Hongera brother nafurahia nyimbo zako pia kuwa musukuma nipo dar salamu Ila namisi nyimbo zako jamani 😁😁😁kwenye kuolewa nisheria watuu wote wamecheza ba nakuoa nisheria shilingitaga mozees😁😁🔑🔑🔑🔑
Jaman jaman nyumban ni nyumban tu daima siwezi kusahau kwetu chato mulumba bwina,Ngoma za asili ni asili yetu wssukuma,hata waseme sisi ni WA shamba akin mungu katujalia akili na watu makin sana na wazalendo wenye upendo kwa kila binadam
Hizi nyimbo ninzuri sana najivunia kuwa mnyamwezi nikisikilizaga ngoma nakumbuka nyumbani Tabora
Hata mie nikisikila namic sana kwetu tabora tz
Tupo weng kaka
Sema nyimbo zetu hiz na kwaya zina fananatu melod zake
Kabisa yaan kwanza wanaotuzalau wasukuma na wanyameez hawajierewi tu
❤❤❤
Umetisha kaka huu wimbo naupenda sana nasikilza nikiwa Japan
Hakika nimemiss home brother thenk you forever brother una nyimbo nzuri naomba mungu akulinde sikuu moja nitakupatia zawadi
Nainjoy sana na huu wimbo kiukweli unamafunzo mazuri kaka hongera sana ❤❤❤❤❤❤❤❤
Nasikiliza ngoma hii nikiwa Igunga ziba ngoma ni nzr sana hongera kaka asante sana endelea kutuletea burudani nzr uko vzr
Mm sio msukuma lakini hii ngoma naipenda sana
Najisikiaga vizur Sana nikisikilizaga huu wimbo nakumbuka shinyanga asante Sana ❤❤❤❤❤❤❤
Wakati uwa natamani siku moja uwimbe nyimbo za dini ili tumshukulu mungu pamoja, uwaga nazipenda sana
Najivunia kuwa mnyamwez maana nyimbo kama hizi naelewa mwanzo mwisho jamani 🙏🙏🙏👏👏😀
Mm pia mnyamwezi naelewa sana
Hata sielewi kinachoimbwa ila nimekuwa mtumwa wa kusikiliza hizi sauti adimu
Katika nyimbo zako zote, hii kwangu ndo namba Moja, still watching 2023
Kuna Ile kwa Bundala Kishimba ni hatari sana 🔥
hii nyimbo ni nzuri sanaaaa hadi raha ukisikiliza
Brooo unanikosha unajua
Ngoma iko vizuri Sana
Nalipenda sana Kabila langu mtanifanya nihame Zanziba weehatar mungu awabariki sana
Ongeza bidiii uko vizuri bro,, MUNGU akuzidishiee
sana
Mungu Akuongoze Ili Uzidi Kudumixha Na Kutangaza Utamaduni Wetu wa Kixukuma
Uko vizuri sana unadumisha mila yetu nakupenda sana.
Nakumbuka❤❤siku😂aliokuja🎉🎉 mpombwe sikonge
Hua nafarijika Sana kusikiliza nyimbo zako,zinaujumbe mzuri
Nakubali sana❤❤❤❤❤❤
Mtemi na kupa hongera mtaani wangu kazi iendelee nawacheza shoo wako
Kwa kweri huyu ntemi omabala Yuko vizuri Sana kwa nyimbo zake,, Mimi ni msukuma orig napenda nyimbo zao,, kweri
Huu wimbo jaman naupenda ingawa sielewi kila neno ila napata burudan, karibu singida uje utupe burudani
nakumbuka kipindi ambacho nipo sikonge kijiji cha Tutuo kwa kweli mungu awabariki
Hongera sana kaka
Hii nyimboo mwamba aliwezaa,naikubari
Hasara kubwa kutosikia radha na kinachoendelea ktk video hii. So Proud 2 be sukuma
wasukuma kwa kweli mko poa sana tupo nyuma yenu
tuko poa
❤
Najivunia kua msukuma jamani aaiiii raha sana
Me pia nakumbuka nyumban❤❤❤❤
Katika hii nyimbo inajumbe zuri sana naupenda sana huu wimbo
Nakukubali xn mwamba nikiwa DSM lakn nyumban chato hangamaga omwise ndoho tabhu nsani wise,,,, I wish one day I will find you during my marriage
Safii sana mzee wa kazi…😊
Vizurisan umepew kipaj kwakuimb Niko burund rakin nasikiriziy saut hiy
Unatisha sana tajir msukuma kwa nyimbo nzur xana
Kuolewa ni sheria, kuzaa ni majaliwa ! Hakika 👏👏
Kwa kl
Napenda Sana nyimbo zako one day tutaonana,niko pande za igunga tabora
❤❤❤❤❤❤❤Sina neno yukovizuri kijana
Kaka unatisha sana kazi nzuri nipatie naomba yako siku Moja nikupigie tuzungumze
Mimi sio msukuma lkn,namkubali Sana Mwanakang'wa karibu Rungwa Njia panda ya mby tbra na sgd.
Naupenda sana wimbo huuu
Hongera brother nafurahia nyimbo zako pia kuwa musukuma nipo dar salamu Ila namisi nyimbo zako jamani 😁😁😁kwenye kuolewa nisheria watuu wote wamecheza ba nakuoa nisheria shilingitaga mozees😁😁🔑🔑🔑🔑
Hongera ng'wanakamwa
Huyu kaka lajariwa saut kwakweli sie wasukuma tupo juu nipo Dubai lakin nacheki nyimbo zako
Naitwa Mr,crater nshishi nikopandeza illan center namkubar sn msukuma
nakubali sana
Jaman jaman nyumban ni nyumban tu daima siwezi kusahau kwetu chato mulumba bwina,Ngoma za asili ni asili yetu wssukuma,hata waseme sisi ni WA shamba akin mungu katujalia akili na watu makin sana na wazalendo wenye upendo kwa kila binadam
Uko sahihi kaka katika watu walotulia na akili nyingii ni ss wasukuma najivunia kuwa msukuma.
Wimbo wa maana kabisa
Nifalijika japo sielewi kivile hongera sana
Mm napenda sana hii nyimbo Kila siku nasikilizaga
Namm namkumbuka mkewngu
Wimbo mzur Sana iala hao wamama walihalib wanawapuliziaje pafyum mabibi harus kama vle maiti ndo ile asili yetu
Nipo morogoro nasikiliza nyimbo hii ni nzuri hongera kaka
Nakubali sana brother nyimbo zako nakupata nikiwa Arusha
Huyu Jamaa noma Sana
Haaha usukuma to the world
Nakupata Sana nipo ilinga mafinga kinyanambo baisikeli
Pamoja sana kijana kaza
Hongera sana bro unafanya kaziyako vizuri sana
Mimi msafwa lakini kwa huyu jamaa najikuta msukuma kabisa
Karibu nyumban kwetu usukuman
Du huwa nakuelewa san nyanda ndondo nakupata nikiwa oman
Asante sana 🙏
Jaman huu wimbo naupenda sana barikiwa sana kwa kipaji
Mi siviskii hata kadogo 😅
Najivunia sana kabila langu
Wewe ni noma sana by Bahati manhe
Daima unanikoshaga sana
2023 anae tazama ♥️
Nakumbar san bwana mudogo uko vizur
Good job🎉😅❤❤I'm like 👍
Anaweza kabisa
Mtu ninayemkubali my favorite song
ongera saanaa
Jaman mm mhehe lakin nyimbo zako kaka na enjoy sanaaaaaaaa
Wasukum oyeeee
Oyeeeee
Big up
BARIKIWA SANA BROTHER
Safi sana gwana Kang,wa
Wengi tunamuelewa
Nakukubali sna kaka
Hongera sana
Nakuelewa sana ngoshaaaaa
Nipo dubai nakufatilia kazi nzuri
mungu akubaliki imebaki zamu yangu kuja baradi uje utoe lalhaaa kwenye sherhee yangu
❤❤naikubaliii saaan
Nyimbo saf ya harusi hongera
Kahama kwetu
Kaka anasaut nzr sana 🥰
Burudani murua kabisaaa
Nikisikiliza tu nahisi kama niko kwetu Tabora
Kaka utafika mbali sana
sukuma oyyyyee
Hakika unanikosha ntemi o mabala
Yeyo faida ya bubile mlenabulombi💃💃💃💃
Nipo luvuma nimependa wimbo wako mungu akutangulie katika kazi yako
Nipo singida nimeupenda Sana wimbo huu nimetokea pande za muyatu mwandoya
Pamoja sana mkuu
@@ngwanakangwanaomba namba yako
karibuni kwetu chemba
@@ngwanakangwa napenda nyimbo zako zuri Sana mungu akutie nguvu
Nimekubali sana
Hongera
Nakumbar san bwana mudogo uko vizur
Ntemi omabala nazunyaga nyanda oletomamaa
Nyimb zakisukuma mwanakang'wa
Mwana anajua sana
Asilihaipotei
Fire
Nikifika kahama nitakutafuta napenda Nyimbo kwakweli nataka unipe jina unatumikisha Facebook
Nakubali Sana nyanda