Assalam alaykum w w Kwanza kabisa nashkuru kua ni miongoni mwa watu ambao wanafuatilia hii channel tangu uhai wa mwalim said Ushauri wangu tuendelee kuweka maudhui nzuri (darasa) alizokua akizitoa
Allah akuzidishie kila lakheri shekh langu,kukataza maobu na kuamrisha mema niwaajibu haijalishi anaekatazwa kakubali au kakataa,huu ni uhuni mkubwa sana wanaoufanya niuchafu mkubwa wanaufanya ktk jamii wanachochea maasi kisingizio uislamu
Assalam alaykum w w
Kwanza kabisa nashkuru kua ni miongoni mwa watu ambao wanafuatilia hii channel tangu uhai wa mwalim said
Ushauri wangu tuendelee kuweka maudhui nzuri (darasa) alizokua akizitoa
Allah akuzidishie kila lakheri shekh langu,kukataza maobu na kuamrisha mema niwaajibu haijalishi anaekatazwa kakubali au kakataa,huu ni uhuni mkubwa sana wanaoufanya niuchafu mkubwa wanaufanya ktk jamii wanachochea maasi kisingizio uislamu
@swabihaAhmed.9minago
Mim nashauri ipo njia moja tu ya kuwafaitilia hao vijana ili waweze kuacha na njia hiyo siwez kuibainisha katika mtandao
666
Shehe wachie hao huwaweziii
Sheikh aongee miongoni mwao wamo wataacha au nusurika kwaajili ya Allah.