Imekuwa cku njema kwangu nyimbo imetoka Leo mwamba akiwa kwetu mwakitoryo no 5 ,ko Ngoja nijiandaee kwenda kuishudia live song la NZUNA WANE, HONGERA BRO BMS.
Bhudagala miongoni mwa wengi walio washabiki na wadau wako wanaokukubali mimi huwez kunitoa, mungu aendelee kujalia kazi ya mikono yako bro piga kazi nasi tuko nyuma yako kwa surpot.
Ndo mana wasukuma tukakwita king 👑 of traditional songs jina halikuja tu butebure hujawah poa miaka yote wa moto tu hii nayo kali nyingine pamoja sana 🎉🎉🎉🎉
Asante kaka bhudagala kwa kazi zako zenye mafundisho Ama kweli wewe ni kioo cha jamii na hakuna shoo yako mbaya yaani kiukweli Bhudagala ni legendary wa Kisukuma music
Moto 🔥 ni ule ule punguza mwendo tuwaone na watoto wanasemaje maana kwa sipindi hii watakosa la kusema waachie japo miezi mi 3 uone wanasemaje kisha uje uwafungie mwaka mfalme budagala 👑 kingi wa kisukuma
Waambie Kaka yangu make hawana shukurani binadam ila najua hawatasonga najua tabu tupu pia kuwa making na wanadam Kaka make hawana zul Salam sana my buradha
Kwa niaba ya watu wangu hapa ughaibuni, tafadhali Bhudagala nakuomba uweke ngoma yako ya @Bhujingi wanilabhula. Pls and pls kama uliifuta iyo nyimbo uirudie pls
@@bhudagalamwanamalonja9582 we jamaa bac tu, kiukweli mziki wa kisukuma umeukuta chini sana enzi za Malingita, ukaupambania na kuufikisha hapa ulipo leo. Hakika wewe ni mfalme wa #SukumaMusicKingdom. Chukua maua yako kaka. One day nikirudi ntakutafuta
Mwalimu Bora Kwenye Jamii 🙏 Tanzania tunajivunia wepo wako Wasukuma Wenzangu Tujuane Sasa
Imekuwa cku njema kwangu nyimbo imetoka Leo mwamba akiwa kwetu mwakitoryo no 5 ,ko Ngoja nijiandaee kwenda kuishudia live song la NZUNA WANE, HONGERA BRO BMS.
Bhudagala miongoni mwa wengi walio washabiki na wadau wako wanaokukubali mimi huwez kunitoa, mungu aendelee kujalia kazi ya mikono yako bro piga kazi nasi tuko nyuma yako kwa surpot.
Tulikwelelwa gete mungu akulinde wendelee kulanga kubitila mimbo gako
Hongera bro karbu ulowa nasi tutazame ngoma kali
🔥🔥
Umoja ni nguvu utengano ni udhaifu big up sana mwana kang'wa
Nakukubali sna kaka yani kwenye asili ni wewe na bahat bugalama basi
Bhudagala heshima kwako bro mungu akuzidishie
❤❤❤❤napenda Sana nyimbo zako
Ndo mana wasukuma tukakwita king 👑 of traditional songs jina halikuja tu butebure hujawah poa miaka yote wa moto tu hii nayo kali nyingine pamoja sana 🎉🎉🎉🎉
Nakubali kaka nimeerewa sana nyimbo iyo mm madaha salala mwanza
❤❤❤❤❤❤safi saana kaka nmeipenda
Safi sana omwamalonja
Mwalim wa asili Africa kaza mwendo
🙏🥰👍😍🔥🔥🔥tupo pamoja Kaka yetu
Hatari sana
Ubulya mnumba 😂😂😂😂
🎉🎉🎉chukua maua yako meamba wetu
Asante kaka bhudagala kwa kazi zako zenye mafundisho Ama kweli wewe ni kioo cha jamii na hakuna shoo yako mbaya yaani kiukweli Bhudagala ni legendary wa Kisukuma music
Hongera sana kaka bhudagala
Kaz nzur kk mung akusaidie
Brother big up xana
Pamoja Sana mwana maronja
Kazi kubwa sana
Bigger up Sana
Good music for bhudagala
Moto 🔥 ni ule ule punguza mwendo tuwaone na watoto wanasemaje maana kwa sipindi hii watakosa la kusema waachie japo miezi mi 3 uone wanasemaje kisha uje uwafungie mwaka mfalme budagala 👑 kingi wa kisukuma
Hakuna wakishindana na wew
Hapo brother bhudagala umetoboa all the way from somalia
Kaka angu kipenzi mungu abariki kazi za mikono yako na akujalie ufike mbali sana
Kaka unae jua music na ni music za kufundishaaa jaminiiii ng'wana makolo
Nipo morogoro ila huyu mwamba ni fundi wa Ngoma za asili
Nyimbo Kali sasa brother🎉❤😊
Kaka uko vzr sana
Hapo nimekubali
Huu wimbo unatukumbusha Wana ndugu kuwa kitu kimoja bigapu Sanaa mwalim wa wasanii wa nyimbo za kisuma wasukuma tunajivunia kuwa na msanii kama wewe
Kazi nzr
Kaka hakika wewe ni kioo kwa wasanii wote wa kisukuma na ndo maana hata kama anaanza leo anatamani kuwa kama wewe
nakukubali broo
bhudagala umepigeje apo
Pamoja kaka ❤
Waambie Kaka yangu make hawana shukurani binadam ila najua hawatasonga najua tabu tupu pia kuwa making na wanadam Kaka make hawana zul Salam sana my buradha
Kazi kazi na kazi iendelee
Piga kaz wa ng'wa sugha
Kweli kabisa kazi ñzuli sana
k😍😍😍
Nitumie bac kaka nyimbo ya recho
Naipata nikiwa itilima simiyu
Namajungu tunaiomba
Hogera Sana kaka
Hongera kaka
Mpka wasemee
Watakusema lakini hauchuji kijana wangu
BMS motooooooooo
B. Ww namba moja
Sanaaaaaa🎉🎉🎉
Lilisebusaana okohohonoka amakono
bado tupo pamoja ssna
Legend
Kaka unatixha xana broo
Nagozunije nkolo wane bhudagala emilemo yako misomba gete
Kalb nyumbn nyangokolwa
Uko vizuri kaka yani napenda sana nyimbo za kinyumbani jamani tupendane wapendwa
Pamoja kaka
Kaka endelea kufundisha ulimwengu hatuna msanii mwingine mwenye ubunifu kama wako bigapu kwako kazi nzuri sana
sana
Good🎉🎉🎉🎉
Nakubali sana Ng'wana Makolo,, karibu Dar es salaam
Safi
Ikanzalenge ulinichanganya nkulu wane
Alibhuli nkoi
Mungu akujalie maisha malefu tasinia ya muziki wa asili isife hongera sanaaaaaaaaaaas
Hongera sana kiongozi wewe Kimping wa wasukuma,karibu sana Kahama tumekumis Mwime
NOumaaaas Sana hapo sielewi nyinbo mzima lakin mdundo nakaa nyimbi zako nyingi ninazo nainjoy Sana wasukumaaaaa oyeeeeeeee
Nice
safi sanaa, Ngoma inafundisha na kuchezeka kwa uzuri
Mwanaume ni mwanaume tu #bhudagala ukiamua nyimbo moja tu wanakaa
❤❤❤ pamoja san bos wa nyimbo za jandi kaz nzuri san❤❤
🔥🔥🔥🔥🔥💯💯
Iko vizuri,,,,,
Kidaganda tunakuomba uje tena,,,🎉
Unyama
Kisima
🎉🎉❤❤
❤
Hii kaz ni konk dir_mato
Oya
❤❤❤❤❤
Kaz nzr saaana brother yang mwanamalonja
Kwa niaba ya watu wangu hapa ughaibuni, tafadhali Bhudagala nakuomba uweke ngoma yako ya @Bhujingi wanilabhula. Pls and pls kama uliifuta iyo nyimbo uirudie pls
Sawa ndugu yangu
@@bhudagalamwanamalonja9582 we jamaa bac tu, kiukweli mziki wa kisukuma umeukuta chini sana enzi za Malingita, ukaupambania na kuufikisha hapa ulipo leo. Hakika wewe ni mfalme wa #SukumaMusicKingdom. Chukua maua yako kaka. One day nikirudi ntakutafuta
Nimelipata goma nikiwa dar es salaam tanzania
asili yetu inatamba Sana nimeipokea nyimbo nikiwa dar es salaam
Piga kazi mzee mungu akutangulie ❤
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Bhudagala pamoja na umri kwenda bado ww ni mwamba
Bhudagara. Hiii. Umeachia rini. Duu. Mwenyemacho hambiw. Tzama. Shabiki. Yko tok. Moro
Ok pw
👊👊👊👊🙏🙏🙏🙏🙏
asate
Hogera wa nyumbani
Karibu kigoma mwalim wa jadi zetu
Tupo was dau
Nyimbo zr san katik kuelimish jamii ýet kaz zr
Daaah aya bana kazi nzuri
Good