MWANRI AVUNJA WATU MBAVU AMWAMBIA MAJALIWA "SAUTI HII NI MSISITIZO TU MKUU, MI SIWEZI KUKUGOMBEZA"
Вставка
- Опубліковано 8 вер 2024
- Ni Mkuu wa Mkoa wa Tabora Agrey Mwanri akiongea mbele ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Majaliwa Kassim Tabora kwenye jukwaa la kufungua fursa za kibiashara kwa Tabora.
Wanaotamani kuwa wanyamwezi kisa mkuu wa mkoa huyu hebu nipeni like zangu tafadhali.
wanyamwezi wanatamani kuwa wachaga...😊😊😊MWANRI HATARI SANA
😂😂 acha inchii hii ikamatwe na wanaume alafu inyooke kama cremp kah!!!! Halafu tueshimiane humu ndani😂😂😂😂
😂😂😂😂😂 Huyu mzee huwa ananipa raha sana. Walahi hiki kibarua kikifika ukomo, awe mchekeshaji jukwaani. Ni ajira tosha, binafsi nitalipa kiingilio.
funney bozzen Daddy muheshimiane wanawake pind wanaume tuko vitan
😀😀😀😀😀😀😀😀
Mrithi wa mzee majuto😂😂 kama unabisha nyoosha mkono juu, jifanye kama unajikuna
Hatar mno acha nchi ikamatwe.......
Kweli Mwanri kiboko
Ama bwakila
Tunakupongeza Muheshimiwa Mwanri kwa kazi safi inayoleta maendeleo Tabora na Tanzania.
Sauti hii ni msisitizo tu mkuu wangu 😂😂😂
Mh. Aggrey Mwanri ni so very creative and fast thinking person
Huyu mkuu wakoa anauwezo mkubwa sana wa kufikiria na kuongea naona hata ukuu wa mkoa Haumtoshi Apewe Uwaziri wa TAMISEMI ndio atapata muda wa kuisaidia Tanzania kwa kila mkoa jamani,Hii akili sio ya kawaida😂😂😂😂😂😂😂 Acha nchi hii ikamatwa na wanaume inyooke kama Cremp ili watu tuheshimiane Humu ndani,kama unabisha nyoosha🕺🕺🕺🕺 mkono ujifanye kama unajikuna uone.🏃🏃🏃🏃
Dr. Johnson Nyamohanga Alisha wahi kuwa waxir wa hiyo wizara kabla hajawa mkuu wa mkoa
m
alishawah kuwa naibu waziri wa tamisemi
Shirawadu
yaan nampenda bure anaongea Kwa msisitizo
Jamani watoto wake huyu natamani kujua wanaishi vipi😂😂😂😂 sio kwa userious huu aiseee. Hongera Sana mkuu
agreyyyyyyyyy hahaaaaaa I love you,,,,, tembea na YESU amen
Acha inchi ikamatwe na wanaume afu tuheshimiane humu ndani
Nikweli tunaomba njia 2020 Pipooooooooop tu
Roho mtakatifu taala mbavu zangu maana, nimechekaaaaa xna
Emmanuel Msumi uiiiiiiiiiiiiiii g..
Mmh Mi hata sielewi maana sijui kama sanaa yangu nitafika mbali maana Viongozi wa nchi hii wanaongoza huku ni wasanii tena Wana kila aina ya Burudani sasa sisi up coming tutatokea njia gani wakati nchi nzima inaongozwa na wasanii😀😀😀🙌🙌🙏
Haaaaaa
Tony mnyama acha ku judge kupitia clips fuatilia mazungumzo kuanzia mwanzo hadi mwisho....unafeli broo sasa unajiita upcoming politician then unafatilia tu clips hujui clips zinatengenezwa kwa maana ipi?????
@@yahayakisuda7916 uwage unaelewa na wewe
duuhhhh pole sana
Akili yako ni ndogo sana plus wivu
Mh.Aggrey Mwanri hahika unajielewa na sisi tuko bega kwa bega kukuunga mkono.
Said Hamad Huyu mzee tunamuhitaji manyara
+Leskar Meikok umeonaee
KWA MARA YA KWANZA NIMEONA ANACHEKA.
Jifanye unajikuna🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Huyu ndo raisi wetu mtarajiwa anae kubaliana na me dondosha like
Hii sauti nita msisitizo tuu mkuu siwezi kukufokea 😄😄😄😄😄
Salute mkuu wa mkoa wangu.
He will become the next president. 👏👏👏👏
😅😅😅😅😀😀😀😀 Nyooosha mkono jifanye kama unajikuna uone....
kama uabisha kuwa uyu mkuuwamkoa cy kiboko jifanye kama unajikuna
Piga kazi RC wajina wangu,anaebisha anyooshe kidole juu walau ajifanye Kama anajikuna
Hahaha ha haa eti anayebisha anyoshe mkono au awe kama anajikuna atachomwa ndani 😆😅😂😤😷🙌💪👍
safii sanaa MUNGU awalindi viongozi waawamu yatano wote aijawaitokea duniani
Umesema kweli rc kbc
Kazi kazi jifanye unajikunakuna
Acha nchii hii ikamatwe na wanaumeeee!!!! Nimecheka sansasa
huyu mkuu wa namkubali sana, anafaa aje ainyooshe geita
Naomba serikali ya Tanzania mpeni huyu mzee uwaziri.please your Excellency
safi Sana mkuu wa mkoa wa tanyooka tuuu
Naomba ukasubscribe youtube chann yangu na endelea kusapot mziki mzuri🙏🔥💜😃
Big up mh Aggrey Mwanri
nice
jifanye kama unajikuna haha hahaaa
Mkuu wa Mkoa wa Tabora Agrey Mwanri tunaomba HOTUBA ZAKO ZICHAPISHWE KWENYE VITABU MUNGU AKULINDE DAIMA
Ivi wangapi wanamfananisha na jengua
You are so funny..
mnafunguwa viwanda vingi lakini hamjali hali za wafanyakazi watu wanaonewa ,wananyanyaswa,wanaunderpaid halafu kiongozi mkubwa anakuja as if he doenst care !sifa ni kufunguwa viwanda lakini viwanda ni vya wageni ambao wanapata faida kweli wanavuna lakini mfanyakazi anaonewa wala hana haki ni kama UKOLONI wala hizo ajira za laki mbili kwa mwezi ndio zitaikombowa tanzania katika umasikini kweli?Wizara ya kazi wanapokea bahasha ,viongozi wanapokea bahasha tu uwekezaji ni wa kumfaidisha mgeni tu ah!
Kweli hapa Ni Kazi tu .kufagia na kupanda miti tu
𝗠𝗪𝗔𝗡𝗥𝗜...𝗜𝗦𝗔𝗟𝗨𝗧𝗘 𝗬𝗢𝗨 𝗙𝗥𝗢𝗠 𝗞𝗘𝗡𝗬𝗔😂😂😂😂😂
Nakuombea kwa mungu uwe rais
Huyu mzeeee ana vituko sanaaa
Jamani Mimi natokea Kilimanjaro lkn natamani apewe ukuu Wa mkoa Wa Kilimanjaro au awe warizi Wa tamisemi
kama unatamani huyu awe mkuu wa mkoa wako ulipo nyoosha kidole jifanye unajikuna 😂😂
ase ni noma xnaa
Huyu n comedy♨♨♨
Myuuuu weee mbab
hahahahah wewe kama una bisha nyosha mkono juu nifanye kama unajikuna hahahahha Heshima yako Mzeee baba
Ndioo ndio mkuu
Huyu bwana agombee urais baada ya magu😀😀😀😀
Daa huwa nafurahi sana
Huyu mzee balaa
Jembeee
Roho Mtakatifu atawale moyo wangu
Tuheshimiane humu ndani
Another matiang'i
nataman uyu mzee acheke
😝😝😝😝 ninachosema ee mungu nisaidie 😆😆😆😆
Natamani awe waziri mana anaweza sana.
Bonyeza link Hapo Chini Uone Maisha Ya Rose Mhando Yalivyo Magumu Mpaka Uruma Duuu ua-cam.com/video/FNRmIksRQNI/v-deo.html
Nomasana
Piga kazi mkuu!
nakukubal sana mkuuu piga mzg haaaaaaaaaaaa😁😁😁😁😁😁😁😁😁
Anaebisha aseme au anyooshe mkono au ajifanye anajikuna kichwa
"Kama ni noma na iwe noma"
kama comedy hivi !!
Nakukubali sana
Jifanye kama unajikina t
sukuma ndani
Kiboko Mwamba
Asilimia zote zake
Uongozi = Leadership .
Serious Comedy
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌
Mheshimiwa😂😂😂
ibrahimu pasha pargal prime minstry
Je unahitaji kutengenezewa matangazo ya biashara katika mfumo wa redio?. Nicheki watsaap Kwa 0752454400.
Siku hizi kila binadamu kawa kituko
Hahhahahhahah roho mtakatifu tawala mbavu zangu
.
Eee mimi namkubali nikiwa +966 mbavu zangu jamanj
huyu muheshmiw inabd awe na channel yake yutube..
Jaman natamani kuhamia tabora
Haaaaa
.
Lazima watu wanyooke.
Hahahahaha.
Hahahahahahahahahah
natamani awe lais
laisi ndio nn
laisi ndio nn
😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣
Huyu ndie rais mtarajiwa mrisi wa magu 2025 kama unakubar gonga like
Huyu mzee ana vitisho vya kitoto sana....eti jikune kama unabisha? Jee huo si utoto?
Bonyeza link Hapo Chini Uone Maisha Ya Rose Mhando Yalivyo Magumu Mpaka Uruma Duuu ua-cam.com/video/FNRmIksRQNI/v-deo.html