Rapcha - Story Nyingine Freestyle

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 19 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 769

  • @markanatory9290
    @markanatory9290 Рік тому +154

    Kama umekuja kuisikiliza hii nymbo baada ya dizastq kujibu tujuane😂

  • @Thedonrboysuper_tz
    @Thedonrboysuper_tz Рік тому +67

    Wanangu wap like za rapcha, wap like nakubali sana my blood 🔥🔥🔥🔥

  • @casmirikessy
    @casmirikessy Рік тому +63

    Kama umerudia kuiskiliza Hii ngoma gonga like

  • @muhsiniamiri9310
    @muhsiniamiri9310 5 місяців тому +3

    2024, nmejaribu kukuskiliza asee uko vzur lkn kwa vina dizasta dah hata theluthi..... humfiki rapcha toa ngoma Zak tukupe sapport t vina nisayar miningne

  • @bleezytalentmusic5912
    @bleezytalentmusic5912 Рік тому +8

    Umeyakanyaga mdogo kazi unayo tutakuzika hapa hapa hakuna kusafirisha

  • @michaelokumunyongesa1658
    @michaelokumunyongesa1658 Рік тому +5

    Team Rapcha forever ,,,,,,,msinipangiee Nairobi 254 hio

  • @luganonsubisi3418
    @luganonsubisi3418 Рік тому +12

    Rapcha bado sana uwezi kua kama dizasta vina

  • @emmanuelchilimo
    @emmanuelchilimo Рік тому +16

    Dizasta ni jini yule atakunyonya Damu🔑

    • @aminamou6616
      @aminamou6616 Рік тому

      Haha haha kwel

    • @adycoganggang348
      @adycoganggang348 Рік тому

      Atamnyonya nyaa

    • @dadyjo_
      @dadyjo_ Рік тому

      Kashanyonywa tayari

    • @Teacher_01
      @Teacher_01 Рік тому +1

      R. I. P Rapcha japo umeteleza tulichelewaa kukuombea msamaha kwa dizasta....🤕🤕🤕🤕

  • @ommygraphics4355
    @ommygraphics4355 Рік тому +11

    Dogo hata uandikeje ufikii hata robo ya uwezo wa dizasta

  • @Heisbry_
    @Heisbry_ Рік тому +3

    Kaka nakushauri tu endelea kuchokoza wote ila huyu dizasta atakupoteza bure 😅😅 hili lijiniiii

  • @jumanassir7549
    @jumanassir7549 Рік тому +6

    Nangoja jibu la Young Lunya. Game litawaka aisee

  • @bongotricks-tz
    @bongotricks-tz Рік тому +9

    nimekuja kusikiliza tena baada ya lunya kujibu😁😁😁

  • @aminamou6616
    @aminamou6616 Рік тому +10

    Dogo we ishia2 kwa wakina lunya usjichngnye kwa vina

  • @baraka2574
    @baraka2574 Рік тому +5

    Washa Moto mzee hawajui wakiwa wanaenda mwanza mpaka wapite shinyanga

  • @alimkumba9459
    @alimkumba9459 Рік тому +4

    yes tupo street tunakuskiza our presint kama wapo wengine wanamskiliza rapcha kama president tumjazie like hapa

  • @muzijangara5028
    @muzijangara5028 Рік тому +6

    Rapch umezingwa bwan mmb km yavijemb waachiy akin kond ww cc mashabik Zak atupend hvy bwan

  • @daudfoya47
    @daudfoya47 Рік тому +5

    Miondoko ya kithuglife nuski, weka like Kwa rapcha🔥🔥🔥

  • @issampondomoko3981
    @issampondomoko3981 Рік тому +10

    Dogo umeyakanyaga, achana na Dizasta 🙌

  • @rostermwakimata81
    @rostermwakimata81 Рік тому +5

    Dogo unajua sana tunasubir p akupeleke next level

  • @jacksonmalole7769
    @jacksonmalole7769 Рік тому +3

    Apo hajamdis Dizasta skiliza vzr anasema alijua wako peace had akakuta like ya Dizasta kwene comment ya dis...

  • @muccitronix
    @muccitronix Рік тому +13

    Hapo kwa dizasta sasa kuna kitu utahisi kinakuingia nyuma 😂

  • @kiduaalute603
    @kiduaalute603 Рік тому +7

    Huzingatii vina kaka uwezi shindana na dizasta vina unarap dakika tatu mwenzako anarap dakika 8 pamoja na content.
    Kiufupi nyimbo yako yoyote uwezi fanananisha na NO BODY IS SAFE 1,2,3,4 za dizasta muulize professor jay atakwambia uwezo wa dizasta vina ulipelekwa kumi za maangamizi hukufanya vizuri kama dizasta

  • @FAMILYSIMBA
    @FAMILYSIMBA Рік тому +4

    KUMAMAEEEEEE🌠 WABONGO MNAJUA🇹🇿
    MWAKA HUU KITANUKA MAGENIOUS WOTE WASHAINGIA

  • @chiefmkuu1131
    @chiefmkuu1131 Рік тому +6

    "Kaza ndonga na una deal na masinia"

  • @saidindunguru1162
    @saidindunguru1162 Рік тому +5

    🔥🔥🔥🔥 rapcha umekili umemchana mtu mstar mmoja mtu kaenda jibu dk 8 😂😂😂 yo kil dis shittg

  • @msodokidasilva6739
    @msodokidasilva6739 Рік тому +44

    Kama unaamin dogo kayakanyaga gonga like apa 😅

  • @youngislah6048
    @youngislah6048 Рік тому +11

    Hao wengine ni haki yako kuwachana iLa @dizastavina daah hapa naona kama umefeli nduGu yangu hyu broo hanaga makuu na mtu hanaga sapoti wala fame kama uliyonayo wewe anapambna kivyake tuh kila day show him some respect ku LIKE ♥️ sio sabb ya kuMDiss mbna weng wamelike Dizasta ni Real

  • @dhulukiflrichanga3415
    @dhulukiflrichanga3415 Рік тому +3

    IKULU NIKAZAMA NA DREDI
    BUNGENI NKAENDA NA DREDI
    KWENY PASSPORT NA DREDI
    KWASABU UBAYA WA MTU HAUKO KWA DREDI💪 Tukaanza kumkumbush tale na kumyambua 🙌😂 oyah ni noma tha guy.

  • @sheddythemix321
    @sheddythemix321 Рік тому +4

    Kichaa kapewa Rungu wazee Tutolokee Ukuuuuuuuuuuuuuu duh We jamaa sijui utaacha kujua lini make kila ukifanya inafanyika kua hit uko juu mpk wajuu wanapanda juu WANANGU 99

  • @Microwaves-wo5rn
    @Microwaves-wo5rn Рік тому +3

    Oy skipper hapa nakukubalisana mwanangu rapcha ngoma zako nando zinanzonipa usingizi

  • @blackkid7377
    @blackkid7377 Рік тому +6

    ila rapture a.k.a rapcha target yake ikuwa battle na lunya ikamkuta mwamba sasa atakunya🤣🤣🤣

  • @laxmajor
    @laxmajor Рік тому +3

    Nakubl kija unaze sanaaa one family 😍🇹🇿💯

  • @yasinilipende7454
    @yasinilipende7454 Рік тому +4

    Daah ngoma kali aisee Rapcha anajua sana yan

  • @juniorsensei2898
    @juniorsensei2898 Рік тому +3

    Yoo whats up with this dude .... some one call the fire squad this dude on fire 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @albertrobert1594
    @albertrobert1594 Рік тому +5

    Ngoja tusubiri reply

  • @fexboe7564
    @fexboe7564 Рік тому +5

    Jaman kama unamkubar rapcha gonga like.

  • @reaganmakallo6824
    @reaganmakallo6824 Рік тому +7

    Hapo kwa dizasta sasa ndio ulipo kunya ukweni

  • @denisngoinde3693
    @denisngoinde3693 Рік тому +6

    Back 2 young lunya or whatever Chid called u.......... Aaaah mzee nataman nimskie na lunya ana lipi la kusema kwny hili all n all nawapenda wote rapcha na lunya so keep goin'

  • @philemonambilikile839
    @philemonambilikile839 Рік тому +12

    Dizasta vina mkali Sana

  • @jolly47._
    @jolly47._ Рік тому +4

    Kmmkee🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @nyumbumjanja
    @nyumbumjanja Рік тому +4

    Flow | style Kali mangii safi mekku #rapcha

  • @greyuhagile5051
    @greyuhagile5051 Рік тому +6

    Dogo kulalamika sana ni dallili kuwa haumudu challenge..mskilize kaka yako dizasta na ujifunze kutoka kwake maana una mengi ya kujifunza kabla ya kutaka kuwa battle kaka zako

  • @abdurahimumabula8592
    @abdurahimumabula8592 Рік тому +4

    Rapcha anajua nyiee

  • @mohamedyally570
    @mohamedyally570 Рік тому +3

    2023 liwalo na liwe hakuna kuchekeana apa

  • @reuben_phone_accessories1686
    @reuben_phone_accessories1686 Рік тому +4

    Dah nooomaaaa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @obbyentertainment4303
    @obbyentertainment4303 Рік тому +4

    Dizasta anaweza San kuliko huyu kwa tunao jua mzik

  • @slywish4098
    @slywish4098 Рік тому +3

    SOMEONE CALL FIRE FIGHTERS RAPCHA IS BURNING US 🔥🔥🔥

  • @issamatola2031
    @issamatola2031 Рік тому +4

    Sasa kichupa tukijazeee maji

  • @vedastogenius45
    @vedastogenius45 Рік тому +3

    Acha hizo lines za mwisho zikakae pale status wazup.. .🔥🔥

  • @PaschalThomas09
    @PaschalThomas09 Рік тому +4

    Mwanangu wa 99..🔥

  • @FREE_NEWS-c1g
    @FREE_NEWS-c1g Рік тому +4

    Oyah wee .. mwanzoni nlitaka niseme ngoma mbovu kumbe ukiiskiliza ni KARIIIIIIIIIIIIIII.....

  • @afyandogo
    @afyandogo Рік тому +10

    Unamdis dizasta sababu ya like maalim umeyakanyaga😀😀

  • @siraajlilanga3956
    @siraajlilanga3956 Рік тому +4

    Dizasta sio level yako bro kwanza hawezi reply .. Labda huyo lunya anaweza reply..

  • @salehembaraka5764
    @salehembaraka5764 Рік тому +4

    Mwanangu Unajuwa Xana yani👊👊

  • @coastpro6170
    @coastpro6170 Рік тому +4

    This is what we want to listen us hiphop mongers ✌️

  • @AyubHassan-m5u
    @AyubHassan-m5u Рік тому +2

    This guy needs is a national treasure 😅

  • @charlesmadama7492
    @charlesmadama7492 Рік тому +4

    Nmeskiliza had nmetetemeka

  • @bizzyone189
    @bizzyone189 Рік тому +3

    My brother rapch kudadeki umeua ilekinoma 🔥🔥🙌🙌

  • @trendingfootshorts
    @trendingfootshorts Рік тому +5

    I repeat ×3

  • @stevenngonyani6341
    @stevenngonyani6341 Рік тому +2

    😁😁 washa switch kwa middle finger

  • @jaydeboy2789
    @jaydeboy2789 Рік тому +4

    Tema nyongo rapcha umetisha sana

  • @dedeayew9650
    @dedeayew9650 Рік тому +3

    Nakubali saana mzee baba we ni 🔥

  • @hassanhassan1019
    @hassanhassan1019 Рік тому +4

    Yaani we dogo bado dizasta anakuvua pampas.. unashika busha wazeee KLMK...

  • @blacksamaritan5167
    @blacksamaritan5167 Рік тому +4

    mkila fact nyie mnaleta personal issue

  • @zakatumbuka8856
    @zakatumbuka8856 Рік тому +4

    Unyama wa hivi ndo unatakiwa kitaa

  • @geofreyjoachimscao184
    @geofreyjoachimscao184 Рік тому +4

    Brother ww ni next levo kwenye hiki kizazi hiki 🙌🙌🙌🙌

  • @lilmizvah
    @lilmizvah Рік тому +3

    You're the real lil' shit
    Tale kapata anachostahili
    nlitaman sana kuongea kwa tale ila sio msanii t

  • @wingsben4610
    @wingsben4610 Рік тому +4

    Tomeisikia tunaifanyia kazi kijana

  • @samaritanke4670
    @samaritanke4670 Рік тому +3

    Ubaya ni wa mtu wala hauko kwa dred ....Afadhali umebonga bro

  • @onekisstv8412
    @onekisstv8412 Рік тому +3

    What ?? Tale, lunya OMG

  • @duderapper98
    @duderapper98 Рік тому +5

    Last king of 90's 💥💣

  • @c_mbaria.
    @c_mbaria. Рік тому +3

    Manze Kam Kenya ufanye feature na Khaligraph Jones #THE OG.

  • @Juanjack18
    @Juanjack18 Рік тому +3

    Mdogo wangu 99 ❤

  • @jocktanwambaoh1250
    @jocktanwambaoh1250 Рік тому +3

    Mi nimegonga mara moja nimeelewa,hapa kuna rapa,alipewa tuzo 2021akaanza kujisifu hakuna wa kushindana naye,pili disrespect ya babu tale

  • @westonchibwete7554
    @westonchibwete7554 Рік тому +3

    Bado hujakuwaaa

  • @rajarusimbi857
    @rajarusimbi857 Рік тому +3

    Let us be real tribulation imeua hata uandike vip..

  • @hopsonsamwelikileokileo7024
    @hopsonsamwelikileokileo7024 Рік тому +3

    Hakika yaya nimauwaji kamili 🙌🙌🔥

  • @rappermonster361
    @rappermonster361 Рік тому +2

    Daah good idea nlichokielewa hapa n ili kuleta ushindan mkal kwenye game..all in all Ngoma ni 💥💥ckujua kuw unajua kuchana ngumu

  • @xellemacomputer3610
    @xellemacomputer3610 Рік тому +3

    unamzuka unasingizia ni flows unakaanga soda #dizasta vina#😂

  • @fortunatus8293
    @fortunatus8293 Рік тому +3

    Kwa nyimb kama hii na Tanzania hii,,ukipata shows njoo niite mbwa nipo kitaa

  • @toastresskiwanja221
    @toastresskiwanja221 Рік тому +2

    Umewatolea uvivu😂😂.. Hardcore 🤜🏿

  • @remafnstv7398
    @remafnstv7398 Рік тому +2

    Huyu pipo ni another level 🔥🔥

  • @komboally8600
    @komboally8600 Рік тому +4

    Hii nyimbo hamna kitu dogo hana facts

  • @toratimavumbo3379
    @toratimavumbo3379 Рік тому +3

    Ww mkali rapcha🔥🔥

  • @raymondedson2488
    @raymondedson2488 Рік тому +3

    Dis kwa. King d itakuanguasha kwakua king Hana mda WA kujibu MA price kwa hii rap Labda hujasikia ile ngoma ya d inayo Itwa a confession of a mad philosophy

  • @moziidavchonchi3338
    @moziidavchonchi3338 Рік тому +4

    Rapcha nakukumbusha TU kua dizasta vina ni mtamafuni music ukiyakanyaga utajuta dogo uyo ni T'tcha Ako na dimensions ake tofaut na ndio ww tunaona ukiwa inspired

  • @rich_kid_of_likoni
    @rich_kid_of_likoni Рік тому +4

    Rapcha mwanangu wa 99

  • @dibamompa5023
    @dibamompa5023 Рік тому +3

    Kijana balaaa huyu🔥

  • @allysonjohn8578
    @allysonjohn8578 Рік тому +3

    Kalii 🔥🔥

  • @abdallahmsofe4870
    @abdallahmsofe4870 Рік тому +2

    Niqqa went so hard on this one 💥💥💥💥💥💥💥💥💥

  • @Fuegos99
    @Fuegos99 Рік тому +2

    Mara ya mwisho nmemskia Tupac humu kweny hiz punch 🚀🚀🚀🔥🔥

  • @nasrimagea9443
    @nasrimagea9443 Рік тому +5

    Tale anastaili nn kwny interview volume one track no:2 eeeh

  • @faustinewilliam4908
    @faustinewilliam4908 Рік тому +4

    Dizasta vina ni Machine nyingine kaa utulie dogo langu utapoteana sikiliza Best friend

  • @jumerramadhan1617
    @jumerramadhan1617 Рік тому +2

    Ahsanteni kwa kumsikiliza anaitwa rapcha big love my brother

  • @njaumichael5738
    @njaumichael5738 Рік тому +3

    Nakubali sana sana nimesikiliza mara tano nimeielewa sawa sawa hatri sanaaaaa🎶🎶🎶🎶🎶

    • @alextanzania
      @alextanzania Рік тому

      ua-cam.com/video/jUrvHEDyvT0/v-deo.html
      Ielewe na hii

  • @wishjrtz
    @wishjrtz Рік тому +2

    Rapchaaaa kaaamua kufa naoooo🤣🤣🤣🤣🤣

  • @philemonambilikile839
    @philemonambilikile839 Рік тому +3

    Unaflow vzr changamoto kwa tusio sikia vzr muheshimu dizasta vina unajipotezea heshima tu Jambo ambalo mlipaswa kujenga leo unabomoa Yule mwenzako anafanya mziki kwa utulivu mkubwa

  • @amosjuma4362
    @amosjuma4362 Рік тому +2

    Wanangu 99 👏 👏goma kali Sana la kufungulia mwaka 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @Paplick9
    @Paplick9 Рік тому +4

    Sio type ya Black maradona

  • @hamisimganga8151
    @hamisimganga8151 Рік тому +2

    Mmmh this is what we real want and wat we been waiting for let's waits and see ladies and gentlemen show timee