Iv kweli ukamlinganishe lunya Kwa young killer achen zalau Kwa mtu anaeiju hip hop atakuwa kajua nn namaansha kiufupi young killer anatisha Sana na anajuwa hip hop
Sasa young lunya Kapata ukubwa lini hadi Ku linganishwa na young killer ? Ehhhh tuwe Na macho yakuona masikio Pia ya kusikiya . Sio kila young ni killer . YOUNG KILLER MASTER wa ma MASTER ❤
Ukweli Young Lunya ana zingua anatumika kwa kila kitu kumshusha Young Killer.Young killer ndiyo alianza na ile Sinaga swaga Section jamaa kaja kaiga na anapita mule mule.
To be honest nyimbo za lunya ni nzur tu kwenye beat ila kwa upande wa lyrics amna chochote hvyo uzur wa nyimbo za lunya hua znafanywa na producers wala siyo yeye lakn killer hua achagui beat cha mcng nikuweka lyrics kali kwa hyo tulio wengi hua tunapenda nyimbo za lunya kwa beat zake wala so lyrics na hua tunapenda nyimbo za killer kwa lyric zake all in all mkali ni killer ambae so beat chooser
Sisi wapenzi wa mziki tusiochagua hip-hop wala bongo fleva ndo tunaojua mziki mzuri, Young killer anajua saaaana na anaeleweka mi sijamsikia kwa mda Sasa lakin nyimbo zake zote za zamani zinaishi akilini kwangu,Bora katoa hii kanifurahisha saaana 🙏👏👏
Naomb nikurekebishe kidogo apo bro yong lunya sawa kaimba kwa mafumbo kuficha ila kwasababu ni dis hii imemuhusu young killer ndomana young killer kaamua hujibu yeye tu na asingeweza kuficha sababu inamuusu mbuzi aisee mbuzi kazikwa young killer hafai
Indeed young killer ni best rapper na yupo generation na level nyingine kabisa hawezi kulinganishwa na lunya na rapper wadogo kama lunya ila Kwa walichokifanya Young lunya kaua Kwasababu kachana kihip-hop wakati Killer kapaniki na ametema mapovu sana
nimesikiliza zote, Young killer kaongea maneno machache ila ujumbe upo clear and ame address nicely. Young killer is a killer indeed.
Umeongea
lunya ashindane labda na bahat bukuku kuimba ila kwa killer bado anatambaa
Lunya bado xana kwa msodoki licha ya kufanyiwa promo nying ili wamshushe msodoki ila bado xn gonga like kwa MSODOKI
Kusema ukweli young killer ako juu Tena sna
LUNYA habari nyingine kwa Sasa Bongo hakuna Zaidi ya LUNYA
Promo nyingi haifanyiki ili kumshusha mwingine..music ni business…business ni ushindani..mawazo ya kimasikini kabisa 💩
Kweli kabisa sodoki nibaba yao hawa niwatoto sana
Jamani ee naomba tuelewane hakuna anae muwezi msodoki yata wasikesha wana rap hawafiki levo zamsodoki
Mtu kafumliwa ndani ya dk 2 wakat yeye kajizungusha ndani ya dk 5
Young killer kakalisha mtu and now tunampa nyota zake ni King Killer
Msodoki ni mmoja tu Lunya hamuwezi kabisa young killer ni Master
Uhakika mbro
Msodoki he's the best ❤
KILLER YOUNG is anothet Level🔥🔥
Young killer he’s the best ❤🔥
Kendrick msodoki n genius wa rap
Anamabalaa killer
Coni boe Ndo genius rapper,
Young lunya kelele nyingi tunasikia beat tuh Gonga like hapa kama unamkubali msodoki🚀💯🙌
Lunya ana sauti mbaya kama spiker mbovu
Killer killed it😊
Young Lunya namkubali but ukweli ni kwamba beat zinambeba sana. Killer ni real rapper ana uwezo wa kuchana hata bila beat na aka-make sense.
Nilkua naisubili sana hii coment ulichosema ni kwel lunya huwa anabebwa na beats yaan kwa kifup ni beat chooser
@@THEWORLDEYE3263 ukweliiii
True
Hapo umeongeaa🤔🎤
We unajuwa mziki
For real young Libya anaboaa style take kuimba, ninkweli ni kama generator, young killer yupo clear and anasikilizika vizuri
Gonga like kwa killer
Killer killed it 🔥🔥🔥
Msodoki went Straight to the Point, he made it short and clear😂😂
Nilikua nasubili Uchambuzi wako, Young Killer ni next level.
Eejamaaaaa killer ni 🔥 mbuzi wewe ni mchumba tu njoo tukupakue watoto wa mwanza mwanza
Killer alishawah kumnyamazsha ney ,,,dis track moja hv ya kbabe sana ,,ney wa mitego shwaaaaaaaa akalala mbele
Diss aliopata toka kwa Rapcha Lunya angelikua rapa mkali angejibu Mapema Sana. Kama itakua muendelezo basi tutegemee Lunya kupata ziro. SNS Niko nanyinyi mtanitolea ushuhuda. Huez mdiss msodoki Akasubili miez 8 ndio akujibu kachelewa Sana siku3 🤣
Kabsa yaan broo Young killer Hawezi kukusubili
Nakubar killer ni 🔥🔥🔥🔥
Killer kasha mjibu wew killer nihatali sana yule jamaa lunya bado sana
Gemu ichangamke sasa 😂😂😂japo lunya awez huu moto
@@DavidMbwilo-qk1bz killer Alisha mkalisha Ney mpaka kakimbia Sasa huyu lunya kayakanyaga 😂😂😂
Killer🔥🔥
Comment 💯% & Like 💯% kwa Yung killer Msodoki kiboko ya wote kwa freestyle
Young Killer 🎉🎉 Huwezi kufananisha na Huo Uchafu Wenu
binafsi nipo upande wa killer 🔥
Yote Kwa yote namkubali young killer
Young killer ni hatari sana. Lunya apishe mbali Pumbavuuu 😄
Killer ❤🔥🙌🥂
Puuuuumbavu....
Yaani akalinde mtama shambani😂
Hey guys always I appreciate young killer ❤❤ hao wengine ni ma kelele ya genereter😂😂
🤣🤣
Pumbaaavuuuu 🙆🤣
Dizasta vina is typing
Daah natamani sana killer asijiite young tena ajiite king killer
AU HATA KENDRICK MSODOKI AU KENDRICK KILLER SEMA NDO IVO ISHAKUWA BLAND
Killer is always Killer.😅😅😅 Huyu jamaa hafanyi promo tu ila ni atari kabisa
Young killer the GOAT of all time🔥🔥
Msodoki namkubali ..am a Kenyan working Qatar
Iv kweli ukamlinganishe lunya Kwa young killer achen zalau Kwa mtu anaeiju hip hop atakuwa kajua nn namaansha kiufupi young killer anatisha Sana na anajuwa hip hop
Lunya kwa killer bado sana aendelee kufuta jasho tu 😅
youngkiller mwamba sanaa lunya arudi akanyonye
Sasa young lunya Kapata ukubwa lini hadi Ku linganishwa na young killer ? Ehhhh tuwe Na macho yakuona masikio Pia ya kusikiya . Sio kila young ni killer . YOUNG KILLER MASTER wa ma MASTER ❤
Juu ya yote young killer ni moto wa kuotea mbar Hawa madogo wa juzi wakasome.
Gonga like kwa MWANZA 🦅
Ukweli Young Lunya ana zingua anatumika kwa kila kitu kumshusha Young Killer.Young killer ndiyo alianza na ile Sinaga swaga Section jamaa kaja kaiga na anapita mule mule.
Young Killer all the way
Kendrick msodoki mmoja ni sawa na lunya 1000
Msodoki Ni hatari
Msodoki the best rapper fullstop every guyz wanajua iyo iko wazi
Sina wa Kumchagua Wote Madogo zangu..Cha Msing ss Mashabiki Tunaenjoi..🔥🔥🔥
Young killer mmoja ni kama Lunya 100😅😅😅.Motherfanta
Mother fanta 😂
😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣👍
Killer on💥💥💥 ache kimfananisha n vitu vya ajabu
To be honest nyimbo za lunya ni nzur tu kwenye beat ila kwa upande wa lyrics amna chochote hvyo uzur wa nyimbo za lunya hua znafanywa na producers wala siyo yeye lakn killer hua achagui beat cha mcng nikuweka lyrics kali kwa hyo tulio wengi hua tunapenda nyimbo za lunya kwa beat zake wala so lyrics na hua tunapenda nyimbo za killer kwa lyric zake all in all mkali ni killer ambae so beat chooser
Young killer ni hatari sana lunya ajui kuimba zaidi ya kupiga kelele
Hahahaha kelele nyingi ila apa ameingia chakike msodoki ni 1 tu ✅
Kama generator
Diss kawaida inatakiwa kujibiwa ndani ya masaa 48 sasa huyu anajibu baada ya miezi 6 ??
Naomba izingatiwe jaman no body like killer to all youngs in this world kama ww una kubali hip hop sio kelele za trap za lunyaa piga like
Lunya kakojoe unako kojoaga tuachie Msodoki wetu hatunaga swaga kabisaaaaaa🙏🏼💪🏽
Young killer mnoma sana mze~~ mbuzi bado sana
Killer did it again 🔥
Killer Ni hatali sana yule jamaa lunya bado sana kwa killer
Mpo kiushabiki
@@klangeniustz5767 uwezo unajieleza Kaka alisha sema kama unabisha bisha tu
Lunya kapugwa kO killer for life , mwanza stand up much love from kenya brother ❤️
Kumringanisha Killer na Lunya ni kutonielewa Lunya bado sana ingawa anafanya vizuri kwa sasa ila Killer apewe heshima yake🙌🙌💥💥
Msodokiiii❤noma we lunya tulia kwanza heb tuache
Young killer nomaa kavamia Hadi freestyle session za lunya,kaamua amuchanie session namba 6
Killer ni the best raper tz nzima, Gonga like kama una mkubali killer mwanza mwanza
Muuaji Mdogo 💯✅✅✅
Haya,mambo nayapenda
Sisi wapenzi wa mziki tusiochagua hip-hop wala bongo fleva ndo tunaojua mziki mzuri, Young killer anajua saaaana na anaeleweka mi sijamsikia kwa mda Sasa lakin nyimbo zake zote za zamani zinaishi akilini kwangu,Bora katoa hii kanifurahisha saaana 🙏👏👏
NARUDIA MIMI SIO KILA YOUNG NI KILLER✊
Msodokiii Always kills maneno machache yenye facts 🔥
killer anajua xanaaaa👍👍
Wanaomkubali Msodoki bonyeza like au kama huko upande wa Lunya bonyeza dislike tujue nani ni nani.
Younger killer ni sayari nyingin🔥
Ukizingua tena nakutoa utumbo…….killer the star
You killer ❤❤❤❤namuerewa sanaaa anajua sanaa
Naomb nikurekebishe kidogo apo bro yong lunya sawa kaimba kwa mafumbo kuficha ila kwasababu ni dis hii imemuhusu young killer ndomana young killer kaamua hujibu yeye tu na asingeweza kuficha sababu inamuusu mbuzi aisee mbuzi kazikwa young killer hafai
So killer young ni killer uwezo utajieleza
Kuna watu ukiwadiss bongo bas jua umeyakanyaga
1. Chidi Benz
2. Young Killer
3. Unju
Disasta vina
P mawenge
Napendaga sana vitu kama hivi.
Plus uchambuzi.
I like it.
Killer has the best rap
Msodoki the kings of Hip hop Bongo Gonga Like kwake msodokiiii❤❤❤
Yong lunya alishindwa ata kumuuliza ney wa mitego kilicho mkuta😂😂😂😂😂😂😂😂
Shida nikwamba wanajisahaulisha😂😂😂😂😂
Killer Killer Killer 🔥🥂
msodoki ni mtu hatari
Nilikua naisubiri sana hii big up sns
Sisi tunaskiliza high pitch sio makelele. Young killer Big up saan nimekuelewa sema hawapaswi kukuchokoza majibu wanayapata💯💯🔥🔥🔥
Nawakubal Sana 💪 wote wanajuwa syo mbaya acha wachangamshe game now it going good
Young mwenye killer zake 🔥🔥🙌
Young Killer 🔥🔥☄️
Lunya ni msanii mzuri sana ila kwa Young killer bado sana
Msodoki 💪 Big
Acha uongo broh iyo barua aliituma y.killer kwenye sinaga swaga ep 6
Team msodoki mikono apa 🙌
Katika ma-young wote waache kutapatapa KILLER IS THE BEST in all ways
Bado lunya hajafikia Rapcha ssa young ata weza kwel
Killer kill it🙌🙌🙌🙌💥
Young kllr 😎
Young killer is the best between him and young lunya infact lunya is still a kid in this game
Young killer is one simuoni lunya akibado na killer wamesha kimbia wengi zaidi kachokoza ugomvi ambao hauwezi
Young killer ni babu wa mchano tz mdogo kiumri tu lunya ww mtoto bado level zake hujafika%
Msodoki nishidaaa wewe uyo dongo anabwabwaja tu🔥🔥🔥🔥
LUNYA still the GOAT 🐐,,, hkna new generation rapper kma yeye
Nakubali bora umewaambia
Choko t nwww choko Kama yeye🖕
Ukisoma comments kwa umakin kbs utagundua kuwa comments nying ziko upande wa youngkiller kwahiyo killer ni....🔥🔥🔥
Tusubiri majibu 😂😂😂
Mkali ni yong killer🔥🔥🔥
Killer mwanza mwanza 🔥🔥🔥
Ukiulizia kendrick lamar wa bongo unamkuta young killer
Lunya Mtoto SN Kw huyu mwamba ...mistari imenyooka sn hyo
irajaman tusemeukweri runya hawafikii haojamaa hatakidogo
Asa apo ukiangalia killer sindo muuaji uyo mbuzi agome kwenda bhana
Indeed young killer ni best rapper na yupo generation na level nyingine kabisa hawezi kulinganishwa na lunya na rapper wadogo kama lunya ila Kwa walichokifanya Young lunya kaua Kwasababu kachana kihip-hop wakati Killer kapaniki na ametema mapovu sana
Sasa young killer katoa povu gani angalia dakika zao na kapayuka na nani kaua zaidi yang killer hajataja yeye kachanatu yani kama rostam