Shalom Mchungaji, Nimekuwa nikisikiliza mahuniri yako mara kadha,Mungu wetu azidikukupandisha viwango na viwango ktk Utendaji wa Kazi yake,Mahali popote pale; kwani yeye ndiye Ngome imara kwao Wote wamtumikiao katika Roho na Kweli Amen,
❤nineota ndoto nipo kanisani Alarm nikaokota kitu cha thaman nyuma yanng kukawa nawat wenye silaha wakikitaka ichokitu kilikua cheupe kinangaaaa minikagoma kuwap ila ibada ilipoisha nilikabizi kwa pande napande akamwonyesha msaidiz wake nikamwambia ni siri alaf nilipoanza kurejea nyumba ni kukawa na wake wat wenye silaha wakinikimbiza ila niliwashinda kisha nika stukaa
Mch Kimaro, una akili sana na bila Shaka Mungu amekujaza. Nimekuelewa sana baba Mch. Hakika Kuna jambo kubwa mno unalitimiza. Neno ni gumu sana lkn unalirahisisha mpaka nmeelewa sana. Barikiwa sana.
❤Mchungaji mungu azidi kukupandisha nabarikiwa sana na mafunzo yako ni baraka kwetu❤
Amina baba mch ubarikiwe kwa neno nami naomba Mungu anitumie nifanye kazi yake kwa nguvu ili nimsaidie ktk kazi yake.
Naamini Mungu mbeba riziki hataniacha
Niite NAMI nitakuitikia nitakuonyesha mambo makuu magumu sana usiyoyaweza,ee mungu nitumie nami nitatumika bwana
Amina Tangia pasaka nilianza kufuatilia mahubiri yako na yananibadilisha na kunitia moyo
Wewe mtumishi mafunzo yako ni baraka sana kwa wanaokusikiliza hii ni mbegu ubarikiwe sana
Mungu nipe nafasi ya usaidizi🙏🙏🙏🙏
Amen 🙏 🙏 🙏 barikiwa mtumishi wa mungu nabarikiwa sana tena sana
Haleluyah 👏👏👏, naenda kuanzisha jambo langu
Shalom Mchungaji, Nimekuwa nikisikiliza mahuniri yako mara kadha,Mungu wetu azidikukupandisha viwango na viwango ktk Utendaji wa Kazi yake,Mahali popote pale; kwani yeye ndiye Ngome imara kwao Wote wamtumikiao katika Roho na Kweli Amen,
Nabarikiwa sana! Mungu akutunze mtumishi
Ameeen🙏🏾
Amina
Mungu nitumie
❤nineota ndoto nipo kanisani
Alarm nikaokota kitu cha thaman nyuma yanng kukawa nawat wenye silaha wakikitaka ichokitu kilikua cheupe kinangaaaa minikagoma kuwap ila ibada ilipoisha nilikabizi kwa pande napande akamwonyesha msaidiz wake nikamwambia ni siri alaf nilipoanza kurejea nyumba ni kukawa na wake wat wenye silaha wakinikimbiza ila niliwashinda kisha nika stukaa
👏👏👏👏👏👏Amen Amen
Naomben namba ya sadaka nataka kupanda Yerusslem
Mungu akubariki sana mtumishi , Kwa somohili limenibariki sana
Mch Mungu aku bariki zaidi sana Volonte From DRC Beni
Amen amen amen nabarikiwa nikiwa saudi Arabia
Asante sana sanaa
Amen Mungu akubariki saaana pastor nimekuelewa nitafanyika kuwa baraka
Amen nkuskisa mchungaji
Mch Kimaro, una akili sana na bila Shaka Mungu amekujaza. Nimekuelewa sana baba Mch. Hakika Kuna jambo kubwa mno unalitimiza. Neno ni gumu sana lkn unalirahisisha mpaka nmeelewa sana. Barikiwa sana.
Mungu ni2mie na me baba
My Pastor Rev.DR.E.Kimaro, your message is real fact from our Heavenly God, be blessed!
Amen. Ninatanua mipaka yangu
Amen
Mungu wetu tunaemuamini azidi kukuinua kwaajili ya utukufu wake
Nitumie Bwana
Baba umefanyika balaka kwangu toka nianze kukufutilia mungu akubariki mtumishi wa bwama
Amina
Amina
Nakuelewa mno be blessed
Be blessed father
Mungu akubariki sana
🙏🙏
Amen Amen Amen
Amen