Kama hauna friji ni vigumu kutengeneza aya yasiyo chemshwa,ila unaweza kutengeneza ya kuchemsha baada ya kupasua nazi utaikuna au ku blend kisha utakamua tui na baada ya hapo uta weka kwenye sufuria jikoni na uchemshe kwa moto saizi Ya kati mpaka utaona ile rojo na mafuta yanajitenga kisha utatumia kijoko kutoa mafuta
Wow very very nice exllente good will ❤
Uko vizuri sana
Waow dear... Thank you
Very well explained, asante sana
Nashukuru sana,na karibu tena
@@homecookingtz2488 nime fanikiwa kutengeneza aisee yametoka mengi tena mazurije🙏
@@barikiwa22 Safi sana na hongera sana kipenzi nimazuri mno tena kwa watoto wadogo,nimefurahi sana
❤❤❤❤❤❤❤
Yaani nimekuelewa sana❤❤❤
Asante mpendwa
Km hun frij unafanyaje
Kama hauna friji ni vigumu kutengeneza aya yasiyo chemshwa,ila unaweza kutengeneza ya kuchemsha baada ya kupasua nazi utaikuna au ku blend kisha utakamua tui na baada ya hapo uta weka kwenye sufuria jikoni na uchemshe kwa moto saizi Ya kati mpaka utaona ile rojo na mafuta yanajitenga kisha utatumia kijoko kutoa mafuta
@@homecookingtz2488 sante sana