine waipate kupitia hii clip ya Shk Othman

  • @waynejohn2239
    @waynejohn2239 29 днів тому

    Mansha alha GOd bless all Muslim ❤❤

  • @IsdoryNasibu
    @IsdoryNasibu Місяць тому

    Mollah akupe maisha marefu ili tupate mafunzo na yatokayo katika hadhi za mtumie wetu inshaallah

  • @FatmaAbdi-i3y
    @FatmaAbdi-i3y 2 місяці тому +1

    Shukran Allah akuhifadhi ustadh wetu

  • @سعدياقوت-ت2خ
    @سعدياقوت-ت2خ 7 місяців тому +3

    Ma shaa allah Tabarakallah napenda sana unavyo ichambua Qur'an Sheikh Othman Maalim Shukran sana sheikh wangu ❤❤❤❤

  • @AhmedArbou
    @AhmedArbou Місяць тому

    Au’udhu billah sami’i a’aliim, aamantu billah a’adhiim, wakafartu biljibitwy waltwaangut wastamsaktu bil u’urwat wudhkaa namfisw a’amalahaa, wahuwa samiu a’aliim

  • @sidesaid4604
    @sidesaid4604 8 місяців тому +6

    MIE NAKUELEWA SANA SHEIKH WANGU...ALLAH AKUBARIQ SANA

  • @RahimChande
    @RahimChande 7 місяців тому +2

    ALLAH amjaalie Pepo

  • @TarwiyaHassan
    @TarwiyaHassan 3 місяці тому +1

    ALLAH AKBAR

  • @mbwanamtops4936
    @mbwanamtops4936 8 місяців тому +5

    Alhamdulillah ,jazaka Allah Kheur

  • @rajababdallah9266
    @rajababdallah9266 Місяць тому

    Mashallah

  • @FuadKhalfan
    @FuadKhalfan 2 місяці тому

    Jazaaka Allah

  • @SwamaduAbuu
    @SwamaduAbuu 3 місяці тому

    Mashaala mungu akufungulie milango pepon

  • @NeemaAbdallah-k3f
    @NeemaAbdallah-k3f 8 днів тому

    Amen 🙏🙏🙏

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 6 місяців тому +1

    Mimi Kiukweli Uyu Shee Napenda Sana Mawaidha Yake Mana Anajua Kufafanua Kwa Umakini Sana Kwa Mujibu Wa Vitabu Vya Imani

  • @abdallahkawambwa6179
    @abdallahkawambwa6179 8 місяців тому +3

    😢JAZAKA LLAHU KHEIYRU SHEIK MOLA AKULINDE ZAID NA MAADUI WKO ISHAALLAH

  • @simainassor4574
    @simainassor4574 16 днів тому

    mashaallah

  • @MindaWilson-d7i
    @MindaWilson-d7i 7 місяців тому

    Mashaallah moe unapochambuaga quran uwa najiskia faraja sana nakuwaga na utulivu mkubwa nakuelewa sababu upo kwajiri ya kumwelewesha mtu amfuate Allah,,kwakweli Allah akusimamie ivoivo ❤❤❤❤❤

  • @ZaharaIssa-mj3di
    @ZaharaIssa-mj3di 3 місяці тому

    Tunashukuru kwa darasa Alla akulipe

  • @andrewmoi2186
    @andrewmoi2186 8 місяців тому +14

    Kama wewe unawaogopa Majin ebu jaribu kumuifathi mwenyezi mungu ndani ya moyo wako alafu utaona uwezi kuogopa majini na wachawi

  • @MwanlyGogo
    @MwanlyGogo 7 місяців тому

    Waisilamu hatuwaogope majini ila tumuogope mwenyez mungu ametakasika subuhanaka

  • @farris_2549
    @farris_2549 7 місяців тому

    Sheikh wet u Allah akuhifadhi.

  • @MindaWilson-d7i
    @MindaWilson-d7i 7 місяців тому

    Mashaallah moe unapochambuaga quran uwa najiskia faraja sana nakuwaga na utulivu mkubwa nakuelewa sababu upo kwajiri ya kumwelewesha mtu amfuate Allah,,kwakweli Allah akusimamie ivoivo

  • @saidkokani
    @saidkokani 5 місяців тому

    Mung ampe upright kudanya daawa

  • @husseinchaka1821
    @husseinchaka1821 8 місяців тому +1

    Somo zuri Sana ,Dr sullez ako Sawa Kwa mafundisho yake .

  • @UstadhiRai
    @UstadhiRai 7 місяців тому

    Taybu taybu ❤🎉mufti Athuman

  • @NanaHsn525
    @NanaHsn525 8 місяців тому

    Allah akupe afia ma umri sheik Othman

  • @NgarigariOmari
    @NgarigariOmari 8 місяців тому +2

    Jazaakallahu khair

  • @husseinibrahim5438
    @husseinibrahim5438 8 місяців тому +3

    AMEEN YAA RABAL ALAMEEN ❤❤❤❤

  • @WonderfulSeagull-lg1tz
    @WonderfulSeagull-lg1tz 8 місяців тому +1

    Waalykum Salam warahmatulah wabaraktuh

  • @TEACHERt3y
    @TEACHERt3y 8 місяців тому

    Shukran yaaah shekhe Othman maalim

  • @HeriethMatemba
    @HeriethMatemba 8 місяців тому

    Mungu akujaaliye barak na akujaalie mwisho mwema

  • @azzaaltouqi2323
    @azzaaltouqi2323 8 місяців тому

    بركه الله فيك شيخنا الله يحضيك ماشاء الله تبارك الله

  • @IbrahimMambo-l9r
    @IbrahimMambo-l9r 7 місяців тому

    ❤Mashaallah

  • @businesscenterenglishcours9136
    @businesscenterenglishcours9136 7 місяців тому

    mashaAllah

  • @alyehemed4477
    @alyehemed4477 8 місяців тому

    Mashaallah Mashaallah sauti nzuri sana unapoisoma quran

  • @attitum5954
    @attitum5954 4 місяці тому

    I enjoy this Sheikh's darsa. However, this video is noisy and very disturbing for the sick like myself.

  • @a.856
    @a.856 8 місяців тому

    Jazakallah khayran

  • @IssaSalim-kv4gr
    @IssaSalim-kv4gr 8 місяців тому

    Jazakallah khaira

  • @dokadoka9426
    @dokadoka9426 7 місяців тому

  • @SaidMgeni
    @SaidMgeni 8 місяців тому +2

    مشأ الله

  • @user-to6up4hg2w
    @user-to6up4hg2w 8 місяців тому +1

    ❤❤❤❤

  • @ZainatManzi
    @ZainatManzi 5 місяців тому

    😊

  • @husseinchaka1821
    @husseinchaka1821 8 місяців тому +5

    Masheikh ambao hawana elimu ya majini wakubali na kujitokeza mbele ya Dr sullez kabila umauti umechukue ,wanyoshe Jambo hili,sio kupiga makelele mtandaoni.kenya kulikuwa na sheikh aboud rogo ,alikuwa akipenda kuzungumzia jihad na kuhumiza waisilamu wasiwe wanyonge mbele ya makafiri ,wako masheikh ambao walimpinga ingawa walikosa hoja za msingi ,wakazua uzushi kitu kilicho sababisha umauti WA sheikh aboud rogo.tusiwe wanafiki Kwa minajili ya dunia .mwenye anapinga Dr sullez aende kumuona ili kuzidi kupambanua hili swala la majini.

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 8 місяців тому +2

    Assalamu alykum warhatuallah wabarakatuh

    • @AlhajiIssa-jb9hr
      @AlhajiIssa-jb9hr 3 місяці тому +1

      Waalykumussalaam warahmatullah'hi wabarakaatuh ❤

  • @nabiimgongolwa8728
    @nabiimgongolwa8728 8 місяців тому +1

    MIMI NASHANGAA, BADALA YA KUSHUGHULIKIA MAADILI YA TUNAHUBIRI KUHUSU MAJINI SISI MAJINI HAYATUHUSU. VIJANA WANAHARIBIKA VIONGOZI MMEKALIA KUHUBIRI MAJINI!!!!

  • @OmarOmar-q2q
    @OmarOmar-q2q 7 місяців тому

    Duh

  • @StellahGirgis
    @StellahGirgis 8 місяців тому

    Bora umesema jini na sshetani kitu kimoja nimeukelewa

    • @zaidiissa3714
      @zaidiissa3714 7 місяців тому

      Lakini lazima pia uwelewe wanapo kosea ndio wanaitwa mashetani yaani shetani nisifa ya tendo

  • @alijuma7674
    @alijuma7674 8 місяців тому

    Hakika majini ni viumbe km sisi tofauti yake ni kuwa wao wameumbwa kwa moto na wao sisi hatuwaoni

  • @FaridaYusuph-x2z
    @FaridaYusuph-x2z 7 місяців тому

    Kuna watu hawana akili kwakwel hiv hujui afya ndo kila kitu lakin?hao vijana ndo wanaharibika na mashetan walioasi

  • @issackmakanga5603
    @issackmakanga5603 7 місяців тому

    Majini walifukuzwa mbinguni kwa ajili ya kuasi,nyinyi waislam mumejiunga nao katika ibaada, Je! mna uhakika sala yenu inaenda mbinguni?

    • @HassanSadiki-l5c
      @HassanSadiki-l5c 3 місяці тому

      Unajuwa kuongea ila hauna elimu Wala ufahamu kw unacho ongea....
      Mungu ALIUMBA majini na watu....
      Ila hakuna mahali Mungu ALIUMBA sheitwan ama iblis kama tunavyo muita ...
      Bali sheitwan au Iblis ni jini aliye muasi Allah ..
      Na ndio maana Masheitwan ni majini na watu(Quran: suratul Nas)

  • @MindaWilson-d7i
    @MindaWilson-d7i 7 місяців тому +1

    Mashaallah moe unapochambuaga quran uwa najiskia faraja sana nakuwaga na utulivu mkubwa nakuelewa sababu upo kwajiri ya kumwelewesha mtu amfuate Allah,,kwakweli Allah akusimamie ivoivo

  • @MindaWilson-d7i
    @MindaWilson-d7i 7 місяців тому

    Mashaallah moe unapochambuaga quran uwa najiskia faraja sana nakuwaga na utulivu mkubwa nakuelewa sababu upo kwajiri ya kumwelewesha mtu amfuate Allah,,kwakweli Allah akusimamie ivoivo ❤❤❤❤❤

  • @mukhtaromar-g5p
    @mukhtaromar-g5p 8 місяців тому +1

    ❤❤❤❤❤

  • @MindaWilson-d7i
    @MindaWilson-d7i 7 місяців тому +1

    Mashaallah moe unapochambuaga quran uwa najiskia faraja sana nakuwaga na utulivu mkubwa nakuelewa sababu upo kwajiri ya kumwelewesha mtu amfuate Allah,,kwakweli Allah akusimamie ivoivo ❤❤❤❤❤