Best comedian in East Africa..much love from kenya na Steve niliona interview yako ukisema ujui English bana ...wacha tutuagusha.....anyway we are waiting for more comedies to come
@@innocentboykid2442ni muhimu sana, angalia wasanii kama diamond na harmonize wamejifunza English kwasababu waweze ku contact, kuwasiliana na kushirikiana na wasanii wa mataifa mengine mbali kwasababu communication is very important.
Kiukweli dkk ni ndogo jitaidin muongeze alafu mbona mnatuchanganya muve imeandikwa mama yangu kichaa alfu ukiipley inakuja uchoko mwingine Kiukweli mnatukera mwisho nampenda sana Sele ❤❤❤❤❤❤❤❤❤ kwake anaweza sana🎉🎉🎉🎉🎉
Ipo sawa Sana DOGO SELE yupo sawa Sana namkubali namtakia kila la heri Mungu amlinde endeleeni kutuelimisha mambo mazuri kupitia vipaji vyenu tofauti tunaelimika kupitia kwenu tupo pamoja nipo ZANZIBAR 💓✨🌹🥀
Yaan hii move ni nzr nimeipenda san ten san nataman isishe haraka :mscheleweshe inayofuata mi ❤❤❤:mi nataka iwe hata kesho ila ndy hivyo mnaichelewesha itabid niwe na subira ❤nawapenda wote kz nzur
VIP DAKIKA NI NDOGO ? AU ZINATOSHAA MAAANA KUNA WATU WANALALAMIKA ETI NYIE MNAONAJE NASOMA COMMENT HAPA
Uko Good steve
Ndio Steve bwana dakika ni kidogo sana ongeza.
Nikidogo mtamu ukinoga imeisha
Dakika ndgo
Tunaomba uongeze dakika
Much love ❤likes kwa baba Sele, Sele mwenywe pamoja na Steve jamani angalau hata kumi 😂😂❤❤❤❤❤❤ iendelee twasubiri😊
Sele Mtoto bora kuwahi kutokea katika tasnia ya uigizaji❤❤❤
Wakwanza leo,likes za upendo ziende kwa mtoto Sele anajua sana❤🫡🇹🇿🇹🇿likes kwake kama unamkubali🎉
Kacrushi kangu kale
@@leahwanjiku5466❤❤❤
Kenya one ..
ONE LOVE FROM KENYA 🇰🇪. ❤️
Nice work
Kenye tuko dani
Tuko ndani
Tuko pamoja
Pamoja ❤❤❤
Mama ni mama hakuna kama mama
Na hakuna maisha magumu hpa duniani kama kuishi bila mama wallahi....
Keep it up Sele 😘😘😘😘
Maman haonekane merapili
Wakwanza leo from kenya 🇰🇪 much love✊✊
Much appreciated good job from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Best comedian in East Africa..much love from kenya na Steve niliona interview yako ukisema ujui English bana ...wacha tutuagusha.....anyway we are waiting for more comedies to come
Kwani English ndo mafanikio ya mtu
Ajifunze, kujua lugha ni rahisi akiamua .
@@innocentboykid2442ni muhimu sana, angalia wasanii kama diamond na harmonize wamejifunza English kwasababu waweze ku contact, kuwasiliana na kushirikiana na wasanii wa mataifa mengine mbali kwasababu communication is very important.
Saivi ni mwendo wa Da zeti sio Hamad kijicho Tena 😂😂😂 Steve mweusi 🙌🏼🙌🏼
Leo na mm wa kwanza naombeni like hata 5
Uuuuweeeh my favourite waiting part 8 eagerly watching from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Moja Kati Ya Somo Kutok Kwa Steve Mwak Huu Ni Hii Movies Kam Unamkubal Mweusi Weka Likes Hapa🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Pongezi sana kwa ubunifu na endeleeni tu na kazi nzuri ya kutuburudisha.🇺🇬🇰🇪mnatambulika
Hey guys ... much from love Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Wana kaveve kazoze haroo ❤
Tupo wengi wakenya 🇰🇪 APA 😂😂 stove angekuwa mkenya tungeringa Sana 😂
Aki wakenya shida yenu n nn. Sasa kaveve apa inakujia wapi
Dope❤...nifikisheni 2k subscribers,niko na mixes kaliii🔥🔥🔥
Kiukweli dkk ni ndogo jitaidin muongeze alafu mbona mnatuchanganya muve imeandikwa mama yangu kichaa alfu ukiipley inakuja uchoko mwingine Kiukweli mnatukera mwisho nampenda sana Sele ❤❤❤❤❤❤❤❤❤ kwake anaweza sana🎉🎉🎉🎉🎉
Story inafundisha Sana , Mungu awape maarifa zaid❤❤❤
Kenya we love you bro🇰🇪
Bon idée mon frère !moi aussi j'ai besoin la traduction en français ❤🇧🇮💞🇧🇮
The best of all times...I support you from Kenya broo
Wale wa Kwanza kuangalia Mama yangu kichaa part 7 tujuane Kwa like. Steve mweusi na Dogo sele nawakubali Sana 👏🏼👏🏼
Steve wewe ni noma sana series zako zinafundisha sana video zako kali sounda kali DIRECTOR wako ni mnyamaaa sana nimtu noma sanaa
Ipo sawa Sana DOGO SELE yupo sawa Sana namkubali namtakia kila la heri Mungu amlinde endeleeni kutuelimisha mambo mazuri kupitia vipaji vyenu tofauti tunaelimika kupitia kwenu tupo pamoja nipo ZANZIBAR 💓✨🌹🥀
Mtoto sele Mungu akuzidishie kipaji chako MashaAllah unaweza
❤❤❤jaman huyo mtoto anakipaji
Oh! Steve mweusi hauna m'pinzani wewe ni number one.
One love from Kenya 🇰🇪 and Doha 🇶🇦 good work Sele keep going Dogo.
Much love from Burundi❤❤❤ 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Director Anajua mpk anakeraa😅😅😅🙌🙌🙌
Huyo baba Sere anamsamamo nimemkubali san naomb picha ihiish akiw bdo anamsimamo wak❤
Wao was eagerly waiting for this episode Steve nisamehee kiswahili kigumu hapa kenya
Hauyuko pekee tuki wengi
@@leahwanjiku5466 😅😅😅
Mtoto sele❤..... he is very talented boy...
Nice work 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
One love from uganda 🇺🇬🇺🇬 I love you guys u Mk it ❤
Yaan hii move ni nzr nimeipenda san ten san nataman isishe haraka :mscheleweshe inayofuata mi ❤❤❤:mi nataka iwe hata kesho ila ndy hivyo mnaichelewesha itabid niwe na subira ❤nawapenda wote kz nzur
Nzuri sana big up Steve mweusi kazi nzuri braza
🎉🎉🎉❤❤❤❤❤nawapenda bure mko na mafinzo mazuri aki❤love you from kenya🇰🇪
Nimechelewa ila niwaombeni like hata tano basi 😢😢😢❤❤ kama kawaida tuh😂😂😢😢
Kazi nzuri sana hongerani kazi iendelee 🙏🙏🙏🙏
Wow pongezi san Steve ❤❤❤❤na wahusika wote
Fundisho nzur sana mungu awabariki wote
Kweli inauma kabisa mama kakamatwa jamani mi nariaa😂😂😂😂
Sele na stivu mmetisha sana❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
mashallha mungu akubariq mtoto sele pamoja na wazazi wako wote❤🎉🙏🇵🇰
Sele baba much ❤❤❤❤❤❤❤wajua kuigiza hii ni mafunzo mazuri sana mama ni mama atabaki kua mama tu❤❤❤❤❤
Pokea maua sere ❤❤❤❤❤usichereweshe episode 8 jamni tunakutegemea
Mimi leo wakwanza naombeli like apa
Sapoti sana kwa dogo sele.....nawafata toka congo drc 🇨🇩
❤🎉🎉 ongereni nyote hii series naipenda sana❤❤❤
Madly addicted to this movie, much love from Kenya ❣️🥰🥰🙏😍🤩 you please
Much love from kenya and Canada kaka mama ni mama awe jisi
Enyewe mama ni mama tu ata awe Nani ❤❤❤❤❤
Dogo sele mungu akuangazie na akulinde na kila husda nakupenda saana my son
One love from burundi❤❤❤
Much love you sele na Steve from gulf ❤❤❤❤
much love ❤ 😍 from Kenya 🇰🇪 and Qatar 🇶🇦
duuh!!, sele, na mweusi mko vizur, msikate tama mko vizur, ongezen ubunifu, namungu awa inuwe zaidi kwa ubunifu
Much love ❣️❣️❣️, watching from Kenya
MashaAllsh inamafunzo nimependa
Napenda sana jinsi mnavyofundisha jamii yetu kuhusu hiki kipind
Kitu Kali kaka zangu ongeza dakika kwa kweli ndio naenjoy
Bonge la movie na linafundisha zaidi ya mafunzo hongereni washiliki wote Kazi nzuri sn
ONE LOVE FROM .🇰🇪👍
Wakwanza Leo jamani nipeni like zangu
Love from burundi🇧🇮
Selemani pole mam😂mam atapona ❤❤🎉
Much love from 🇧🇮 ❤❤❤
Dogo sele nampenda sana Jamani ❤❤good job steve msichelewe sasa episode nyingine 🤗
Keep it going dogo u are doing well❤
Lini yatapita 😢jmn ali inazidi kuwa mbaya zaidi 😢😢 asanteni kwa mafunzo mazuri 🙏😘😘❤️👌❤️
Nzuri sana tena sana,ila fupifupi sana na dk ni chache mnooo
Neema ya Mungu inatosha🙏my sister Mercy and the team keep glowing ❤
Kali sana hongera dogo❤❤❤
Mimi wakwanza jamani naomba likes zangu
Ningetamani kumuona mama sele arikuanamwanae sele nainapona papa sele ulichomufanyia mukeako mubaya huowapili nimekipenda Sana 😭😭😭🙏🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Congratulations on Steve mweusi and my young brother dogo sele ❤❤❤❤
Kwa ukweri nasema Hongera sana!! Mambo anaenda vizuri sana!!! Steve, Asante Sana kbs 👏👏👏
Nawapata kutoka MOZAMBIQUI,iko Poá sana iyo hii move!
Much love from Burundi❤❤
From kenya Steve na Dogo kazi yenyu tunaipenda sana
One of the best clips ....keep it up guys❤
From kenya 🇰🇪 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪.. following keenly
Yaan huyu mtt mungu ambaliki kpaji chake kizd kukua
Number one Leo marafiki like hata 5 tuu
Mafunzo big up wahucka wote
Mtoto sele Allah azidi kumlinda akuze kipaji chake inshaallah
Nawapenda sana from American❤❤❤❤❤
nmejifunza ktu kwa kweli i movie iko vzr xna na pia ina mafunzo katka jamii ❤❤❤❤
😭😭😭😭😭I LOVE MOM❤
🎉🎉🎉 Najibamba nikiwa Kenya pamoja sana
You're the best Dogo
Muendelezo jaminiiii mnafanya vizuli❤nawapendasana
Hongera sana dogo sele ❤❤
I like you guys from USA 🇺🇸
Yaaan uyo mtoto mungu amsaidie afike mbal
Dakika ongeza kidogo mna n fupi,lkn pia inamafunzo mazri sana much love sele ❤❤❤hii n nzuri kw mma wote good job mungu awasongeze mbele zaidi
Congratulations sele mama ni mama hta km nikipofu
Nawapenda sana. From Rwanda
Nakupenda Sele Kwa kumpenda mama yako
Brasa unafanya makuu sana,,naipenda
Much love to all team mamangu kichaa loves you from kenya