2024, nmejaribu kukuskiliza asee uko vzur lkn kwa vina dizasta dah hata theluthi..... humfiki rapcha toa ngoma Zak tukupe sapport t vina nisayar miningne
Huzingatii vina kaka uwezi shindana na dizasta vina unarap dakika tatu mwenzako anarap dakika 8 pamoja na content. Kiufupi nyimbo yako yoyote uwezi fanananisha na NO BODY IS SAFE 1,2,3,4 za dizasta muulize professor jay atakwambia uwezo wa dizasta vina ulipelekwa kumi za maangamizi hukufanya vizuri kama dizasta
Hao wengine ni haki yako kuwachana iLa @dizastavina daah hapa naona kama umefeli nduGu yangu hyu broo hanaga makuu na mtu hanaga sapoti wala fame kama uliyonayo wewe anapambna kivyake tuh kila day show him some respect ku LIKE ♥️ sio sabb ya kuMDiss mbna weng wamelike Dizasta ni Real
IKULU NIKAZAMA NA DREDI BUNGENI NKAENDA NA DREDI KWENY PASSPORT NA DREDI KWASABU UBAYA WA MTU HAUKO KWA DREDI💪 Tukaanza kumkumbush tale na kumyambua 🙌😂 oyah ni noma tha guy.
Kichaa kapewa Rungu wazee Tutolokee Ukuuuuuuuuuuuuuu duh We jamaa sijui utaacha kujua lini make kila ukifanya inafanyika kua hit uko juu mpk wajuu wanapanda juu WANANGU 99
Back 2 young lunya or whatever Chid called u.......... Aaaah mzee nataman nimskie na lunya ana lipi la kusema kwny hili all n all nawapenda wote rapcha na lunya so keep goin'
Dogo kulalamika sana ni dallili kuwa haumudu challenge..mskilize kaka yako dizasta na ujifunze kutoka kwake maana una mengi ya kujifunza kabla ya kutaka kuwa battle kaka zako
Dis kwa. King d itakuanguasha kwakua king Hana mda WA kujibu MA price kwa hii rap Labda hujasikia ile ngoma ya d inayo Itwa a confession of a mad philosophy
Rapcha nakukumbusha TU kua dizasta vina ni mtamafuni music ukiyakanyaga utajuta dogo uyo ni T'tcha Ako na dimensions ake tofaut na ndio ww tunaona ukiwa inspired
Unaflow vzr changamoto kwa tusio sikia vzr muheshimu dizasta vina unajipotezea heshima tu Jambo ambalo mlipaswa kujenga leo unabomoa Yule mwenzako anafanya mziki kwa utulivu mkubwa
Kama umekuja kuisikiliza hii nymbo baada ya dizastq kujibu tujuane😂
Tupo WENGI SANA
Tupo tupo😅
Niko hapa
Hhhhhh
Dogo kazinguw
Wanangu wap like za rapcha, wap like nakubali sana my blood 🔥🔥🔥🔥
ua-cam.com/video/gb7ynd61x8E/v-deo.html
Kama umerudia kuiskiliza Hii ngoma gonga like
Yap nataka nieelewe wat is real going on
2024, nmejaribu kukuskiliza asee uko vzur lkn kwa vina dizasta dah hata theluthi..... humfiki rapcha toa ngoma Zak tukupe sapport t vina nisayar miningne
Umeyakanyaga mdogo kazi unayo tutakuzika hapa hapa hakuna kusafirisha
Team Rapcha forever ,,,,,,,msinipangiee Nairobi 254 hio
Rapcha bado sana uwezi kua kama dizasta vina
As a diss rapcha did good
Dizasta ni jini yule atakunyonya Damu🔑
Haha haha kwel
Atamnyonya nyaa
Kashanyonywa tayari
R. I. P Rapcha japo umeteleza tulichelewaa kukuombea msamaha kwa dizasta....🤕🤕🤕🤕
Dogo hata uandikeje ufikii hata robo ya uwezo wa dizasta
Kaka nakushauri tu endelea kuchokoza wote ila huyu dizasta atakupoteza bure 😅😅 hili lijiniiii
Nangoja jibu la Young Lunya. Game litawaka aisee
nimekuja kusikiliza tena baada ya lunya kujibu😁😁😁
Ndo Mara yangu yakwanza😅
🤣🤣🤣
Dogo we ishia2 kwa wakina lunya usjichngnye kwa vina
Washa Moto mzee hawajui wakiwa wanaenda mwanza mpaka wapite shinyanga
yes tupo street tunakuskiza our presint kama wapo wengine wanamskiliza rapcha kama president tumjazie like hapa
Rapch umezingwa bwan mmb km yavijemb waachiy akin kond ww cc mashabik Zak atupend hvy bwan
Miondoko ya kithuglife nuski, weka like Kwa rapcha🔥🔥🔥
Dogo umeyakanyaga, achana na Dizasta 🙌
Amfahamu?
Dogo unajua sana tunasubir p akupeleke next level
Apo hajamdis Dizasta skiliza vzr anasema alijua wako peace had akakuta like ya Dizasta kwene comment ya dis...
Hapo kwa dizasta sasa kuna kitu utahisi kinakuingia nyuma 😂
😂😂😂🤣🤣🤣😜😜 Umemwambia tayari??
kishajibiwa na nazani kishasikia
Huzingatii vina kaka uwezi shindana na dizasta vina unarap dakika tatu mwenzako anarap dakika 8 pamoja na content.
Kiufupi nyimbo yako yoyote uwezi fanananisha na NO BODY IS SAFE 1,2,3,4 za dizasta muulize professor jay atakwambia uwezo wa dizasta vina ulipelekwa kumi za maangamizi hukufanya vizuri kama dizasta
Sema hujuh muzik
KUMAMAEEEEEE🌠 WABONGO MNAJUA🇹🇿
MWAKA HUU KITANUKA MAGENIOUS WOTE WASHAINGIA
"Kaza ndonga na una deal na masinia"
🔥🔥🔥🔥 rapcha umekili umemchana mtu mstar mmoja mtu kaenda jibu dk 8 😂😂😂 yo kil dis shittg
Kama unaamin dogo kayakanyaga gonga like apa 😅
Hao wengine ni haki yako kuwachana iLa @dizastavina daah hapa naona kama umefeli nduGu yangu hyu broo hanaga makuu na mtu hanaga sapoti wala fame kama uliyonayo wewe anapambna kivyake tuh kila day show him some respect ku LIKE ♥️ sio sabb ya kuMDiss mbna weng wamelike Dizasta ni Real
ameyakanyaga nakwambia
Mjomba kaachia ngoma inaitwa Best friend sio pouwa kaiskilze
Ifike time tuwe na respect wangap wame like hyo post???? Utawez kuwadisss wote??? Tuwe tunafikiri kabla ya kutenda
@@youngislah6048 NIMEISIKIA MWANANGU JAMAA KACHAFUKWA MULE KAYAWEKA NAYEYE WAZI
Heshima ifate mkondo wake
IKULU NIKAZAMA NA DREDI
BUNGENI NKAENDA NA DREDI
KWENY PASSPORT NA DREDI
KWASABU UBAYA WA MTU HAUKO KWA DREDI💪 Tukaanza kumkumbush tale na kumyambua 🙌😂 oyah ni noma tha guy.
Kichaa kapewa Rungu wazee Tutolokee Ukuuuuuuuuuuuuuu duh We jamaa sijui utaacha kujua lini make kila ukifanya inafanyika kua hit uko juu mpk wajuu wanapanda juu WANANGU 99
Oy skipper hapa nakukubalisana mwanangu rapcha ngoma zako nando zinanzonipa usingizi
ila rapture a.k.a rapcha target yake ikuwa battle na lunya ikamkuta mwamba sasa atakunya🤣🤣🤣
Nakubl kija unaze sanaaa one family 😍🇹🇿💯
Daah ngoma kali aisee Rapcha anajua sana yan
Yoo whats up with this dude .... some one call the fire squad this dude on fire 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Ngoja tusubiri reply
Jaman kama unamkubar rapcha gonga like.
Hapo kwa dizasta sasa ndio ulipo kunya ukweni
😂😂😂
Sikiliza vizur hajamdis dzaster
Back 2 young lunya or whatever Chid called u.......... Aaaah mzee nataman nimskie na lunya ana lipi la kusema kwny hili all n all nawapenda wote rapcha na lunya so keep goin'
Ilikuaje kwan
young lunya aliitwa na cheed benz young kunya🤣🤣🤣
Dizasta vina mkali Sana
Rapcha hamuwez vina ata kdog
Kmmkee🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Flow | style Kali mangii safi mekku #rapcha
Dogo kulalamika sana ni dallili kuwa haumudu challenge..mskilize kaka yako dizasta na ujifunze kutoka kwake maana una mengi ya kujifunza kabla ya kutaka kuwa battle kaka zako
Rapcha anajua nyiee
2023 liwalo na liwe hakuna kuchekeana apa
Dah nooomaaaa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Dizasta anaweza San kuliko huyu kwa tunao jua mzik
SOMEONE CALL FIRE FIGHTERS RAPCHA IS BURNING US 🔥🔥🔥
Sasa kichupa tukijazeee maji
Acha hizo lines za mwisho zikakae pale status wazup.. .🔥🔥
Mwanangu wa 99..🔥
Oyah wee .. mwanzoni nlitaka niseme ngoma mbovu kumbe ukiiskiliza ni KARIIIIIIIIIIIIIII.....
Unamdis dizasta sababu ya like maalim umeyakanyaga😀😀
Dizasta sio level yako bro kwanza hawezi reply .. Labda huyo lunya anaweza reply..
Mwanangu Unajuwa Xana yani👊👊
This is what we want to listen us hiphop mongers ✌️
This guy needs is a national treasure 😅
Nmeskiliza had nmetetemeka
My brother rapch kudadeki umeua ilekinoma 🔥🔥🙌🙌
I repeat ×3
😁😁 washa switch kwa middle finger
Tema nyongo rapcha umetisha sana
Nakubali saana mzee baba we ni 🔥
Yaani we dogo bado dizasta anakuvua pampas.. unashika busha wazeee KLMK...
mkila fact nyie mnaleta personal issue
Unyama wa hivi ndo unatakiwa kitaa
Brother ww ni next levo kwenye hiki kizazi hiki 🙌🙌🙌🙌
You're the real lil' shit
Tale kapata anachostahili
nlitaman sana kuongea kwa tale ila sio msanii t
Tomeisikia tunaifanyia kazi kijana
Ubaya ni wa mtu wala hauko kwa dred ....Afadhali umebonga bro
What ?? Tale, lunya OMG
Last king of 90's 💥💣
Manze Kam Kenya ufanye feature na Khaligraph Jones #THE OG.
Mdogo wangu 99 ❤
Mi nimegonga mara moja nimeelewa,hapa kuna rapa,alipewa tuzo 2021akaanza kujisifu hakuna wa kushindana naye,pili disrespect ya babu tale
Bado hujakuwaaa
Let us be real tribulation imeua hata uandike vip..
Hakika yaya nimauwaji kamili 🙌🙌🔥
Daah good idea nlichokielewa hapa n ili kuleta ushindan mkal kwenye game..all in all Ngoma ni 💥💥ckujua kuw unajua kuchana ngumu
unamzuka unasingizia ni flows unakaanga soda #dizasta vina#😂
Kwa nyimb kama hii na Tanzania hii,,ukipata shows njoo niite mbwa nipo kitaa
Umewatolea uvivu😂😂.. Hardcore 🤜🏿
Huyu pipo ni another level 🔥🔥
Hii nyimbo hamna kitu dogo hana facts
Ww mkali rapcha🔥🔥
Dis kwa. King d itakuanguasha kwakua king Hana mda WA kujibu MA price kwa hii rap Labda hujasikia ile ngoma ya d inayo Itwa a confession of a mad philosophy
Rapcha nakukumbusha TU kua dizasta vina ni mtamafuni music ukiyakanyaga utajuta dogo uyo ni T'tcha Ako na dimensions ake tofaut na ndio ww tunaona ukiwa inspired
Rapcha mwanangu wa 99
Kijana balaaa huyu🔥
Kalii 🔥🔥
Niqqa went so hard on this one 💥💥💥💥💥💥💥💥💥
Mara ya mwisho nmemskia Tupac humu kweny hiz punch 🚀🚀🚀🔥🔥
Tale anastaili nn kwny interview volume one track no:2 eeeh
🤜💥👀 (anastahili Punch!)
Dizasta vina ni Machine nyingine kaa utulie dogo langu utapoteana sikiliza Best friend
Ahsanteni kwa kumsikiliza anaitwa rapcha big love my brother
Nakubali sana sana nimesikiliza mara tano nimeielewa sawa sawa hatri sanaaaaa🎶🎶🎶🎶🎶
ua-cam.com/video/jUrvHEDyvT0/v-deo.html
Ielewe na hii
Rapchaaaa kaaamua kufa naoooo🤣🤣🤣🤣🤣
Unaflow vzr changamoto kwa tusio sikia vzr muheshimu dizasta vina unajipotezea heshima tu Jambo ambalo mlipaswa kujenga leo unabomoa Yule mwenzako anafanya mziki kwa utulivu mkubwa
Wanangu 99 👏 👏goma kali Sana la kufungulia mwaka 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Sio type ya Black maradona
Mmmh this is what we real want and wat we been waiting for let's waits and see ladies and gentlemen show timee